Achana na nguvu za giza,
Nasoma yasiyo andikika,

Naandika yasiyosomeka,
Nakamua tumbo la nchi kutapisha elimu yaliyofichika,

Nimebeba akili za wengi niite fuvu la wenye fikra napachika,
Natembea kwenye contua za ubongo kuziunganisha zilizofutika,

Tega sikio, unasikiliza hekaya za mpatashika,
Mwelemewa wa mitungi mizito ya machozi ya wataabika,

Damu iliyogeuka wino kwenye karatasi inamiminika,
Kwa kalamu naandika,
Mikono inavimba mchiz napigika,

Hiphop fani inapozikwa nahuzunika kuliko msiba,

Napata uchungu zaidi ya nyongo inayomwagika,

Kichefuchefu nikitema mate wengi wanayazunguka wakizan yamemwagika,
Tamaa ni kuyaokota wakidhani tiba imefika,

Me ndo mc mpatashika,
Naunganisha vipande vya Hekaya zilizochanika,
Achana na nguvu za giza, Nasoma yasiyo andikika, Naandika yasiyosomeka, Nakamua tumbo la nchi kutapisha elimu yaliyofichika, Nimebeba akili za wengi niite fuvu la wenye fikra napachika, Natembea kwenye contua za ubongo kuziunganisha zilizofutika, Tega sikio, unasikiliza hekaya za mpatashika, Mwelemewa wa mitungi mizito ya machozi ya wataabika, Damu iliyogeuka wino kwenye karatasi inamiminika, Kwa kalamu naandika, Mikono inavimba mchiz napigika, Hiphop fani inapozikwa nahuzunika kuliko msiba, Napata uchungu zaidi ya nyongo inayomwagika, Kichefuchefu nikitema mate wengi wanayazunguka wakizan yamemwagika, Tamaa ni kuyaokota wakidhani tiba imefika, Me ndo mc mpatashika, Naunganisha vipande vya Hekaya zilizochanika,
Like
1
0 Kommentare 0 Anteile 320 Ansichten