• 𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: Chelsea imekamilisha usajiri wa Jamie Gittens (20) kutoka Borussia Dortmund! ⚡️

    Ada ya uhamisho £48.5m na nyongeza ya £3.5m,
    @EnochArthur.

    #SportsElite
    🚨🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: Chelsea imekamilisha usajiri wa Jamie Gittens (20) kutoka Borussia Dortmund! ⚡️🔵 Ada ya uhamisho £48.5m na nyongeza ya £3.5m, @EnochArthur. #SportsElite
    0 Commentarios ·0 Acciones ·134 Views
  • 𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: Birmingham City FC imemalizana na Demarai Gray (29) kutoka Al-Ettifaq. ⚪️

    #SportsElite
    🇯🇲 𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: Birmingham City FC imemalizana na Demarai Gray (29) kutoka Al-Ettifaq. 🔵⚪️✨ #SportsElite
    0 Commentarios ·0 Acciones ·100 Views
  • Manchester United inaamini usajili wa Bryan Mbeumo utakamilika siku chache

    Lakini Brentford inahitaji kiasi cha £65M.

    (Source: Daily Mail Sport)

    #SportsElite
    🚨 Manchester United inaamini usajili wa Bryan Mbeumo utakamilika siku chache Lakini Brentford inahitaji kiasi cha £65M. (Source: Daily Mail Sport) #SportsElite
    0 Commentarios ·0 Acciones ·94 Views
  • Ni rasmi Thomas Muller anastaafu soka miaka 35

    7⃣5⃣6⃣ Michezo.
    2⃣5⃣0⃣ Magoli.
    2⃣7⃣6⃣ Pasi za usaidizi.
    3⃣3⃣ Makombe.
    Ni rasmi Thomas Muller anastaafu soka miaka 35❤️🤍🐐 👕7⃣5⃣6⃣ Michezo. ⚽2⃣5⃣0⃣ Magoli. 🅰️2⃣7⃣6⃣ Pasi za usaidizi. 🏆🇩🇪3⃣3⃣ Makombe.
    0 Commentarios ·0 Acciones ·160 Views
  • Real Madrid na AC Milan zimeingia kwenye vita ya kuiwania saini ya Destiny Udogie, na Tottenham wanahitaji kiasi cha €60M.

    (Source: @TheBoyHotspur)

    #SportsElite
    🚨 Real Madrid na AC Milan zimeingia kwenye vita ya kuiwania saini ya Destiny Udogie, na Tottenham wanahitaji kiasi cha €60M. (Source: @TheBoyHotspur) #SportsElite
    0 Commentarios ·0 Acciones ·245 Views
  • Xabi Alonso anaamini Real Madrid isipo ziba pengo LA Luka Modrić au Toni Kroos huwenda wakapitia nyakati ngumu kwenye ushindani na mbadala huo amependekeza jina la kiungo wa PSG Vitinha...

    (Source: Defensa Central)

    #SportsElite
    🚨 Xabi Alonso anaamini Real Madrid isipo ziba pengo LA Luka Modrić au Toni Kroos huwenda wakapitia nyakati ngumu kwenye ushindani na mbadala huo amependekeza jina la kiungo wa PSG Vitinha... (Source: Defensa Central) #SportsElite
    0 Commentarios ·0 Acciones ·256 Views
  • Jack Grealish ataondoka Manchester City kwa ada ya £40m kama itapatikana dili..

    (Source: Manchester Evening News)

    #SportsElite
    🚨 Jack Grealish ataondoka Manchester City kwa ada ya £40m kama itapatikana dili.. (Source: Manchester Evening News) #SportsElite
    0 Commentarios ·0 Acciones ·240 Views
  • La kihistoria! Lionel Andrés Messi Cuccittini sasa ndiye mfungaji bora na mtoa asisti wa muda wote katika klabu ya Inter Miami, akiwa na mabao 52 na pasi 29 za mabao!

    🏟 Mechi: 63
    ⚽️ Mabao: 52
    Pasi za mabao: 29

    Takwimu za Messi katika taaluma yake:

    Mechi: 1108
    ⚽️ Mabao: 868
    Pasi za mabao: 385
    Mchango wa goli kwa kila mechi: 1.13

    Bila shaka, ni mchezaji bora zaidi kuwahi kutokea.

    #SportsElite
    La kihistoria! 🤯 Lionel Andrés Messi Cuccittini sasa ndiye mfungaji bora na mtoa asisti wa muda wote katika klabu ya Inter Miami, akiwa na mabao 52 na pasi 29 za mabao! 🐐 🏟 Mechi: 63 ⚽️ Mabao: 52 🎯 Pasi za mabao: 29 Takwimu za Messi katika taaluma yake: ✅ Mechi: 1108 ⚽️ Mabao: 868 🅰️ Pasi za mabao: 385 🔥 Mchango wa goli kwa kila mechi: 1.13 Bila shaka, ni mchezaji bora zaidi kuwahi kutokea. 🐐 #SportsElite
    0 Commentarios ·0 Acciones ·422 Views
  • Focus on predicting your future
    Focus on predicting your future 🎯
    0 Commentarios ·0 Acciones ·113 Views
  • 0 Commentarios ·0 Acciones ·140 Views