Search Results
See All Results
Socialpop Socialpop Socialpop
Home
Groups
Pages
Marketplace
See More
Groups Pages Marketplace Events Blogs Funding Offers Jobs Courses Forums Movies
Join
Sign In Sign Up
Theme Switcher
Night Mode
Directory
Users
Posts
Pages
Groups
Events
  • Nick Johans @nick005
    2025-05-30 09:26:20 ·
    https://medicscaless.com/product/tapal-er-100-mg/
    https://medicscaless.com/product/tapal-er-100-mg/
    0 Comments ·0 Shares ·10 Views
    Please log in to like, share and comment!
  • Nick Johans @nick005
    2025-05-30 09:26:46 ·
    https://medicscaless.com/product/letrozole-letrozole-2-5-mg/
    https://medicscaless.com/product/letrozole-letrozole-2-5-mg/
    0 Comments ·0 Shares ·10 Views
    Please log in to like, share and comment!
  • Nick Johans @nick005
    2025-05-30 09:27:15 ·
    https://medicscaless.com/product/pregabalin-300/
    https://medicscaless.com/product/pregabalin-300/
    0 Comments ·0 Shares ·9 Views
    Please log in to like, share and comment!
  • Nick Johans @nick005
    2025-05-30 09:27:44 ·
    https://medicscaless.com/product/isentress-400-mg-raltegravir/
    https://medicscaless.com/product/isentress-400-mg-raltegravir/
    0 Comments ·0 Shares ·9 Views
    Please log in to like, share and comment!
  • Nick Johans @nick005
    2025-05-30 09:28:15 ·
    https://medicscaless.com/cialis-dosage-what-should-you-take/
    https://medicscaless.com/cialis-dosage-what-should-you-take/
    0 Comments ·0 Shares ·9 Views
    Please log in to like, share and comment!
  • Eras Tour Merch @Erastourmerch added blog in Shopping
    2025-05-30 09:52:49 ·
    Discovering Human Made Clothing
    Human Made Clothing is a lot more than a fashion label; it’s an emblem of artistry and cultural reverence. Founded via Nigo, a pioneer in Japanese streetwear, the logo celebrates vintage Americana with a fresh angle. Each piece captures a nostalgic spirit even as ultimate relevant in current street fashion. The emblem’s DNA lies in mixing great craftsmanship with playful,...
    0 Comments ·0 Shares ·28 Views
    Please log in to like, share and comment!
  • Suicideboys Merch @suicideboysmerch4 updated the profile picture
    2025-05-30 10:47:09 ·
    0 Comments ·0 Shares ·11 Views
    Please log in to like, share and comment!
  • Suicideboys Merch @suicideboysmerch4 added blog in Shopping
    2025-05-30 10:51:02 ·
    Exploring the World of Suicideboys Merchandise and G59 Merch
    In the realm of underground hip-hop, few names resonate as profoundly as $uicideboy$. Hailing from New Orleans, this duo has carved a niche with their raw lyrics, haunting beats, and a distinct aesthetic that speaks to a generation grappling with themes of despair, addiction, and existential angst. Their music isn't just a sound—it's a movement, and for many fans, wearing Suicideboys...
    0 Comments ·0 Shares ·17 Views
    Please log in to like, share and comment!
  • Buildneweden Ministry @sikilizaS
    2025-05-31 05:34:47 ·
    Mathayo 18:10- 12
    [10]Angalieni msidharau mmojawapo wadogo hawa; kwa maana nawaambia ya kwamba malaika wao mbinguni siku zote huutazama uso wa Baba yangu aliye mbinguni.

    *[11][Kwa maana Mwana wa Adamu alikuja kukiokoa kilichopotea.*

    Hili ndilo kusudi kubwa la Yesu lilikuwa ni kuja kukomboa kile kilicho ibiwa au kupotea na si kuja kukihukumu kile kilicho potea.

    Yesu alikuja ili amrejeze mwanadamu katika nafasi yake ambayo aliipoteza pale bustanini eden baada ya dhambi kuingia.

    Maandiko yanasema *"wote walio mpokea aliwapa uwezo wa kuwa wana"* na ukisha pata nafasi ya kuwa mwana unaanza kuwa na kazi sawa kabisa na Kristo Yesu ya kuwarudisha wanadamu wengine kwenye nafasi zao na ndio maana ya wokovu halisi.

    Badala ya kumtenga mpendwa aliye tenda dhambi kama mpendwa ambae umefanyika kuwa mwana unapaswa umuombee na kumrudisha kwenye nafasi yake ya kawaida.

    Yesu anatolea mfano huu
    Mathayo 18:12
    [12]Mwaonaje? Mtu akiwa na kondoo mia, mmoja akampotea, je! Hawaachi wale tisa na tisini, akaenda milimani, na kumtafuta yule aliyepotea?

    Sasa lazima tujue kama mfugaji anaweza kufanya hivyo ndivyo ata sisi watu tulio okoka tunapaswa kuishi na kutafuta kondoo wote kuwarudisha zizini kwani iko thawabu kubwa katika kufanya hivyo.

    Mfanye masihi wa Bwana ajivunie wewe katika huduma kama tu ukiweza kutokuwa na moyo wa choyo ubinsfsi na usengenyaji tunweza lete wengi Sana kwa Yesu na jina la yesu likatukuzwa sana.
    .Mathayo 7:1-2
    [1]Msihukumu, msije mkahukumiwa ninyi.
    Judge not, that ye be not judged.
    [2]Kwa kuwa hukumu ile mhukumuyo, ndiyo mtakayohukumiwa; na kipimo kile mpimiacho, ndicho mtakachopimiwa. .

    Kumbe ukiona ndugu yako anaanguka dhambini na wewe unamuona mwite mkanye ili kuutunza na kuhuheshimsha mwili wa Kristo Yesu.

    Ukisimamisha wengine na wewe itasimamishwa pia siku utakapo zimia moyo ,ukiwaacha wengine nawe utachwa siku utakapo zimia moyo .

    Tujifunze kuonyana kwa kila saa tunapo ona hatuendi tunavyo paswa kwenda wokovu ni kuonyana na kuchukuliana.

    Nikisema kuchukuliana simaanishi uingie dhambini hapana ila yakupasa kuchukuliana na wenzako ili uwarudishe watu kwenye nafasi ambayo Kristo anahiitaji .

    Kama ukifanya hivyo lazima taji upate sawa sawa na neno lake.

    Ufunuo wa Yohana 2:7
    [7]Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho ayaambia makanisa. Yeye ashindaye, nitampa kula matunda ya mti wa uzima, ulio katika bustani ya Mungu.

    Kukaa kwenye bustani ya Mungu siyo tu kwenda mbinguni unaanza ustawi wa maisha hapa duniani kisha uzima wa milele .

    Natumai tumejifunza kitu Mungu akubaliki sana tuwe na siku njema na asubui njema .

    Kwa mafundisho zaidi ya neno la Mungu karibu katika group
    https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4

    #build new eden
    #restore men position
    Mathayo 18:10- 12 [10]Angalieni msidharau mmojawapo wadogo hawa; kwa maana nawaambia ya kwamba malaika wao mbinguni siku zote huutazama uso wa Baba yangu aliye mbinguni. *[11][Kwa maana Mwana wa Adamu alikuja kukiokoa kilichopotea.* Hili ndilo kusudi kubwa la Yesu lilikuwa ni kuja kukomboa kile kilicho ibiwa au kupotea na si kuja kukihukumu kile kilicho potea. Yesu alikuja ili amrejeze mwanadamu katika nafasi yake ambayo aliipoteza pale bustanini eden baada ya dhambi kuingia. Maandiko yanasema *"wote walio mpokea aliwapa uwezo wa kuwa wana"* na ukisha pata nafasi ya kuwa mwana unaanza kuwa na kazi sawa kabisa na Kristo Yesu ya kuwarudisha wanadamu wengine kwenye nafasi zao na ndio maana ya wokovu halisi. Badala ya kumtenga mpendwa aliye tenda dhambi kama mpendwa ambae umefanyika kuwa mwana unapaswa umuombee na kumrudisha kwenye nafasi yake ya kawaida. Yesu anatolea mfano huu Mathayo 18:12 [12]Mwaonaje? Mtu akiwa na kondoo mia, mmoja akampotea, je! Hawaachi wale tisa na tisini, akaenda milimani, na kumtafuta yule aliyepotea? Sasa lazima tujue kama mfugaji anaweza kufanya hivyo ndivyo ata sisi watu tulio okoka tunapaswa kuishi na kutafuta kondoo wote kuwarudisha zizini kwani iko thawabu kubwa katika kufanya hivyo. Mfanye masihi wa Bwana ajivunie wewe katika huduma kama tu ukiweza kutokuwa na moyo wa choyo ubinsfsi na usengenyaji tunweza lete wengi Sana kwa Yesu na jina la yesu likatukuzwa sana. .Mathayo 7:1-2 [1]Msihukumu, msije mkahukumiwa ninyi. Judge not, that ye be not judged. [2]Kwa kuwa hukumu ile mhukumuyo, ndiyo mtakayohukumiwa; na kipimo kile mpimiacho, ndicho mtakachopimiwa. . Kumbe ukiona ndugu yako anaanguka dhambini na wewe unamuona mwite mkanye ili kuutunza na kuhuheshimsha mwili wa Kristo Yesu. Ukisimamisha wengine na wewe itasimamishwa pia siku utakapo zimia moyo ,ukiwaacha wengine nawe utachwa siku utakapo zimia moyo . Tujifunze kuonyana kwa kila saa tunapo ona hatuendi tunavyo paswa kwenda wokovu ni kuonyana na kuchukuliana. Nikisema kuchukuliana simaanishi uingie dhambini hapana ila yakupasa kuchukuliana na wenzako ili uwarudishe watu kwenye nafasi ambayo Kristo anahiitaji . Kama ukifanya hivyo lazima taji upate sawa sawa na neno lake. Ufunuo wa Yohana 2:7 [7]Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho ayaambia makanisa. Yeye ashindaye, nitampa kula matunda ya mti wa uzima, ulio katika bustani ya Mungu. Kukaa kwenye bustani ya Mungu siyo tu kwenda mbinguni unaanza ustawi wa maisha hapa duniani kisha uzima wa milele . Natumai tumejifunza kitu Mungu akubaliki sana tuwe na siku njema na asubui njema . Kwa mafundisho zaidi ya neno la Mungu karibu katika group https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4 #build new eden #restore men position
    0 Comments ·0 Shares ·83 Views
    Please log in to like, share and comment!
  • Swimming Pools Of Florida @swimmingpoolsofflorida updated the profile picture
    2025-05-31 06:58:11 ·
    0 Comments ·0 Shares ·6 Views
    Please log in to like, share and comment!
  • Displaying (24581-24590 of 24671)
  • «
  • Prev
  • 2457
  • 2458
  • 2459
  • 2460
  • 2461
  • Next
  • »
Upgrade to Pro
Choose the Plan That's Right for You
Upgrade
© 2025 Socialpop
English
English Arabic French Spanish Portuguese Deutsch Turkish Dutch Italiano Russian Romaian Portuguese (Brazil) Greek
About Terms Privacy Contact Us Directory Developers