- Mshambuliaji Freddy Michael Kouablan 🇨🇮 amejiunga na klabu ya USM Alger
akitokea Simba SC
USM Alger
imemsajili mshambuliaji huyo baada ya kuachana na mshambuliaji wao Leonel Ateba
#paulswai
- Mshambuliaji Freddy Michael Kouablan 🇨🇮 amejiunga na klabu ya USM Alger 🇩🇿 akitokea Simba SC 🇹🇿
➡️ USM Alger 🇩🇿 imemsajili mshambuliaji huyo baada ya kuachana na mshambuliaji wao Leonel Ateba 🇨🇲 #paulswai