Baba nibaliki nitoboe hiii life..
Hal yangu siyo mzuri ame left hadi wife..
Sina njia nyingi.. nakuomba uni bless..
Harakati ziwe nyingi.. nipe na njia nyepesi..
Nipe liziki ya kushiba niijaze pochi..
Mishe zisizo isha life yangu iwe soft..
Baba wambinguni nibaliki kira atua..
Kira mishe isifeli ili niweze kutusua..
Baba wachome wanga.. Wachawi wakimbize nipe nguvu ya ushindi..
Baba usiniache.. Wanga wakafulai..
Nizunguke kira kona.. hadi waseme najidai..
Nipe macho ya hekima naya kuona vema..
Dunia ina mengi ili nipate mke mwema..
Baba kaa nami ni usiku tena..
Dunia inagiza nisije nikazama tenaa..
Hee mungu wa mbinguni... Usiluhusu uzuni.. Nataka ni fulahi unikumbuke na mbinguni..
Nipe kichwa chepesi nilijue neno lako..
Hee baba nibaliki nitokapo niingiapo pasipo bila uwepo wako..
Ameeen
Baba nibaliki nitoboe hiii life.. Hal yangu siyo mzuri ame left hadi wife.. Sina njia nyingi.. nakuomba uni bless.. Harakati ziwe nyingi.. nipe na njia nyepesi.. Nipe liziki ya kushiba niijaze pochi.. Mishe zisizo isha life yangu iwe soft.. Baba wambinguni nibaliki kira atua.. Kira mishe isifeli ili niweze kutusua.. Baba wachome wanga.. Wachawi wakimbize nipe nguvu ya ushindi.. Baba usiniache.. Wanga wakafulai.. Nizunguke kira kona.. hadi waseme najidai.. Nipe macho ya hekima naya kuona vema.. Dunia ina mengi ili nipate mke mwema.. Baba kaa nami ni usiku tena.. Dunia inagiza nisije nikazama tenaa.. Hee mungu wa mbinguni... Usiluhusu uzuni.. Nataka ni fulahi unikumbuke na mbinguni.. Nipe kichwa chepesi nilijue neno lako.. Hee baba nibaliki nitokapo niingiapo pasipo bila uwepo wako.. Ameeen🤔
Like
1
0 Commenti 0 condivisioni 290 Views