Uliumba mbingu,, mimea Kisha Sisi...*
Ukaweka wingu, kwa mvua.. maji yanayo Ishi...*
/
Ukaweka uhai, tujidai tuendako...*
Pumzi bila Bei.., ukatupa na Macho...*
/
Mungu Baba ukanipa baba pia...*
Pendo siyo haba ukanipa na Mama pia...*
/
to be continued.....................
Uliumba mbingu,, mimea Kisha Sisi...* Ukaweka wingu, kwa mvua.. maji yanayo Ishi...* / Ukaweka uhai, tujidai tuendako...* Pumzi bila Bei.., ukatupa na Macho...* / Mungu Baba ukanipa baba pia...* Pendo siyo haba ukanipa na Mama pia...* / to be continued.....................
Like
Love
2
· 1 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·66 Views