0 Σχόλια
·0 Μοιράστηκε
·35 Views
-
Tottenham imeingia kwenye mbio za kumuwania kinda wa FC Porto Samu Aghehowa, pia vilabu kama Arsenal, Newcastle na Nottingham Forest zinavutiwa na mshambuliaji huyo.
Miaka 21 amefunga goli 8 kwenye michezo 10 Porto na ada ya uhamisho wake ni £87M.
(Source: @Caught offside)🚨 Tottenham imeingia kwenye mbio za kumuwania kinda wa FC Porto Samu Aghehowa, pia vilabu kama Arsenal, Newcastle na Nottingham Forest zinavutiwa na mshambuliaji huyo. Miaka 21 amefunga goli 8 kwenye michezo 10 Porto na ada ya uhamisho wake ni £87M. (Source: @Caught offside)0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·158 Views -
-
-