• Katika mchezo wa Chelsea dhidi ya Los Angeles, kipindi cha pili cha mchezo kilicheleweshwa kwa dakika chache kwani Olivier Giroud hakuwa na jezi ya kuvaa

    Mshambuliaji wa Kifaransa alikuwa ameiacha jezi yake kwenye chumba cha kubadilishia nguo golikipa David Ochoa akaenda kuichukua

    #sportselite
    Katika mchezo wa Chelsea dhidi ya Los Angeles, kipindi cha pili cha mchezo kilicheleweshwa kwa dakika chache kwani Olivier Giroud hakuwa na jezi ya kuvaa 馃槄馃憰 Mshambuliaji wa Kifaransa alikuwa ameiacha jezi yake kwenye chumba cha kubadilishia nguo golikipa David Ochoa akaenda kuichukua 馃槄 #sportselite
    Wow
    1
    0 Comments 0 Shares 3 Views
  • Yay
    1
    0 Comments 0 Shares 2 Views
  • 饾悢饾悘饾悆饾悁饾悡饾悇: Hansi Flick amekubali usajiri wa NICO WILLIAMS kwenda Barça...
    馃毃馃毃 饾悢饾悘饾悆饾悁饾悡饾悇: Hansi Flick amekubali usajiri wa NICO WILLIAMS kwenda Barça... 馃挋鉂わ笍
    Angry
    1
    0 Comments 0 Shares 2 Views
  • BREAKING

    Bayern Munich Wako mbioni kuinasa Saini ya Nyota wa Crystal Palace Eberechi Eze

    Fahamu Eberechi Eze anakifungu cha kuuzwa cha £68m.

    #sportselite
    馃毃 BREAKING Bayern Munich Wako mbioni kuinasa Saini ya Nyota wa Crystal Palace Eberechi Eze 馃彺鬆仹鬆仮鬆仴鬆伄鬆仹鬆伩 Fahamu Eberechi Eze anakifungu cha kuuzwa cha £68m.馃挵 #sportselite
    Angry
    1
    0 Comments 0 Shares 6 Views
  • Yay
    1
    0 Comments 0 Shares 1 Views
  • OFFICIAL

    Uongozi wa klabu ya Manchester City umepunguza kwa asilimia 43% gharama za tiketi na punguzo Hilo litaanza kufanya kazi kuanzia michezo ya msimu ujao 2025/26.

    Hatua hii imekuja baada ya migomo kutoka kwa mashabiki wa klabu hiyo,wakidai Bei za tiketi zipunguzwe zilikuwa juu sana hasa kwa wale wanaonunua tiketi za msimu mzima.

    Tiketi zote zimepunguzwa Bei kuanzia za mechi Kwa mechi mpaka za msimu mzima...

    #sportselite
    OFFICIAL 馃數 Uongozi wa klabu ya Manchester City umepunguza kwa asilimia 43% gharama za tiketi na punguzo Hilo litaanza kufanya kazi kuanzia michezo ya msimu ujao 2025/26. Hatua hii imekuja baada ya migomo kutoka kwa mashabiki wa klabu hiyo,wakidai Bei za tiketi zipunguzwe zilikuwa juu sana hasa kwa wale wanaonunua tiketi za msimu mzima. Tiketi zote zimepunguzwa Bei kuanzia za mechi Kwa mechi mpaka za msimu mzima... #sportselite
    Love
    1
    0 Comments 0 Shares 13 Views
  • OFFICIAL

    Laliga wamethibitisha kuwa FC Barcelona wamekamilisha vibali vyote vya Golikipa wao mpya Joan Garcia na ataruhusiwa kuitumikia klabu hiyo msimu ujao 2025/26 bila ya kikwazo chochote.

    #sportselite
    OFFICIAL 馃敶 Laliga wamethibitisha kuwa FC Barcelona wamekamilisha vibali vyote vya Golikipa wao mpya Joan Garcia na ataruhusiwa kuitumikia klabu hiyo msimu ujao 2025/26 bila ya kikwazo chochote. #sportselite
    Love
    1
    0 Comments 0 Shares 3 Views
  • Love
    1
    0 Comments 0 Shares 4 Views
  • Inasemekana Mahojiano ya TAKUKURU na YANGA/TFF yanaendelea.

    Kwa nyakati tofauti viongozi wa TFF na Yanga wameitwa kuhojiwa kabla ya hatua nyingine.

    Sakata la pesa kati ya Yanga na TFF bado bichi.
    Inasemekana Mahojiano ya TAKUKURU na YANGA/TFF yanaendelea. Kwa nyakati tofauti viongozi wa TFF na Yanga wameitwa kuhojiwa kabla ya hatua nyingine. Sakata la pesa kati ya Yanga na TFF bado bichi. 鉁嶏笍
    0 Comments 0 Shares 7 Views
  • Yay
    1
    0 Comments 0 Shares 4 Views