• Katika mchezo wa Chelsea dhidi ya Los Angeles, kipindi cha pili cha mchezo kilicheleweshwa kwa dakika chache kwani Olivier Giroud hakuwa na jezi ya kuvaa

    Mshambuliaji wa Kifaransa alikuwa ameiacha jezi yake kwenye chumba cha kubadilishia nguo golikipa David Ochoa akaenda kuichukua

    #sportselite
    Katika mchezo wa Chelsea dhidi ya Los Angeles, kipindi cha pili cha mchezo kilicheleweshwa kwa dakika chache kwani Olivier Giroud hakuwa na jezi ya kuvaa 😅👕 Mshambuliaji wa Kifaransa alikuwa ameiacha jezi yake kwenye chumba cha kubadilishia nguo golikipa David Ochoa akaenda kuichukua 😅 #sportselite
    Wow
    1
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·12 Visualizações
  • Yay
    1
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·3 Visualizações
  • 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄: Hansi Flick amekubali usajiri wa NICO WILLIAMS kwenda Barça...
    🚨🚨 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄: Hansi Flick amekubali usajiri wa NICO WILLIAMS kwenda Barça... 💙❤️
    Angry
    1
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·4 Visualizações
  • BREAKING

    Bayern Munich Wako mbioni kuinasa Saini ya Nyota wa Crystal Palace Eberechi Eze

    Fahamu Eberechi Eze anakifungu cha kuuzwa cha £68m.

    #sportselite
    🚨 BREAKING Bayern Munich Wako mbioni kuinasa Saini ya Nyota wa Crystal Palace Eberechi Eze 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 Fahamu Eberechi Eze anakifungu cha kuuzwa cha £68m.💰 #sportselite
    Angry
    1
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·9 Visualizações
  • Yay
    1
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·2 Visualizações
  • OFFICIAL

    Uongozi wa klabu ya Manchester City umepunguza kwa asilimia 43% gharama za tiketi na punguzo Hilo litaanza kufanya kazi kuanzia michezo ya msimu ujao 2025/26.

    Hatua hii imekuja baada ya migomo kutoka kwa mashabiki wa klabu hiyo,wakidai Bei za tiketi zipunguzwe zilikuwa juu sana hasa kwa wale wanaonunua tiketi za msimu mzima.

    Tiketi zote zimepunguzwa Bei kuanzia za mechi Kwa mechi mpaka za msimu mzima...

    #sportselite
    OFFICIAL 🔵 Uongozi wa klabu ya Manchester City umepunguza kwa asilimia 43% gharama za tiketi na punguzo Hilo litaanza kufanya kazi kuanzia michezo ya msimu ujao 2025/26. Hatua hii imekuja baada ya migomo kutoka kwa mashabiki wa klabu hiyo,wakidai Bei za tiketi zipunguzwe zilikuwa juu sana hasa kwa wale wanaonunua tiketi za msimu mzima. Tiketi zote zimepunguzwa Bei kuanzia za mechi Kwa mechi mpaka za msimu mzima... #sportselite
    Love
    1
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·22 Visualizações
  • OFFICIAL

    Laliga wamethibitisha kuwa FC Barcelona wamekamilisha vibali vyote vya Golikipa wao mpya Joan Garcia na ataruhusiwa kuitumikia klabu hiyo msimu ujao 2025/26 bila ya kikwazo chochote.

    #sportselite
    OFFICIAL 🔴 Laliga wamethibitisha kuwa FC Barcelona wamekamilisha vibali vyote vya Golikipa wao mpya Joan Garcia na ataruhusiwa kuitumikia klabu hiyo msimu ujao 2025/26 bila ya kikwazo chochote. #sportselite
    Love
    1
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·6 Visualizações
  • Love
    1
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·5 Visualizações
  • Inasemekana Mahojiano ya TAKUKURU na YANGA/TFF yanaendelea.

    Kwa nyakati tofauti viongozi wa TFF na Yanga wameitwa kuhojiwa kabla ya hatua nyingine.

    Sakata la pesa kati ya Yanga na TFF bado bichi.
    Inasemekana Mahojiano ya TAKUKURU na YANGA/TFF yanaendelea. Kwa nyakati tofauti viongozi wa TFF na Yanga wameitwa kuhojiwa kabla ya hatua nyingine. Sakata la pesa kati ya Yanga na TFF bado bichi. ✍️
    0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·11 Visualizações
  • Yay
    1
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·5 Visualizações