Marapper wanapigania uking wakati game inachangamoto nyingi!!
Wanakaza sana lakini kutoboa inakuwa tabu tunawekewa vigingi!!
Na hip hop ndio msimamo we2 2namisingi ye2 2naamini kwa wingi!!
Na game ye2 ni kama draft tutapenya vp mpaka kuingia kingi!!
Ata tukionga mkwanja tutaambulia kufika stage kupafom ila atutopata vingi!!
2kaze tu buti ata nyumba ujengwa ila inaanza navmsingi!!
Weka imani na uwakika nafsi yako na uwezo wako auwezi kukupiga chini!!
Kutoboa sio raisi kama maraya kuishusha bikini!!
Aijalishi rapper mwenzangu unauwezo gani tajili au masikini!!
Kaza 2 kamba iposiku utatoboa ata wakibana Kama bikra amini we fanya 2 rap tia ,pini!!
Rapper kuwa makini na ukifanyacho usiwe kama maraya anaevaa kimini!!
Marapper wanapigania uking wakati game inachangamoto nyingi!! Wanakaza sana lakini kutoboa inakuwa tabu tunawekewa vigingi!! Na hip hop ndio msimamo we2 2namisingi ye2 2naamini kwa wingi!! Na game ye2 ni kama draft tutapenya vp mpaka kuingia kingi!! Ata tukionga mkwanja tutaambulia kufika stage kupafom ila atutopata vingi!! 2kaze tu buti ata nyumba ujengwa ila inaanza navmsingi!! Weka imani na uwakika nafsi yako na uwezo wako auwezi kukupiga chini!! Kutoboa sio raisi kama maraya kuishusha bikini!! Aijalishi rapper mwenzangu unauwezo gani tajili au masikini!! Kaza 2 kamba iposiku utatoboa ata wakibana Kama bikra amini we fanya 2 rap tia ,pini!! Rapper kuwa makini na ukifanyacho usiwe kama maraya anaevaa kimini!!
0 Commentarios ·0 Acciones ·171 Views