Kuwa care mpendaji....mapenzi ni uwindaji!!
Ilo neno nakupenda ...liko easy kama maji!!
Matapel wapo wengi...madem sikuizi shida!!
Wengi wanadanga mbaya ......awaoni ata shida!!
Wanaangalia pochi ....wananasa kwenye noti
Ukiwa nazo utawala.....uta switch kama tochi!!
Wanatamaa akuna .....wanapenda tu kuchuna!!
Wadada wamekuwa shida....wengi ni mali ya uma!!
Wachache wameumbwa....wana moyo wakupenda!!
Waliobaki miujiza....wechagua kwa kuomba!!
Kuwa care mpendaji....mapenzi ni uwindaji!! Ilo neno nakupenda ...liko easy kama maji!! Matapel wapo wengi...madem sikuizi shida!! Wengi wanadanga mbaya ......awaoni ata shida!! Wanaangalia pochi ....wananasa kwenye noti Ukiwa nazo utawala.....uta switch kama tochi!! Wanatamaa akuna .....wanapenda tu kuchuna!! Wadada wamekuwa shida....wengi ni mali ya uma!! Wachache wameumbwa....wana moyo wakupenda!! Waliobaki miujiza....wechagua kwa kuomba!!
0 Commentarios ·0 Acciones ·183 Views