• Ana puliza tarumbeta....mikono kwenye piano
    Let me love hallelujah .... Tuimbe pia teamo....//

    Kaniweza ile mbaya... Ana step kama kwaya
    Mlokole nashukulu....kwa maombi haleluya....//

    Mtoto yupo fire....nasimzia nikiwaza
    Ndoa nifunge leo....au nitulie kwanza....//

    Body yake iko clear....mnyama ninajilia
    Na utamu ukinoga .... Nina chaji hadi mia....//

    Let me love you my baby ... Njoo tucheze lege
    Unifanye rose muhando ....kwenye bed unibebe...//

    Coz kwako nina wenge....ukifungua zipu
    We chukua utakacho.... Nitakupa kira kitu....//

    Ntamwambia mama ... Ukinifanya nilie
    Ukinyima moyo wako... Nitajuta kubalee...//

    Ok fanya kama jana....minyia kwa ndani
    Kologa na mwiko ....kwani jiko liko ndani....//

    Mamacta izo wushu.....mie napiga puchu
    Mchizi nakuwa mwehu.... Asa mida ya usiku...//*

    Job naona mbali... Pia napata uvivu
    Kukuacha uwe mpweke.... Kama nina kupa tabu...//
    Ana puliza tarumbeta....mikono kwenye piano Let me love hallelujah .... Tuimbe pia teamo....// Kaniweza ile mbaya... Ana step kama kwaya Mlokole nashukulu....kwa maombi haleluya....// Mtoto yupo fire....nasimzia nikiwaza Ndoa nifunge leo....au nitulie kwanza....// Body yake iko clear....mnyama ninajilia Na utamu ukinoga .... Nina chaji hadi mia....// Let me love you my baby ... Njoo tucheze lege Unifanye rose muhando ....kwenye bed unibebe...// Coz kwako nina wenge....ukifungua zipu We chukua utakacho.... Nitakupa kira kitu....// Ntamwambia mama ... Ukinifanya nilie Ukinyima moyo wako... Nitajuta kubalee...// Ok fanya kama jana....minyia kwa ndani Kologa na mwiko ....kwani jiko liko ndani....// Mamacta izo wushu.....mie napiga puchu Mchizi nakuwa mwehu.... Asa mida ya usiku...//* Job naona mbali... Pia napata uvivu Kukuacha uwe mpweke.... Kama nina kupa tabu...//
    Like
    Love
    4
    · 0 Commentarios ·0 Acciones ·1K Views
  • mlimisi kuniona kusikia sauti yangu..
    Nilkuwa kama giza leo naibuka wanangu..
    Snich kaokoka kanisa sasa umbeya..
    Akuna tena neno wamemisi hadi kwaya..
    mlimisi kuniona kusikia sauti yangu.. Nilkuwa kama giza leo naibuka wanangu.. Snich kaokoka kanisa sasa umbeya.. Akuna tena neno wamemisi hadi kwaya..
    Like
    2
    · 0 Commentarios ·0 Acciones ·691 Views
  • Mwanandoa Msalit Baba Nisiye Nason..
    Nyumba Inasota Dhiki Pesa Ninayo Mfukoni..
    Rafiki Zangu Wazinzi Walevi Na Wagoni..
    Chaka Letu Baa Pombe Ni Wisk Na Siyo Komon..
    Meza Nilyopo Mimi Mwingne Mwiko Kuongea..
    Zungusheni Chupa Zikiisha Nawaongezea..
    Navyokaa Kwa Kiti Utadhani Amechil Meya..
    #Ben_mC Incharg Wa Round de bil payr..
    Majina Billget Kibosile Mapesa..
    Hali Nyumbani Kwangu Watoto Nimewabwetesha..
    Miaka Juu Ya 10 Nashule Sijawapeleka..
    Hanasa Za Hii Dunia Kutwa Zinaniteka..
    Shida Zinapowakaba..
    Watoto Wanakufuru Afadhari Wasingekua Na Baba..
    Kuliko Baba Jina.. Ambaye Siwapi Msaada.. Nikiondoka Leo Kurudi Ni Baada Ya Siku Saba..
    Mwanandoa Msalit Baba Nisiye Nason.. Nyumba Inasota Dhiki Pesa Ninayo Mfukoni.. Rafiki Zangu Wazinzi Walevi Na Wagoni.. Chaka Letu Baa Pombe Ni Wisk Na Siyo Komon.. Meza Nilyopo Mimi Mwingne Mwiko Kuongea.. Zungusheni Chupa Zikiisha Nawaongezea.. Navyokaa Kwa Kiti Utadhani Amechil Meya.. #Ben_mC Incharg Wa Round de bil payr.. Majina Billget Kibosile Mapesa.. Hali Nyumbani Kwangu Watoto Nimewabwetesha.. Miaka Juu Ya 10 Nashule Sijawapeleka.. Hanasa Za Hii Dunia Kutwa Zinaniteka.. Shida Zinapowakaba.. Watoto Wanakufuru Afadhari Wasingekua Na Baba.. Kuliko Baba Jina.. Ambaye Siwapi Msaada.. Nikiondoka Leo Kurudi Ni Baada Ya Siku Saba..
    Like
    1
    · 0 Commentarios ·0 Acciones ·154 Views
  • Huyu Ndo Mjuzi Wa Dharau..
    Mjuzi Wa Juzi Utunzi Bila Nahau..
    Hakuna Utumizi Wa Tafsida.. Kauli Za Kebeyi..
    Kutwa Diss Media.. "Simanish Ney"..
    Utamiss Wangapi Heli Mmiss Rey-C..
    Jogoo Wa Jiji Mbishi Kweli Style Hii..
    Huyu Ndo Mjuzi Wa Dharau.. Mjuzi Wa Juzi Utunzi Bila Nahau.. Hakuna Utumizi Wa Tafsida.. Kauli Za Kebeyi.. Kutwa Diss Media.. "Simanish Ney".. Utamiss Wangapi Heli Mmiss Rey-C.. Jogoo Wa Jiji Mbishi Kweli Style Hii..
    Like
    1
    · 0 Commentarios ·0 Acciones ·84 Views
  • Mizuka ikipanda nawachana adi w*senge..
    Malaya best wa kitanda anapopata dili la nye**..
    Kwangu shwari sijali ata demu akisepa..
    Nikama nimepoteza chuma chakavu amaSklepa..
    Mtafutaji nini kibuli jeuri haina ndoto..
    Sawakuwa nadem mzuli bado unapga nye*o..
    #Eeeeeeh_Dah_Kumbe_Naootaaa!!
    Mizuka ikipanda nawachana adi w*senge.. Malaya best wa kitanda anapopata dili la nye**.. Kwangu shwari sijali ata demu akisepa.. Nikama nimepoteza chuma chakavu amaSklepa.. Mtafutaji nini kibuli jeuri haina ndoto.. Sawakuwa nadem mzuli bado unapga nye*o.. #Eeeeeeh_Dah_Kumbe_Naootaaa!!
    Like
    1
    · 0 Commentarios ·0 Acciones ·127 Views
  • *ukishalipia 12,500 Tsh account yako utafanyiw activation NA CUSTOMER CARE wa kampuni ya 2024 PESA ✊️ kama hvyo Kisha utapata jibu ikiwa activated kutoka kwa kiongozi wako.... Baada ya hapo nitakupatia Link ya kulog in then utaingia kwnye account yako... Trust me, 2024 PESA ni rahis Sana... Utalipw kwa kujibu maswal mepesi, ku ~like~ ads za kampuni, kupost matangazo status na ku invite your soulmate or friends uku maokoto ni uhakika.... Tengeneza 10000 mpaka 50000 Kila siku kupitia simu yako hapo hapo ulipo type NIFUNZE*..
    0755237505 WhatsApp
    *ukishalipia 12,500 Tsh account yako utafanyiw activation NA CUSTOMER CARE wa kampuni ya 2024 PESA ✊️ kama hvyo Kisha utapata jibu ikiwa activated kutoka kwa kiongozi wako.... Baada ya hapo nitakupatia Link ya kulog in then utaingia kwnye account yako... Trust me, 2024 PESA ni rahis Sana... Utalipw kwa kujibu maswal mepesi, ku ~like~ ads za kampuni, kupost matangazo status na ku invite your soulmate or friends 😊😊uku maokoto ni uhakika.... Tengeneza 10000 mpaka 50000 Kila siku kupitia simu yako hapo hapo ulipo 😋😋type NIFUNZE*.. 0755237505 WhatsApp
    Love
    1
    · 3 Commentarios ·0 Acciones ·906 Views
  • Unafanya nisote Jamani.../
    skupendi..maana unafanya nikose Amani/
    Umekuja lini..? kwangu skumbuki../!
    na kama ungekua...binadamu ninge kushuti/
    Sio siri hata Raha umenikata.../
    nime kukimbia bushi...mpaka Dom umenifata/
    umeniganda...sina mishe hakika../
    Lengo lako ni lipi..? au unataka nife kabisa/?
    umenipa mikosi...umenipa balaa.../
    umeninyima pesa...pia umezika na Raha/
    Shida..sio kwamba nakutenga.../
    Duniani.. hakuna anae kupenda/
    sio mimi tu!.. unatesa taifa langu../
    Urafki wako..hakuna faida kwangu/
    Aah!!..nakupa sera nielewe../
    bila hatia maskini, wanatupwa jera kisa wewe/!!
    Vers..2
    unachukiwa...mpaka na shehe Flan../
    skufichi... huna tofauti na Shetani/
    Najua... hutaki nifike kwa kua../
    una bifu namimi...hutaki nipige hatua/
    niendelee au niachie HapO.?
    Unafanya nisote Jamani.../ skupendi..maana unafanya nikose Amani/ Umekuja lini..? kwangu skumbuki../! na kama ungekua...binadamu ninge kushuti/ Sio siri hata Raha umenikata.../ nime kukimbia bushi...mpaka Dom umenifata/ umeniganda...sina mishe hakika../ Lengo lako ni lipi..? au unataka nife kabisa/? umenipa mikosi...umenipa balaa.../ umeninyima pesa...pia umezika na Raha/ Shida..sio kwamba nakutenga.../ Duniani.. hakuna anae kupenda/ sio mimi tu!.. unatesa taifa langu../ Urafki wako..hakuna faida kwangu/ Aah!!..nakupa sera nielewe../ bila hatia maskini, wanatupwa jera kisa wewe/!! Vers..2 unachukiwa...mpaka na shehe Flan../ skufichi... huna tofauti na Shetani/ Najua... hutaki nifike kwa kua../ una bifu namimi...hutaki nipige hatua/ niendelee au niachie HapO.?
    Like
    1
    · 0 Commentarios ·0 Acciones ·403 Views
  • Unafanya nisote Jamani.../
    skupendi..maana unafanya nikose Amani/
    Umekuja lini..? kwangu skumbuki../!
    na kama ungekua...binadamu ninge kushuti/
    Sio siri hata Raha umenikata.../
    nime kukimbia bushi...mpaka Dom umenifata/
    umeniganda...sina mishe hakika../
    Lengo lako ni lipi..? au unataka nife kabisa/?
    umenipa mikosi...umenipa balaa.../
    umeninyima pesa...pia umezika na Raha/
    Shida..sio kwamba nakutenga.../
    Duniani.. hakuna anae kupenda/
    sio mimi tu!.. unatesa taifa langu../
    Urafki wako..hakuna faida kwangu/
    Aah!!..nakupa sera nielewe../
    bila hatia maskini, wanatupwa jera kisa wewe/!!
    Vers..2
    unachukiwa...mpaka na shehe Flan../
    skufichi... huna tofauti na Shetani/
    Najua... hutaki nifike kwa kua../
    una bifu namimi...hutaki nipige hatua/
    niendelee au niachie HapO.?
    Unafanya nisote Jamani.../ skupendi..maana unafanya nikose Amani/ Umekuja lini..? kwangu skumbuki../! na kama ungekua...binadamu ninge kushuti/ Sio siri hata Raha umenikata.../ nime kukimbia bushi...mpaka Dom umenifata/ umeniganda...sina mishe hakika../ Lengo lako ni lipi..? au unataka nife kabisa/? umenipa mikosi...umenipa balaa.../ umeninyima pesa...pia umezika na Raha/ Shida..sio kwamba nakutenga.../ Duniani.. hakuna anae kupenda/ sio mimi tu!.. unatesa taifa langu../ Urafki wako..hakuna faida kwangu/ Aah!!..nakupa sera nielewe../ bila hatia maskini, wanatupwa jera kisa wewe/!! Vers..2 unachukiwa...mpaka na shehe Flan../ skufichi... huna tofauti na Shetani/ Najua... hutaki nifike kwa kua../ una bifu namimi...hutaki nipige hatua/ niendelee au niachie HapO.?
    Like
    1
    · 0 Commentarios ·0 Acciones ·397 Views
  • 𝚆𝚊𝚗𝚊𝚘𝚔𝚞𝚜𝚎𝚖𝚊 𝚠𝚊𝚝𝚊𝚕𝚊𝚕𝚊, 𝚔𝚞𝚔𝚒𝚔𝚞𝚌𝚑𝚊 𝚠𝚊𝚝𝚊 𝚠𝚊𝚔𝚎𝚞𝚙...
    𝚁𝚘𝚑𝚘 𝚣𝚊𝚘 𝚋𝚊𝚍𝚘 𝚖𝚋𝚊𝚢𝚊, 𝚊𝚝𝚊 𝚔𝚊𝚖𝚊 𝚠𝚊𝚔𝚒𝚗𝚢𝚠𝚊 𝚖𝚊𝚔𝚎𝚞𝚙...
    𝚆𝚊𝚗𝚊𝚘𝚔𝚞𝚜𝚎𝚖𝚊 𝚠𝚊𝚝𝚊𝚕𝚊𝚕𝚊, 𝚔𝚞𝚔𝚒𝚔𝚞𝚌𝚑𝚊 𝚠𝚊𝚝𝚊 𝚠𝚊𝚔𝚎𝚞𝚙... 𝚁𝚘𝚑𝚘 𝚣𝚊𝚘 𝚋𝚊𝚍𝚘 𝚖𝚋𝚊𝚢𝚊, 𝚊𝚝𝚊 𝚔𝚊𝚖𝚊 𝚠𝚊𝚔𝚒𝚗𝚢𝚠𝚊 𝚖𝚊𝚔𝚎𝚞𝚙...
    Like
    1
    · 0 Commentarios ·0 Acciones ·113 Views
  • Mabadiliko Huja Siolazima Uyaone Pia...*
    Wengi Mpaka Wasukumwe Ndio Waione Njia...*
    Mabadiliko Huja Siolazima Uyaone Pia...* Wengi Mpaka Wasukumwe Ndio Waione Njia...*
    Like
    1
    · 0 Commentarios ·0 Acciones ·55 Views