napanda kitandani na movie ya kuzimu ndio inaanza/
narudisha miaka nyuma kurudisha enzi za HBC na KWANZA/
enzi za real hiphop hakuna vikatuni vilivyojibanza/
kigangsta napambana..bars zinapandana/
metaphorz zinafanana..punch zinafuatana/
mashairi na kinywa vinajamiiana.. ninacho ongea na ukweli vinashabihiana/
bifu zinaongezeka na emceez wanachinjana.. live kwenye cypher wanauwana/
hadi wakongwe hakuna wanaopatana.. kila mmoja anaspit kwa kina na mapana/
mapresenter wanajaribu kubana.. lakini vichwa halisi vinaendelea kuchana/
mahardcore wanamwaga vesi za kinabii kwenye cypher zinalundikana/
batto zinaanzishwa emcee feki wanafichama.. wanajifanya makamanda kumbe watoto wa mama/
naleta propaganda wote waliopo juu wanapigwa mitama/
namwona zomba ameketi peponi akichekelea..
nigga one ameketi pembeni hiphop inaongelewa..
wanadiscuss jinsi kuleta unabii hiphop bongo ikapokelewa//
nastuka duuh kumbe nilikuwa naota....................
napanda kitandani na movie ya kuzimu ndio inaanza/ narudisha miaka nyuma kurudisha enzi za HBC na KWANZA/ enzi za real hiphop hakuna vikatuni vilivyojibanza/ kigangsta napambana..bars zinapandana/ metaphorz zinafanana..punch zinafuatana/ mashairi na kinywa vinajamiiana.. ninacho ongea na ukweli vinashabihiana/ bifu zinaongezeka na emceez wanachinjana.. live kwenye cypher wanauwana/ hadi wakongwe hakuna wanaopatana.. kila mmoja anaspit kwa kina na mapana/ mapresenter wanajaribu kubana.. lakini vichwa halisi vinaendelea kuchana/ mahardcore wanamwaga vesi za kinabii kwenye cypher zinalundikana/ batto zinaanzishwa emcee feki wanafichama.. wanajifanya makamanda kumbe watoto wa mama/ naleta propaganda wote waliopo juu wanapigwa mitama/ namwona zomba ameketi peponi akichekelea.. nigga one ameketi pembeni hiphop inaongelewa.. wanadiscuss jinsi kuleta unabii hiphop bongo ikapokelewa// nastuka duuh kumbe nilikuwa naota....................
Like
1
0 Comments 0 Shares 377 Views