Ahsante mungu baba mwenyezi,, ulie juu..
Ume niumba ben,, kwenye hii dunia sayali ya taa tuu..
Uka nijaza uhai hii ni pumzi,, ukanipa ndugu na jamaa na fikra za juu..
Ahsante mwenyezi,, uli niongeza ujuzi nipende rap ata bila kipaza sauti iende juu..
Inanibidi kushukuru,, mi sio mnyama wala ndege..
Ume niweka mtu huru,, ukanipa mwenza anipunguze ***ge..
Kwa hili andiko nashukuru,, tuzae tuzaliane duniani tujazane..
Hila wengi wana kufuru,, wana fanya abortion kijacho kinatupwa usiku wa manane..
Mwingi wa rehema kwako nashukuru,, mi nawana tupendane..
Ume niumba ben,, kwenye hii dunia sayali ya taa tuu..
Uka nijaza uhai hii ni pumzi,, ukanipa ndugu na jamaa na fikra za juu..
Ahsante mwenyezi,, uli niongeza ujuzi nipende rap ata bila kipaza sauti iende juu..
Inanibidi kushukuru,, mi sio mnyama wala ndege..
Ume niweka mtu huru,, ukanipa mwenza anipunguze ***ge..
Kwa hili andiko nashukuru,, tuzae tuzaliane duniani tujazane..
Hila wengi wana kufuru,, wana fanya abortion kijacho kinatupwa usiku wa manane..
Mwingi wa rehema kwako nashukuru,, mi nawana tupendane..
Ahsante mungu baba mwenyezi,, ulie juu..
Ume niumba ben,, kwenye hii dunia sayali ya taa tuu..
Uka nijaza uhai hii ni pumzi,, ukanipa ndugu na jamaa na fikra za juu..
Ahsante mwenyezi,, uli niongeza ujuzi nipende rap ata bila kipaza sauti iende juu..
Inanibidi kushukuru,, mi sio mnyama wala ndege..
Ume niweka mtu huru,, ukanipa mwenza anipunguze ***ge..
Kwa hili andiko nashukuru,, tuzae tuzaliane duniani tujazane..
Hila wengi wana kufuru,, wana fanya abortion kijacho kinatupwa usiku wa manane..
Mwingi wa rehema kwako nashukuru,, mi nawana tupendane..
0 Комментарии
·0 Поделились
·60 Просмотры