Ni j pili takatifu.. iliyojawa Na Amani..
Niko kikamilifu.. japo Nimepoteza adi Ramani..
Nikasema Nisitoke.. Acha Ibada Niifanye Ndani..
Kumaanisha leo Nisifoke.. Nisivute Ata Mjani..
Nikajiuliza ntaweza vipi.. Ikiwa Maandiko.. sijayashika..
Ama ndo muujiza mfupi.. Matambiko.. na Kadhalika..
Isiwe kesi nikafungua biblia.. Nimsachi yule Msaliti..
,,
to be continued
Ni j pili takatifu.. iliyojawa Na Amani.. Niko kikamilifu.. japo Nimepoteza adi Ramani.. Nikasema Nisitoke.. Acha Ibada Niifanye Ndani.. Kumaanisha leo Nisifoke.. Nisivute Ata Mjani.. Nikajiuliza ntaweza vipi.. Ikiwa Maandiko.. sijayashika.. Ama ndo muujiza mfupi.. Matambiko.. na Kadhalika.. Isiwe kesi nikafungua biblia.. Nimsachi yule Msaliti.. ,, to be continued
Like
2
· 1 Kommentare ·0 Anteile ·90 Ansichten