machozi usoni...tumbonii nateseka..

zahili machoni...wenye nacho wanacheka.

nafuu sioni...kwa njaa natetemeka..

ndugu wananikataa furaha imetoweka..

ujana ni mwendo..vitendo futa maringo sababu uwezo duni wananipa migongo..

muumba wa upendo usinitupe mzalendo nilie tukuka... na sina pigo za kirembo..

bado nasubili jioni halfajili naitaji kupata mchongo sio mchongo unipate.

nina fikili akuna aja ya kukalili inabidi nifate kazi sio kazi inifate...

nimechoka kama jani la mgomba..

kichwani usia mwingi wa ding acha wachumba..

kuwa makini punguza wakina zai..

utapoteza uhai ukitulia utafurahi..
machozi usoni...tumbonii nateseka.. zahili machoni...wenye nacho wanacheka. nafuu sioni...kwa njaa natetemeka.. ndugu wananikataa furaha imetoweka.. ujana ni mwendo..vitendo futa maringo sababu uwezo duni wananipa migongo.. muumba wa upendo usinitupe mzalendo nilie tukuka... na sina pigo za kirembo.. bado nasubili jioni halfajili naitaji kupata mchongo sio mchongo unipate. nina fikili akuna aja ya kukalili inabidi nifate kazi sio kazi inifate... nimechoka kama jani la mgomba.. kichwani usia mwingi wa ding acha wachumba.. kuwa makini punguza wakina zai.. utapoteza uhai ukitulia utafurahi..
0 Комментарии ·0 Поделились ·198 Просмотры