• BREAKING: Nottingham Forest
    imekamilisha usajili wa Dan Ndoye kutoka Bologna kwa kiasi cha £34m

    #SportsElite
    ๐Ÿšจ๐ŸšจBREAKING: Nottingham Forest imekamilisha usajili wa Dan Ndoye kutoka Bologna kwa kiasi cha £34m โœ…๐ŸŒณ #SportsElite
    0 Reacties ยท0 aandelen ยท21 Views
  • Tottenham Hotspur iko kwenye majadiliano na Bayern Munich juu ya uhamisho wa Joao Palhinha โšช๏ธ

    #SportsElite
    Tottenham Hotspur iko kwenye majadiliano na Bayern Munich juu ya uhamisho wa Joao Palhinha โœ๏ธโšช๏ธ #SportsElite
    0 Reacties ยท0 aandelen ยท9 Views
  • Watu wako serious huku pre-season
    ๐ŸŽฏ๐ŸŽฏWatu wako serious huku pre-season
    0 Reacties ยท0 aandelen ยท8 Views
  • Nyota wa Newcastle united Alexander Isak anafanya mazoezi katika vituo vya klabu yake ya zamani ya Real Sociedad huku akiuguza jeraha dogo la paja.

    Hadi kufikia sasa mustakabali wake na Newcastle bado haujulikani baada ya Isak kuweka wazi kuwa anataka kuondoka klabuni hapo.

    (Chanzo: Daily Mail Sport)

    #SportsElite
    ๐Ÿšจ๐ŸšจNyota wa Newcastle united Alexander Isak anafanya mazoezi katika vituo vya klabu yake ya zamani ya Real Sociedad huku akiuguza jeraha dogo la paja. Hadi kufikia sasa mustakabali wake na Newcastle bado haujulikani baada ya Isak kuweka wazi kuwa anataka kuondoka klabuni hapo. (Chanzo: Daily Mail Sport) #SportsElite
    0 Reacties ยท0 aandelen ยท9 Views
  • #CONFIRMED;Ligi kuu Tanzania Nbc premier league inatarajiwa kuanza September 16,2025

    #NBCPremierLeague #Tff #BodiYaLigi

    #SportsElite
    ๐Ÿšจ#CONFIRMED;Ligi kuu Tanzania Nbc premier league inatarajiwa kuanza September 16,2025 #NBCPremierLeague #Tff #BodiYaLigi #SportsElite
    0 Reacties ยท0 aandelen ยท26 Views
  • Klabu ya Chelsea imefikia makubaliano ya kumsajili beki Jorrel Hato kwa ada ya uhamisho ya Euro milioni 40 akitokea Ajax Amsterdam ya Nchini Uholanzi.

    Hato (19) raia wa Uholanzi ambaye anamudu kucheza kama beki wa kati na beki wa kushoto amekubali kusaini mkataba wa miaka 7 utakaombakisha klabuni hapo mpana Juni 2032.

    #SportsElite
    ๐Ÿšจ๐ŸšจKlabu ya Chelsea imefikia makubaliano ya kumsajili beki Jorrel Hato kwa ada ya uhamisho ya Euro milioni 40 akitokea Ajax Amsterdam ya Nchini Uholanzi. Hato (19) raia wa Uholanzi ambaye anamudu kucheza kama beki wa kati na beki wa kushoto amekubali kusaini mkataba wa miaka 7 utakaombakisha klabuni hapo mpana Juni 2032. #SportsElite
    0 Reacties ยท0 aandelen ยท14 Views
  • MORICE ABRAHAM NI MNYAMA KWENYE MBUGA YA BUNJU

    Ni yule Kiungo mdambwi dambwi mBongo aliyekuwa nje huko

    Alianza mazoezi na Simba kabla ligi haijaisha…!

    Anajua boli

    #SportsElite
    ๐ŸšจMORICE ABRAHAM NI MNYAMA KWENYE MBUGA YA BUNJU Ni yule Kiungo mdambwi dambwi mBongo aliyekuwa nje hukoโœ… Alianza mazoezi na Simba kabla ligi haijaisha…! Anajua boli โœ… #SportsElite
    0 Reacties ยท0 aandelen ยท11 Views
  • ๐‡๐„๐‘๐„ ๐–๐„ ๐†๐Ž! Sunderland imefikia makubaliano ya kumsaini Marc Guiu kwa mkopo akitokea Chelsea

    #SportsElite
    ๐Ÿšจ ๐‡๐„๐‘๐„ ๐–๐„ ๐†๐Ž! Sunderland imefikia makubaliano ya kumsaini Marc Guiu kwa mkopo akitokea Chelsea โค๏ธ๐Ÿค๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ธ #SportsElite
    0 Reacties ยท0 aandelen ยท15 Views
  • ๐——๐—˜๐—”๐—Ÿ ๐——๐—ข๐—ก๐—˜: Serge Aurier amejiunga na Persepolis FCya Iran kwa mkataba wa miaka 2. ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฎ

    (Source: FC Persepolis)

    ๐Ÿ“ ๐——๐—˜๐—”๐—Ÿ ๐——๐—ข๐—ก๐—˜: Serge Aurier amejiunga na Persepolis FCya Iran kwa mkataba wa miaka 2. ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡ท (Source: FC Persepolis)
    0 Reacties ยท0 aandelen ยท10 Views
  • BREAKING: Pierre Emerick-Aubameyang amerejea tena Marseille kama mchezaji huru baada ya mkataba wake kutamatika Al Qadisah

    #SportsElite
    ๐Ÿšจ๐ŸšจBREAKING: Pierre Emerick-Aubameyang amerejea tena Marseille kama mchezaji huru baada ya mkataba wake kutamatika Al Qadisah ๐Ÿ“โœ… #SportsElite
    0 Reacties ยท0 aandelen ยท17 Views