·259 Views
Bedrijvengids
Share your ideas, Make money with Social Pop, enjoy on our lager village
-
-
𝐇𝐄𝐑𝐄 𝐖𝐄 𝐆𝐎! Chelsea imefikia makubaliano na Dortmund kuipata saini ya Jamie-Bynoe Gittens na atakuwa tayari kwaajiri ya kufanyiwa vipimo vya afya,
Mkataba wa Bynoe-Gittens utadumu hadi 𝐉𝐮𝐧𝐞 𝟐𝟎𝟑𝟐 ⭐️🚨 𝐇𝐄𝐑𝐄 𝐖𝐄 𝐆𝐎! Chelsea imefikia makubaliano na Dortmund kuipata saini ya Jamie-Bynoe Gittens na atakuwa tayari kwaajiri ya kufanyiwa vipimo vya afya, Mkataba wa Bynoe-Gittens utadumu hadi 𝐉𝐮𝐧𝐞 𝟐𝟎𝟑𝟐 💙 ⭐️·275 Views -
AC Milan imefikia makubaliano na Torino kumuhitaji Samuele Ricci kwa ada €25m na kandarasi ya miaka 5
(Source: @MatteMoretto)
#sportselite🚨 AC Milan imefikia makubaliano na Torino kumuhitaji Samuele Ricci kwa ada €25m na kandarasi ya miaka 5 (Source: @MatteMoretto) #sportselite·110 Views -
Arsenal iko mbioni kulipa kiasi cha €21m-€22m kwa Valencia kumpata Mosquera
Arsenal imeshamalizana na mchezaji na wako tayari kumpa mkataba hadi 2030Arsenal iko mbioni kulipa kiasi cha €21m-€22m kwa Valencia kumpata Mosquera Arsenal imeshamalizana na mchezaji na wako tayari kumpa mkataba hadi 2030·138 Views -
Filip Kostic ataondoka Juventus baada ya mkataba wake wa mkopo kutamatika Fenerbahce.
Atalanta wako kwa ukaribu zaidi kuinasa saini ya kinara huyo Filip Kostic mbele ya Roma na Bologna.
(Source: Football Italia)
#sportselite🚨 Filip Kostic ataondoka Juventus baada ya mkataba wake wa mkopo kutamatika Fenerbahce. Atalanta wako kwa ukaribu zaidi kuinasa saini ya kinara huyo Filip Kostic mbele ya Roma na Bologna. (Source: Football Italia) #sportselite·434 Views -
🚨 Liverpool FC iko mbioni kukamilisha usajiri wa Marc Guehi (Source: Mirror) #sportselite·194 Views
-
🚨 Sunderland imefanya mazungumzo na Matteo Guendouzi. (Source: @FabriceHawkins) #sportselite·225 Views
-
𝐇𝐄𝐑𝐄 𝐖𝐄 𝐆𝐎! Inter imefikia makubaliano ya kumsajiri straika Yoan-Ange Bonny kutoka Parma
Parma itapokea €23m na nyongeza €3m ili kukamilisha dili hilo.
#sportselite🚨 𝐇𝐄𝐑𝐄 𝐖𝐄 𝐆𝐎! Inter imefikia makubaliano ya kumsajiri straika Yoan-Ange Bonny kutoka Parma 🖤💙🇫🇷 Parma itapokea €23m na nyongeza €3m ili kukamilisha dili hilo. ✅ #sportselite·132 Views