• Usitumie ngumi kufundisha kinachoweza kufundishika kwa busu
    Usitumie ngumi kufundisha kinachoweza kufundishika kwa busu馃槀
    Like
    4
    1 Comments 0 Shares 39 Views
  • Acha kufany mamb ya kudumu kwa watu wa mda mfupi
    Acha kufany mamb ya kudumu kwa watu wa mda mfupi鉁娾湂
    Like
    3
    1 Comments 0 Shares 38 Views
  • Mzee william anafanya kazi katika kampuni inayohusika na maswala ya bima na kila siku huwa anatumia usafiri wa train anapoenda kazini na kurudi nyumbani

    lakini siku moja inageuka chungu kwake baada ya kufukuzwa kazi bila sababu ya msingi na bosi wake,kwa uchungu anaingia katika train ambayo huwa anapanda kilasiku ili kurudi nyumbani .

    ndani ya train anakutana na mama mmoja wa makamo ambae hajawahi kumuona ktk hiyo train aliyozowea kupanda kilasiku, mama alisogea katika siti ya Mzee william na kuanza kupiga story mbalimbali, story zilipo noga akamwambia Mzee william kwamba anampa kiasi cha dola elfu 25 kwa sharti la kumfanyia kazi ya kumtafuta mtu mmoja ndani ya train ambaye ana mzigo wake lakini hamwambii huyo mtu yupoje lakini anachomwambia ni kwamba mtu huyo ana begi tu leusi

    Mzee anachukulia suala Hilo la kupata Hela kimseleleko kama masihara hivi, ila huyo mama anamwambia Mzee william akitaka kuamini aende katika bafu la treni kuna sehemu ataikuta hiyo hela na akimaliza kazi nzima atapewa tena dolla elfu 75(mamilion yakutosha) , jamaa anaenda bafuni anakuta kweli Kuna dola elf 25

    Wazo likamjia la kutoka ndani ya train na kukimbia na hela Dola elf 25 bila kufanya kazi aliyopewa, lakini wakati anataka kutoka ndani train akakutana na mtu akampa bahasha ina pete ya mke wakehiyo ni kama onyo kwamba wanamjua na wanaweza kufanya chochote kwa mke wake hivyo inabidi arudi ndani ya train aendelee na kazi.kisanga ni namna ya kumpata huyo mtu , kwa nn anatafutwa na hilo begi lina nn !!!!!?

    utamu wa movie unaanzaia hapaMzee alizunguka train nzima kumtafuta huyo mtu ambae hajukikani ni mwanamke au mwanaume,too bad watu wenye mabegi meusi Wapo wengimpaka ilifika kipindi anaonekana kama gaidi

    Ila Muongozo aliopewa ni kwamba mtu huyo anayepaswa kumtafuta ni mtu ambae hajawahi kupanda hiyo train kwa hiyo akawa anaangalia mtu mmoja mmoja ambaye hajawahi kumuona ktk hiyo train , kuwafuatilia na kuwahoji kimitego mitego mpaka wakawa wanaingiwa na mashaka juu yake. Tambara linaitwa THE COMMUTER.
    Mzee william anafanya kazi katika kampuni inayohusika na maswala ya bima na kila siku huwa anatumia usafiri wa train anapoenda kazini na kurudi nyumbani lakini siku moja inageuka chungu kwake baada ya kufukuzwa kazi bila sababu ya msingi na bosi wake,kwa uchungu anaingia katika train ambayo huwa anapanda kilasiku ili kurudi nyumbani . ndani ya train anakutana na mama mmoja wa makamo ambae hajawahi kumuona ktk hiyo train aliyozowea kupanda kilasiku, mama alisogea katika siti ya Mzee william na kuanza kupiga story mbalimbali, story zilipo noga akamwambia Mzee william kwamba anampa kiasi cha dola elfu 25 kwa sharti la kumfanyia kazi ya kumtafuta mtu mmoja ndani ya train ambaye ana mzigo wake lakini hamwambii huyo mtu yupoje lakini anachomwambia ni kwamba mtu huyo ana begi tu leusi馃ぃ Mzee anachukulia suala Hilo la kupata Hela kimseleleko kama masihara hivi, ila huyo mama anamwambia Mzee william akitaka kuamini aende katika bafu la treni kuna sehemu ataikuta hiyo hela na akimaliza kazi nzima atapewa tena dolla elfu 75(mamilion yakutosha) , jamaa anaenda bafuni anakuta kweli Kuna dola elf 25馃槏 Wazo likamjia la kutoka ndani ya train na kukimbia na hela Dola elf 25 bila kufanya kazi aliyopewa, lakini wakati anataka kutoka ndani train akakutana na mtu akampa bahasha ina pete ya mke wake馃hiyo ni kama onyo kwamba wanamjua na wanaweza kufanya chochote kwa mke wake hivyo inabidi arudi ndani ya train aendelee na kazi.kisanga ni namna ya kumpata huyo mtu , kwa nn anatafutwa na hilo begi lina nn !!!!!? utamu wa movie unaanzaia hapa馃憠Mzee alizunguka train nzima kumtafuta huyo mtu ambae hajukikani ni mwanamke au mwanaume,too bad watu wenye mabegi meusi Wapo wengi馃mpaka ilifika kipindi anaonekana kama gaidi Ila Muongozo aliopewa ni kwamba mtu huyo anayepaswa kumtafuta ni mtu ambae hajawahi kupanda hiyo train kwa hiyo akawa anaangalia mtu mmoja mmoja ambaye hajawahi kumuona ktk hiyo train , kuwafuatilia na kuwahoji kimitego mitego mpaka wakawa wanaingiwa na mashaka juu yake. Tambara linaitwa THE COMMUTER.
    Like
    Love
    6
    2 Comments 0 Shares 885 Views
  • waswahili tunashida sana hata ukifa unakuwa mzimu wa kutatua matatizo ya ukoo wenu
    waswahili tunashida sana hata ukifa unakuwa mzimu wa kutatua matatizo ya ukoo wenu
    Like
    2
    0 Comments 0 Shares 37 Views
  • Jambo Ambalo kichwani Nimeliweka ni kuwa UMASKINI UNACHOSHA siutaki tena
    Jambo Ambalo kichwani Nimeliweka ni kuwa UMASKINI UNACHOSHA siutaki tena鉂屸潓
    Like
    2
    0 Comments 0 Shares 37 Views
  • WASIKUSIFIE MBIO UKAPITILIZA
    KWENU



    WASIKUSIFIE MBIO UKAPITILIZA KWENU 馃馃
    Like
    3
    0 Comments 0 Shares 40 Views
  • Pambana hadi waseme " USIMUONE VILE KUNA MTU MZITO NYUMA YAKE"
    Pambana hadi waseme " USIMUONE VILE KUNA MTU MZITO NYUMA YAKE"馃槀馃槀
    Like
    3
    0 Comments 0 Shares 42 Views
  • LIZIKI YA KWELI AINA SIKU MAALUM

    LIZIKI YA KWELI AINA SIKU MAALUM
    Like
    3
    0 Comments 0 Shares 41 Views
  • mama ashanambia sauti ya masikini haiendi mbali
    mama ashanambia sauti ya masikini haiendi mbali
    Like
    4
    1 Comments 0 Shares 40 Views
  • mwenye utajili wa moyo hana utajiliwa pesa
    mwenye utajili wa moyo hana utajiliwa pesa馃挵馃挵
    Like
    4
    2 Comments 0 Shares 40 Views