Niseme kweli yule Dada mchizi ALIMPENDA..::
Toka moyoni kwa dhati bila KUMTENDA..::
Alifanya vyote hadi kwao ALIKWENDA..::
Yanauma kweli aliyofanyiwa moyoni haku PENDA..::
vyote kupoteza hakujali kwenye mapenzi hakuJAJI..::
Lakini mapenzi kwake ilikuwa kama AJALI..::
Baada ya ndoa vituko masimango hakupata AFADHALI..::
Sijui zaidi tunguli ama alifanyiwa kipi Zipo DALILI..::
Nahisi ilikuwa juju Alifanywa kama kuku basi dish ni ZUKU..::
mwisho alishindwa maumivu uvumilivu shingoni aliweka DUKU..::
Mapenzi sumu ukithubutu unahitaji TIBA..::
Toka moyoni kwa dhati bila KUMTENDA..::
Alifanya vyote hadi kwao ALIKWENDA..::
Yanauma kweli aliyofanyiwa moyoni haku PENDA..::
vyote kupoteza hakujali kwenye mapenzi hakuJAJI..::
Lakini mapenzi kwake ilikuwa kama AJALI..::
Baada ya ndoa vituko masimango hakupata AFADHALI..::
Sijui zaidi tunguli ama alifanyiwa kipi Zipo DALILI..::
Nahisi ilikuwa juju Alifanywa kama kuku basi dish ni ZUKU..::
mwisho alishindwa maumivu uvumilivu shingoni aliweka DUKU..::
Mapenzi sumu ukithubutu unahitaji TIBA..::
Niseme kweli yule Dada mchizi ALIMPENDA..::
Toka moyoni kwa dhati bila KUMTENDA..::
Alifanya vyote hadi kwao ALIKWENDA..::
Yanauma kweli aliyofanyiwa moyoni haku PENDA..::
vyote kupoteza hakujali kwenye mapenzi hakuJAJI..::
Lakini mapenzi kwake ilikuwa kama AJALI..::
Baada ya ndoa vituko masimango hakupata AFADHALI..::
Sijui zaidi tunguli ama alifanyiwa kipi Zipo DALILI..::
Nahisi ilikuwa juju Alifanywa kama kuku basi dish ni ZUKU..::
mwisho alishindwa maumivu uvumilivu shingoni aliweka DUKU..::
Mapenzi sumu ukithubutu unahitaji TIBA..::
