tupo motoni tuna ungua .....kira mtu ana lia
Namuona hadi pastor ...... Nayeye ana ungua....//

Aiseee cyo powaa ... Raia naona wengi
Namuona hadi wife .... Aisee naona mengi.....//

Vilio vmetawala..... Wanaume wanawake
Kira mtu ana lia .... Kwajili ya zambi zake......//

machoz yamejaa... Ayazimi ata moto
Sio wakubwa ndugu .....wanaungua hadi watoto.......//

Namuona shetani .....ana ungua akicheka
Anaonekana ana amani .... Sisi tunateseka ......//

Inatisha sanaa...... Jehanam sio powa
Aichagui mwenye zambi ....ata uwe changu doa......//

Wote tumeungua .... Tuna rangi moja
tumefunikwa na moto ..... Tunalia kira mmoja.....//

Akuna uokoaji ..... Huu moto unatisha
Ata uwe zima moto..... Kwa huu moto unasepa......//
tupo motoni tuna ungua .....kira mtu ana lia Namuona hadi pastor ...... Nayeye ana ungua....// Aiseee cyo powaa ... Raia naona wengi Namuona hadi wife .... Aisee naona mengi.....// Vilio vmetawala..... Wanaume wanawake Kira mtu ana lia .... Kwajili ya zambi zake......// machoz yamejaa... Ayazimi ata moto Sio wakubwa ndugu .....wanaungua hadi watoto.......// Namuona shetani .....ana ungua akicheka Anaonekana ana amani .... Sisi tunateseka ......// Inatisha sanaa...... Jehanam sio powa Aichagui mwenye zambi ....ata uwe changu doa......// Wote tumeungua .... Tuna rangi moja tumefunikwa na moto ..... Tunalia kira mmoja.....// Akuna uokoaji ..... Huu moto unatisha Ata uwe zima moto..... Kwa huu moto unasepa......//
Like
1
· 0 Commentarii ·0 Distribuiri ·194 Views