0 Σχόλια
·0 Μοιράστηκε
·125 Views
-
-
𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Chelsea ipo karibu kukamilisha uhamisho wa Jamie Bynoe-Gittens deal kutoka BVB ⚡️
#sportselite🚨 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Chelsea ipo karibu kukamilisha uhamisho wa Jamie Bynoe-Gittens deal kutoka BVB 💙⚡️ #sportselite0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·131 Views -
𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Barcelona inafikiria kumuongezea mkataba kiungo wao Frenkie de Jong ndani ya wiki hii
#sportselite🚨🚨 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Barcelona inafikiria kumuongezea mkataba kiungo wao Frenkie de Jong ndani ya wiki hii👀💙❤️ #sportselite0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·233 Views -
-
| BREAKING:
Barcelona wako kwenye mazungumzo ya hali ya juu kuhakikisha wanamsajili Zé Lucas, mmoja wa vijana wanaovuma zaidi nchini Brazil.
Kiungo wa kati mwenye umri wa miaka 17 anachezea Sport Recife.
Makubaliano ya mwisho kati ya pande zote yanatarajiwa hivi karibuni.
— Felix Diaz | Marca
#sportselite🚨| BREAKING: Barcelona wako kwenye mazungumzo ya hali ya juu kuhakikisha wanamsajili Zé Lucas, mmoja wa vijana wanaovuma zaidi nchini Brazil. Kiungo wa kati mwenye umri wa miaka 17 anachezea Sport Recife. Makubaliano ya mwisho kati ya pande zote yanatarajiwa hivi karibuni. — Felix Diaz | Marca 🥇 #sportselite0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·414 Views