نتائج البحث
عرض كل النتائج
Socialpop Socialpop Socialpop
الرئيسية
المجموعات
الصفحات
سوق المنتجات
شاهد المزيد
المجموعات الصفحات سوق المنتجات المناسبات المدونات التمويل مفاوضاتي وظائف Courses المنتديات الافلام
انضم إلينا
تسجيل الدخول تسجيل
Theme Switcher
الوضع المظلم
الدليل
المستخدمون
المنشورات
الصفحات
المجموعات
المناسبات
  • Ring Login @ringcamlogn أضاف وظيفة جديدة in Networking
    2025-07-14 06:32:27 ·
    How Do I Setup Ring Doorbell?
    Installing a Ring Doorbell to upgrade a home security system is considered a smart option. If you are upgrading from the old security system or setting a new one, then the Ring Doorbell setup exists in a simple and efficient manner. Follow the easy steps below to start: 1. Charge and Power On During the Ring Doorbell Setup process, it is advised to have the battery fully charged before starting...
    0 التعليقات ·0 المشاركات ·79 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Headache Doctor in Jaipur: Finding Relief When Pain Disrupts Life @swasthyaclinic تحديث صورة الصفحة
    2025-07-14 06:35:01 ·
    0 التعليقات ·0 المشاركات ·39 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Headache Doctor in Jaipur: Finding Relief When Pain Disrupts Life @swasthyaclinic قام بتحديث صورة الغلاف
    2025-07-14 06:35:31 ·
    0 التعليقات ·0 المشاركات ·38 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Rahul Mathur @swasthyaclinic أضاف وظيفة جديدة in Health
    2025-07-14 06:40:15 ·
    Headache Doctor in Jaipur: Finding Relief When Pain Disrupts Life
    If you’ve ever felt a pounding ache behind your eyes, a tight band squeezing your temples, or a sudden stabbing pain in your head, you’re not alone. Headaches are among the most common reasons people visit clinics in Jaipur. But here’s the truth: you don’t have to suffer in silence. Seeing a skilled Headache Doctor in Jaipur can help you get to the root cause of your...
    0 التعليقات ·0 المشاركات ·68 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Dynamic Mechanics @dynamicmobilemechanics أضاف صورة
    2025-07-14 06:45:51 ·
    Reliable Mobile Mechanics Western Sydney | Onsite Car Repairs & Servicing Near You
    Need expert mobile mechanics in Western Sydney? Get fast, affordable car repairs and servicing at your location. Our trusted mobile mechanics bring tools and expertise to your doorstep—book your appointment today.

    Visit Now :- https://dynamicmobilemechanics.com.au/about-us/
    Reliable Mobile Mechanics Western Sydney | Onsite Car Repairs & Servicing Near You Need expert mobile mechanics in Western Sydney? Get fast, affordable car repairs and servicing at your location. Our trusted mobile mechanics bring tools and expertise to your doorstep—book your appointment today. Visit Now :- https://dynamicmobilemechanics.com.au/about-us/
    0 التعليقات ·0 المشاركات ·97 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Buildneweden Ministry @sikilizaS
    2025-07-14 07:33:57 ·
    Mambo kumi muhimu ambayo ukiyafuata yatakupa mafanikio .

    1.Mafanikio ni kanuni na moja ya kanuni ni uzalishaji.*law of production*

    #Mathayo 25:14-30.
    Kwa kanuni kabla ujala kabisa pesa yoyote lazima uzalishe kwanza.

    2.Kuokoka bila kanuni za mafanikio *law of multiplying* hakuzuii kufa masikini.

    #Wafalme 4:1-7
    Unaweza kuwa unatoa pepi na unamcha sana Mungu lakini bado ukafa masikini.

    3.Mafanikio yanategemea sana uwezo wako ulio nao ,usipo kuwa na uwezo uwezi kufanikiwa

    #waamuzi 6:14

    4.ili Mungu akufanikishe akukute na kitu cha kuanzia .

    #2wafalme 4:2
    Mafanikio yake au ulipaji madeni ulianzia katika chupa ya mafuta.

    5.Utajiri ni nguvu anayo kupa Bwana ili aimaliahe agano na wewe.

    #Ndipo utamkumbuka Bwana Mungu wako akupaye nguvu ya kuupata utajiri.

    6.Akuna aliye fanikiwa arafu atoi fungu la kumi.

    Ibrahimu alikuwa mtu wa kwanza kabisa na alifanikiwa ndiye aliye anza kutoa fungu la kumi.

    Matajiri wote duniani wanajua siri ya hii na wanatoa either kwa waganga au kwa Mungu.
    #Malaki 3:10

    7.Mafanikio ya mtu yamebebwa ndani ya kitu kinacho itwa baraka ya Bwana.

    #Mithali 10:22

    8.Mafanikio yategemea sana na akiba unayo weka kipindi unacho .

    Yesu mwenyewe alijua hilo baada ya muujiza wa mikate mitano na samaki wawili bado aliwambia wakusanye vipande vilivyo baki.

    9.mafanikio mara zote yanategemea sana na aina ya watu ulio chagua kuambatana nao.

    Mwana mpotevu aliambatana na watu waovyo akatapanya mali zote na akaanza kujiona sawa na nguruwe.

    Ko kumbe kabla ujaomba mali omba Mungu akupe watu wa maana.

    #isaya 43:4

    10.Mafanikio yote yanaanzia katika mawazo ndiko chimbuko la umasikini au utajiri .

    #Kwa maana ajionavyo mtu nafsini mwake ndivyo alivyo.

    All in all mawazo ya mungu kwako ni kukufanya ufanikiwe ila bahati mbaya wewe ndiye una kiuka taratibu.
    #yeremia 29:11

    Kama unapenda kuendelea kujifunza tuma neno Add kwa namba 0622625340

    Ili uendelee kujifunza katika group zetu .

    Ahsante sana naitwa sylvester Mwakabende kutoka (build new eden ministry)
    #build new eden
    #Restore men position
    Mambo kumi muhimu ambayo ukiyafuata yatakupa mafanikio . 1.Mafanikio ni kanuni na moja ya kanuni ni uzalishaji.*law of production* #Mathayo 25:14-30. Kwa kanuni kabla ujala kabisa pesa yoyote lazima uzalishe kwanza. 2.Kuokoka bila kanuni za mafanikio *law of multiplying* hakuzuii kufa masikini. #Wafalme 4:1-7 Unaweza kuwa unatoa pepi na unamcha sana Mungu lakini bado ukafa masikini. 3.Mafanikio yanategemea sana uwezo wako ulio nao ,usipo kuwa na uwezo uwezi kufanikiwa #waamuzi 6:14 4.ili Mungu akufanikishe akukute na kitu cha kuanzia . #2wafalme 4:2 Mafanikio yake au ulipaji madeni ulianzia katika chupa ya mafuta. 5.Utajiri ni nguvu anayo kupa Bwana ili aimaliahe agano na wewe. #Ndipo utamkumbuka Bwana Mungu wako akupaye nguvu ya kuupata utajiri. 6.Akuna aliye fanikiwa arafu atoi fungu la kumi. Ibrahimu alikuwa mtu wa kwanza kabisa na alifanikiwa ndiye aliye anza kutoa fungu la kumi. Matajiri wote duniani wanajua siri ya hii na wanatoa either kwa waganga au kwa Mungu. #Malaki 3:10 7.Mafanikio ya mtu yamebebwa ndani ya kitu kinacho itwa baraka ya Bwana. #Mithali 10:22 8.Mafanikio yategemea sana na akiba unayo weka kipindi unacho . Yesu mwenyewe alijua hilo baada ya muujiza wa mikate mitano na samaki wawili bado aliwambia wakusanye vipande vilivyo baki. 9.mafanikio mara zote yanategemea sana na aina ya watu ulio chagua kuambatana nao. Mwana mpotevu aliambatana na watu waovyo akatapanya mali zote na akaanza kujiona sawa na nguruwe. Ko kumbe kabla ujaomba mali omba Mungu akupe watu wa maana. #isaya 43:4 10.Mafanikio yote yanaanzia katika mawazo ndiko chimbuko la umasikini au utajiri . #Kwa maana ajionavyo mtu nafsini mwake ndivyo alivyo. All in all mawazo ya mungu kwako ni kukufanya ufanikiwe ila bahati mbaya wewe ndiye una kiuka taratibu. #yeremia 29:11 Kama unapenda kuendelea kujifunza tuma neno Add kwa namba 0622625340 Ili uendelee kujifunza katika group zetu . Ahsante sana naitwa sylvester Mwakabende kutoka (build new eden ministry) #build new eden #Restore men position
    0 التعليقات ·0 المشاركات ·187 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Breath Clinic @breathclinic تحديث صورة الملف الشخصي
    2025-07-14 09:14:26 ·
    0 التعليقات ·0 المشاركات ·35 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Sports Elite @baraka24 أضاف صورة
    2025-07-14 09:21:19 ·
    Manchester United inavutiwa na kinda wa Manchester City Tyrese Noubissie 16

    Alijiunga Man City 2023 kwa ada ya £1M.

    (Source: @StevenRailston)

    #SportsElite
    🚨 Manchester United inavutiwa na kinda wa Manchester City Tyrese Noubissie 16 Alijiunga Man City 2023 kwa ada ya £1M. (Source: @StevenRailston) #SportsElite
    0 التعليقات ·0 المشاركات ·87 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Sports Elite @baraka24 أضاف صورة
    2025-07-14 09:24:30 ·
    Inataarifiwa kuwa Jakub Kiwior ataondoka Arsenal dirisha hili.
    🚨💣 Inataarifiwa kuwa Jakub Kiwior ataondoka Arsenal dirisha hili. 💯🔐
    0 التعليقات ·0 المشاركات ·74 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Sports Elite @baraka24 أضاف صورة
    2025-07-14 09:28:33 ·
    Alejandro Garnacho amekataa uhamisho kwenda Al Nassr kwa sababu anapendelea kusalia barani Ulaya.

    (Chanzo: Telegraph)

    #SportsElite
    🚨Alejandro Garnacho amekataa uhamisho kwenda Al Nassr kwa sababu anapendelea kusalia barani Ulaya. (Chanzo: Telegraph) #SportsElite
    0 التعليقات ·0 المشاركات ·93 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • عرض (26051-26060 من 26187)
  • «
  • السابق
  • 2604
  • 2605
  • 2606
  • 2607
  • 2608
  • التالي
  • »
ترقية الحساب
اختر الخطة التي تناسبك
ترقية
© 2025 Socialpop
Arabic
English Arabic French Spanish Portuguese Deutsch Turkish Dutch Italiano Russian Romaian Portuguese (Brazil) Greek
الشروط الخصوصية اتصل بنا الدليل المطوريين