• Wakati mwingine uchaguzi mbaya wa style unaweza kufanya watu wasifurahie faragha yao,
    Mwanamke mnene sana akiwa na mwanaume mwenye maumbile mafupi basi syle ya ubavu au kulaliwa mgongoni huwa haenjoy sana Kwa sababu mwanaume hafiki vizuri inavyotakiwa.
    Ila akiwa na maumbile marefu na akajua namna ya kushuka chini kidogo na kutafuta mkunjo sahihi,
    basi wataenjoy sana.
    Kwa sababu uume utakuwa unapita katikati ya mapanja mpaka ukeni unagusa kile kinembe.

    Baadhi ya style nzuri kwa mwanamke mnene ni hizi.

    Mwanamke apige magoti au kuinama, kisha mwanaume akuje goti moja hii sawa.

    Mwanamke alale chalii kisha aweke mto chini ya tumbo lake, kisha mwanaume awe nyuma yake sasa.

    Mwanamke alale ubavu kisha miguu yake aikunje iwe kama kiti kilicholazwa, yaani Z fulani hivi na mwanaume alale juu ya ubavu wa mwanamke au apige tu goti amshike nyoga mwanamke.

    Nyingine ni kifo cha mende,
    ila usimruhusu achanue miguu ikusanye kisha umbane iwe ndogo uone anavyotamani kutanua miguu maana...
    Ukikutana na kifua kikubwa zile nyonyo huwa zinatikisika sana zitakutia moto au zichezee tu

    Wanawake wanene wengi hupenda kuachama mdomo raha ikizidi,
    wapo wanaong'ang'ania shuka au mto,
    lakini wakati mwingine ukilaza tumbo tarajia kukuta ramani ya bibi kwenye shuka imejichora.
    Wakati mwingine uchaguzi mbaya wa style unaweza kufanya watu wasifurahie faragha yao, Mwanamke mnene sana akiwa na mwanaume mwenye maumbile mafupi basi syle ya ubavu au kulaliwa mgongoni huwa haenjoy sana Kwa sababu mwanaume hafiki vizuri inavyotakiwa. Ila akiwa na maumbile marefu na akajua namna ya kushuka chini kidogo na kutafuta mkunjo sahihi, basi wataenjoy sana. Kwa sababu uume utakuwa unapita katikati ya mapanja mpaka ukeni unagusa kile kinembe. Baadhi ya style nzuri kwa mwanamke mnene ni hizi. 👉Mwanamke apige magoti au kuinama, kisha mwanaume akuje goti moja hii sawa. 👉Mwanamke alale chalii kisha aweke mto chini ya tumbo lake, kisha mwanaume awe nyuma yake sasa. 👉Mwanamke alale ubavu kisha miguu yake aikunje iwe kama kiti kilicholazwa, yaani Z fulani hivi na mwanaume alale juu ya ubavu wa mwanamke au apige tu goti amshike nyoga mwanamke. 👉Nyingine ni kifo cha mende, ila usimruhusu achanue miguu ikusanye kisha umbane iwe ndogo uone anavyotamani kutanua miguu maana... Ukikutana na kifua kikubwa zile nyonyo huwa zinatikisika sana zitakutia moto au zichezee tu Wanawake wanene wengi hupenda kuachama mdomo raha ikizidi, wapo wanaong'ang'ania shuka au mto, lakini wakati mwingine ukilaza tumbo tarajia kukuta ramani ya bibi kwenye shuka imejichora.
    Like
    3
    · 0 Comments ·0 Shares ·232 Views
  • Message kwa Dada wenye Tabia hizi .

    Wewe ni msichana mzuri, unapenda kwenda na wakati. Umeshaanza kutumia vilevi. Tena vile laini ambavyo ukinywa leo unaweza kulewa kesho.

    Una mahusiano na John. Lakini unampenda sana Simon. Japo mvulana aliyekutoa bikira ni Side lakini toka muachane humuhitaji tena kwakua unamuona mshamba na unaona kabisa kua ulikosea njia kuwa nae.

    Sponsor Molito ni baba unaye muheshimu sana. Kwakua uki date nae tu basi unarudi na pesa kibao

    John hana pesa nyingi, ila bishoo. Ana rasta kichwan na kifua kipana. Anashinda gym kwa sababu yako ili u enjoy ukiwa nae.

    Simon ndio mvulana anaye julikana na rafiki zako wengi kwa kua ndio mvulana ambaye unashinda nae muda mrefu. Hivyo umemuaminisha kua unampenda yeye peke yake. Kisa ni handsome

    Simon ndio mvulana ambaye unaweza hata kumpost kwenye mitandao lakini Caption zako za kawaida sana zisizoonyesha dalili zozote za mahusiano.

    Upo na marafiki zako wapatao wanne ambao wote life style yenu ndio hiyo.yaani hata chai mnapika inatoka na ukoko na ugali hauna ushirikiano kama waumini wa Nabii Tito (hamjui kupika)

    Kila mkilala mchana mnawaza usiku muende club gani au wapi kuna pub nzuri ili mlewe.

    Unaishi na mama yako na wadogo zako wanasoma. Mama hana usemi kwako kwakua ukitoka kwa Sponsor Molito unamtupia laki 2.
    Mama anakuruhusu ukapumzike. Na simu yako ikiita anakuletea ndani na kukuamsha kwa adabu. Kiufupi mama yako hana kauli juu yako kwakua wewe ndio tegemezi.

    Shopping yako ni laki 3 kwenda mbele. Hurudii nguo mara tatu. Usisikie simu mpya imetoka. Tayari unayo. Kwenu hamna gari lakini umeshajifunza na unatembelea magari Zaidi ya matatu lakini huna kadi hata moja.

    Umepanga nyumba nzima na huna kazi mjini. Ofisi yako ni simu na sauti nzuri ya kutokea puani.makalio yako ndio mtaji wako

    Miaka haisubiri. Ulikua na miaka 20 na miaka saba baadae unakua na miaka 27.

    Hushtuki. Poda zinaanza kudunda na vipodozi vinaanza kukataa kushika kwenye ngozi yako.
    Unaamua kubadilisha cream na kutumia zile kali kali ili ngozi ikubali.

    Unakua mweupe sana. Macho nayo yanapoteza nuru. Huwezi tembea kwenye jua kali. Muda wote kope za bandia ndio mlinzi wa muonekano wako.

    Sponsor Molito nae anahitaji kuwa na watoto wabichi wa miaka 20. Wewe age imeshakutupa mkono. Anakuona wa kawaida. Huna maajabu tena.

    Anakuacha na kukupa wakati mgumu wa kutafuta Sponsor mwengine.

    Inakua ngumu kuwapata kwa natural face, unaanza kufanya photoshoot za nusu uchi na editing nyingi ili wachuuzi wanase.

    Stress zinapanda unaanza kumlazimisha Simon akave nafasi ya Molito. Simon hana uwezo. Unampiga chini unabaki na Serengeti boy wako John.

    Huyo anapendwa na wasichana wengi, unamfumania na kuachana nae kwa matusi.

    Unabaki Single, huna danga wala bwana. Rafiki zako ukiwapigia simu ni vizinga tu na kuwaomba wakutoe out.. huna Ishu. Unalala tu usiku wakati ulikua unajiita POPO.

    Huwezi panda daladala kwakua mtaani unaitwa Cash Madame. Unaanza kupanda pikipiki kila mahali uendapo. Huna pesa za kulipia usafiri kila siku. Hivyo kuna mda jion kondakta au. Boda Boda anautumia mwil wako

    Unaamua kumpa penzi Mangi wa dukani ili vitu vidogodogo uwe unachukua bure,unamtaka baba mwenye nyumba ili uishi bure

    Unakuja Kutahamaki. Unafungua friji kuna maji tu, dawa ya meno imeisha, Gesi imaisha, luku nayo inakaribia kuisha, dukani kwa shirima mnadaiwa laki 2. Kodi ya nyumba inakaribia. Unamuita baba mwenye nyumba unampa penzi. Anakuongeza miezi mitatu……

    Kuja kutahamaki wewe unaishi kwa kufanya mapenzi na kila aina ya mtu kwakua tu umeamua ku fake maisha yako.

    Tuendelee......

    Yanini yote dada zangu?
    Jikubali kua wewe unaweza kutoka kimaisha na kuisaidia familia yako kwa njia salama kabisa bila kuutumia mwili wako.

    Hayo madanga huwa hayazeeki bali wewe unayedanga ndio unapitwa na wakati.
    Hayo madanga wanapenda wasichina wenye miaka ishirini.

    Wewe ukipita basi atatafutwa mwengine. Utaishia kutunza makabati ya kichina wenzako wakiolewa na wewe ukabaki na uzuri wako wa dukani.
    Badilikine wenye tabia hii.

    Simply irwin
    Message kwa Dada wenye Tabia hizi 👇👇👇. Wewe ni msichana mzuri, unapenda kwenda na wakati. Umeshaanza kutumia vilevi. Tena vile laini ambavyo ukinywa leo unaweza kulewa kesho. Una mahusiano na John. Lakini unampenda sana Simon. Japo mvulana aliyekutoa bikira ni Side lakini toka muachane humuhitaji tena kwakua unamuona mshamba na unaona kabisa kua ulikosea njia kuwa nae. Sponsor Molito ni baba unaye muheshimu sana. Kwakua uki date nae tu basi unarudi na pesa kibao John hana pesa nyingi, ila bishoo. Ana rasta kichwan na kifua kipana. Anashinda gym kwa sababu yako ili u enjoy ukiwa nae. Simon ndio mvulana anaye julikana na rafiki zako wengi kwa kua ndio mvulana ambaye unashinda nae muda mrefu. Hivyo umemuaminisha kua unampenda yeye peke yake. Kisa ni handsome Simon ndio mvulana ambaye unaweza hata kumpost kwenye mitandao lakini Caption zako za kawaida sana zisizoonyesha dalili zozote za mahusiano. Upo na marafiki zako wapatao wanne ambao wote life style yenu ndio hiyo.yaani hata chai mnapika inatoka na ukoko na ugali hauna ushirikiano kama waumini wa Nabii Tito (hamjui kupika) Kila mkilala mchana mnawaza usiku muende club gani au wapi kuna pub nzuri ili mlewe. Unaishi na mama yako na wadogo zako wanasoma. Mama hana usemi kwako kwakua ukitoka kwa Sponsor Molito unamtupia laki 2. Mama anakuruhusu ukapumzike. Na simu yako ikiita anakuletea ndani na kukuamsha kwa adabu. Kiufupi mama yako hana kauli juu yako kwakua wewe ndio tegemezi. Shopping yako ni laki 3 kwenda mbele. Hurudii nguo mara tatu. Usisikie simu mpya imetoka. Tayari unayo. Kwenu hamna gari lakini umeshajifunza na unatembelea magari Zaidi ya matatu lakini huna kadi hata moja. Umepanga nyumba nzima na huna kazi mjini. Ofisi yako ni simu na sauti nzuri ya kutokea puani.makalio yako ndio mtaji wako Miaka haisubiri. Ulikua na miaka 20 na miaka saba baadae unakua na miaka 27. Hushtuki. Poda zinaanza kudunda na vipodozi vinaanza kukataa kushika kwenye ngozi yako. Unaamua kubadilisha cream na kutumia zile kali kali ili ngozi ikubali. Unakua mweupe sana. Macho nayo yanapoteza nuru. Huwezi tembea kwenye jua kali. Muda wote kope za bandia ndio mlinzi wa muonekano wako. Sponsor Molito nae anahitaji kuwa na watoto wabichi wa miaka 20. Wewe age imeshakutupa mkono. Anakuona wa kawaida. Huna maajabu tena. Anakuacha na kukupa wakati mgumu wa kutafuta Sponsor mwengine. Inakua ngumu kuwapata kwa natural face, unaanza kufanya photoshoot za nusu uchi na editing nyingi ili wachuuzi wanase. Stress zinapanda unaanza kumlazimisha Simon akave nafasi ya Molito. Simon hana uwezo. Unampiga chini unabaki na Serengeti boy wako John. Huyo anapendwa na wasichana wengi, unamfumania na kuachana nae kwa matusi. Unabaki Single, huna danga wala bwana. Rafiki zako ukiwapigia simu ni vizinga tu na kuwaomba wakutoe out.. huna Ishu. Unalala tu usiku wakati ulikua unajiita POPO. Huwezi panda daladala kwakua mtaani unaitwa Cash Madame. Unaanza kupanda pikipiki kila mahali uendapo. Huna pesa za kulipia usafiri kila siku. Hivyo kuna mda jion kondakta au. Boda Boda anautumia mwil wako Unaamua kumpa penzi Mangi wa dukani ili vitu vidogodogo uwe unachukua bure,unamtaka baba mwenye nyumba ili uishi bure Unakuja Kutahamaki. Unafungua friji kuna maji tu, dawa ya meno imeisha, Gesi imaisha, luku nayo inakaribia kuisha, dukani kwa shirima mnadaiwa laki 2. Kodi ya nyumba inakaribia. Unamuita baba mwenye nyumba unampa penzi. Anakuongeza miezi mitatu…… Kuja kutahamaki wewe unaishi kwa kufanya mapenzi na kila aina ya mtu kwakua tu umeamua ku fake maisha yako. Tuendelee...... Yanini yote dada zangu? Jikubali kua wewe unaweza kutoka kimaisha na kuisaidia familia yako kwa njia salama kabisa bila kuutumia mwili wako. Hayo madanga huwa hayazeeki bali wewe unayedanga ndio unapitwa na wakati. Hayo madanga wanapenda wasichina wenye miaka ishirini. Wewe ukipita basi atatafutwa mwengine. Utaishia kutunza makabati ya kichina wenzako wakiolewa na wewe ukabaki na uzuri wako wa dukani. Badilikine wenye tabia hii. Simply irwin
    Like
    2
    · 0 Comments ·0 Shares ·372 Views
  • 500 itakufaa, dearX
    Maby uliwaza nini hili goma.

    #socialpop
    500 itakufaa, dearX Maby uliwaza nini hili goma. #socialpop
    Like
    Love
    6
    · 2 Comments ·0 Shares ·292 Views ·21
  • Love
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·293 Views

  • 2000 generation
    🤑🤑 2000 generation 😂😂
    Like
    Haha
    3
    · 1 Comments ·0 Shares ·359 Views
  • Smile
    Smile
    Like
    Love
    2
    · 0 Comments ·0 Shares ·303 Views
  • IFANYE PICHA YAKO ILIYO CHOKA KUWA MPYA

    Hii inawezekana kabisa .. kwakutumia teknolojia ya AI
    Imeandaa video ambayo imekuelekeza jinsi ya kufanya Video Nimeiweka Kwenye Channel yetu ya Telegram " ingia telegram Tafuta @Hora_Tech AU ili iwe laisi kuifikia post husika gusa link Yachini Hapa..

    👇🏻👇🏻
    https://t.me/Hora_Tech/236
    IFANYE PICHA YAKO ILIYO CHOKA KUWA MPYA ✨ Hii inawezekana kabisa .. kwakutumia teknolojia ya AI 🌐Imeandaa video ambayo imekuelekeza jinsi ya kufanya Video Nimeiweka Kwenye Channel yetu ya Telegram " ingia telegram Tafuta @Hora_Tech AU ili iwe laisi kuifikia post husika gusa link Yachini Hapa.. 👇🏻👇🏻 https://t.me/Hora_Tech/236
    Like
    Love
    7
    · 0 Comments ·0 Shares ·495 Views
  • #Short #Series #2024
    #Short #Series #2024
    Like
    Love
    6
    · 0 Comments ·0 Shares ·569 Views ·73
  • Ni movie Nzuri sana "Horror movie"
    https://youtube.com/shorts/qAqCIROlNrA?si=SywLb7Hy3mq8Nav4
    ikiwa umevutiwa "Subscribe" ili kutupa nguvu ya kutoa kazi nyingi mpya
    Ni movie Nzuri sana "Horror movie" https://youtube.com/shorts/qAqCIROlNrA?si=SywLb7Hy3mq8Nav4 ikiwa umevutiwa "Subscribe" ili kutupa nguvu ya kutoa kazi nyingi mpya
    Like
    Love
    Haha
    13
    · 2 Comments ·0 Shares ·744 Views
  • MAJINI YANAPANDA MELI SIO BOTI


    https://youtube.com/shorts/Lozrb3EqBd0?si=370Jgc6bxeT3uEsX
    MAJINI YANAPANDA MELI SIO BOTI 👇👇 https://youtube.com/shorts/Lozrb3EqBd0?si=370Jgc6bxeT3uEsX
    Like
    Love
    10
    · 3 Comments ·0 Shares ·542 Views