0 Commentarii
·0 Distribuiri
·10 Views
-
𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Real Madrid inatarajia kukamilisha uhamisho wa Álvaro Carreras’ mwezi huu...
@TheAthleticFC
#SportsElite🚨 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Real Madrid inatarajia kukamilisha uhamisho wa Álvaro Carreras’ mwezi huu... @TheAthleticFC #SportsElite0 Commentarii ·0 Distribuiri ·8 Views -
-
"its not over yet,,,Jotaaa.....its Diogo Jotaaa 4:3"
Sio shabiki wa Liverpool lakini huwa nakumbuka sana hiyo comeback na kwenye maiki alikuwa Peter Dury.
Rest in peace Diogo Jota now is over😭😭"its not over yet,,,Jotaaa.....its Diogo Jotaaa 4:3" Sio shabiki wa Liverpool lakini huwa nakumbuka sana hiyo comeback na kwenye maiki alikuwa Peter Dury. Rest in peace Diogo Jota now is over 👋0 Commentarii ·0 Distribuiri ·4 Views -
Kiungo wazamani wa FC Barcelona na Sevilla za Hispania ametangaza kustafu Soka akiwa na Umri wa miaka 37, Barcelona na Sevilla ndizo club alizo cheza Kwa mafanikio .
Tutamkumbuka Kwa kua kiungo pekee wa Barcelona Alie kua ana uthubutu wa kupiga Mashuti nje ya box Kwa Ile Barcelona ya Tick-Tack .
#SportsElite🚨✅Kiungo wazamani wa FC Barcelona na Sevilla za Hispania ametangaza kustafu Soka akiwa na Umri wa miaka 37, Barcelona na Sevilla ndizo club alizo cheza Kwa mafanikio .✅ Tutamkumbuka Kwa kua kiungo pekee wa Barcelona Alie kua ana uthubutu wa kupiga Mashuti nje ya box Kwa Ile Barcelona ya Tick-Tack ☑️. #SportsElite0 Commentarii ·0 Distribuiri ·3 Views -
-
#SportsElite
- Baada ya kusubiriwa kwa muda mrefu, hatimaye mshambuliaji hatari wa klabu ya Inter Miami pamoja Nahodha wa timu ya Taifa ya Argentina, Leo Messi.. kupitia katika Ukurasa wake wa Instagram (@leomessi) ‘FIFA BOY’ ame-share picha ya Diogo Jota, ikiwa ni ishara ya KUGUSWA moja kwa moja na msiba huu mzito katika soka. Kudos Legend..!
.
.
- Hakika kwa kuondokewa na mtu kama Diogo Jota, itoshe kusema familia ya mpira tumepata pigo kubwa haswa! 🥹!
.
.
…Endelea kupumzika, Diogo Jota. 🕊#SportsElite - Baada ya kusubiriwa kwa muda mrefu, hatimaye mshambuliaji hatari wa klabu ya Inter Miami pamoja Nahodha wa timu ya Taifa ya Argentina, Leo Messi.. kupitia katika Ukurasa wake wa Instagram (@leomessi) ‘FIFA BOY’ ame-share picha ya Diogo Jota, ikiwa ni ishara ya KUGUSWA moja kwa moja na msiba huu mzito katika soka. Kudos Legend..! 🤝 . . - Hakika kwa kuondokewa na mtu kama Diogo Jota, itoshe kusema familia ya mpira tumepata pigo kubwa haswa! 🥹! . . …Endelea kupumzika, Diogo Jota. 🕊0 Commentarii ·0 Distribuiri ·52 Views -
0 Commentarii ·0 Distribuiri ·2 Views
-
-
0 Commentarii ·0 Distribuiri ·3 Views