Mke ana SUKA,, ndani hamna SUKARI..
Anapenda nyimbo za KUSA,, ashasahau ata KUSALI..
kila panapo KUCHA,, anabadili KUCHA..
Ukimzingua ana SUSA,, lini ataKUJA,, KUJALI..
Kama BABA,, huwezi uka BABAISHWA..
Cha msingi KAZA na kazalika..
Ukijitia mnyonge FADHA,, uta FADHAIKA..
Respect sana kwa wenye familia
Nyie wengine
BWANA awe NANYI
Mke ana SUKA,, ndani hamna SUKARI.. Anapenda nyimbo za KUSA,, ashasahau ata KUSALI.. kila panapo KUCHA,, anabadili KUCHA.. Ukimzingua ana SUSA,, lini ataKUJA,, KUJALI.. Kama BABA,, huwezi uka BABAISHWA.. Cha msingi KAZA na kazalika.. Ukijitia mnyonge FADHA,, uta FADHAIKA.. Respect sana kwa wenye familia Nyie wengine BWANA awe NANYI
0 التعليقات ·0 المشاركات ·128 مشاهدة