• Pipin Camara
    Pipin Camara 😁
    0 Kommentare ·0 Anteile ·2 Ansichten
  • Manchester United wameiambia klabu ya Barça kuwa wanahitaji £40M kwaajili ya uhamisho wa Rashford.
    #SportsElite
    🚨🚨 Manchester United wameiambia klabu ya Barça kuwa wanahitaji £40M kwaajili ya uhamisho wa Rashford. 😲💸 #SportsElite
    Wow
    1
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·11 Ansichten
  • What is Revival?Revival is bringing new life to a person’s spirit through God’s power. It’s like waking up something that’s been asleep. Revival brings blessings, grace, and positive changes through the Holy Spirit. It starts with one person and then spreads to others

    .Example of King Josiah (2 Kings 22)
    Josiah became king after his father, Ahaziah, who did not please God. When Josiah found the Book of the Law (God’s Word), he read it and saw the mistakes of his ancestors. He decided to make changes:He asked God what to do (2 Kings 22:13).

    He gathered the leaders of Judah and shared God’s Word with them.He made a promise to God:To follow God.To obey His commands.

    To keep His teachings with all his heart.After Josiah made this promise, the people of Judah followed his example. He destroyed idols of false gods and removed priests who worshiped them. This brought true revival to his nation.Joshua’s Revival (Joshua 24:15-16)

    Joshua gave the Israelites a choice:

    serve God or false gods. He said, “My family and I will serve the Lord.” His decision inspired others to follow God.Revival Starts with You
    Revival isn’t for everyone at once. It begins with one person who decides to follow God fully. Like Josiah and Joshua, you need to:

    Let go of old ways that go against God.Make a promise to follow God.Be an example for others.

    Challenge
    Ask yourself: Have I decided to follow God like Josiah and Joshua? Or do I still have doubts? True revival starts when you choose to change and follow God.Learn More
    If you want to study God’s Word more,
    join this WhatsApp group:
    https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR

    Sylvester Mwakabende from Build New Eden.
    #BuildNewEden
    #RestoreMenPosition
    What is Revival?Revival is bringing new life to a person’s spirit through God’s power. It’s like waking up something that’s been asleep. Revival brings blessings, grace, and positive changes through the Holy Spirit. It starts with one person and then spreads to others .Example of King Josiah (2 Kings 22) Josiah became king after his father, Ahaziah, who did not please God. When Josiah found the Book of the Law (God’s Word), he read it and saw the mistakes of his ancestors. He decided to make changes:He asked God what to do (2 Kings 22:13). He gathered the leaders of Judah and shared God’s Word with them.He made a promise to God:To follow God.To obey His commands. To keep His teachings with all his heart.After Josiah made this promise, the people of Judah followed his example. He destroyed idols of false gods and removed priests who worshiped them. This brought true revival to his nation.Joshua’s Revival (Joshua 24:15-16) Joshua gave the Israelites a choice: serve God or false gods. He said, “My family and I will serve the Lord.” His decision inspired others to follow God.Revival Starts with You Revival isn’t for everyone at once. It begins with one person who decides to follow God fully. Like Josiah and Joshua, you need to: Let go of old ways that go against God.Make a promise to follow God.Be an example for others. Challenge Ask yourself: Have I decided to follow God like Josiah and Joshua? Or do I still have doubts? True revival starts when you choose to change and follow God.Learn More If you want to study God’s Word more, join this WhatsApp group: https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR Sylvester Mwakabende from Build New Eden. #BuildNewEden #RestoreMenPosition
    0 Kommentare ·0 Anteile ·109 Ansichten
  • UAMSHO.
    Maana ni kurudi kwenye uzima.
    Ni mminiko wa nguvu na uwepo wa Mungu ndani ya mtu uletao kibali ,neema na baraka.

    Uamsho ni uziilisho wa roho mtakatifu ndani ya mtu na kuleta matokeo chanya.

    Kwa kawaida tunaamsha kitu kilicho lala ,ko lengo la somo hili ni kurejesha uzimani nafsi ya mtu mmoja mmoja .

    Uamsho ni jambo linalo anza na mtu kisha matokeo ya uamsho ndiyo yanayo tukuta sote.

    Mfano mfalme Yosiah alilisi ufalme baada ya baba yake kufa na baba yake alikuwa mfalme Ahazia ambaye akufanya mema machoni pa Bwana.

    2 Wafalme 22:13
    [13]Enendeni, mkamwulize BWANA kwa ajili yangu, na kwa ajili ya watu hawa, na kwa ajili ya Yuda yote, katika habari za maneno ya kitabu hiki kilichoonekana; kwa kuwa hasira ya BWANA ni kubwa aliyotukasirikia, kwa sababu baba zetu hawakuyaangalia maneno ya kitabu hiki, kufanya kama hayo yote tuliyoandikiwa.

    Baada ya kuuliza sasa sikiliza jawabu alilo pewa .

    [16]BWANA asema hivi, Tazama, mimi nitaleta uovu juu ya mahali hapa, na juu yao wakaao hapa, naam, maneno yote ya kitabu alichokisoma mfalme wa Yuda;

    [17]kwa sababu wameniacha mimi, wameifukizia uvumba miungu mingine, ili wapate kunikasirisha kwa kazi yote ya mikono yao; kwa hiyo hasira yangu itawaka juu ya mahali hapa, isizimike

    Kumbe kuna mambo unayapatia sababu tu walio kutangulia waliyafanya ndio maana tunahitqji uamsho.

    muda wa uamsho ndani ya nyumba ya baba yake na taifa lote ulifika .

    Kilicho fanya yuda uqmsho uje ni baada ya kusikia habari za kitabu cha torati ambalo leo hii ndio neno la Mungu.

    2wafalme 22:18-20.

    Ukisoma hapo utaona alivho kifanya baada ya kusikia habari za kitabu aliamua kukusanya wafalme wa yuda wote kwa ajiri ya kuwaambia .

    Na alipo wakusanya kwa kuwa uamsho ni wa mtu akafanya agano lake na Mungu.

    Yeye aliazimia mambo kazaa moja

    1.nikumfuata Bwana
    2.kuyashika maagizo yote.
    3.kuzifuata shuhuda zake .
    4.kuzifuata na kutii amri zake .
    5.navyote hivi atavifanya kwa moyo wote na kwa roho yake yote.

    Baada ya mfalme Yosiah kufanya agano na Mungu wake matokeoa yake wengine wote wakalifuata lile agano .

    Uamsho ndivyo unavyo fanyika ni lazima wewe ulie amua kuwa mfuasi wa kristo uweke agano na Mungu ndipo matokeo yake wengine watakuja ndani ya agano lako.

    Na ndio wanavyo fanya wote waacha alama katika dunia.

    Sababu ya uchovu wa imani makanisa tunazani uamsho ni wa kila mtu na kuhimizana mara utasikia ibada ya uamsho no wafundishe watu wamjue roho mtakatifu lazima watakuwa wameamka.

    Nakukumbusha kuwa huyu mtu yeye alikuwa mwema na aliahidiwa kustarehe na kuishi maisha ya amani mpaka anakufa .

    Ukiendelea kusoma utaona jama alivunja sanamu zote ,ambazo baba zake waliweka kuziabudu alivunja,akawatoa makuhani wote waliowekwa, akawatoa makuhani wote ,mahanithi wote wanawake wafuma mapazia.

    Kama watu tunataka kuwa chanzo cha uamsho lazima lazima ukubali kuacha asili yako na kama yosiah alivyo acha na kumfuatq bwana.

    Kuna mtu mwingine pia anaitwa Yoshua pia alipo taka kurudisha kanisa maala pake aliwapa chaguo lakini yeye alikuwa na azimio lake ndani ya moyo wake.

    Yoshua 24:15-16
    [15]Nanyi kama mkiona ni vibaya kumtumikia BWANA, chagueni hivi leo mtakayemtumikia; kwamba ni miungu ile ambayo baba zenu waliitumikia ng’ambo ya Mto, au kwamba ni miungu ya wale Waamori ambao mnakaa katika nchi yao; lakini mimi na nyumba yangu tutamtumikia BWANA.
    .
    [16]Hao watu wakajibu wakasema, Hasha! Tusimwache BWANA, ili kuitumikia miungu mingine;

    Islaeri walipo anza kufuata miungu mingine alilazimika kuonyesha njia na njia hiyo ni kuwapa watu chaguo huku yeye akifanya agano na Mungu.

    Mchungaji kabla ujawaza kuhusu uamsho jiulize wewe je umeazimia kumfuata bwana kama shujaaa wako au na wewe una mashaka.

    Kama unapenda kujifunza zaidi neno karibu katika group la watsap.
    https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4

    Ok naitwa Sylvester Mwakabende kutoka (Build new eden)

    #build new eden
    #restore men position
    UAMSHO. Maana ni kurudi kwenye uzima. Ni mminiko wa nguvu na uwepo wa Mungu ndani ya mtu uletao kibali ,neema na baraka. Uamsho ni uziilisho wa roho mtakatifu ndani ya mtu na kuleta matokeo chanya. Kwa kawaida tunaamsha kitu kilicho lala ,ko lengo la somo hili ni kurejesha uzimani nafsi ya mtu mmoja mmoja . Uamsho ni jambo linalo anza na mtu kisha matokeo ya uamsho ndiyo yanayo tukuta sote. Mfano mfalme Yosiah alilisi ufalme baada ya baba yake kufa na baba yake alikuwa mfalme Ahazia ambaye akufanya mema machoni pa Bwana. 2 Wafalme 22:13 [13]Enendeni, mkamwulize BWANA kwa ajili yangu, na kwa ajili ya watu hawa, na kwa ajili ya Yuda yote, katika habari za maneno ya kitabu hiki kilichoonekana; kwa kuwa hasira ya BWANA ni kubwa aliyotukasirikia, kwa sababu baba zetu hawakuyaangalia maneno ya kitabu hiki, kufanya kama hayo yote tuliyoandikiwa. Baada ya kuuliza sasa sikiliza jawabu alilo pewa . [16]BWANA asema hivi, Tazama, mimi nitaleta uovu juu ya mahali hapa, na juu yao wakaao hapa, naam, maneno yote ya kitabu alichokisoma mfalme wa Yuda; [17]kwa sababu wameniacha mimi, wameifukizia uvumba miungu mingine, ili wapate kunikasirisha kwa kazi yote ya mikono yao; kwa hiyo hasira yangu itawaka juu ya mahali hapa, isizimike Kumbe kuna mambo unayapatia sababu tu walio kutangulia waliyafanya ndio maana tunahitqji uamsho. muda wa uamsho ndani ya nyumba ya baba yake na taifa lote ulifika . Kilicho fanya yuda uqmsho uje ni baada ya kusikia habari za kitabu cha torati ambalo leo hii ndio neno la Mungu. 2wafalme 22:18-20. Ukisoma hapo utaona alivho kifanya baada ya kusikia habari za kitabu aliamua kukusanya wafalme wa yuda wote kwa ajiri ya kuwaambia . Na alipo wakusanya kwa kuwa uamsho ni wa mtu akafanya agano lake na Mungu. Yeye aliazimia mambo kazaa moja 1.nikumfuata Bwana 2.kuyashika maagizo yote. 3.kuzifuata shuhuda zake . 4.kuzifuata na kutii amri zake . 5.navyote hivi atavifanya kwa moyo wote na kwa roho yake yote. Baada ya mfalme Yosiah kufanya agano na Mungu wake matokeoa yake wengine wote wakalifuata lile agano . Uamsho ndivyo unavyo fanyika ni lazima wewe ulie amua kuwa mfuasi wa kristo uweke agano na Mungu ndipo matokeo yake wengine watakuja ndani ya agano lako. Na ndio wanavyo fanya wote waacha alama katika dunia. Sababu ya uchovu wa imani makanisa tunazani uamsho ni wa kila mtu na kuhimizana mara utasikia ibada ya uamsho no wafundishe watu wamjue roho mtakatifu lazima watakuwa wameamka. Nakukumbusha kuwa huyu mtu yeye alikuwa mwema na aliahidiwa kustarehe na kuishi maisha ya amani mpaka anakufa . Ukiendelea kusoma utaona jama alivunja sanamu zote ,ambazo baba zake waliweka kuziabudu alivunja,akawatoa makuhani wote waliowekwa, akawatoa makuhani wote ,mahanithi wote wanawake wafuma mapazia. Kama watu tunataka kuwa chanzo cha uamsho lazima lazima ukubali kuacha asili yako na kama yosiah alivyo acha na kumfuatq bwana. Kuna mtu mwingine pia anaitwa Yoshua pia alipo taka kurudisha kanisa maala pake aliwapa chaguo lakini yeye alikuwa na azimio lake ndani ya moyo wake. Yoshua 24:15-16 [15]Nanyi kama mkiona ni vibaya kumtumikia BWANA, chagueni hivi leo mtakayemtumikia; kwamba ni miungu ile ambayo baba zenu waliitumikia ng’ambo ya Mto, au kwamba ni miungu ya wale Waamori ambao mnakaa katika nchi yao; lakini mimi na nyumba yangu tutamtumikia BWANA. . [16]Hao watu wakajibu wakasema, Hasha! Tusimwache BWANA, ili kuitumikia miungu mingine; Islaeri walipo anza kufuata miungu mingine alilazimika kuonyesha njia na njia hiyo ni kuwapa watu chaguo huku yeye akifanya agano na Mungu. Mchungaji kabla ujawaza kuhusu uamsho jiulize wewe je umeazimia kumfuata bwana kama shujaaa wako au na wewe una mashaka. Kama unapenda kujifunza zaidi neno karibu katika group la watsap. https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4 Ok naitwa Sylvester Mwakabende kutoka (Build new eden) #build new eden #restore men position
    0 Kommentare ·0 Anteile ·94 Ansichten
  • 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆:Dili LA Luis Diaz kwenda Fc Barcelona limekufa kutokana kuhitaji pesa ndefu
    🚨🚨❌ 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆:Dili LA Luis Diaz kwenda Fc Barcelona limekufa kutokana kuhitaji pesa ndefu
    Like
    1
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·23 Ansichten
  • 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Barcelona wamekutana na wasimamizi wa Marcus Rashford juu ya uwezekano wa kuwa nae msimu ujao.
    #SportsElite
    🚨🚨 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Barcelona wamekutana na wasimamizi wa Marcus Rashford juu ya uwezekano wa kuwa nae msimu ujao. 💙❤️ #SportsElite
    Haha
    1
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·38 Ansichten
  • 𝐇𝐄𝐑𝐄 𝐖𝐄 𝐆𝐎! Inter imefikia makubaliano ya kumsaini Luis Henrique kutoka Olympique Marseille kwa kiasi cha €25 na mkataba wa miaka 5⚫️

    #SportsElite
    🚨 𝐇𝐄𝐑𝐄 𝐖𝐄 𝐆𝐎! Inter imefikia makubaliano ya kumsaini Luis Henrique kutoka Olympique Marseille kwa kiasi cha €25 na mkataba wa miaka 5⚫️🔵🇧🇷 #SportsElite
    Like
    1
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·38 Ansichten
  • TB |
    Barcelona imekataa ofa €60 million kutoka kwa Bayern Munich ikimtaka Fermin Lopez
    🚨🚨TB | Barcelona imekataa ofa €60 million kutoka kwa Bayern Munich ikimtaka Fermin Lopez 🥶
    Yay
    1
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·38 Ansichten
  • Unavimba mjini ,unasukuma gari kali simu Iphone macho3 ,wakati mama yako kijijini hata 300 ya sukari inamshinda..
    Unavimba mjini ,unasukuma gari kali simu Iphone macho3 ,wakati mama yako kijijini hata 300 ya sukari inamshinda..
    Like
    1
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·94 Ansichten
  • Sauti ya Mungu na maelekezo ya Mungu imeandaliwa specific kwa wanadamu.


    Mithali 8:4
    [4]Enyi watu, nawaita ninyi;
    Na sauti yangu ni kwa wanadamu.

    Mwanadamu anaye sikia sauti ya Mungu ndiye anayekuwa mtawala wa kila kitu.

    Mwanzo 1:26
    [26]Mungu akasema, Na tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu; wakatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na wanyama, na nchi yote pia, na kila chenye kutambaa kitambaacho juu ya nchi.

    Kama ukiweza kuishi katika mapenzi ya Mungu basi yeye ni kila kitu .

    Mtu baada ya kuokoka anaznza kutembea katka kusudi la Mungu,kusikia sauti ya Mungu lazima la atapata zaidi ya vile aombavyo.

    Kanuni ya kupata katokeo unaposikia sauti ya Mungu.

    Mali ni zawadi ,nyumba ni zawadi lakini ili upate izo zawadi lazima ufuate kanuni ya kumcha MUNGU.

    Mithali 8:13
    [13]Kumcha BWANA ni kuchukia uovu;
    Kiburi na majivuno, na njia mbovu,
    Na kinywa cha ukaidi pia nakichukia.

    Kumbz ili ufike kusema unamcha Bwana lazima uwe mtu wa kuchukia uovu kwa moyo wote .

    Na mtu ili awe wake Mungu au afanyike kuwa mwana lazima achukie uovu seriously kabisa.

    Ok naitwa sylvester Mwakabende kutoka (build new eden)

    Kwa mafundisho zaidi unaweza kujiungaletu la watsap.
    https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4

    #Build new eden
    #Restoremenposition
    Sauti ya Mungu na maelekezo ya Mungu imeandaliwa specific kwa wanadamu. Mithali 8:4 [4]Enyi watu, nawaita ninyi; Na sauti yangu ni kwa wanadamu. Mwanadamu anaye sikia sauti ya Mungu ndiye anayekuwa mtawala wa kila kitu. Mwanzo 1:26 [26]Mungu akasema, Na tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu; wakatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na wanyama, na nchi yote pia, na kila chenye kutambaa kitambaacho juu ya nchi. Kama ukiweza kuishi katika mapenzi ya Mungu basi yeye ni kila kitu . Mtu baada ya kuokoka anaznza kutembea katka kusudi la Mungu,kusikia sauti ya Mungu lazima la atapata zaidi ya vile aombavyo. Kanuni ya kupata katokeo unaposikia sauti ya Mungu. Mali ni zawadi ,nyumba ni zawadi lakini ili upate izo zawadi lazima ufuate kanuni ya kumcha MUNGU. Mithali 8:13 [13]Kumcha BWANA ni kuchukia uovu; Kiburi na majivuno, na njia mbovu, Na kinywa cha ukaidi pia nakichukia. Kumbz ili ufike kusema unamcha Bwana lazima uwe mtu wa kuchukia uovu kwa moyo wote . Na mtu ili awe wake Mungu au afanyike kuwa mwana lazima achukie uovu seriously kabisa. Ok naitwa sylvester Mwakabende kutoka (build new eden) Kwa mafundisho zaidi unaweza kujiungaletu la watsap. https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4 #Build new eden #Restoremenposition
    0 Kommentare ·0 Anteile ·136 Ansichten
  • #barca news
    #barca news
    0 Kommentare ·0 Anteile ·64 Ansichten
  • .Wafilipi 4:13
    [13]Nayaweza mambo yote katika yeye anitiaye nguvu.

    Hii ni siri kwa mtu aliye okoka katika kila jambo unapaswa kumtazama Bwana kwani katika yote unaweza.

    Si mambo nusu Mambo yote bwana anawezq kukusaidia.

    Ili maneno haya yawe kwako lazima ujue siri hizi kuwa

    -Msaada wote ni katika Bwana.
    Zaburi 121:2
    Msaada wangu u katika BWANA, Aliyezifanya mbingu na nchi.

    -lazima ujue kumngojea Bwana na kumtazamia
    Mika 7:7
    Lakini mimi, nitamtazamia BWANA; nitamngojea Mungu wa wokovu wangu; Mungu wangu atanisikia.

    -Lazima ujue kuomba Bwana katika kila jambo .
    Yakobo 5:18
    Kisha akaomba tena inyeshe, na anga ikatoa mvua, na ardhi ikatoa mazao

    Elia alikuwa mwanadamu kama sisi lakini aliijua siri hii kuwa anayaweza mambo yote katika yeye amtiae nguvu na alisimamisha mvua na matokeo yalionekana.

    Lazima uwe mtu wa kupanda kwa machozi.

    Zaburi 126:5-6
    Wapandao kwa machozi Watavuna kwa kelele za furaha. Ingawa mtu anakwenda zake akilia, Azichukuapo mbegu za kupanda. Hakika atarudi kwa kelele za furaha, Aichukuapo miganda yake

    Ili uone matokeo lazima uwe mtu wa kupanda kwa mchozi .

    Abrahamu alimwamini Mungu kiasi cha kuwa tayari ata kutoa mwana wake ni kwasababu alijia siri hii ya kuwa katika yeye yote yanawezekana.

    -Tumaini lako liwe kwa bwana tu
    Ombolezo 3:25
    Ni huruma za BWANA kwamba hatuangamii, Kwa kuwa rehema zake hazikomi. Ni mpya kila siku asubuhi; Uaminifu wako ni mkuu. BWANA ndiye fungu langu, husema nafsi yangu, *Kwa hiyo nitamtumaini yeye. BWANA ni mwema kwa hao wamngojeao, Kwa hiyo nafsi imtafutayo.*

    Ukifika level hiyo utqkuwa na ujasiri ya kuliishi neno hili nayaweza maombo yote katika yeye anitiaye nguvu.

    Mfano ayubu alijua siri hii pia
    Ayubu 14:7
    “Kwa maana lipo tumaini kwa mti; kama ukikatwa utachipuka tena, nayo machipukizi yake mapya hayatakoma.

    Ko ukiliishi neno letu la leo uwezi ona vitu vigumu badala yake utafanya kwa kufuata maelekezo ya Bwana .

    Na nakuhakikishia kama ukifuata sawa sawa na neno lake basi matokeo lazima uyapate tu .

    *wokovu ni matokeo ya kuyaweza mambo yote ni wewe tu ulikuwa ujui siri hii.*

    Amina nikutakie jion njema ya baraka na neema .

    Naitwa sylvester Mwakabende kutoka (build new eden).

    Ukitaka kujifunza neno karibu katika group la watsap pia .
    https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4
    #Build new eden
    #Restoremenposition
    .Wafilipi 4:13 [13]Nayaweza mambo yote katika yeye anitiaye nguvu. Hii ni siri kwa mtu aliye okoka katika kila jambo unapaswa kumtazama Bwana kwani katika yote unaweza. Si mambo nusu Mambo yote bwana anawezq kukusaidia. Ili maneno haya yawe kwako lazima ujue siri hizi kuwa -Msaada wote ni katika Bwana. Zaburi 121:2 Msaada wangu u katika BWANA, Aliyezifanya mbingu na nchi. -lazima ujue kumngojea Bwana na kumtazamia Mika 7:7 Lakini mimi, nitamtazamia BWANA; nitamngojea Mungu wa wokovu wangu; Mungu wangu atanisikia. -Lazima ujue kuomba Bwana katika kila jambo . Yakobo 5:18 Kisha akaomba tena inyeshe, na anga ikatoa mvua, na ardhi ikatoa mazao Elia alikuwa mwanadamu kama sisi lakini aliijua siri hii kuwa anayaweza mambo yote katika yeye amtiae nguvu na alisimamisha mvua na matokeo yalionekana. Lazima uwe mtu wa kupanda kwa machozi. Zaburi 126:5-6 Wapandao kwa machozi Watavuna kwa kelele za furaha. Ingawa mtu anakwenda zake akilia, Azichukuapo mbegu za kupanda. Hakika atarudi kwa kelele za furaha, Aichukuapo miganda yake Ili uone matokeo lazima uwe mtu wa kupanda kwa mchozi . Abrahamu alimwamini Mungu kiasi cha kuwa tayari ata kutoa mwana wake ni kwasababu alijia siri hii ya kuwa katika yeye yote yanawezekana. -Tumaini lako liwe kwa bwana tu Ombolezo 3:25 Ni huruma za BWANA kwamba hatuangamii, Kwa kuwa rehema zake hazikomi. Ni mpya kila siku asubuhi; Uaminifu wako ni mkuu. BWANA ndiye fungu langu, husema nafsi yangu, *Kwa hiyo nitamtumaini yeye. BWANA ni mwema kwa hao wamngojeao, Kwa hiyo nafsi imtafutayo.* Ukifika level hiyo utqkuwa na ujasiri ya kuliishi neno hili nayaweza maombo yote katika yeye anitiaye nguvu. Mfano ayubu alijua siri hii pia Ayubu 14:7 “Kwa maana lipo tumaini kwa mti; kama ukikatwa utachipuka tena, nayo machipukizi yake mapya hayatakoma. Ko ukiliishi neno letu la leo uwezi ona vitu vigumu badala yake utafanya kwa kufuata maelekezo ya Bwana . Na nakuhakikishia kama ukifuata sawa sawa na neno lake basi matokeo lazima uyapate tu . *wokovu ni matokeo ya kuyaweza mambo yote ni wewe tu ulikuwa ujui siri hii.* Amina nikutakie jion njema ya baraka na neema . Naitwa sylvester Mwakabende kutoka (build new eden). Ukitaka kujifunza neno karibu katika group la watsap pia . https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4 #Build new eden #Restoremenposition
    Sad
    1
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·228 Ansichten
  • Nadhani SocialPop inahitaji Maboresho Makubwa sana na Uwekezaji wa Kutosha.

    Video Upload Limit ya file ni 10 MB tu means ukiwa na Video file yenye zaidi ya 10 MB huwezi kuiupload SocialPop, nadhani kuna namna server hamjaiweka sawa. Tuingie Mitamboni tena!

    Tungepata pia Mtu wa UX & UI angefit sana katika kudesign Home Page na baadhi ya Maeneo ya App iwe na Muonekano Smart na Unaovutia zaidi.

    Ninawaamini Developers hamna kazi ndogo, lifanyieni hili kazi. Fungueni Fursa za Uwekezaji kwa Mikataba rafiki na yenye faida kwa wote Investors tuwekeze Mtandao ukue zaidi. Tanzania Hatuwezi kuwa Chini kila siku, ni wakati wetu wa Kupiga hatua.
    Nadhani SocialPop inahitaji Maboresho Makubwa sana na Uwekezaji wa Kutosha. Video Upload Limit ya file ni 10 MB tu means ukiwa na Video file yenye zaidi ya 10 MB huwezi kuiupload SocialPop, nadhani kuna namna server hamjaiweka sawa. Tuingie Mitamboni tena! Tungepata pia Mtu wa UX & UI angefit sana katika kudesign Home Page na baadhi ya Maeneo ya App iwe na Muonekano Smart na Unaovutia zaidi. Ninawaamini Developers hamna kazi ndogo, lifanyieni hili kazi. Fungueni Fursa za Uwekezaji kwa Mikataba rafiki na yenye faida kwa wote Investors tuwekeze Mtandao ukue zaidi. Tanzania Hatuwezi kuwa Chini kila siku, ni wakati wetu wa Kupiga hatua.
    Love
    2
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·129 Ansichten
  • Make Your Big Day Unforgettable with iCanvas Booth!
    Looking for the best Wedding Photobooth Hire in Sydney? iCanvas Booth brings elegance, entertainment, and timeless memories to your wedding day with stylish photo booths, creative props, GIF and 360° video options, and stunning backdrops. Let your guests enjoy fun-filled moments they can take home instantly!

    iCanvas Booth
    9-11 Wollongong Rd, Arncliffe, NSW 2205
    468 568 044
    [email protected]
    https://icanvasbooth.com.au
    Monday – Friday: 9am – 8pm
    Saturday – Sunday: 10am – 2pm

    #WeddingPhotoboothHireSydney #iCanvasBooth #SydneyEvents #WeddingPhotoFun #360Booth #CaptureTheMoment #PhotoBoothSydney
    💍 Make Your Big Day Unforgettable with iCanvas Booth! Looking for the best Wedding Photobooth Hire in Sydney? 🎉 iCanvas Booth brings elegance, entertainment, and timeless memories to your wedding day with stylish photo booths, creative props, GIF and 360° video options, and stunning backdrops. Let your guests enjoy fun-filled moments they can take home instantly! 📍 iCanvas Booth 9-11 Wollongong Rd, Arncliffe, NSW 2205 📞 468 568 044 📧 [email protected] 🌐 https://icanvasbooth.com.au 🕘 Monday – Friday: 9am – 8pm 🕙 Saturday – Sunday: 10am – 2pm #WeddingPhotoboothHireSydney #iCanvasBooth #SydneyEvents #WeddingPhotoFun #360Booth #CaptureTheMoment #PhotoBoothSydney
    0 Kommentare ·0 Anteile ·307 Ansichten
  • Matheus Cunha anatarajiwa kutia saini ndani ya wiki bio Old Trafford kwa mkataba wa miaka 5
    Fabrizio!
    ❤️🇧🇷 Matheus Cunha anatarajiwa kutia saini ndani ya wiki bio Old Trafford kwa mkataba wa miaka 5 Fabrizio! 🤩
    Like
    1
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·104 Ansichten
  • IDD AL ADHA
    CHARITY TOUR
    Awamu hii tutatembelea watoto wetu yatima siku ya tarehe 7/6/2025


    Activity
    1) KUPIKA
    2) Kula na kusherehekea idd nao
    2) Kupeleka zawadi (vifaa shule) na mavazi


    MAHITAJI
    MCHELE
    NYAMA
    MAFUTA
    SUKARI
    UNGA
    MAHARAGE
    NGANO

    :_ MADAFTARI
    UNFORM
    KALAM NA PENI
    BAGS NA RANGI



    ENEO (MBEZI MALAMBA MAWILI)
    KITUO : MACHO KWA JAMII


    NAMBA YA KUCHANGIA NA WHATSAPP
    0655987549
    MIXBYYAS
    MOZA MOHAMED

    KUTOA NI MOYO SI UTAJIRI
    IDD AL ADHA CHARITY TOUR‼️ Awamu hii tutatembelea watoto wetu yatima siku ya tarehe 7/6/2025 Activity 1) KUPIKA 2) Kula na kusherehekea idd nao 2) Kupeleka zawadi (vifaa shule) na mavazi MAHITAJI MCHELE NYAMA MAFUTA SUKARI UNGA MAHARAGE NGANO :_ MADAFTARI UNFORM KALAM NA PENI BAGS NA RANGI ENEO (MBEZI MALAMBA MAWILI) KITUO : MACHO KWA JAMII NAMBA YA KUCHANGIA NA WHATSAPP 0655987549 MIXBYYAS MOZA MOHAMED KUTOA NI MOYO SI UTAJIRI 📌
    Like
    Love
    2
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·141 Ansichten
  • Sefania 1:15,17-18
    [15]Siku ile ni siku ya ghadhabu,
    Siku ya fadhaa na dhiki,
    Siku ya uharibifu na ukiwa,
    Siku ya giza na utusitusi,
    Siku ya mawingu na giza kuu,

    [17]Nami nitawaletea wanadamu dhiki, hata watakwenda kama vipofu, kwa sababu wamemtenda BWANA dhambi; na damu yao itamwagwa kama mavumbi, na nyama yao kama mavi.
    .
    [18]Fedha yao wala dhahabu yao havitaweza kuwaokoa katika siku ile ya ghadhabu ya BWANA; bali nchi yote pia itateketezwa kwa moto wa wivu wake; maana atawakomesha watu wote wakaao katika nchi hii, naam, ukomo wa kutisha.

    Siku ngumu sana siku ile kila mwanadamu atalipwa kadiri ya matendo yake .

    Siku ile inayozungumzwa hapo ni siku ya mwisho ambayo ipo katika nafasi tofauti siku ya kutwaliwa kwako kama ukutenda wema ni siku ya dhiki na giza kwako kwani hakuta hakuta kuwa na nafasi nyingine ya kutengeneza.

    Mungu hutoa nafasi ya kutengeneza mara moja tu ambayo ni kipindi uko hai matendo yako ndo ufunguo wa nuru yako au giza yako.

    Mwanadamu anajivunia fedha na uchumi wake au vitu vyake siku ile havita kuokoa badala yake utaviacha wakati wewe unaishi katika giza nene la kutisha na uku ukiteseka kuzimu kisha ukiusubiri moto.

    Mpokeee Yesu leo , tengeneza maisha yako kabla hii siku ya dhiki na uovu haijafika kwa maisha yako ili ukapumzike kifuani pa Ibrahimu umwakati ukisubiri ile siku kuu.

    Yoeli 2:3
    [3]Moto unakula mbele yao; na nyuma yao miali ya moto inateketeza; hiyo nchi inafanana na bustani ya Adeni mbele yao, na nyuma yao imekuwa jangwa tupu; naam, hakuna aliyeokoka asipatikane nao.

    Dhambi itasababisha nchi kuwa giza nene na kila mtu atalia kilio kikuu sababu tu ya uovu.

    Siku hiyo iko karibu mno badili maisha yako leo hii Yesu aingie kwako ili siku ile ya dhiki na giza Bwana awe msaada wako tele na upumzike kwa wema wako.

    Ufunuo wa Yohana 22:11
    [11]Mwenye kudhulumu na azidi kudhulumu; na mwenye uchafu na azidi kuwa mchafu; na mwenye haki na azidi kufanya haki; na mtakatifu na azidi kutakaswa.

    Badilisha njia zako asubui hii na Yesu akupe kushinda sawa sawa na neno lake

    Ufunuo wa Yohana 16:15
    [15](Tazama, naja kama mwivi. Heri akeshaye, na kuyatunza mavazi yake, asiende uchi hata watu wakaione aibu yake.)

    Shika sana ulicho nacho ndugu yangu usije ukaikosa mbingu.

    Tunza sana karama ns huduma yako usije ukaingia katika ile siku ya dhiki badala yako iwe siku ya ushindi.

    Ufunuo wa Yohana 22:12,14
    [12]Tazama, naja upesi, na ujira wangu u pamoja nami, kumlipa kila mtu kama kazi yake ilivyo.

    [14]Heri wazifuao nguo zao, wawe na amri kuuendea huo mti wa uzima, na kuingia mjini kwa milango yake.

    Zidi kujitakasa kila siku ili siku ile ikikute umefua na uko na mavazi safi kwa sjiri ya kwenda na Bwana.

    Ok naitwa sylvester Mwakabende kutoka (build new ede )

    #build new eden
    #restore men position
    Sefania 1:15,17-18 [15]Siku ile ni siku ya ghadhabu, Siku ya fadhaa na dhiki, Siku ya uharibifu na ukiwa, Siku ya giza na utusitusi, Siku ya mawingu na giza kuu, [17]Nami nitawaletea wanadamu dhiki, hata watakwenda kama vipofu, kwa sababu wamemtenda BWANA dhambi; na damu yao itamwagwa kama mavumbi, na nyama yao kama mavi. . [18]Fedha yao wala dhahabu yao havitaweza kuwaokoa katika siku ile ya ghadhabu ya BWANA; bali nchi yote pia itateketezwa kwa moto wa wivu wake; maana atawakomesha watu wote wakaao katika nchi hii, naam, ukomo wa kutisha. Siku ngumu sana siku ile kila mwanadamu atalipwa kadiri ya matendo yake . Siku ile inayozungumzwa hapo ni siku ya mwisho ambayo ipo katika nafasi tofauti siku ya kutwaliwa kwako kama ukutenda wema ni siku ya dhiki na giza kwako kwani hakuta hakuta kuwa na nafasi nyingine ya kutengeneza. Mungu hutoa nafasi ya kutengeneza mara moja tu ambayo ni kipindi uko hai matendo yako ndo ufunguo wa nuru yako au giza yako. Mwanadamu anajivunia fedha na uchumi wake au vitu vyake siku ile havita kuokoa badala yake utaviacha wakati wewe unaishi katika giza nene la kutisha na uku ukiteseka kuzimu kisha ukiusubiri moto. Mpokeee Yesu leo , tengeneza maisha yako kabla hii siku ya dhiki na uovu haijafika kwa maisha yako ili ukapumzike kifuani pa Ibrahimu umwakati ukisubiri ile siku kuu. Yoeli 2:3 [3]Moto unakula mbele yao; na nyuma yao miali ya moto inateketeza; hiyo nchi inafanana na bustani ya Adeni mbele yao, na nyuma yao imekuwa jangwa tupu; naam, hakuna aliyeokoka asipatikane nao. Dhambi itasababisha nchi kuwa giza nene na kila mtu atalia kilio kikuu sababu tu ya uovu. Siku hiyo iko karibu mno badili maisha yako leo hii Yesu aingie kwako ili siku ile ya dhiki na giza Bwana awe msaada wako tele na upumzike kwa wema wako. Ufunuo wa Yohana 22:11 [11]Mwenye kudhulumu na azidi kudhulumu; na mwenye uchafu na azidi kuwa mchafu; na mwenye haki na azidi kufanya haki; na mtakatifu na azidi kutakaswa. Badilisha njia zako asubui hii na Yesu akupe kushinda sawa sawa na neno lake Ufunuo wa Yohana 16:15 [15](Tazama, naja kama mwivi. Heri akeshaye, na kuyatunza mavazi yake, asiende uchi hata watu wakaione aibu yake.) Shika sana ulicho nacho ndugu yangu usije ukaikosa mbingu. Tunza sana karama ns huduma yako usije ukaingia katika ile siku ya dhiki badala yako iwe siku ya ushindi. Ufunuo wa Yohana 22:12,14 [12]Tazama, naja upesi, na ujira wangu u pamoja nami, kumlipa kila mtu kama kazi yake ilivyo. [14]Heri wazifuao nguo zao, wawe na amri kuuendea huo mti wa uzima, na kuingia mjini kwa milango yake. Zidi kujitakasa kila siku ili siku ile ikikute umefua na uko na mavazi safi kwa sjiri ya kwenda na Bwana. Ok naitwa sylvester Mwakabende kutoka (build new ede ) #build new eden #restore men position
    Love
    1
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·234 Ansichten
  • Waamuzi 21:1,18
    [1]Basi watu wa Israeli walikuwa wameapa huko katika Mispa, wakisema, Hapana mtu awaye yote kwetu sisi atakayemwoza binti yake kumpa Benyamini.
    .
    [18]Lakini sisi hatuwezi kuwaoza binti zetu kwa maana wana wa Israeli walikuwa wameapa, wakisema, Na alaaniwe huyo atakayempa Benyamini mke.

    Najaribu kukuwazisha kuwa vipi kama kuwa umeoa ukoo ambao asilo yako waliapa kwamba hawataoa khatu wala hawatawaoza khatu .


    Fikiria sasa umeolewa wewe ni kabila kumi na moja za yakobo umeolewa na benjamini na ukoo wako wallifanya agano la kumlaani benjamini na hata atakaye olewa naye.

    Hii ndio sababu kiroho tunasema always investigate more ukoo unao enda kuoana nao si tu kila familia.

    Fikiria walilazimika kuwatafutia wake mabikra kutoka sehemu nyingine lakini si kuvunja kiapo cha agano.

    Nikifundisha kuhusu agano namaanisha .
    .
    Kuna watu mupo kwenye vifungo hivyo na una Yesu kama Bwana wa agano jipya na ujui namna ya kujinasua katika vifungo hivyo.


    Ila ukijua nguvu iliyoko kwenye damu ya Yesu ndiyo pekee inaweza kukutoa katika vifung
    .
    Luka 4:18
    Roho wa Bwana yu juu yangu, Kwa maana amenitia mafuta kuwahubiri maskini habari njema. Amenituma kuwatangazia wafungwa kufunguliwa kwao, Na vipofu kupata kuona tena, Kuwaacha huru waliosetwa

    Ukijua ufunuo huu ambao ndiyo neno la kwanza la Yesu basi utaelewa maana ya msalaba vizuri.

    Ok naitwa Sylvester Mwakabende kutoka build new eden ministry.

    #Restoremenposition

    #build new eden
    Waamuzi 21:1,18 [1]Basi watu wa Israeli walikuwa wameapa huko katika Mispa, wakisema, Hapana mtu awaye yote kwetu sisi atakayemwoza binti yake kumpa Benyamini. . [18]Lakini sisi hatuwezi kuwaoza binti zetu kwa maana wana wa Israeli walikuwa wameapa, wakisema, Na alaaniwe huyo atakayempa Benyamini mke. Najaribu kukuwazisha kuwa vipi kama kuwa umeoa ukoo ambao asilo yako waliapa kwamba hawataoa khatu wala hawatawaoza khatu . Fikiria sasa umeolewa wewe ni kabila kumi na moja za yakobo umeolewa na benjamini na ukoo wako wallifanya agano la kumlaani benjamini na hata atakaye olewa naye. Hii ndio sababu kiroho tunasema always investigate more ukoo unao enda kuoana nao si tu kila familia. Fikiria walilazimika kuwatafutia wake mabikra kutoka sehemu nyingine lakini si kuvunja kiapo cha agano. Nikifundisha kuhusu agano namaanisha . . Kuna watu mupo kwenye vifungo hivyo na una Yesu kama Bwana wa agano jipya na ujui namna ya kujinasua katika vifungo hivyo. Ila ukijua nguvu iliyoko kwenye damu ya Yesu ndiyo pekee inaweza kukutoa katika vifung . Luka 4:18 Roho wa Bwana yu juu yangu, Kwa maana amenitia mafuta kuwahubiri maskini habari njema. Amenituma kuwatangazia wafungwa kufunguliwa kwao, Na vipofu kupata kuona tena, Kuwaacha huru waliosetwa Ukijua ufunuo huu ambao ndiyo neno la kwanza la Yesu basi utaelewa maana ya msalaba vizuri. Ok naitwa Sylvester Mwakabende kutoka build new eden ministry. #Restoremenposition #build new eden
    Haha
    1
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·226 Ansichten
  • 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Florian Wirtz huenda akajiunga na mabingwwa wa uingereza msimu huu wa joto Liverpool na tayari mazungumzo binafsi na Wirtz yamekamilika.


    🚨 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Florian Wirtz huenda akajiunga na mabingwwa wa uingereza msimu huu wa joto Liverpool na tayari mazungumzo binafsi na Wirtz yamekamilika.
    Like
    Love
    2
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·122 Ansichten
  • 1 Yohana 3:1-3
    [1]Tazameni, ni pendo la namna gani alilotupa Baba, kwamba tuitwe wana wa Mungu; na ndivyo tulivyo. Kwa sababu hii ulimwengu haututambui, kwa kuwa haukumtambua yeye.
    .
    [2]Wapenzi, sasa tu wana wa Mungu, wala haijadhihirika bado tutakavyokuwa; lakini twajua ya kuwa atakapodhihirishwa, tutafanana naye; kwa maana tutamwona kama alivyo.

    [3]Na kila mwenye matumaini haya katika yeye hujitakasa, kama yeye alivyo mtakatifu.

    Huu ni upendo wa Kristo kuwa mtu akimwamini anamfanya kuwa mwana na anakuwa sehemu ya urithi.

    Kwani kwa kawaida mwana ndiye anayerithi sehemu ya badaye.na Mungu anatufanya kuwa wana kwa kupitia Yesu Kristo.

    Na kama ukiwa mwana maana yake upaswi kuwa wakawaida ,wewe ni mbarikiwa na mrithi wa baraka zote alizopewa Abraham baba yetu katika imani.

    Yohana 1:12-13
    [12]Bali wote waliompokea aliwapa uwezo wa kufanyika watoto wa Mungu, ndio wale waliaminio jina lake;

    [13]waliozaliwa, si kwa damu, wala si kwa mapenzi ya mwili, wala si kwa mapenzi ya mtu, bali kwa Mungu.

    Naendelea kukuonyesha kuwa wewe ni mtoto wa Mungu toka siku ulipo okoka na kama ni hivyo ardhi lazima ikutii kama ilivyo mtii yakobo, biashara lazima ikutii kwani wewe ndiye kichwa siyo mkia.

    Changamoto kubwa watu wa Mungu imani zetu juu ya Mungu ndogo sana tunaamini sana katika maarifa yetu na jitihada zetu pekee.

    Yohana 20:17
    [17]Yesu akamwambia. Usinishike; kwa maana sijapaa kwenda kwa Baba. Lakini enenda kwa ndugu zangu ukawaambie, Ninapaa kwenda kwa Baba yangu naye ni Baba yenu, kwa Mungu wangu naye ni Mungu wenu.

    Lakini ukijua siri hii utajua kuwa toka ulipo fanyika kuwa mwana kuna uwezo uliupata wa kubarikiwa kupita hesabu ya kawaida.

    Natamani ujue siri hii kuwa toka ulipo okoka wewe so mtumwa tena bali wewe ni mmliki kwa kuwa umepata uwezo wa kuwa mwana.

    Yohana 16:4
    [4]Lakini nimewaambia hayo, ili makusudi saa ile itakapokuja myakumbuke ya kuwa mimi naliwaambia.

    Utakapo onyeshwa kwenye kioo maisha yako uliyo paswa kuishi baada ya kufanyika kuwa mwana na ukifananisha na maisha ya mateso uliyo yaishi kwa kukosa ufunuo .

    Nikutakie jumapili njema sana na Mungu kufunue ujue majukumu(haki) ya mwana kwa baba yake.

    Ok naitwa sylvester Mwakabende Kutoka (build new eden)

    #Restoremenposition
    #Buildneweden
    1 Yohana 3:1-3 [1]Tazameni, ni pendo la namna gani alilotupa Baba, kwamba tuitwe wana wa Mungu; na ndivyo tulivyo. Kwa sababu hii ulimwengu haututambui, kwa kuwa haukumtambua yeye. . [2]Wapenzi, sasa tu wana wa Mungu, wala haijadhihirika bado tutakavyokuwa; lakini twajua ya kuwa atakapodhihirishwa, tutafanana naye; kwa maana tutamwona kama alivyo. [3]Na kila mwenye matumaini haya katika yeye hujitakasa, kama yeye alivyo mtakatifu. Huu ni upendo wa Kristo kuwa mtu akimwamini anamfanya kuwa mwana na anakuwa sehemu ya urithi. Kwani kwa kawaida mwana ndiye anayerithi sehemu ya badaye.na Mungu anatufanya kuwa wana kwa kupitia Yesu Kristo. Na kama ukiwa mwana maana yake upaswi kuwa wakawaida ,wewe ni mbarikiwa na mrithi wa baraka zote alizopewa Abraham baba yetu katika imani. Yohana 1:12-13 [12]Bali wote waliompokea aliwapa uwezo wa kufanyika watoto wa Mungu, ndio wale waliaminio jina lake; [13]waliozaliwa, si kwa damu, wala si kwa mapenzi ya mwili, wala si kwa mapenzi ya mtu, bali kwa Mungu. Naendelea kukuonyesha kuwa wewe ni mtoto wa Mungu toka siku ulipo okoka na kama ni hivyo ardhi lazima ikutii kama ilivyo mtii yakobo, biashara lazima ikutii kwani wewe ndiye kichwa siyo mkia. Changamoto kubwa watu wa Mungu imani zetu juu ya Mungu ndogo sana tunaamini sana katika maarifa yetu na jitihada zetu pekee. Yohana 20:17 [17]Yesu akamwambia. Usinishike; kwa maana sijapaa kwenda kwa Baba. Lakini enenda kwa ndugu zangu ukawaambie, Ninapaa kwenda kwa Baba yangu naye ni Baba yenu, kwa Mungu wangu naye ni Mungu wenu. Lakini ukijua siri hii utajua kuwa toka ulipo fanyika kuwa mwana kuna uwezo uliupata wa kubarikiwa kupita hesabu ya kawaida. Natamani ujue siri hii kuwa toka ulipo okoka wewe so mtumwa tena bali wewe ni mmliki kwa kuwa umepata uwezo wa kuwa mwana. Yohana 16:4 [4]Lakini nimewaambia hayo, ili makusudi saa ile itakapokuja myakumbuke ya kuwa mimi naliwaambia. Utakapo onyeshwa kwenye kioo maisha yako uliyo paswa kuishi baada ya kufanyika kuwa mwana na ukifananisha na maisha ya mateso uliyo yaishi kwa kukosa ufunuo . Nikutakie jumapili njema sana na Mungu kufunue ujue majukumu(haki) ya mwana kwa baba yake. Ok naitwa sylvester Mwakabende Kutoka (build new eden) #Restoremenposition #Buildneweden
    Yay
    1
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·290 Ansichten
Suchergebnis