cheki rhyme zangu, kila kona zinavyovuma/
Mamceez wanadata, wanaelekeza kwangu shutuma/
Lyrics zangu matata,ingekuwa uchoraji mi ni John Kaduma/
nimebaki mwenyewe mtu kati/
mistari ipo makini inastahili ya-juu Hati/
na pia freestyle zangu sizitungi kwa bahati/
sijui ingekuwa vipi kama mngeilipia Vat/
Wasanii wenye chuki bado wananiwekea gundu/
wanalonga mtaani 'eti wananitoa manundu/
kuna siku mpaka walitaka kunichanja na Mundu/
wanashindwa kutambua 'ben' ni msanii mtundu!/

...........................2B Continued
cheki rhyme zangu, kila kona zinavyovuma/ Mamceez wanadata, wanaelekeza kwangu shutuma/ Lyrics zangu matata,ingekuwa uchoraji mi ni John Kaduma/ nimebaki mwenyewe mtu kati/ mistari ipo makini inastahili ya-juu Hati/ na pia freestyle zangu sizitungi kwa bahati/ sijui ingekuwa vipi kama mngeilipia Vat/ Wasanii wenye chuki bado wananiwekea gundu/ wanalonga mtaani 'eti wananitoa manundu/ kuna siku mpaka walitaka kunichanja na Mundu/ wanashindwa kutambua 'ben' ni msanii mtundu!/ ...........................2B Continued
Like
1
0 Комментарии 0 Поделились 260 Просмотры