niwatakie Usku mwema..ndugu rafik jamaa/
mungu awape neema..awalinde kila masaa/
ashushe zake rehema..kupitia hii Sanaa/
bila kusahau kuhema..atuepushe na balaa/
awa ponye navilema..walio kata tamaa/
pia walazwe pema..walio tutoka haswaa/
nashukuru leo nasema..kwako nahisi nafaa/
narudia tena natena..eh! mungu walinde jamaa/
mungu awape neema..awalinde kila masaa/
ashushe zake rehema..kupitia hii Sanaa/
bila kusahau kuhema..atuepushe na balaa/
awa ponye navilema..walio kata tamaa/
pia walazwe pema..walio tutoka haswaa/
nashukuru leo nasema..kwako nahisi nafaa/
narudia tena natena..eh! mungu walinde jamaa/
niwatakie Usku mwema..ndugu rafik jamaa/
mungu awape neema..awalinde kila masaa/
ashushe zake rehema..kupitia hii Sanaa/
bila kusahau kuhema..atuepushe na balaa/
awa ponye navilema..walio kata tamaa/
pia walazwe pema..walio tutoka haswaa/
nashukuru leo nasema..kwako nahisi nafaa/
narudia tena natena..eh! mungu walinde jamaa/
0 Kommentare
·0 Anteile
·57 Ansichten