Je umewai ota uko juu ya paa na paa limefunguliwa ?nini maana yake
1.Kuna roho ya uvivu inakufuatilia.
Muhubiri 10:18
Mithali 19:15
2.Sababu ya uvivu unafungua roho ya umaskini kwako .
3.Roho ya usingizi mzito ndani ya mtu unaweza kuwa ni kulaza biasharazako huduma yako au hata destiny yako.
2.Usingizi ukizidi ni uzaifu ko roho ya udhaifu inataka kuingia.
Usingizi mzito ni roho kamili ya mauti .1wathethalonike 4:14
Naombaje .
1.Omba toba kwa kumaanisha
2.kataa roho ya uvivu wowote ule kwakuwauvivu ni umaskini kamili
.
3.Kataa roho ya usingizi mzito(mauti)
4.jifumze kurudi magotini pa msalaba kuomba damu yake ikufunike.
Ahsanteni sana kwa niaba ya build new eden naomba mtusamehe sana tulishimdwa kulipandisha somo hilo jana kutokana na sababu zilizo kuwa nje ya uwezo wetu.
#build new eden
#restore men position
1.Kuna roho ya uvivu inakufuatilia.
Muhubiri 10:18
Mithali 19:15
2.Sababu ya uvivu unafungua roho ya umaskini kwako .
3.Roho ya usingizi mzito ndani ya mtu unaweza kuwa ni kulaza biasharazako huduma yako au hata destiny yako.
2.Usingizi ukizidi ni uzaifu ko roho ya udhaifu inataka kuingia.
Usingizi mzito ni roho kamili ya mauti .1wathethalonike 4:14
Naombaje .
1.Omba toba kwa kumaanisha
2.kataa roho ya uvivu wowote ule kwakuwauvivu ni umaskini kamili
.
3.Kataa roho ya usingizi mzito(mauti)
4.jifumze kurudi magotini pa msalaba kuomba damu yake ikufunike.
Ahsanteni sana kwa niaba ya build new eden naomba mtusamehe sana tulishimdwa kulipandisha somo hilo jana kutokana na sababu zilizo kuwa nje ya uwezo wetu.
#build new eden
#restore men position
Je umewai ota uko juu ya paa na paa limefunguliwa ?nini maana yake
1.Kuna roho ya uvivu inakufuatilia.
Muhubiri 10:18
Mithali 19:15
2.Sababu ya uvivu unafungua roho ya umaskini kwako .
3.Roho ya usingizi mzito ndani ya mtu unaweza kuwa ni kulaza biasharazako huduma yako au hata destiny yako.
2.Usingizi ukizidi ni uzaifu ko roho ya udhaifu inataka kuingia.
Usingizi mzito ni roho kamili ya mauti .1wathethalonike 4:14
Naombaje .
1.Omba toba kwa kumaanisha
2.kataa roho ya uvivu wowote ule kwakuwauvivu ni umaskini kamili
.
3.Kataa roho ya usingizi mzito(mauti)
4.jifumze kurudi magotini pa msalaba kuomba damu yake ikufunike.
Ahsanteni sana kwa niaba ya build new eden naomba mtusamehe sana tulishimdwa kulipandisha somo hilo jana kutokana na sababu zilizo kuwa nje ya uwezo wetu.
#build new eden
#restore men position
