siwekagi beef na wapuuzi, nna beef na yangu mikrofoni/
ndo maana kila niendapo siiachi mwangu mkononi/
nna-freestyle popote east zoo maskani hata iwe kigamboni/
wengi huwa hawaamini, wanadhani wapo ndotoni/
niliwapa walokole acapella wakahisi wapo peponi/
mkitaka ku-beef na mimi, mtakaribisha watu kilioni/
ndo maana kila niendapo siiachi mwangu mkononi/
nna-freestyle popote east zoo maskani hata iwe kigamboni/
wengi huwa hawaamini, wanadhani wapo ndotoni/
niliwapa walokole acapella wakahisi wapo peponi/
mkitaka ku-beef na mimi, mtakaribisha watu kilioni/
siwekagi beef na wapuuzi, nna beef na yangu mikrofoni/
ndo maana kila niendapo siiachi mwangu mkononi/
nna-freestyle popote east zoo maskani hata iwe kigamboni/
wengi huwa hawaamini, wanadhani wapo ndotoni/
niliwapa walokole acapella wakahisi wapo peponi/
mkitaka ku-beef na mimi, mtakaribisha watu kilioni/
