• Klabu ya NEOM ya Saudi Arabia inatarajia kumsajili aliyekuwa mchezaji wa Marseille , Pape Gueye, kulingana na taarifa za RMC Sport. Kiungo huyo wa Villarreal tayari amewasiliana kwa mara ya kwanza na viongozi wa klabu hiyo mpya iliyopanda daraja kwenye Saudi Pro League.

    #SportsElite
    💦Klabu ya NEOM ya Saudi Arabia 🇸🇦 inatarajia kumsajili aliyekuwa mchezaji wa Marseille 🇫🇷, Pape Gueye, kulingana na taarifa za RMC Sport. Kiungo huyo wa Villarreal 🇪🇸 tayari amewasiliana kwa mara ya kwanza na viongozi wa klabu hiyo mpya iliyopanda daraja kwenye Saudi Pro League. #SportsElite
    0 Kommentare ·0 Anteile ·67 Ansichten
  • 0 Kommentare ·0 Anteile ·5 Ansichten
  • LA MASIA KUHUSU NAMBA TISA SIO SHIDA ZAO

    Hivi La masia inashida gani na namba 9 wakuu? miaka nenda miaka rudi sijawai kuona mshambuliaji namba9 katokea academy yetu? au ni utamaduni wa club kununua mshambuliaji? maana nimewashuhudia hawa wote
    1: Etoo
    2: Ibrahimovic
    3: Vila
    4: Suarez
    5:Aguero
    6:Auba
    7: lewandowski

    kuna shida gani wakuu? au ndio utamaduni wetu kununua namba 9


    #SportsElite
    LA MASIA KUHUSU NAMBA TISA SIO SHIDA ZAO Hivi La masia inashida gani na namba 9 wakuu? miaka nenda miaka rudi sijawai kuona mshambuliaji namba9 katokea academy yetu? au ni utamaduni wa club kununua mshambuliaji? maana nimewashuhudia hawa wote 1: Etoo 2: Ibrahimovic 3: Vila 4: Suarez 5:Aguero 6:Auba 7: lewandowski kuna shida gani wakuu? au ndio utamaduni wetu kununua namba 9 #SportsElite
    0 Kommentare ·0 Anteile ·83 Ansichten
  • Kesho wanakutana wakwanza na wapili nan ataendelezea kichapo Liverpool FC vs AFC Bournemouth sisi ni people
    🚨🚨Kesho wanakutana wakwanza na wapili nan ataendelezea kichapo Liverpool FC vs AFC Bournemouth sisi ni people
    0 Kommentare ·0 Anteile ·32 Ansichten
  • 0 Kommentare ·0 Anteile ·5 Ansichten
  • Leon Bailey anaondoka Aston Villa miaka 28 na anaweza kujiunga na AS Roma au kwenda kuchukua pesa za Saudi Arabia.

    Mpaka sasa amekuwa na career nzuri japo ingeweza kuwa bora zaidi sababu uwezo anao lakini ni moja ya wachezaji muendelezo ni changamoto kwake kwa taifa alillotaka anabaki kuwa mchezaji wenye kipaji zaidi natumai Mason Greenwood akijunga rasmi na Jamaica watakuwa na taifa nzuri na shindani.

    #SportsElite
    🚨🚨Leon Bailey anaondoka Aston Villa miaka 28 na anaweza kujiunga na AS Roma au kwenda kuchukua pesa za Saudi Arabia. Mpaka sasa amekuwa na career nzuri japo ingeweza kuwa bora zaidi sababu uwezo anao lakini ni moja ya wachezaji muendelezo ni changamoto kwake kwa taifa alillotaka anabaki kuwa mchezaji wenye kipaji zaidi natumai Mason Greenwood akijunga rasmi na Jamaica watakuwa na taifa nzuri na shindani. #SportsElite
    0 Kommentare ·0 Anteile ·74 Ansichten
  • 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Manchester City imeitupilia mbali ofa ya 70 million euros kutoka Tottenham kumsajili Savinho.

    Mazungumzo bado yanaendelea muda sio mrefu ofa mpya inaweza kutolewa na klabu hiyo...


    #SportsElite
    🚨💣 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Manchester City imeitupilia mbali ofa ya 70 million euros kutoka Tottenham kumsajili Savinho. Mazungumzo bado yanaendelea muda sio mrefu ofa mpya inaweza kutolewa na klabu hiyo... #SportsElite
    0 Kommentare ·0 Anteile ·41 Ansichten
  • Kwa mara ya kwanza ndani ya miaka 3, Neymar ameweza kucheza mechi 6 mfululizo.

    Mshambuliaji huyo wa klabu ya Santos ameweza kucheza mechi 6 mfululizo kwani alikuwa akisumbuliwa majeraha ya mara kwa mara na kumfanya ashindwe kucheza mfululizo.

    Katika klabu hiyo amecheza mechi dhidi ya Cruzeiro, Juventude, Sport Recife, Intanacional, Mirassol na Flamengo.


    #SportsElite
    🚨⚪⚫Kwa mara ya kwanza ndani ya miaka 3, Neymar ameweza kucheza mechi 6 mfululizo. Mshambuliaji huyo wa klabu ya Santos ameweza kucheza mechi 6 mfululizo kwani alikuwa akisumbuliwa majeraha ya mara kwa mara na kumfanya ashindwe kucheza mfululizo. Katika klabu hiyo amecheza mechi dhidi ya Cruzeiro, Juventude, Sport Recife, Intanacional, Mirassol na Flamengo. #SportsElite
    0 Kommentare ·0 Anteile ·68 Ansichten
  • Franco Mastantuono

    #RealMadrid #Mastantouno #Transfers
    ✨ Franco Mastantuono 🇦🇷🔥 #RealMadrid #Mastantouno #Transfers
    0 Kommentare ·0 Anteile ·22 Ansichten
  • Franco Mastantuono

    #RealMadrid #Mastantouno #Transfers
    ✨ Franco Mastantuono 🇦🇷🔥 #RealMadrid #Mastantouno #Transfers
    0 Kommentare ·0 Anteile ·22 Ansichten