• Fc Barcelona wana nia ya dhati ya kumsajili nyota wa Marseille, Mason Greenwood na wameanza kufuatilia maendeleo yake tokea alipokuwa Getafe kwa mkopo .

    Taarifa zilizopo maskauti wa Fc Barcelona walikuwepo kwenye mchezo wa Marseille dhidi ya Le Havre uliopigwa weekend hii wakifuatilia kwa ukaribu maendeleo ya Mason Greenwood.

    Kwenye mchezo huo Greenwood aliisaidia timu yake kuibuka na ushindi wa goli 6-2 huku akifunga magoli 4.

    #SportsElite
    Fc Barcelona wana nia ya dhati ya kumsajili nyota wa Marseille, Mason Greenwood na wameanza kufuatilia maendeleo yake tokea alipokuwa Getafe kwa mkopo . Taarifa zilizopo maskauti wa Fc Barcelona walikuwepo kwenye mchezo wa Marseille dhidi ya Le Havre uliopigwa weekend hii wakifuatilia kwa ukaribu maendeleo ya Mason Greenwood. Kwenye mchezo huo Greenwood aliisaidia timu yake kuibuka na ushindi wa goli 6-2 huku akifunga magoli 4. #SportsElite
    0 Commenti ·0 condivisioni ·21 Views
  • Iran yakataa mazungumzo na Trump, yakanusha madai ya uharibifu wa nyuklia.

    Katika kile kinachoonekana kuwa kuendelea kwa mvutano wa kidiplomasia kati ya Marekani na Iran, Kiongozi Mkuu wa Iran, Ayatollah Ali Khamenei, ameibuka hadharani na kukataa pendekezo la Rais wa Marekani, Donald Trump, la kurejea kwenye meza ya mazungumzo.

    Akizungumza kupitia vyombo vya habari vya Serikali, Khamenei alisema wazi kuwa pendekezo la Trump halikuwa la kweli, bali ni jaribio la kulazimisha makubaliano kwa njia ya vitisho.

    "Trump anasema yeye ni Mtaalamu wa kufanikisha makubaliano, lakini kama makubaliano hayo yanaambatana na shinikizo na matokeo yake tayari yameamuliwa, basi hiyo siyo makubaliano bali ni kulazimisha na vitisho," - Ayatollah Ali Khamenei.

    Kauli hiyo ya Khamenei imekuja kufuatia hotuba ya Trump wiki iliyopita, ambapo aliwaambia Wabunge wa Israel kwamba Marekani ingependa kufanikisha makubaliano ya amani na Tehran, hasa baada ya kutangazwa kwa usitishaji mapigano kati ya Israel na Hamas huko Gaza. Katika hotuba hiyo, Trump pia alidai kuwa:

    "Marekani imeharibu kabisa maeneo ya nyuklia ya Iran."

    Lakini Khamenei alikanusha vikali kauli hiyo, akisema:

    "Rais wa Marekani anajivunia kusema kuwa wamebomoa na kuharibu sekta ya nyuklia ya Iran. Vizuri, endeleeni kuota!"

    Kauli hizi zinaashiria kuwa uhusiano kati ya Tehran na Washington bado uko katika hali ya sintofahamu, huku Iran ikionekana kuchukua msimamo mkali dhidi ya kile inachokiona kama mbinu za mabeberu.

    Kwa sasa, haijafahamika kama juhudi za kidiplomasia zitaendelea, hasa ikizingatiwa kuwa Iran bado inashikilia haki yake ya kuendesha mpango wake wa nyuklia kama nchi huru.

    Je, unadhani mvutano huu unaweza kuzua mgogoro mpya wa kimataifa?

    Toa maoni yako
    Iran yakataa mazungumzo na Trump, yakanusha madai ya uharibifu wa nyuklia. Katika kile kinachoonekana kuwa kuendelea kwa mvutano wa kidiplomasia kati ya Marekani na Iran, Kiongozi Mkuu wa Iran, Ayatollah Ali Khamenei, ameibuka hadharani na kukataa pendekezo la Rais wa Marekani, Donald Trump, la kurejea kwenye meza ya mazungumzo. Akizungumza kupitia vyombo vya habari vya Serikali, Khamenei alisema wazi kuwa pendekezo la Trump halikuwa la kweli, bali ni jaribio la kulazimisha makubaliano kwa njia ya vitisho. "Trump anasema yeye ni Mtaalamu wa kufanikisha makubaliano, lakini kama makubaliano hayo yanaambatana na shinikizo na matokeo yake tayari yameamuliwa, basi hiyo siyo makubaliano bali ni kulazimisha na vitisho," - Ayatollah Ali Khamenei. Kauli hiyo ya Khamenei imekuja kufuatia hotuba ya Trump wiki iliyopita, ambapo aliwaambia Wabunge wa Israel kwamba Marekani ingependa kufanikisha makubaliano ya amani na Tehran, hasa baada ya kutangazwa kwa usitishaji mapigano kati ya Israel na Hamas huko Gaza. Katika hotuba hiyo, Trump pia alidai kuwa: "Marekani imeharibu kabisa maeneo ya nyuklia ya Iran." Lakini Khamenei alikanusha vikali kauli hiyo, akisema: "Rais wa Marekani anajivunia kusema kuwa wamebomoa na kuharibu sekta ya nyuklia ya Iran. Vizuri, endeleeni kuota!" Kauli hizi zinaashiria kuwa uhusiano kati ya Tehran na Washington bado uko katika hali ya sintofahamu, huku Iran ikionekana kuchukua msimamo mkali dhidi ya kile inachokiona kama mbinu za mabeberu. Kwa sasa, haijafahamika kama juhudi za kidiplomasia zitaendelea, hasa ikizingatiwa kuwa Iran bado inashikilia haki yake ya kuendesha mpango wake wa nyuklia kama nchi huru. Je, unadhani mvutano huu unaweza kuzua mgogoro mpya wa kimataifa? Toa maoni yako
    0 Commenti ·0 condivisioni ·34 Views
  • Burkina Faso yatangaza utaratibu mpya wa kusimamia fedha za mashirika yasiyo ya kiserikali (NGOs).

    Serikali ya Burkina Faso imechukua hatua mpya ya kuhakikisha uwazi na usimamizi madhubuti wa fedha zinazotumiwa na mashirika yasiyo ya kiserikali (NGOs) Nchini humo. Kuanzia sasa, mashirika yote yatahitajika kufungua akaunti katika Benki ya Kitaifa ya Amana ya Hazina (National Bank of Deposits of the Treasury).

    Uamuzi huo unalenga kufuatilia kwa karibu michakato ya kifedha ya mashirika hayo, na kuhakikisha kuwa fedha zinazotoka kwa wahisani zinatumika kwa madhumuni yaliyokusudiwa kwa uwazi na uwajibikaji wa hali ya juu.

    Hatua hii imezua mijadala kwenye majukwaa ya kijamii na ndani ya mashirika husika, ambapo baadhi wanaitazama kama njia ya kuimarisha nidhamu ya kifedha, huku wengine wakihofia kuingiliwa kwa uhuru wa mashirika ya kiraia.

    Serikali bado haijatoa taarifa ya kina kuhusu jinsi utekelezaji wa agizo hili utakavyofanyika, wala ikiwa kutakuwepo na muda maalum wa mpito kwa mashirika hayo kuhamia mfumo huo mpya wa kifedha.

    Toa maoni yako
    Burkina Faso yatangaza utaratibu mpya wa kusimamia fedha za mashirika yasiyo ya kiserikali (NGOs). Serikali ya Burkina Faso imechukua hatua mpya ya kuhakikisha uwazi na usimamizi madhubuti wa fedha zinazotumiwa na mashirika yasiyo ya kiserikali (NGOs) Nchini humo. Kuanzia sasa, mashirika yote yatahitajika kufungua akaunti katika Benki ya Kitaifa ya Amana ya Hazina (National Bank of Deposits of the Treasury). Uamuzi huo unalenga kufuatilia kwa karibu michakato ya kifedha ya mashirika hayo, na kuhakikisha kuwa fedha zinazotoka kwa wahisani zinatumika kwa madhumuni yaliyokusudiwa kwa uwazi na uwajibikaji wa hali ya juu. Hatua hii imezua mijadala kwenye majukwaa ya kijamii na ndani ya mashirika husika, ambapo baadhi wanaitazama kama njia ya kuimarisha nidhamu ya kifedha, huku wengine wakihofia kuingiliwa kwa uhuru wa mashirika ya kiraia. Serikali bado haijatoa taarifa ya kina kuhusu jinsi utekelezaji wa agizo hili utakavyofanyika, wala ikiwa kutakuwepo na muda maalum wa mpito kwa mashirika hayo kuhamia mfumo huo mpya wa kifedha. Toa maoni yako
    0 Commenti ·0 condivisioni ·118 Views
  • AYRA STARR AANDIKA HISTORIA KWENYE YOUTUBE KUPITIA WIMBO WAKE “RUSH”.

    Nyota wa muziki kutoka Nigeria, Ayra Starr, ameweka rekodi ya kipekee na kuandika jina lake kwenye vitabu vya historia ya burudani barani Afrika. Kupitia wimbo wake maarufu Rush, Ayra Starr amekuwa Msanii wa kwanza wa kike barani Afrika kufikisha zaidi ya Watazamaji milioni 500 kwenye mtandao wa YouTube kwa wimbo mmoja wa solo.

    Kupitia ukurasa wake rasmi wa Instagram, Ayra alishiriki furaha yake kwa mafanikio hayo na kusema:

    “Sauti ya Gen-Z kutoka Afrika inasikika! Rush imefanya historia, na hii ni mwanzo tu.”

    Kwa mafanikio haya, Rush imejiunga na orodha ya video tano bora za muziki za Kiafrika zilizotazamwa zaidi kila wakati kwenye YouTube.

    - Calm Down : Rema
    - Jerusalema : Master KG ft. Nomcebo Zikode
    - Love Nwantiti : CKay
    - Magic In The Air : Magic System

    Kinachovutia zaidi ni kwamba, licha ya umaarufu wa Wasanii kama Burna Boy, Wizkid, Davido, pamoja na wakali wa kimataifa kama NBA YoungBoy, Polo G, Lil Tjay, NLE Choppa, na Lil Durk, hakuna hata mmoja wao ambaye amewahi kufikisha Watazamaji zaidi ya milioni 500 kwa wimbo mmoja wa solo kwenye jukwaa la YouTube tofauti na Ayra Starr.

    Rekodi hii inaendelea kuimarisha nafasi ya Ayra Starr kama sauti muhimu ya kizazi kipya cha muziki barani Afrika, hasa kwa kizazi cha Gen-Z, na kuonyesha ukuaji wa ushawishi wa Wanawake kwenye tasnia ya muziki wa kimataifa.

    “Rush is not just a song, it’s a movement.” - Ayra Starr

    Pongezi kwa Ayra kwa kuwakilisha Afrika kwa kishindo duniani!
    AYRA STARR AANDIKA HISTORIA KWENYE YOUTUBE KUPITIA WIMBO WAKE “RUSH”. Nyota wa muziki kutoka Nigeria, Ayra Starr, ameweka rekodi ya kipekee na kuandika jina lake kwenye vitabu vya historia ya burudani barani Afrika. Kupitia wimbo wake maarufu Rush, Ayra Starr amekuwa Msanii wa kwanza wa kike barani Afrika kufikisha zaidi ya Watazamaji milioni 500 kwenye mtandao wa YouTube kwa wimbo mmoja wa solo. Kupitia ukurasa wake rasmi wa Instagram, Ayra alishiriki furaha yake kwa mafanikio hayo na kusema: “Sauti ya Gen-Z kutoka Afrika inasikika! Rush imefanya historia, na hii ni mwanzo tu.” Kwa mafanikio haya, Rush imejiunga na orodha ya video tano bora za muziki za Kiafrika zilizotazamwa zaidi kila wakati kwenye YouTube. - Calm Down : Rema - Jerusalema : Master KG ft. Nomcebo Zikode - Love Nwantiti : CKay - Magic In The Air : Magic System Kinachovutia zaidi ni kwamba, licha ya umaarufu wa Wasanii kama Burna Boy, Wizkid, Davido, pamoja na wakali wa kimataifa kama NBA YoungBoy, Polo G, Lil Tjay, NLE Choppa, na Lil Durk, hakuna hata mmoja wao ambaye amewahi kufikisha Watazamaji zaidi ya milioni 500 kwa wimbo mmoja wa solo kwenye jukwaa la YouTube tofauti na Ayra Starr. Rekodi hii inaendelea kuimarisha nafasi ya Ayra Starr kama sauti muhimu ya kizazi kipya cha muziki barani Afrika, hasa kwa kizazi cha Gen-Z, na kuonyesha ukuaji wa ushawishi wa Wanawake kwenye tasnia ya muziki wa kimataifa. “Rush is not just a song, it’s a movement.” - Ayra Starr Pongezi kwa Ayra kwa kuwakilisha Afrika kwa kishindo duniani!
    0 Commenti ·0 condivisioni ·139 Views
  • Arnold Schwarzenegger awasilisha mpango wa kuokoa demokrasia Marekani.

    Mwigizaji Nguli wa Hollywood na Gavana wa zamani wa Jimbo la California, Arnold Schwarzenegger, ameibuka na pendekezo la kina la kuimarisha demokrasia Nchini Marekani. Katika mahojiano yake kwenye kipindi maarufu cha Real Time with Bill Maher, Schwarzenegger alifichua mpango wa hatua tatu ambao anauona kama njia ya “kupatanisha pande zote mbili” yaani Republican na Democratic. Katika maelezo yake rasmi, Schwarzenegger alisema:

    “Tunapaswa kutangaza Siku ya Uchaguzi kuwa likizo ya kitaifa, kuhakikisha kuwa ramani za kisiasa zinatengenezwa na tume huru zisizoegemea upande wowote, na kuimarisha mifumo ya utambulisho wa wapiga kura.”

    Mpango huu, ambao una lengo la kuhamasisha ushiriki mpana wa Wananchi na kulinda uadilifu wa chaguzi, umeungwa mkono na hoja za kisera zinazoegemea misingi ya haki, usawa na uwazi.

    Schwarzenegger pia hakusita kuelezea wasiwasi wake kuhusu Pendekezo la 50 la California, akiliona kama:

    “Hila kubwa ambayo inaweza kurudisha ramani za uchaguzi mikononi mwa Wanasiasa badala ya Wataalamu huru.”

    Kwa mujibu wake, hatua hiyo ya kuruhusu Wanasiasa kushiriki katika uundwaji wa ramani ya majimbo inaweza kuathiri vibaya uwakilishi wa haki kwa Wananchi.

    Mpango huu wa Schwarzenegger una mvuto wa kipekee kwa kuwa unachanganya ushawishi wa jina kubwa na hoja nzito za kisera. Hata hivyo, utekelezaji wake unategemea mabadiliko ya kisheria, mjadala wa kina wa kitaifa, na maridhiano kati ya vyama viwili vikuu vya siasa.

    Kwa mujibu wa Wachambuzi wa siasa za Marekani, hoja za Schwarzenegger zinaibua maswali mapana kuhusu:

    - Usawa katika chaguzi,
    - Usalama wa mfumo wa upigaji kura,
    - Na mwelekeo wa demokrasia ya Marekani kwa vizazi vijavyo.

    Mpaka sasa, bado haijajulikana iwapo pendekezo hili litaungwa mkono na Wabunge, lakini bila shaka, Schwarzenegger amejipambanua tena, safari hii siyo kwenye sinema au siasa za majimbo tu, bali kwenye uwanja mpana wa mustakabali wa kidemokrasia wa taifa lake.
    Arnold Schwarzenegger awasilisha mpango wa kuokoa demokrasia Marekani. Mwigizaji Nguli wa Hollywood na Gavana wa zamani wa Jimbo la California, Arnold Schwarzenegger, ameibuka na pendekezo la kina la kuimarisha demokrasia Nchini Marekani. Katika mahojiano yake kwenye kipindi maarufu cha Real Time with Bill Maher, Schwarzenegger alifichua mpango wa hatua tatu ambao anauona kama njia ya “kupatanisha pande zote mbili” yaani Republican na Democratic. Katika maelezo yake rasmi, Schwarzenegger alisema: “Tunapaswa kutangaza Siku ya Uchaguzi kuwa likizo ya kitaifa, kuhakikisha kuwa ramani za kisiasa zinatengenezwa na tume huru zisizoegemea upande wowote, na kuimarisha mifumo ya utambulisho wa wapiga kura.” Mpango huu, ambao una lengo la kuhamasisha ushiriki mpana wa Wananchi na kulinda uadilifu wa chaguzi, umeungwa mkono na hoja za kisera zinazoegemea misingi ya haki, usawa na uwazi. Schwarzenegger pia hakusita kuelezea wasiwasi wake kuhusu Pendekezo la 50 la California, akiliona kama: “Hila kubwa ambayo inaweza kurudisha ramani za uchaguzi mikononi mwa Wanasiasa badala ya Wataalamu huru.” Kwa mujibu wake, hatua hiyo ya kuruhusu Wanasiasa kushiriki katika uundwaji wa ramani ya majimbo inaweza kuathiri vibaya uwakilishi wa haki kwa Wananchi. Mpango huu wa Schwarzenegger una mvuto wa kipekee kwa kuwa unachanganya ushawishi wa jina kubwa na hoja nzito za kisera. Hata hivyo, utekelezaji wake unategemea mabadiliko ya kisheria, mjadala wa kina wa kitaifa, na maridhiano kati ya vyama viwili vikuu vya siasa. Kwa mujibu wa Wachambuzi wa siasa za Marekani, hoja za Schwarzenegger zinaibua maswali mapana kuhusu: - Usawa katika chaguzi, - Usalama wa mfumo wa upigaji kura, - Na mwelekeo wa demokrasia ya Marekani kwa vizazi vijavyo. Mpaka sasa, bado haijajulikana iwapo pendekezo hili litaungwa mkono na Wabunge, lakini bila shaka, Schwarzenegger amejipambanua tena, safari hii siyo kwenye sinema au siasa za majimbo tu, bali kwenye uwanja mpana wa mustakabali wa kidemokrasia wa taifa lake.
    0 Commenti ·0 condivisioni ·111 Views
  • Vurugu mitandaoni! Ned Nwoko amvaa Regina Daniels, asema "ameharibu familia yetu".

    Mitandao ya kijamii imewaka moto kufuatia tuhuma nzito zilizotolewa na Bilionea na mwanasiasa mashuhuri kutoka Nigeria, Prince Ned Nwoko, dhidi ya Mke wake, Mwigizaji maarufu wa filamu za Nigeria (Nollywood) Regina Daniels. Kupitia chapisho la video kwenye ukurasa wake wa Instagram, Nwoko amemshutumu Regina kwa kile alichokiita "vurugu za kupindukia" pamoja na matumizi mabaya ya dawa za kulevya na pombe.

    Katika maneno yake, Ned aliandika: “Hakuwa hivi mwanzo… kile kinachotokea sasa kimeharibu kabisa utulivu wa familia yetu.”

    Nwoko alieleza kuwa ndani ya saa 48, Regina alifanya fujo kubwa nyumbani kwao akiwapiga Wafanyakazi watatu wa ndani, kuharibu mali, na kusababisha uharibifu mkubwa bila sababu ya msingi.

    Kwa mujibu wa chapisho hilo la Instagram: “Nimetoa masharti ya wazi kwake. Lazima akubali kwenda kwenye tiba ya kuacha dawa, iwe ndani au nje ya Nchi. Vinginevyo, naogopa kwa usalama wake.” - Prince Ned Nwoko.

    Katika tuhuma hizo, Ned alimtaja mtu aitwaye Sammy kama Muuzaji mkuu wa dawa kwa Regina, huku pia akilitaja jina la Ann, akisema anahusika katika kile alichokiita “mzunguko wa maovu.”

    Tukio hili limetikisa jamii ya mtandaoni, huku baadhi ya mashabiki wakionesha mshangao, wengine wakimtetea Regina, na wengi wakitaka ukweli wa kina juu ya maisha ya kifahari ya wawili hao.

    Je, hii ni drama ya ndoa ya Mastaa au kuna jambo kubwa zaidi nyuma ya pazia?
    Vurugu mitandaoni! Ned Nwoko amvaa Regina Daniels, asema "ameharibu familia yetu". Mitandao ya kijamii imewaka moto kufuatia tuhuma nzito zilizotolewa na Bilionea na mwanasiasa mashuhuri kutoka Nigeria, Prince Ned Nwoko, dhidi ya Mke wake, Mwigizaji maarufu wa filamu za Nigeria (Nollywood) Regina Daniels. Kupitia chapisho la video kwenye ukurasa wake wa Instagram, Nwoko amemshutumu Regina kwa kile alichokiita "vurugu za kupindukia" pamoja na matumizi mabaya ya dawa za kulevya na pombe. Katika maneno yake, Ned aliandika: “Hakuwa hivi mwanzo… kile kinachotokea sasa kimeharibu kabisa utulivu wa familia yetu.” Nwoko alieleza kuwa ndani ya saa 48, Regina alifanya fujo kubwa nyumbani kwao akiwapiga Wafanyakazi watatu wa ndani, kuharibu mali, na kusababisha uharibifu mkubwa bila sababu ya msingi. Kwa mujibu wa chapisho hilo la Instagram: “Nimetoa masharti ya wazi kwake. Lazima akubali kwenda kwenye tiba ya kuacha dawa, iwe ndani au nje ya Nchi. Vinginevyo, naogopa kwa usalama wake.” - Prince Ned Nwoko. Katika tuhuma hizo, Ned alimtaja mtu aitwaye Sammy kama Muuzaji mkuu wa dawa kwa Regina, huku pia akilitaja jina la Ann, akisema anahusika katika kile alichokiita “mzunguko wa maovu.” Tukio hili limetikisa jamii ya mtandaoni, huku baadhi ya mashabiki wakionesha mshangao, wengine wakimtetea Regina, na wengi wakitaka ukweli wa kina juu ya maisha ya kifahari ya wawili hao. Je, hii ni drama ya ndoa ya Mastaa au kuna jambo kubwa zaidi nyuma ya pazia?
    0 Commenti ·0 condivisioni ·133 Views
  • Alloyce Nyanda

    Mtani wangu @gersonmsigwa mbona umekanusha kwa herufi kubwa hivyo ku likes Picha ya Mange

    Unajua acha nikusaidie Mtani ufahamu kuwa katika Hii Dunia Serikali zote Duniani huwa zinajaribu kuhakikisha zina “control information

    Uki Control Informatio utakuwa na nguvu ya kumuita Malaika-Shetani na shetani ukamuita Malaika na dunia itatii na haitahoji.

    Wenye nguvu za utoaji wa taarifa za dunia waliwahi ku control Information na kuuambia ulimwengu kuwa Muammar al-Gaddafi ni gaidi na dunia ikatii amri

    Waliandika kwa lugha zao nasi tukatafsiri kwa lugha yetu na tukamuita mwana wa Afrika Gadafi ni Gaidi.

    “Information is power”. Sasa wewe badala ya Kupambana ku Control Information wewe unapambana Kukanusha haitakusaidia wewe wala serikali yetu.

    Na Ku control Information huwa sio kuzima Internet au kufunga Mitandao kwa sababu wanaotaka taarifa wameshajua watapataje ndio wana VPN na wapo tayari Kulipia

    nataka nikushauri Msemaji ukifanyie kazi kwa haraka badala ya kukanusha na kulalamika jenga uwezo wa kumiliki nguvu ya Taarifa iliyokaribu na umma.

    Jitaidi Pages za serikali zenye kutoa taarifa zifanye ziwe na nguvu ili ziwe karibu na jamii yake sasa haiwezekani Mange Kimambi awe na ukaribu na jamii kiasi hicho kuliko serikali yenyewe.

    Unakuta wizara ya Afya badala ya kutengeneza maudhui yenye kuisogeza jamii karibu nayo wao wanaweza hata kupost picha waziri anasalimiana na Dkt na kuigeuza kuwa jambo la maana kupeleka kwa watu .

    Sasa kwa hulka hiyo utawezaje Ku control Power ya Taarifa? ukimkuta Mange amechapa Hospital X haina Vifaa wananchi wanaona huyu ndiye anatusaidia na wewe @gersonmsigwa unabakiza kazi ya kukanusha tu wakati unayo nafasi ya kueleza situation ya Hospital hata kabla ya wengine kupost

    Lazima idara za serikali zigeuzwe kuwa na uwezo wa kufanya Visibility kubwa , unadhani wewe Msigwa utaweza peke yako? Utachekwa tu

    Utakanusha ma ngapi na utapinga Ma ngapi? maana hata leo kuonekana umelikes page umehaha mbaya why? Wewe Pambana kuifanya Jamii kuiamini serikali zaidi ili wampuuze Mange

    Unataka kweli U contol Information kwa mbinu ya Mwijaku au Mzee wangu au Mafufu? (Utaishia kuchekesha tu)

    Power of Informations
    Alloyce Nyanda ✍️ Mtani wangu @gersonmsigwa mbona umekanusha kwa herufi kubwa hivyo ku likes Picha ya Mange Unajua acha nikusaidie Mtani ufahamu kuwa katika Hii Dunia Serikali zote Duniani huwa zinajaribu kuhakikisha zina “control information Uki Control Informatio utakuwa na nguvu ya kumuita Malaika-Shetani na shetani ukamuita Malaika na dunia itatii na haitahoji. Wenye nguvu za utoaji wa taarifa za dunia waliwahi ku control Information na kuuambia ulimwengu kuwa Muammar al-Gaddafi ni gaidi na dunia ikatii amri Waliandika kwa lugha zao nasi tukatafsiri kwa lugha yetu na tukamuita mwana wa Afrika Gadafi ni Gaidi. “Information is power”. Sasa wewe badala ya Kupambana ku Control Information wewe unapambana Kukanusha haitakusaidia wewe wala serikali yetu. Na Ku control Information huwa sio kuzima Internet au kufunga Mitandao kwa sababu wanaotaka taarifa wameshajua watapataje ndio wana VPN na wapo tayari Kulipia nataka nikushauri Msemaji ukifanyie kazi kwa haraka badala ya kukanusha na kulalamika jenga uwezo wa kumiliki nguvu ya Taarifa iliyokaribu na umma. Jitaidi Pages za serikali zenye kutoa taarifa zifanye ziwe na nguvu ili ziwe karibu na jamii yake sasa haiwezekani Mange Kimambi awe na ukaribu na jamii kiasi hicho kuliko serikali yenyewe. Unakuta wizara ya Afya badala ya kutengeneza maudhui yenye kuisogeza jamii karibu nayo wao wanaweza hata kupost picha waziri anasalimiana na Dkt na kuigeuza kuwa jambo la maana kupeleka kwa watu . Sasa kwa hulka hiyo utawezaje Ku control Power ya Taarifa? ukimkuta Mange amechapa Hospital X haina Vifaa wananchi wanaona huyu ndiye anatusaidia na wewe @gersonmsigwa unabakiza kazi ya kukanusha tu wakati unayo nafasi ya kueleza situation ya Hospital hata kabla ya wengine kupost Lazima idara za serikali zigeuzwe kuwa na uwezo wa kufanya Visibility kubwa , unadhani wewe Msigwa utaweza peke yako? Utachekwa tu Utakanusha ma ngapi na utapinga Ma ngapi? maana hata leo kuonekana umelikes page umehaha mbaya why? Wewe Pambana kuifanya Jamii kuiamini serikali zaidi ili wampuuze Mange Unataka kweli U contol Information kwa mbinu ya Mwijaku au Mzee wangu au Mafufu? (Utaishia kuchekesha tu) Power of Informations
    0 Commenti ·0 condivisioni ·123 Views
  • Above Ground Pool Cleaner
    https://poolproductscanada.ca/collections/above-ground-pool-cleaner

    Shop above ground pool cleaners in Canada. Robotic, automatic & suction cleaners. We have the best pricing on the brands Hayward, Pentair, Maytronics & Zodiac. Call us today!
    Above Ground Pool Cleaner https://poolproductscanada.ca/collections/above-ground-pool-cleaner Shop above ground pool cleaners in Canada. Robotic, automatic & suction cleaners. We have the best pricing on the brands Hayward, Pentair, Maytronics & Zodiac. Call us today!
    Above Ground Pool Cleaners
    poolproductscanada.ca
    Shop above ground pool cleaners in Canada. Robotic, automatic & suction cleaners. We have the best pricing on the brands Hayward, Pentair, Maytronics & Zodiac. Call us today!
    0 Commenti ·0 condivisioni ·120 Views
  • Pressure Pool Cleaner
    https://poolproductscanada.ca/collections/pressure-side-pool-cleaner

    Shop pressure side pool cleaners for in ground pools in Canada. We have the best pricing on the brands such as Polaris, Pentair & Hayward. Call us for expert advice!
    Pressure Pool Cleaner https://poolproductscanada.ca/collections/pressure-side-pool-cleaner Shop pressure side pool cleaners for in ground pools in Canada. We have the best pricing on the brands such as Polaris, Pentair & Hayward. Call us for expert advice!
    Pressure Side Pool Cleaners
    poolproductscanada.ca
    Pressure side pool cleaners utilize a pressure line from the filtration system to propel the cleaner around your pool. When debris is sucked up, it's pushed into the cleaner's self-contained debris bag. Top brands Polaris, Pentair and Hayward pressure side pool cleaners available at www.poolproductscanada.ca
    0 Commenti ·0 condivisioni ·101 Views
  • Robotic Pool Cleaner
    https://poolproductscanada.ca/collections/robotic-pool-cleaner

    Shop robotic pool cleaners in Canada for in ground pools. We have the best pricing on brands such as: Hayward, Pentair, Polaris & Maytronics. Call today for expert advice!
    Robotic Pool Cleaner https://poolproductscanada.ca/collections/robotic-pool-cleaner Shop robotic pool cleaners in Canada for in ground pools. We have the best pricing on brands such as: Hayward, Pentair, Polaris & Maytronics. Call today for expert advice!
    Robotic Pool Cleaners
    poolproductscanada.ca
    Pool Products Canada carries all the top brands of robotic pool cleaners. Polaris pool cleaners, Maytronics Dolphin pool cleaners, Hayward pool cleaners, Pentair pool cleaners, Madimack robotic cleaners and more. We ship fast across Canada visit www.poolproductscanada.ca
    0 Commenti ·0 condivisioni ·111 Views
  • In Ground Pool Cleaner
    https://poolproductscanada.ca/collections/ground-product-cleaners

    Hayward pool cleaners canada, Pentair pool cleaners, Polaris pool cleaner, zodiac pool cleaner, cheap pool cleaner, automatic pool cleaners Canada, aquavac 500, aquavac, tigershark qc, evac, evac pro, dv5000, P9300
    In Ground Pool Cleaner https://poolproductscanada.ca/collections/ground-product-cleaners Hayward pool cleaners canada, Pentair pool cleaners, Polaris pool cleaner, zodiac pool cleaner, cheap pool cleaner, automatic pool cleaners Canada, aquavac 500, aquavac, tigershark qc, evac, evac pro, dv5000, P9300
    In Ground Product Cleaners
    poolproductscanada.ca
    Hayward pool cleaners canada, Pentair pool cleaners, Polaris pool cleaner, zodiac pool cleaner, cheap pool cleaner, automatic pool cleaners Canada, aquavac 500, aquavac, tigershark qc, evac, evac pro, dv5000, P9300
    0 Commenti ·0 condivisioni ·79 Views
  • Commercial Pool Pump
    https://poolproductscanada.ca/collections/commercial-swimming-pool-pumps

    Shop for commercial swimming pool pumps in Canada. We have the best pricing on the brands you want such as Hayward, Pentair & Sta-Rite. Have questions? Call us today!
    Commercial Pool Pump https://poolproductscanada.ca/collections/commercial-swimming-pool-pumps Shop for commercial swimming pool pumps in Canada. We have the best pricing on the brands you want such as Hayward, Pentair & Sta-Rite. Have questions? Call us today!
    Commercial Swimming Pool Pumps
    poolproductscanada.ca
    Shop for commercial swimming pool pumps in Canada. We have the best pricing on the brands you want such as Hayward, Pentair & Sta-Rite. Have questions? Call us today!
    0 Commenti ·0 condivisioni ·119 Views
  • Boob Job Surgery: Enhance Shape, Volume, and Confidence

    Dr. Khalil is a highly trained cosmetic surgeon who has gained expert knowledge and advanced skills during his career. He carries out a wide scope of cosmetic procedures, specialising in facial aesthetic surgeries with a particular interest in Rhinoplasty , facial cosmetic surgeries and body contouring mainly after massive weight loss and after Bariatric surgeries.
    https://dramrkhalil.com/
    Boob Job Surgery: Enhance Shape, Volume, and Confidence Dr. Khalil is a highly trained cosmetic surgeon who has gained expert knowledge and advanced skills during his career. He carries out a wide scope of cosmetic procedures, specialising in facial aesthetic surgeries with a particular interest in Rhinoplasty , facial cosmetic surgeries and body contouring mainly after massive weight loss and after Bariatric surgeries. https://dramrkhalil.com/
    0 Commenti ·0 condivisioni ·218 Views
  • Key Factors to Consider When Acquiring Las Vegas Area Homes for Sale

    Many people with different motivations want to acquire Las Vegas area homes for sale. The Prinsloo Group is a popular name in the region with great clout and presence in the real estate market. They take your input and preferences into consideration when finding property for their clients. For more Details, Click Here: https://ext-6744709.livejournal.com/1672.html
    Key Factors to Consider When Acquiring Las Vegas Area Homes for Sale Many people with different motivations want to acquire Las Vegas area homes for sale. The Prinsloo Group is a popular name in the region with great clout and presence in the real estate market. They take your input and preferences into consideration when finding property for their clients. For more Details, Click Here: https://ext-6744709.livejournal.com/1672.html
    Key Factors to Consider When Acquiring Las Vegas Area Homes for Sale
    ext-6744709.livejournal.com
    Putting money into real estate can be a smart move, not just for investors but also for residents. You will get many good properties at reasonable prices nowadays. It's important to consider all the facts before buying Las Vegas area homes for sale so you can make wiser decisions. Learn more to…
    0 Commenti ·0 condivisioni ·147 Views
  • Diwali 2025: How to increase the presence of Goddess Lakshmi in your home?

    Diwali 2025: How to increase the presence of Goddess Lakshmi in your home? cleaning, lighting lamps, worshipping Lakshmi, decorating the main entrance with rangoli and toran, and placing auspicious items like lotus seeds, Gomati Chakra, and silver coins are considered extremely beneficial. These measures help maintain happiness, prosperity, and the blessings of Goddess Lakshmi.

    https://www.youtube.com/shorts/2y56B1Pi5lA
    Diwali 2025: How to increase the presence of Goddess Lakshmi in your home? Diwali 2025: How to increase the presence of Goddess Lakshmi in your home? cleaning, lighting lamps, worshipping Lakshmi, decorating the main entrance with rangoli and toran, and placing auspicious items like lotus seeds, Gomati Chakra, and silver coins are considered extremely beneficial. These measures help maintain happiness, prosperity, and the blessings of Goddess Lakshmi. https://www.youtube.com/shorts/2y56B1Pi5lA
    0 Commenti ·0 condivisioni ·169 Views
  • Why opt for this Builder Floor for Sale in Ambejogai?
    This Builder Floor for Sale in Ambejogai offers plenty of room, contemporary design, and a convenient neighborhood. Schools, markets, and transportation are all nearby, so it's an ideal property for family living and for real estate investors looking for value while searching in Ambejogai.
    Vist url :- https://www.reeltor.com/builder-floor-for-sale-in-ambejogai

    Why opt for this Builder Floor for Sale in Ambejogai? This Builder Floor for Sale in Ambejogai offers plenty of room, contemporary design, and a convenient neighborhood. Schools, markets, and transportation are all nearby, so it's an ideal property for family living and for real estate investors looking for value while searching in Ambejogai. Vist url :- https://www.reeltor.com/builder-floor-for-sale-in-ambejogai
    www.reeltor.com
    Find your dream builder floor in Ambejogai! Explore a range of options from 20 lakhs to 5 crore for buying, or rent starting at 15k. Connect with owners directly and find some of most perfect home for your family.
    0 Commenti ·0 condivisioni ·155 Views
  • Breast Reduction Surgery: Regain Comfort, Shape, and Confidence
    Dr. Khalil is a highly trained cosmetic surgeon who has gained expert knowledge and advanced skills during his career. He carries out a wide scope of cosmetic procedures, specialising in facial aesthetic surgeries with a particular interest in Rhinoplasty , facial cosmetic surgeries and body contouring mainly after massive weight loss and after Bariatric surgeries.

    https://dramrkhalil.com/
    Breast Reduction Surgery: Regain Comfort, Shape, and Confidence Dr. Khalil is a highly trained cosmetic surgeon who has gained expert knowledge and advanced skills during his career. He carries out a wide scope of cosmetic procedures, specialising in facial aesthetic surgeries with a particular interest in Rhinoplasty , facial cosmetic surgeries and body contouring mainly after massive weight loss and after Bariatric surgeries. https://dramrkhalil.com/
    0 Commenti ·0 condivisioni ·250 Views
  • https://pastelink.net/zhwavy03
    https://pastelink.net/zkrtuc5v
    https://pastelink.net/gz821cda
    https://pastelink.net/gvowjo9c
    https://pastelink.net/9opprodl
    https://pastelink.net/waiz8zg4
    https://pastelink.net/9opprodl
    https://pslk.net/waiz8zg4
    https://pslk.net/w48p6o98
    https://pastelink.net/zhwavy03 https://pastelink.net/zkrtuc5v https://pastelink.net/gz821cda https://pastelink.net/gvowjo9c https://pastelink.net/9opprodl https://pastelink.net/waiz8zg4 https://pastelink.net/9opprodl https://pslk.net/waiz8zg4 https://pslk.net/w48p6o98
    0 Commenti ·0 condivisioni ·127 Views
  • Why Letterhead Boxes Are a Must for Businesses That Mail Documents Professionally

    The Role of Letterhead Boxes in Organizing Business Materials
    For any business, especially those in the printing industry, keeping important documents organized is crucial. Whether you're mailing business letterhead, invoices, or contracts, having an efficient and protective packaging solution can make a significant difference in both presentation and functionality. Letterhead boxes are the perfect solution for businesses that need to store, organize, and ship letterhead and similar materials securely.
    For More Detail:
    https://midvalebox.com/
    Why Letterhead Boxes Are a Must for Businesses That Mail Documents Professionally The Role of Letterhead Boxes in Organizing Business Materials For any business, especially those in the printing industry, keeping important documents organized is crucial. Whether you're mailing business letterhead, invoices, or contracts, having an efficient and protective packaging solution can make a significant difference in both presentation and functionality. Letterhead boxes are the perfect solution for businesses that need to store, organize, and ship letterhead and similar materials securely. For More Detail: https://midvalebox.com/
    #1 Paper Boxes & Packaging Manufacturer | Midvale Paper Box
    midvalebox.com
    Midvale Paper Box offers custom packaging, business card boxes, shipping pouches, and more with high-quality printing and fast turnaround for all your needs.
    0 Commenti ·0 condivisioni ·201 Views
  • First-time Visitor’s Guide To Masai Mara National Reserve

    https://www.aniarticles.com/61012-first-time-visitor-s-guide-to-masai-mara-national-reserve
    First-time Visitor’s Guide To Masai Mara National Reserve https://www.aniarticles.com/61012-first-time-visitor-s-guide-to-masai-mara-national-reserve
    First-Time Visitor’s Guide to Masai Mara National Reserve
    www.aniarticles.com
    This is the guide that is exclusively for travellers who love exploring wildlife and nature, and the traditions of old tribes. And when it comes to wildlife and nature, there is nothing better than the African continent.
    0 Commenti ·0 condivisioni ·143 Views
Pagine in Evidenza