• Nkaamua kuokoka kla day church..
    Nkapata rafk mtoto wa mchungaji..
    Aisee alinpenda pia alinfariji..
    Alkuwa mzur mtoto amenyooka sometimes namtamani..
    Ira dah nimeokoka alpenda matan achok kuniita my..
    Nkakaza kuulza achok kun sabayi..
    Ilkuwa jumapil baada ya ibada..
    Akaomba nimtoe lunch nkaduwaa mbaba..
    Mfukon ielewek nmebak na vchenchi..
    Nka mwambia ukwel akacheka kiucheshi..
    Alniaga kama utan ksha akasepa..
    Roho ikaniuma nkataman ata nwe ata bakressa..
    Juma3 npo geto mara naskia hodi..
    Karbu kufungua ni mtoto wa mchungaji..
    Bwana asifiwe akajbu amina..
    Nkamwabia karbu fasta geto akazama..
    Akawa ameinama anadai amechoka..
    Na pia anamawazo arafu kichwa knamuuma..
    Nkampa panado nkawasha na feni..
    Akasema anashukulu huku akivua eleni..
    Tulpiga stor nying alkuja na vileo tukamwagilia moyo mtoto kazdiwa na ulevi..
    Akaanza kunitomasa nyie shetani mshenzi..
    Mtoto wa mchungaji kama sio yeye..
    Na macho analembua ka kuku kaona mwewe..
    Kifuani akasogea ikabidi nijiongeze..
    Mm sio Yusufu mgalatia nichakaze..
    Nkaamua kuokoka kla day church.. Nkapata rafk mtoto wa mchungaji.. Aisee alinpenda pia alinfariji.. Alkuwa mzur mtoto amenyooka sometimes namtamani.. Ira dah nimeokoka alpenda matan achok kuniita my.. Nkakaza kuulza achok kun sabayi.. Ilkuwa jumapil baada ya ibada.. Akaomba nimtoe lunch nkaduwaa mbaba.. Mfukon ielewek nmebak na vchenchi.. Nka mwambia ukwel akacheka kiucheshi.. Alniaga kama utan ksha akasepa.. Roho ikaniuma nkataman ata nwe ata bakressa.. Juma3 npo geto mara naskia hodi.. Karbu kufungua ni mtoto wa mchungaji.. Bwana asifiwe akajbu amina.. Nkamwabia karbu fasta geto akazama.. Akawa ameinama anadai amechoka.. Na pia anamawazo arafu kichwa knamuuma.. Nkampa panado nkawasha na feni.. Akasema anashukulu huku akivua eleni.. Tulpiga stor nying alkuja na vileo tukamwagilia moyo mtoto kazdiwa na ulevi.. Akaanza kunitomasa nyie shetani mshenzi.. Mtoto wa mchungaji kama sio yeye.. Na macho analembua ka kuku kaona mwewe.. Kifuani akasogea ikabidi nijiongeze.. Mm sio Yusufu mgalatia nichakaze..
    0 Commentarios ·0 Acciones ·543 Views
  • kwanza ningekuwa raïs,kungekuwa nzuri situation..
    masomo kiuraisi,mitaa yote kuwe tuition..
    uhuru fist,maamuzi kwa haki ndo solution..
    mambo ya fist,kama wachina sio resolution..

    hata kwenye ikulu ningechana.,
    ndo gengeni masela tungekutana..
    kwenye vikao tungependwa sana..
    maana maneno tungesema kwa vina..
    kwanza ningekuwa raïs,kungekuwa nzuri situation.. masomo kiuraisi,mitaa yote kuwe tuition.. uhuru fist,maamuzi kwa haki ndo solution.. mambo ya fist,kama wachina sio resolution.. hata kwenye ikulu ningechana., ndo gengeni masela tungekutana.. kwenye vikao tungependwa sana.. maana maneno tungesema kwa vina..
    0 Commentarios ·0 Acciones ·296 Views
  • Nikiamka huwa namshukuru mungu..
    Ye huwa anagawa mafungu..
    Hata kama naumwa huwa simsahau mungu..
    Ye ndio ametugawa mafungu..
    Kunawanao mwabudu mungu..
    Kunawanao piga majungu..
    Ila sisi sote niwanao m/mungu..
    Nikiamka huwa namshukuru mungu.. Ye huwa anagawa mafungu.. Hata kama naumwa huwa simsahau mungu.. Ye ndio ametugawa mafungu.. Kunawanao mwabudu mungu.. Kunawanao piga majungu.. Ila sisi sote niwanao m/mungu..
    0 Commentarios ·0 Acciones ·381 Views
  • kumekucha kijuhudi... hatua zangu nazitupa,,,//
    kuhaso ndo kusudi...la Jah rizki atanipa,,//

    na kaza Kazi zote nagonga... pesa nalipwa kesh,,,//
    nafunga zipu noti nakunja... nazama chuch,,,//

    Jah ndo langu jeshi... kila chaka sitoki kapa,,//
    yuko freshi... mwenyezi nampa sifa,,//

    imani kwa Jah... japo mbele naona giza,,//
    imani ni taa... imulike kwenye giza,,//

    iangaze napoenda viwanja nipige mawe...
    uvivu ndo wenye kuvunja moyo,,,//

    kila chaka nalotimba ni full shangwe...
    wanangu kwa Jah hakuna choyo,,//
    kumekucha kijuhudi... hatua zangu nazitupa,,,// kuhaso ndo kusudi...la Jah rizki atanipa,,// na kaza Kazi zote nagonga... pesa nalipwa kesh,,,// nafunga zipu noti nakunja... nazama chuch,,,// Jah ndo langu jeshi... kila chaka sitoki kapa,,// yuko freshi... mwenyezi nampa sifa,,// imani kwa Jah... japo mbele naona giza,,// imani ni taa... imulike kwenye giza,,// iangaze napoenda viwanja nipige mawe... uvivu ndo wenye kuvunja moyo,,,// kila chaka nalotimba ni full shangwe... wanangu kwa Jah hakuna choyo,,//
    0 Commentarios ·0 Acciones ·302 Views
  • Nilishampendaga binti mmoja Nikataka Kumwambia Nampenda Nikakumbuka Kumbe mm Bubu... Ajabu Kumbe Nae Alinipenda Na Akanisemesha Skuskia Akagundua Kumbe MM Kiziwi....

    Akasepa zake Nikakaa chin nikalia Nikaona Nimkimbilie yesu Nikakumbuka kumbe Ata Miguu Sina.... Nikasema Haina Haja Sintapiga Zangu Nyeto... Nikakumbuka Tena Kumbe Mikono Sina.....

    Nikawaza Nimwangalie Ata Kwa Mbali kama na yeye Ataniona Nikajikuta Kumbe Ata Macho Sina... Ghafla Nikaskia Saut ya Kuku kumbe nilikuwa Naota Apo Ndo Nikajigundua Kumbe AKILI SINA..
    Nilishampendaga binti mmoja Nikataka Kumwambia Nampenda Nikakumbuka Kumbe mm Bubu... Ajabu Kumbe Nae Alinipenda Na Akanisemesha Skuskia Akagundua Kumbe MM Kiziwi.... Akasepa zake Nikakaa chin nikalia Nikaona Nimkimbilie yesu Nikakumbuka kumbe Ata Miguu Sina.... Nikasema Haina Haja Sintapiga Zangu Nyeto... Nikakumbuka Tena Kumbe Mikono Sina..... Nikawaza Nimwangalie Ata Kwa Mbali kama na yeye Ataniona Nikajikuta Kumbe Ata Macho Sina... Ghafla Nikaskia Saut ya Kuku kumbe nilikuwa Naota Apo Ndo Nikajigundua Kumbe AKILI SINA..
    0 Commentarios ·0 Acciones ·609 Views
  • Anaebeba minguo ya bwana wake na kwenda kuifua hali ya kuwa anajua huyo bwana ni mume wa mtu...huyo ni taahira
    Anaebeba minguo ya bwana wake na kwenda kuifua hali ya kuwa anajua huyo bwana ni mume wa mtu...huyo ni taahira
    0 Commentarios ·0 Acciones ·62 Views
  • Anaemkataa mwanaume anaetaka kumuoa kwa ajili ya bishoo wa kwenda nae club kila siku....huyo nae taahira
    Anaemkataa mwanaume anaetaka kumuoa kwa ajili ya bishoo wa kwenda nae club kila siku....huyo nae taahira
    0 Commentarios ·0 Acciones ·157 Views
  • Anaetoroka kwao na kwenda kulala guest house na bwana na asubuhi anaambiwa hapa sina hela iliyobaki naenda kumpa Mke wangu na akakubali...huyo nae taahira
    Anaetoroka kwao na kwenda kulala guest house na bwana na asubuhi anaambiwa hapa sina hela iliyobaki naenda kumpa Mke wangu na akakubali...huyo nae taahira
    0 Commentarios ·0 Acciones ·56 Views
  • Mwanamke ambae hamiliki hata kitanda kisha anataka mwanaume mwenye gari huyo nae taahira
    Mwanamke ambae hamiliki hata kitanda kisha anataka mwanaume mwenye gari huyo nae taahira
    0 Commentarios ·0 Acciones ·113 Views
  • Anaye ficha sehemu zake za sir akiwa location wakati ameshalala na mabwana 20 huyo nae taahira
    Anaye ficha sehemu zake za sir akiwa location wakati ameshalala na mabwana 20 huyo nae taahira
    0 Commentarios ·0 Acciones ·710 Views