• BREAKING: Nottingham Forest
    imekamilisha usajili wa Dan Ndoye kutoka Bologna kwa kiasi cha £34m

    #SportsElite
    🚨🚨BREAKING: Nottingham Forest imekamilisha usajili wa Dan Ndoye kutoka Bologna kwa kiasi cha £34m ✅🌳 #SportsElite
    0 Kommentare ·0 Anteile ·9 Ansichten
  • Tottenham Hotspur iko kwenye majadiliano na Bayern Munich juu ya uhamisho wa Joao Palhinha ⚪️

    #SportsElite
    Tottenham Hotspur iko kwenye majadiliano na Bayern Munich juu ya uhamisho wa Joao Palhinha ✍️⚪️ #SportsElite
    0 Kommentare ·0 Anteile ·6 Ansichten
  • Watu wako serious huku pre-season
    🎯🎯Watu wako serious huku pre-season
    0 Kommentare ·0 Anteile ·5 Ansichten
  • Nyota wa Newcastle united Alexander Isak anafanya mazoezi katika vituo vya klabu yake ya zamani ya Real Sociedad huku akiuguza jeraha dogo la paja.

    Hadi kufikia sasa mustakabali wake na Newcastle bado haujulikani baada ya Isak kuweka wazi kuwa anataka kuondoka klabuni hapo.

    (Chanzo: Daily Mail Sport)

    #SportsElite
    🚨🚨Nyota wa Newcastle united Alexander Isak anafanya mazoezi katika vituo vya klabu yake ya zamani ya Real Sociedad huku akiuguza jeraha dogo la paja. Hadi kufikia sasa mustakabali wake na Newcastle bado haujulikani baada ya Isak kuweka wazi kuwa anataka kuondoka klabuni hapo. (Chanzo: Daily Mail Sport) #SportsElite
    0 Kommentare ·0 Anteile ·6 Ansichten
  • #CONFIRMED;Ligi kuu Tanzania Nbc premier league inatarajiwa kuanza September 16,2025

    #NBCPremierLeague #Tff #BodiYaLigi

    #SportsElite
    🚨#CONFIRMED;Ligi kuu Tanzania Nbc premier league inatarajiwa kuanza September 16,2025 #NBCPremierLeague #Tff #BodiYaLigi #SportsElite
    0 Kommentare ·0 Anteile ·10 Ansichten
  • Klabu ya Chelsea imefikia makubaliano ya kumsajili beki Jorrel Hato kwa ada ya uhamisho ya Euro milioni 40 akitokea Ajax Amsterdam ya Nchini Uholanzi.

    Hato (19) raia wa Uholanzi ambaye anamudu kucheza kama beki wa kati na beki wa kushoto amekubali kusaini mkataba wa miaka 7 utakaombakisha klabuni hapo mpana Juni 2032.

    #SportsElite
    🚨🚨Klabu ya Chelsea imefikia makubaliano ya kumsajili beki Jorrel Hato kwa ada ya uhamisho ya Euro milioni 40 akitokea Ajax Amsterdam ya Nchini Uholanzi. Hato (19) raia wa Uholanzi ambaye anamudu kucheza kama beki wa kati na beki wa kushoto amekubali kusaini mkataba wa miaka 7 utakaombakisha klabuni hapo mpana Juni 2032. #SportsElite
    0 Kommentare ·0 Anteile ·8 Ansichten
  • MORICE ABRAHAM NI MNYAMA KWENYE MBUGA YA BUNJU

    Ni yule Kiungo mdambwi dambwi mBongo aliyekuwa nje huko

    Alianza mazoezi na Simba kabla ligi haijaisha…!

    Anajua boli

    #SportsElite
    🚨MORICE ABRAHAM NI MNYAMA KWENYE MBUGA YA BUNJU Ni yule Kiungo mdambwi dambwi mBongo aliyekuwa nje huko✅ Alianza mazoezi na Simba kabla ligi haijaisha…! Anajua boli ✅ #SportsElite
    0 Kommentare ·0 Anteile ·6 Ansichten
  • 𝐇𝐄𝐑𝐄 𝐖𝐄 𝐆𝐎! Sunderland imefikia makubaliano ya kumsaini Marc Guiu kwa mkopo akitokea Chelsea

    #SportsElite
    🚨 𝐇𝐄𝐑𝐄 𝐖𝐄 𝐆𝐎! Sunderland imefikia makubaliano ya kumsaini Marc Guiu kwa mkopo akitokea Chelsea ❤️🤍🇪🇸 #SportsElite
    0 Kommentare ·0 Anteile ·10 Ansichten
  • 𝗗𝗘𝗔𝗟 𝗗𝗢𝗡𝗘: Serge Aurier amejiunga na Persepolis FCya Iran kwa mkataba wa miaka 2. 🇨🇮

    (Source: FC Persepolis)

    📝 𝗗𝗘𝗔𝗟 𝗗𝗢𝗡𝗘: Serge Aurier amejiunga na Persepolis FCya Iran kwa mkataba wa miaka 2. 🇨🇮🇮🇷 (Source: FC Persepolis)
    0 Kommentare ·0 Anteile ·7 Ansichten
  • BREAKING: Pierre Emerick-Aubameyang amerejea tena Marseille kama mchezaji huru baada ya mkataba wake kutamatika Al Qadisah

    #SportsElite
    🚨🚨BREAKING: Pierre Emerick-Aubameyang amerejea tena Marseille kama mchezaji huru baada ya mkataba wake kutamatika Al Qadisah 📝✅ #SportsElite
    0 Kommentare ·0 Anteile ·8 Ansichten