• Utakula hasara..... ukiuza huk chini!!
    Utapata hasara ukipenda sana chini!!
    Utakula hasara ...ukivitaka vya ndani!!
    Utazungukwa na hasara ... Ukiwa mzee wa madeni!!
    Nchi ina hasara akifa msela mmoja!!
    Mama alipata hasara ...kwa kuzaa mtoto mmoja!!
    Mm sina hasara kwa kuandik hz verse!!
    Utapata hasara usipo sikia uka left!!
    Ukikaa kihasara maisha yatakupiga!!
    Ishi bira hasara uonekane real nigga!!
    Epuka hasara .... Hasara sio rafiki!!
    Ukionekana wahasara .... Utakosa marafiki!!
    Viongoz hasara.... maendeleo hasara!!
    Ukichagua madudu....... tena unapata hasara!!
    Hasara aikai mbali .....ni hapo 2 jirani!!
    Kuwa makini... isije ikaingia ndani.!!
    Bira hasara nazani uwezi songa!!
    Nlipata hasara baaday ......ikawa kitonga!!
    Utakula hasara..... ukiuza huk chini!! Utapata hasara ukipenda sana chini!! Utakula hasara ...ukivitaka vya ndani!! Utazungukwa na hasara ... Ukiwa mzee wa madeni!! Nchi ina hasara akifa msela mmoja!! Mama alipata hasara ...kwa kuzaa mtoto mmoja!! Mm sina hasara kwa kuandik hz verse!! Utapata hasara usipo sikia uka left!! Ukikaa kihasara maisha yatakupiga!! Ishi bira hasara uonekane real nigga!! Epuka hasara .... Hasara sio rafiki!! Ukionekana wahasara .... Utakosa marafiki!! Viongoz hasara.... maendeleo hasara!! Ukichagua madudu....... tena unapata hasara!! Hasara aikai mbali .....ni hapo 2 jirani!! Kuwa makini... isije ikaingia ndani.!! Bira hasara nazani uwezi songa!! Nlipata hasara baaday ......ikawa kitonga!!
    0 Commenti ·0 condivisioni ·701 Views
  • Naona nina laana....najiona cna maana!!
    Natanga kama ndege......naangaika ucku mchana!!
    Nakata tamaa......sometimes najikaza!!
    Sielewi kimaisha .....npo zero ka kiraza!!
    Cna nyota ...why mimi!!
    Mungu wangu hiki nin....sio kwamba na lalamika mbona nakuomba mimi!!
    Nakaa kiuzuni....kama ua kwenye meza!!
    Mfukoni cna pochi ....wanasema napendeza!!
    Nawaza hela .....nawaza familia!!
    Bado ninawaza mengi....mpka ndoto najiotea!!
    Life yangu kama bet.....kiukwel aieleweki!!
    Mungu ukinipa uhai ....nipe pia maisha safi!!
    Japo dunia tunapita....Nami nipite kuzuri!!
    Baliki kira atua .......nipate maisha mazuri!!
    Naona nina laana....najiona cna maana!! Natanga kama ndege......naangaika ucku mchana!! Nakata tamaa......sometimes najikaza!! Sielewi kimaisha .....npo zero ka kiraza!! Cna nyota ...why mimi!! Mungu wangu hiki nin....sio kwamba na lalamika mbona nakuomba mimi!! Nakaa kiuzuni....kama ua kwenye meza!! Mfukoni cna pochi ....wanasema napendeza!! Nawaza hela .....nawaza familia!! Bado ninawaza mengi....mpka ndoto najiotea!! Life yangu kama bet.....kiukwel aieleweki!! Mungu ukinipa uhai ....nipe pia maisha safi!! Japo dunia tunapita....Nami nipite kuzuri!! Baliki kira atua .......nipate maisha mazuri!!
    0 Commenti ·0 condivisioni ·157 Views
  • Mwalimu aliyekwambia ukifeli utakufa maskini leo unampelekea mwanao akamfundishe
    Anaishia tu kujisifu mbele ya walímu wapya ,nimemfundisha mimi huyu ila anaogopa kusema #ulifeli
    Unapompa hela ya chaí haamini anazaní umeanza kumlipa mafao ya nccf
    #tunapewa_elimu_ya_kuwa_tegemezi tu
    Mwalimu aliyekwambia ukifeli utakufa maskini leo unampelekea mwanao akamfundishe Anaishia tu kujisifu mbele ya walímu wapya ,nimemfundisha mimi huyu ila anaogopa kusema #ulifeli Unapompa hela ya chaí haamini anazaní umeanza kumlipa mafao ya nccf #tunapewa_elimu_ya_kuwa_tegemezi tu
    0 Commenti ·0 condivisioni ·209 Views
  • miaka hii iliyopo na ijayo rafiki na ndugu wa kweli anabakia kuwa marehemu peke yake asiyeweza kukupa,kukunyima,kukusema,kukuua na mengine mengi ambayo kwa sasa watu wote wapo tayari kukufanyia sio baba wala mama wazazi japo heshima yao haishuki wala hutoishusha mpaka urogwe/ulewe pombe au madawa.
    miaka hii iliyopo na ijayo rafiki na ndugu wa kweli anabakia kuwa marehemu peke yake asiyeweza kukupa,kukunyima,kukusema,kukuua na mengine mengi ambayo kwa sasa watu wote wapo tayari kukufanyia sio baba wala mama wazazi japo heshima yao haishuki wala hutoishusha mpaka urogwe/ulewe pombe au madawa.
    0 Commenti ·0 condivisioni ·156 Views
  • Maisha magumu MTAANI!!
    Nawaza nikimbilie MJINI!!
    Tutafte hela tuje tuishi KIFALUME!!
    Mwanaume kufa KIUME!!
    Maisha magumu MTAANI!! Nawaza nikimbilie MJINI!! Tutafte hela tuje tuishi KIFALUME!! Mwanaume kufa KIUME!!
    0 Commenti ·0 condivisioni ·119 Views
  • Tunaishi sababu ya MUNGU!!
    majungu maranyingi huishi KWANDUGU!!
    liziki mafungu usiforce TUFANANE!!
    Huaga silali kutwa nasaka MAPENE!!
    Tunaishi sababu ya MUNGU!! majungu maranyingi huishi KWANDUGU!! liziki mafungu usiforce TUFANANE!! Huaga silali kutwa nasaka MAPENE!!
    0 Commenti ·0 condivisioni ·395 Views
  • hip hop ngumu,, nai kata kaa utepe!!
    mi zaidi ya sumu,, unaleta za bele 9 nilipe nisepe!!
    Pusha, sema hii yawapi,, ni arusha jamaica au ya dom!!
    Shusha, bei shingapi,, hatuna cha kupoteza home!!
    hip hop ngumu,, nai kata kaa utepe!! mi zaidi ya sumu,, unaleta za bele 9 nilipe nisepe!! Pusha, sema hii yawapi,, ni arusha jamaica au ya dom!! Shusha, bei shingapi,, hatuna cha kupoteza home!!
    0 Commenti ·0 condivisioni ·633 Views
  • hip hop ngumu,, nai kata kaa utepe!!
    mi zaidi ya sumu,, unaleta za bele 9 nilipe nisepe!!
    Pusha, sema hii yawapi,, ni arusha jamaica au ya dom!!
    Shusha, bei shingapi,, hatuna cha kupoteza home!!
    hip hop ngumu,, nai kata kaa utepe!! mi zaidi ya sumu,, unaleta za bele 9 nilipe nisepe!! Pusha, sema hii yawapi,, ni arusha jamaica au ya dom!! Shusha, bei shingapi,, hatuna cha kupoteza home!!
    0 Commenti ·0 condivisioni ·618 Views
  • Nita stay conscious ata hii dunia ipunduke!!
    Master mind mwenye delicious flow naifanya tasnia ikumbukwe!!
    Mi striker mwenye goal vision,, usi form battle bila ambition??
    Ulisha feli ku complish small mission!!
    Kwa hii mikato isiyo affect genesis!!
    Na go straight to enemies?!
    Energy sio utimamu wa mwenye nguvu!!
    Watch me clear asala malekhum!!
    Ukiwapoteza kondoo itabakia hasara kwa yesu!!
    Kwa huu msafara wa peku!!
    Angalia unapo kanyaga ewe mwana wa kwetu!!
    Tabu kujua rap ni above the law!!
    Dj zima ngoma nipite kavu kwa show!!
    Kuendeshwa na mapenzi ni upumbavu aloooh!!
    Kivipi nikabidhi maisha kwa huu udhaifu wa roho!!
    Natema bars nyingi zenye uhalisia!!
    Nakaa kitako na madingi na wa hadithia!!
    Kabla sijakata moto nawaambia!!
    Pigania haki ila urithi sio wa kupigania!!
    Nita stay conscious ata hii dunia ipunduke!! Master mind mwenye delicious flow naifanya tasnia ikumbukwe!! Mi striker mwenye goal vision,, usi form battle bila ambition?? Ulisha feli ku complish small mission!! Kwa hii mikato isiyo affect genesis!! Na go straight to enemies?! Energy sio utimamu wa mwenye nguvu!! Watch me clear asala malekhum!! Ukiwapoteza kondoo itabakia hasara kwa yesu!! Kwa huu msafara wa peku!! Angalia unapo kanyaga ewe mwana wa kwetu!! Tabu kujua rap ni above the law!! Dj zima ngoma nipite kavu kwa show!! Kuendeshwa na mapenzi ni upumbavu aloooh!! Kivipi nikabidhi maisha kwa huu udhaifu wa roho!! Natema bars nyingi zenye uhalisia!! Nakaa kitako na madingi na wa hadithia!! Kabla sijakata moto nawaambia!! Pigania haki ila urithi sio wa kupigania!!
    0 Commenti ·0 condivisioni ·565 Views
  • kuna jamaa yangu leo siku ya sita ktk week namkuta anakula dagaa wa mwanza nae akiwa dodoma!!
    NIMEMWAMBIA NATAKA KUFANYA BIASHARA YA DAGAA KANIJIBU hailipi na hakuna wateja hapa dodoma!!
    kuna jamaa yangu leo siku ya sita ktk week namkuta anakula dagaa wa mwanza nae akiwa dodoma!! NIMEMWAMBIA NATAKA KUFANYA BIASHARA YA DAGAA KANIJIBU hailipi na hakuna wateja hapa dodoma!!
    0 Commenti ·0 condivisioni ·839 Views