0 Comments
·0 Shares
·1 Views
-
-
Uongozi wa klabu ya Paris Saint-Germain umeamua kutoa kiasi cha €50m kwa ajili ya kusaidia harakati za kuinusuru klabu ya Olympique Lyonnaise isishushwe daraja kutoka Ligue 1 mpaka Ligue 2.
Siku chache zilizopita DNCG ilitangaza rasmi kuishusha daraja klabu ya Olympique Lyonnaise mara baada ya kushindwa kulipa madeni wanayodaiwa.
PSG imejipanga kulipa madeni Yao na wadau wengine wapo tayari kujitolea kulipa madeni yote Ili Klabu hiyo iendelee kusalia Ligue 1.
Sababu kuu ya PSG kuisaidia klabu ya Lyonnaise ni kutokana na klabu hiyo kuwauzia Bradley Barcola ambae mpaka Sasa ni mchezaji tegemezi katika kikosi Cha kwanza Cha PSG.
#sportseliteUongozi wa klabu ya Paris Saint-Germain umeamua kutoa kiasi cha €50m kwa ajili ya kusaidia harakati za kuinusuru klabu ya Olympique Lyonnaise isishushwe daraja kutoka Ligue 1 mpaka Ligue 2. Siku chache zilizopita DNCG ilitangaza rasmi kuishusha daraja klabu ya Olympique Lyonnaise mara baada ya kushindwa kulipa madeni wanayodaiwa. PSG imejipanga kulipa madeni Yao na wadau wengine wapo tayari kujitolea kulipa madeni yote Ili Klabu hiyo iendelee kusalia Ligue 1. Sababu kuu ya PSG kuisaidia klabu ya Lyonnaise ni kutokana na klabu hiyo kuwauzia Bradley Barcola ambae mpaka Sasa ni mchezaji tegemezi katika kikosi Cha kwanza Cha PSG. #sportselite0 Comments ·0 Shares ·7 Views -
0 Comments ·0 Shares ·3 Views
-
0 Comments ·0 Shares ·3 Views
-
0 Comments ·0 Shares ·3 Views
-
Newcastle United wanapanga kuongeza ofa yao kwa Brighton Joao Pedro baada ya ofa ya £50m kukataliwa
(Source: talkSPORT)
#sportseliteNewcastle United wanapanga kuongeza ofa yao kwa Brighton Joao Pedro baada ya ofa ya £50m kukataliwa (Source: talkSPORT) #sportselite0 Comments ·0 Shares ·3 Views -
Eberechi Eze anaamini huwenda akaondoka majira haya na vilabu kama Tottenham na Arsenal vinamuwinda mwamba huyo
(Source: TBR Football)
#sportselite🚨 Eberechi Eze anaamini huwenda akaondoka majira haya na vilabu kama Tottenham na Arsenal vinamuwinda mwamba huyo (Source: TBR Football) #sportselite0 Comments ·0 Shares ·2 Views -
Leeds United imefungua mazungumzo na Juventus ikimuhitaji kiungo Douglas Luiz.
(Source: Calciomercato)
#sportselite🚨 Leeds United imefungua mazungumzo na Juventus ikimuhitaji kiungo Douglas Luiz. (Source: Calciomercato) #sportselite0 Comments ·0 Shares ·2 Views -
Manchester United, Newcastle United na Tottenham wanapigana vikumbo kuisaka saini ya Antoine Semenyo na Bournemouth wanahitaji £70m kama ada ya uhamisho
(Source: The i)🚨 Manchester United, Newcastle United na Tottenham wanapigana vikumbo kuisaka saini ya Antoine Semenyo na Bournemouth wanahitaji £70m kama ada ya uhamisho (Source: The i)0 Comments ·0 Shares ·5 Views