maadui .....wapo wengi...Wengine ni ndugu....
Ishi nao kwa amani...usioneshe ata gubu....
Awakupend ilo jua.... Watataka kukuua .....
We kaa kia askali... Pia omba sana dua....
Adui sio ndugu.... Ata awe ndugu...
Adui sio rafiki .... Anaweza kukusulubu...
Maadui awaishi ... Afu ni wagumu kufa
wengio wao masnichi roho mbaya kama Lucifer....
ish kwa tahadhali.... Mwanadam ana ng'ata...
Watu wana sura mzuri.......kiroho awajatakata....
Watakuchekea....mixer kukuimbia
Uku nyuma ya pazia .... Kifo wana kuandalia....
Maadui sio wana....Careful sana....
Wafanyie kila kitu....... ila kwao huna maana....
maadui .....wapo wengi...Wengine ni ndugu.... Ishi nao kwa amani...usioneshe ata gubu.... Awakupend ilo jua.... Watataka kukuua ..... We kaa kia askali... Pia omba sana dua.... Adui sio ndugu.... Ata awe ndugu... Adui sio rafiki .... Anaweza kukusulubu... Maadui awaishi ... Afu ni wagumu kufa wengio wao masnichi roho mbaya kama Lucifer.... ish kwa tahadhali.... Mwanadam ana ng'ata... Watu wana sura mzuri.......kiroho awajatakata.... Watakuchekea....mixer kukuimbia Uku nyuma ya pazia .... Kifo wana kuandalia.... Maadui sio wana....Careful sana.... Wafanyie kila kitu....... ila kwao huna maana....
0 Comments 0 Shares 117 Views