Ukiwa msela sio lazima kuvuta bangi..
Eti suna vidole vyote kucha umepaka rangi..
Tunaishi kwa kutegemeana kaa ukijua mganga hajigangi..
Mcho kwenye pesa hapa akasome mangi..
Sio kila mwenye sura ngumu anatakiwa kufanya hip hop..
Mbona Baraka Da prince uku ame skip up..
Kila mwenye nia hajawai ku give up..
Listening me well so easy you can catch up..
Kwenye kazi zangu usilete kujuana..
Maana hii ndo hali yangu napambana..
Nakesha kuzitafuta niko macho usiku na mchana..
Hali zetu hazifanani kama vidole vinapishana..
Maisha ya ujana ni changamoto..
Mijimama nayo inataka watoto..
Wanasambaza umeme ukigusa moto..
Wanasema mahaba niue nidekeze kama mtoto..
to be continued......
Eti suna vidole vyote kucha umepaka rangi..
Tunaishi kwa kutegemeana kaa ukijua mganga hajigangi..
Mcho kwenye pesa hapa akasome mangi..
Sio kila mwenye sura ngumu anatakiwa kufanya hip hop..
Mbona Baraka Da prince uku ame skip up..
Kila mwenye nia hajawai ku give up..
Listening me well so easy you can catch up..
Kwenye kazi zangu usilete kujuana..
Maana hii ndo hali yangu napambana..
Nakesha kuzitafuta niko macho usiku na mchana..
Hali zetu hazifanani kama vidole vinapishana..
Maisha ya ujana ni changamoto..
Mijimama nayo inataka watoto..
Wanasambaza umeme ukigusa moto..
Wanasema mahaba niue nidekeze kama mtoto..
to be continued......
Ukiwa msela sio lazima kuvuta bangi..
Eti suna vidole vyote kucha umepaka rangi..
Tunaishi kwa kutegemeana kaa ukijua mganga hajigangi..
Mcho kwenye pesa hapa akasome mangi..
Sio kila mwenye sura ngumu anatakiwa kufanya hip hop..
Mbona Baraka Da prince uku ame skip up..
Kila mwenye nia hajawai ku give up..
Listening me well so easy you can catch up..
Kwenye kazi zangu usilete kujuana..
Maana hii ndo hali yangu napambana..
Nakesha kuzitafuta niko macho usiku na mchana..
Hali zetu hazifanani kama vidole vinapishana..
Maisha ya ujana ni changamoto..
Mijimama nayo inataka watoto..
Wanasambaza umeme ukigusa moto..
Wanasema mahaba niue nidekeze kama mtoto..
to be continued......

