nakuaminia, hatukwepani hata katika sinia/
kama kidonda lazima kitavmilia/
kovu litaishia uhai utageuzwa dunia/
hodi haifunguliwi, misumari haipigiliwi/
wenye nazo nao hawaingiliwi/
mi sina mbwembwe ndo mana sisifiwi/
sijibiwi majibu najibiwa maswali/
sisali daima mi naswali/
sina habari na asali ambayo haina asili ya kweli/
kwani ni mmoja tu alifanana na ben/
sijui kama alipasi ama nae alifeli/
si vyote utapatia, ama vipi hizi ndo idea/
kama gari na gia, ama kuli akipakia/
mama ntilie akipakua, traffic akikagua/
kikohozi na mafua, ama mtoto anapokua/
nakuaminia, hatukwepani hata katika sinia/ kama kidonda lazima kitavmilia/ kovu litaishia uhai utageuzwa dunia/ hodi haifunguliwi, misumari haipigiliwi/ wenye nazo nao hawaingiliwi/ mi sina mbwembwe ndo mana sisifiwi/ sijibiwi majibu najibiwa maswali/ sisali daima mi naswali/ sina habari na asali ambayo haina asili ya kweli/ kwani ni mmoja tu alifanana na ben/ sijui kama alipasi ama nae alifeli/ si vyote utapatia, ama vipi hizi ndo idea/ kama gari na gia, ama kuli akipakia/ mama ntilie akipakua, traffic akikagua/ kikohozi na mafua, ama mtoto anapokua/
Like
1
· 0 Comments ·0 Shares ·78 Views