Haujui hata kazi asubui unasuka...
Hata chupi ikichafuka haufui unatupa...
Na haujui kutafta...
Haupendez kwa jamii we ni maudhui ya kufutwa...
Mimba ya 1 ulichomoa ukadai imetoka...
mimba ya 2 ukasingizia wachawi wameloga...
Ni kituko ki kuu...
Mana mimba ya 3 haikuingia ulimeza P 2...
Ukafanya nivute bangi...
Ile pafu ya 1.. nimepiga skutaka mazur kwako...
Yani nilitamani nikuue.. niue na kaburi lako...
Pafu ya 2 niliikoki.. ili niivute kibitozi...
Nikataman nikupigie video call.. ili nikupige makofi...
Pafu ya 3.. Haina noma ila ilinitupa kifala...
Nikaona nimuachie kila kitu nikabeba shuka na ndala...
Haujui hata kazi asubui unasuka... Hata chupi ikichafuka haufui unatupa... Na haujui kutafta... Haupendez kwa jamii we ni maudhui ya kufutwa... Mimba ya 1 ulichomoa ukadai imetoka... mimba ya 2 ukasingizia wachawi wameloga... Ni kituko ki kuu... Mana mimba ya 3 haikuingia ulimeza P 2... Ukafanya nivute bangi... Ile pafu ya 1.. nimepiga skutaka mazur kwako... Yani nilitamani nikuue.. niue na kaburi lako... Pafu ya 2 niliikoki.. ili niivute kibitozi... Nikataman nikupigie video call.. ili nikupige makofi... Pafu ya 3.. Haina noma ila ilinitupa kifala... Nikaona nimuachie kila kitu nikabeba shuka na ndala...
Like
3
· 1 Kommentare ·0 Anteile ·224 Ansichten