JUSTIN: Kiungo Mshambuliaji wa zamani wa Simba na Yanga,Haruna Niyonzima amejiunga na Klabu ya FC AS Kigali Kwa Mkataba wa Miezi sita akitokea Rayon Sports ya Rwanda.
🚨 JUSTIN: Kiungo Mshambuliaji wa zamani wa Simba na Yanga,Haruna Niyonzima amejiunga na Klabu ya FC AS Kigali Kwa Mkataba wa Miezi sita akitokea Rayon Sports ya Rwanda.
