• Jarida la Forbes toleo la mwaka huu wa 2025 limemtaja Manyabiashara wa Tanzania Mohamed Dewjl, kuwa miongoni mwa Watu Matajiri Duniani, akiwa na utajiri wa USD 2.2 bilioni sawa na Shilingi Trilioni 5.7 za Kitanzania. Mo Dewji, anakuwa tajiri namba 12 barani Afrika na namba moja Afrika Mashariki kwa kiwango hicho.

    2. Orodha ya mwaka huu inaonyesha utajiri wa Mo
    Dewji umeongezeka na kufikia, dola bilioni 2.2 kutoka dola bilioni 1.8 mwaka jana.

    3. Orodha ya Forbes ya Matajiri wa Afrika kwa mwaka 2024 ilibainisha kuwa utajiri wa Mo Dewji umeongezeka kutoka dola bilioni 1.5 hadi bilioni 1.8.

    4. Licha ya utajiri huo, MO Dewji kupitia kampuni ya Mohamed Entrprises Limited (MeTL) imezalisha ajira 40,000 kwa Watanzania, kupitia biashara 126 zinazofanywa na kampuni hiyo.

    5. Lengo la Mo Dewji ni kuongeza ajira hadi kufikia laki moja kwa Watanzania na wana-Afrika Mashariki.

    6. Mo Dewji kupitia MoDewjl Foundation, imeshirikiana na Serikali kupitia Wizara ya Maji, kuchimba visima, kukarabati na kutibu maji mkakati uliosaidia Watu zaidi ya 15,000 kupata maji salama ya kunywa.

    7. Utajiri wa Mo Dewji haikushia kwenye maji na afya pekee, umekwenda zaidi na kuwekeza katika tasnia ya michezo ambako ni sehemu ya Mmiliki akiwekeza
    asilimia 49 kwenye klabu ya Simba SC.

    Jarida la Forbes toleo la mwaka huu wa 2025 limemtaja Manyabiashara wa Tanzania Mohamed Dewjl, kuwa miongoni mwa Watu Matajiri Duniani, akiwa na utajiri wa USD 2.2 bilioni sawa na Shilingi Trilioni 5.7 za Kitanzania. Mo Dewji, anakuwa tajiri namba 12 barani Afrika na namba moja Afrika Mashariki kwa kiwango hicho. 2. Orodha ya mwaka huu inaonyesha utajiri wa Mo Dewji umeongezeka na kufikia, dola bilioni 2.2 kutoka dola bilioni 1.8 mwaka jana. 3. Orodha ya Forbes ya Matajiri wa Afrika kwa mwaka 2024 ilibainisha kuwa utajiri wa Mo Dewji umeongezeka kutoka dola bilioni 1.5 hadi bilioni 1.8. 4. Licha ya utajiri huo, MO Dewji kupitia kampuni ya Mohamed Entrprises Limited (MeTL) imezalisha ajira 40,000 kwa Watanzania, kupitia biashara 126 zinazofanywa na kampuni hiyo. 5. Lengo la Mo Dewji ni kuongeza ajira hadi kufikia laki moja kwa Watanzania na wana-Afrika Mashariki. 6. Mo Dewji kupitia MoDewjl Foundation, imeshirikiana na Serikali kupitia Wizara ya Maji, kuchimba visima, kukarabati na kutibu maji mkakati uliosaidia Watu zaidi ya 15,000 kupata maji salama ya kunywa. 7. Utajiri wa Mo Dewji haikushia kwenye maji na afya pekee, umekwenda zaidi na kuwekeza katika tasnia ya michezo ambako ni sehemu ya Mmiliki akiwekeza asilimia 49 kwenye klabu ya Simba SC.
    0 Commenti ·0 condivisioni ·671 Views
  • Taasisi ya dini ya Kiislamu ya Al-Hikma Foundation imetangaza kuwalipia mahari vijana 200 ambao wapo tayari kuoa.

    Akizungumza katika mashindano ya 25 ya kimataifa ya uhifadhi wa Qur'an yaliyofanyika leo Jumapili, Machi 16, 2023, katika Uwanja wa Mkapa na Uhuru, jijini Dar es Salaam, Sheikh Nurdin Kishki, ambaye ni Mwenyekiti wa taasisi hiyo, amesema kuwa mwaka huu Vijana 200 watakaolipiwa mahari 100 watatoka Tanzania , na wengine 100 kutoka Nchini Burundi .

    "Kutokana na idadi ya watu wasiokuwa kwenye ndoa, mwaka huu tutaozesha vijana 200. Ndoa 100 zitafungwa Tanzania na 100 nyingine kwa ndugu zetu wa Burundi. Mahari na gharama nyingine za ndoa tutatoa sisi, Al-Hikma Foundation,"

    Pia, Sheikh Kishki ameeleza kuwa taasisi hiyo itawalipia gharama za tohara kwa watoto wa kiume 1000 Nchini Tanzania. Amesema mambo hayo yanafanyika kupitia programu maalumu iliyoanzishwa na taasisi hiyo ya kurejesha kwa jamii kupitia mashindano hayo.

    Taasisi ya dini ya Kiislamu ya Al-Hikma Foundation imetangaza kuwalipia mahari vijana 200 ambao wapo tayari kuoa. Akizungumza katika mashindano ya 25 ya kimataifa ya uhifadhi wa Qur'an yaliyofanyika leo Jumapili, Machi 16, 2023, katika Uwanja wa Mkapa na Uhuru, jijini Dar es Salaam, Sheikh Nurdin Kishki, ambaye ni Mwenyekiti wa taasisi hiyo, amesema kuwa mwaka huu Vijana 200 watakaolipiwa mahari 100 watatoka Tanzania 🇹🇿, na wengine 100 kutoka Nchini Burundi 🇧🇮. "Kutokana na idadi ya watu wasiokuwa kwenye ndoa, mwaka huu tutaozesha vijana 200. Ndoa 100 zitafungwa Tanzania na 100 nyingine kwa ndugu zetu wa Burundi. Mahari na gharama nyingine za ndoa tutatoa sisi, Al-Hikma Foundation," Pia, Sheikh Kishki ameeleza kuwa taasisi hiyo itawalipia gharama za tohara kwa watoto wa kiume 1000 Nchini Tanzania. Amesema mambo hayo yanafanyika kupitia programu maalumu iliyoanzishwa na taasisi hiyo ya kurejesha kwa jamii kupitia mashindano hayo.
    0 Commenti ·0 condivisioni ·473 Views
  • JE UNAKIJUA CHUMBA MAARUFU NAMBA 39?...

    ROOM 39.....

    NIlipokuwa nikisoma kuhusu dada yake kiongozi wa Korea Kaskazini aitwae Kim Yo-jong nikapata kidogo ufahamu wa chumba kiitwacho Room 39 ambacho inasadikiwa kuwa mume wake dada huyo aitwae Chong Ryong-hae anafanya kazi ndani ya chumba hicho.

    Chumba hiki kina majina mengi kadhaa kama vile Bureau au Kitengo, Division au sehemu au pia Office 39.

    Chumba hiki kipo ndani ya jengo la chama cha wafanyakazi wa Korea kaskazini jengo ambalo halipo mbali na makazi rasmi ya kiongozi wa Korea Kaskazini bwana Kim Jong-un.

    Lakini kiukweli hiki ni kitengo maalum cha kijasusi ambacho kinafanya kazi zake ndani ya chama cha wafanyakazi wa Korea Kaskazni ambacho kina jukumu moja tu, kuhakikisha viongozi wa Korea Kaskazini wana fedha za kigeni za matumizi wakiwa nje ya nchi hiyo.

    Room 39 kipo chini ya usimamizi wa kamati kuu ya chama hicho lakini upande wa kamati ya kijeshi ambayo ina majukumu ya kupitisha matumizi ya fedha kwa jeshi kwenye ununuzi wa silaha na usimamzi wa maliasili za nchi hiyo madini yakiwemo.

    Inakisiwa kuwa kitengo hicho kinaingiza kati ya dola milioni 500 hadi bilioni 1 au zaidi kwa mwaka, na fedha hizo ni kutokana na biashara za aina zote tunazozifahamu duniani zikiwemo halali na haramu.

    Ukiangalia kazi za kitengo hiki waweza kukifananisha kwa mbali na jeshi maalum la Iran la IRGC ambalo pia linajitegemea na linahisiwa kuingiza kiasi cha dola hadi bilioni 12 kwa mwaka zinatotokana na shughuli mbalimbali za kiuchumi.

    Tofauti iliyopo kidogo ni kwamba Chumba 39 au Room 39 kimejikita zaidi kwenye ujasusi wa nje ya Korea Kaskazini na kinaratibu ofisi na makampuni mbalimbali ndani na nje ya Korea Kaskazini huku wakibadilisha majina mara kwa mara.

    Mfano wa makampuni mbalimbali yanayoendesha shughuli zake nje ya Korea Kaskazini ni migahawa iitwayo Pyongyang ambayo ipo sehemu mbalimbali duniani.

    Kampuni ingine ni ile ya KNIC ambayo inashughulika na masuala ya bima na ina ofisi katika miji ya Hamburg nchini Ujerumani na London nchini Uingereza. Mwaka 2015 umoja wa Ulaya uliwahi kuifungia kampuni hii kutokana na kujishughulisha na biashara haramu na bima bandia na kujipatia fedha kutokana na kudai bima hewa.

    Chumba 39 kilianzishwa kwenye miaka ya 70 na Kim II Sung ambae ni babu yake Kim Jong-un na kukabidhiwa majukumu ya kuhakikisha utawala wa Korea kaskazini huishiwi fedha za kujiendesha pamoja na usimamizi wa uchumi wa nchi hiyo.

    Mahali kilipoanzia shughuli zake ni chumba kilichoitwa Office 39 na baadae kubatiza chumba hichi jina la Room 39 kikiwa nyuma ya chumba kingine kiitwacho room 36 ambacho kazi yake kubwa ni kusimamia fedha za utawala wa Korea Kakazini.

    Chumba hiki kina shughuli nyingi na kimesheheni majasusi wenye taaluma zote muhimu wakiwemo wakemia ambao hudaiwa kutengeneza madawa mbalimbali na kuyauza nchini China, Japan na sehemu zingine barani Asia.

    Pia majasusi wakemia wa chumba 39 wanasadikiwa kutengeneza dawa za kuongeza nguvu za kiume maarufu kama Viagra zenye vimelea mbalimbali kwenye viwanda vyake vilivyoko sehemu iitwayo Chonglin na kuuza kwenye nchi za Hong Kong, China na Mashariki ya kati.

    Kitengo hiki pia kina wataalam wa masuala ya fedha na watengenezaji noti bandia ziitwazo "Supernotes" ambazo huonekana kama fedha halali kwa matumizi na huwa na thamani ya hadi dola milioni 100.

    Kitengo hiki cha kipekee pia hutengeneza bidhaa ambazo baadae huwekwa nembo ya bidhaa za China na kupitishwa na kufanikiwa kufika kwenye masoko ya kimataifa kwenye nchi kama za Ufaransa, Italia na Korea Kusini.

    Bidhaa hizo ni pamoja na Eyelashes (kalamu ya urembo wa kope za macho), vifaa vya muziki na sigara ambavyo kwa pamoja vinasadikiwa kuiingizia nchi hiyo dola milioni 120 kwa mwaka.

    Kwa upande wa mauzo ya silaha nchi hiyo iliwekewa vikwazo kwenye uuzajiw a silaha zake lakini chumba namba 39 kikafanikwia na mwaka 2014 silaha za Korea kaskazini ziliuzwa kwa kutumia makampuni yake yenye majna halali kwa nchi za Syria, Myanmar, Eritrea, Tanzania, Ethiopia, Somalia na Iran.

    Kitengo hiki pia mwaka 2016 kwa kutumia majasusi wake wataalam wa teknolojia walifanikiwa kudukua hazina ya New York iitwayo Federal Reserve na kuchukua kiasi cha dola bilioni 1.

    Majasusi wa Marekani walipokuwa wakifuatilia wizi huo walikuja kugundua kasoro ya maandishi kwenye makaratasi ya kuombea kufanya mialama na ndipo walipogundua kasoro kwenye neno Foundation lililoandikwa "fandation" ndipo walipobaini kuwa wakorea kaskazini ndio walofanya uharibifu.

    Itakumbukwa kuwa mwaka huohuo wa 2016 ndio mwaka ambao kulitokea kirusi cha kompyuta cha "Wannacry" ambacho kilivamia mifumo mbalimbali ya kompyuta duniani.

    Pia majasusi hao wa Room 39 waliweza kuingiza kwenye mifumo ya ulinzi wa anga ya Korea Kusini na kufanikiwa kuiba ndege za kivita na kisha kuzirusha na kuzitua salama nchini Korea Kaskazini na zisipatikane hadi leo.

    Nchi nyingi zilizoendelea kwa sasa zimeamua kuwekeza kwenye utaalam wa masuala ya mitandao uitwao Cyber Security kwani inasadikiwa kuwa chumba namba 39 kina majasusi wengi walopikwa tayari kushambulia nchi yoyote ile duniani.

    Ama hakika chumba hiki kiitwacho Room 39 ni chumba hatari kuwahi kutokea duniani na hivi karibuni na kuendelea tuzidi kusikiliza kauli zinazotoka kwa utawala wa PyongYang khasa dada yake Kim Jong-un aitwae Kim Yo-jong ambae kiufundi anaonekana ndie kamanda wa Room 39.

    Hii inaweza kumfanya aonekane kuwa ni mwanamke hatari zaidi kuwahi kutokea duniani.

    NB: Ombi kwa MOds msiuunganishe uzi huu.

    Karibu.
    JE UNAKIJUA CHUMBA MAARUFU NAMBA 39?... ROOM 39..... NIlipokuwa nikisoma kuhusu dada yake kiongozi wa Korea Kaskazini aitwae Kim Yo-jong nikapata kidogo ufahamu wa chumba kiitwacho Room 39 ambacho inasadikiwa kuwa mume wake dada huyo aitwae Chong Ryong-hae anafanya kazi ndani ya chumba hicho. Chumba hiki kina majina mengi kadhaa kama vile Bureau au Kitengo, Division au sehemu au pia Office 39. Chumba hiki kipo ndani ya jengo la chama cha wafanyakazi wa Korea kaskazini jengo ambalo halipo mbali na makazi rasmi ya kiongozi wa Korea Kaskazini bwana Kim Jong-un. Lakini kiukweli hiki ni kitengo maalum cha kijasusi ambacho kinafanya kazi zake ndani ya chama cha wafanyakazi wa Korea Kaskazni ambacho kina jukumu moja tu, kuhakikisha viongozi wa Korea Kaskazini wana fedha za kigeni za matumizi wakiwa nje ya nchi hiyo. Room 39 kipo chini ya usimamizi wa kamati kuu ya chama hicho lakini upande wa kamati ya kijeshi ambayo ina majukumu ya kupitisha matumizi ya fedha kwa jeshi kwenye ununuzi wa silaha na usimamzi wa maliasili za nchi hiyo madini yakiwemo. Inakisiwa kuwa kitengo hicho kinaingiza kati ya dola milioni 500 hadi bilioni 1 au zaidi kwa mwaka, na fedha hizo ni kutokana na biashara za aina zote tunazozifahamu duniani zikiwemo halali na haramu. Ukiangalia kazi za kitengo hiki waweza kukifananisha kwa mbali na jeshi maalum la Iran la IRGC ambalo pia linajitegemea na linahisiwa kuingiza kiasi cha dola hadi bilioni 12 kwa mwaka zinatotokana na shughuli mbalimbali za kiuchumi. Tofauti iliyopo kidogo ni kwamba Chumba 39 au Room 39 kimejikita zaidi kwenye ujasusi wa nje ya Korea Kaskazini na kinaratibu ofisi na makampuni mbalimbali ndani na nje ya Korea Kaskazini huku wakibadilisha majina mara kwa mara. Mfano wa makampuni mbalimbali yanayoendesha shughuli zake nje ya Korea Kaskazini ni migahawa iitwayo Pyongyang ambayo ipo sehemu mbalimbali duniani. Kampuni ingine ni ile ya KNIC ambayo inashughulika na masuala ya bima na ina ofisi katika miji ya Hamburg nchini Ujerumani na London nchini Uingereza. Mwaka 2015 umoja wa Ulaya uliwahi kuifungia kampuni hii kutokana na kujishughulisha na biashara haramu na bima bandia na kujipatia fedha kutokana na kudai bima hewa. Chumba 39 kilianzishwa kwenye miaka ya 70 na Kim II Sung ambae ni babu yake Kim Jong-un na kukabidhiwa majukumu ya kuhakikisha utawala wa Korea kaskazini huishiwi fedha za kujiendesha pamoja na usimamizi wa uchumi wa nchi hiyo. Mahali kilipoanzia shughuli zake ni chumba kilichoitwa Office 39 na baadae kubatiza chumba hichi jina la Room 39 kikiwa nyuma ya chumba kingine kiitwacho room 36 ambacho kazi yake kubwa ni kusimamia fedha za utawala wa Korea Kakazini. Chumba hiki kina shughuli nyingi na kimesheheni majasusi wenye taaluma zote muhimu wakiwemo wakemia ambao hudaiwa kutengeneza madawa mbalimbali na kuyauza nchini China, Japan na sehemu zingine barani Asia. Pia majasusi wakemia wa chumba 39 wanasadikiwa kutengeneza dawa za kuongeza nguvu za kiume maarufu kama Viagra zenye vimelea mbalimbali kwenye viwanda vyake vilivyoko sehemu iitwayo Chonglin na kuuza kwenye nchi za Hong Kong, China na Mashariki ya kati. Kitengo hiki pia kina wataalam wa masuala ya fedha na watengenezaji noti bandia ziitwazo "Supernotes" ambazo huonekana kama fedha halali kwa matumizi na huwa na thamani ya hadi dola milioni 100. Kitengo hiki cha kipekee pia hutengeneza bidhaa ambazo baadae huwekwa nembo ya bidhaa za China na kupitishwa na kufanikiwa kufika kwenye masoko ya kimataifa kwenye nchi kama za Ufaransa, Italia na Korea Kusini. Bidhaa hizo ni pamoja na Eyelashes (kalamu ya urembo wa kope za macho), vifaa vya muziki na sigara ambavyo kwa pamoja vinasadikiwa kuiingizia nchi hiyo dola milioni 120 kwa mwaka. Kwa upande wa mauzo ya silaha nchi hiyo iliwekewa vikwazo kwenye uuzajiw a silaha zake lakini chumba namba 39 kikafanikwia na mwaka 2014 silaha za Korea kaskazini ziliuzwa kwa kutumia makampuni yake yenye majna halali kwa nchi za Syria, Myanmar, Eritrea, Tanzania, Ethiopia, Somalia na Iran. Kitengo hiki pia mwaka 2016 kwa kutumia majasusi wake wataalam wa teknolojia walifanikiwa kudukua hazina ya New York iitwayo Federal Reserve na kuchukua kiasi cha dola bilioni 1. Majasusi wa Marekani walipokuwa wakifuatilia wizi huo walikuja kugundua kasoro ya maandishi kwenye makaratasi ya kuombea kufanya mialama na ndipo walipogundua kasoro kwenye neno Foundation lililoandikwa "fandation" ndipo walipobaini kuwa wakorea kaskazini ndio walofanya uharibifu. Itakumbukwa kuwa mwaka huohuo wa 2016 ndio mwaka ambao kulitokea kirusi cha kompyuta cha "Wannacry" ambacho kilivamia mifumo mbalimbali ya kompyuta duniani. Pia majasusi hao wa Room 39 waliweza kuingiza kwenye mifumo ya ulinzi wa anga ya Korea Kusini na kufanikiwa kuiba ndege za kivita na kisha kuzirusha na kuzitua salama nchini Korea Kaskazini na zisipatikane hadi leo. Nchi nyingi zilizoendelea kwa sasa zimeamua kuwekeza kwenye utaalam wa masuala ya mitandao uitwao Cyber Security kwani inasadikiwa kuwa chumba namba 39 kina majasusi wengi walopikwa tayari kushambulia nchi yoyote ile duniani. Ama hakika chumba hiki kiitwacho Room 39 ni chumba hatari kuwahi kutokea duniani na hivi karibuni na kuendelea tuzidi kusikiliza kauli zinazotoka kwa utawala wa PyongYang khasa dada yake Kim Jong-un aitwae Kim Yo-jong ambae kiufundi anaonekana ndie kamanda wa Room 39. Hii inaweza kumfanya aonekane kuwa ni mwanamke hatari zaidi kuwahi kutokea duniani. NB: Ombi kwa MOds msiuunganishe uzi huu. Karibu.
    0 Commenti ·0 condivisioni ·1K Views
  • My Sister! Are you Under a Spell?.

    Naona wadada wengi ambao hawajaolewa, wazuri na wengine wakiwa na careers zao nzuri tu wapo kwenye mahusiano ya hovyo kupata kutokea. Sijajua ni kwanini lakini nashangaa bado waking'ang'ania hali hiyo.

    Mwanaume anakupiga, lakini bado upo, anakusaliti mbele ya macho yako lakini bado umeng'ang'ana tu...anakuumiza hisia zako, anakuongelea vibaya, haku-support, hajawahi kukununulia hata nguo ya ndani na hakuheshimu lakini bado upo tu.

    Sehemu pekee anayokupeleka ni kitandani au Bar, hamjawahi kutembea pamoja maeneo ya wazi, sehemu mnayoonekana pamoja ni kwenye giza giza lakini bado unaona sawa tu.

    Anakwambia anaweka mahusiano yenu private, lakini wewe bado unajionyesha kwake na unamuacha ana-enjoy sehemu zako za siri za mwili wako mzuri.

    Nafikiri unahitaji semina binafsi...watu pekee wanaokufahamu kwa upande wake ni marafiki na binamu zake basi, mwanaume anaekutambulisha kwa marafiki tu sio wa kumuamini moja kwa moja..yeye hajali ni kwa kiasi gani hao watu wanamfahamu kwa kuwa obvious watamfichia siri yake tu.

    Umefungwa na nini..?
    Nani amekuroga...?

    Ngoja nikwambie kitu kuhusiana na sisi wanaume. Hatuna tofauti sana na yule mwajiriwa wa kawaida...mwajiriwa wa kawaida yuko radhi afanye chochote kile ilimradi mwisho wa mwezi alipwe mshahara..sawa na sisi: hufanya lolote lile ilimradi tupate sex.

    Ndio, hata kuwadanganyeni kuwa tutawaoa, hata kuonekana kwa wazazi wenu as long as you guarantee us a sex...sasa imagine unaolewa na mwanaume wa hivyo, unafikiri atakua mume bora? Unafikiri atakupa furaha? Au unafikiri atabadilika? Hilo sahau..unaloliona ndilo utakalolipata.

    My sister, unatakiwa ujue thamani yako. Hata siku moja usijaribu kujishushia heshima na thamani yako ili tu umkamate mwanaume. Mwanaume ambae hawezi kukuheshimu na kuku-treat vizuri hakustahili hata kidogo.

    Ni bora uwe single, ukijigeuza huku na huku kitandani pekeyako kuhangaika na network ya Tigo kuliko kugeuzwa geuzwa kitandani na mwanaume ambae hastahili kupewa hiyo asali.

    Kamwe usiuze utu wako kwa minajili kwamba na wewe ujiite "am in a relationship"... hapana dada yangu hayo sio mahusiano, hizo ni personal benefits na tena anafaidi kweli, maana kila anapokuhitaji anakupata na unampa tu, anakuchafua na baada ya hapo maumivu tu kwa upande wako ukitarajia atabadilika na kuja kukuoa.

    My sister, hold yourself in so high esteem kiasi ya kwamba hata ukipita katikati ya kundi la wanaume, hakuna hata mmoja atainua kidole chake na kusema kwamba "nimeshakula ile mambo".

    Jiheshimu na heshimu hisia na mwili wako, hilo tunda anastahili mume wako tu, litunze ili usije ukampa likiwa limeliwa vya kutosha na limechacha...It's starts with you, if you don't know your value, you will be as common as a coin... Know your value and never be demeaned by anyone.

    Najua wanaume hawataipenda hii, ila muda mwingine lazima tuwaelimishe hawa dada zetu, ndio walezi wa kizazi kijacho.

    #KnowYourValueAndAct
    #MarriageUnderGodFoundation
    #MarriageIsBeautifu
    My Sister! Are you Under a Spell?. Naona wadada wengi ambao hawajaolewa, wazuri na wengine wakiwa na careers zao nzuri tu wapo kwenye mahusiano ya hovyo kupata kutokea. Sijajua ni kwanini lakini nashangaa bado waking'ang'ania hali hiyo. Mwanaume anakupiga, lakini bado upo, anakusaliti mbele ya macho yako lakini bado umeng'ang'ana tu...anakuumiza hisia zako, anakuongelea vibaya, haku-support, hajawahi kukununulia hata nguo ya ndani na hakuheshimu lakini bado upo tu. Sehemu pekee anayokupeleka ni kitandani au Bar, hamjawahi kutembea pamoja maeneo ya wazi, sehemu mnayoonekana pamoja ni kwenye giza giza lakini bado unaona sawa tu. Anakwambia anaweka mahusiano yenu private, lakini wewe bado unajionyesha kwake na unamuacha ana-enjoy sehemu zako za siri za mwili wako mzuri. Nafikiri unahitaji semina binafsi...watu pekee wanaokufahamu kwa upande wake ni marafiki na binamu zake basi, mwanaume anaekutambulisha kwa marafiki tu sio wa kumuamini moja kwa moja..yeye hajali ni kwa kiasi gani hao watu wanamfahamu kwa kuwa obvious watamfichia siri yake tu. Umefungwa na nini..? Nani amekuroga...? Ngoja nikwambie kitu kuhusiana na sisi wanaume. Hatuna tofauti sana na yule mwajiriwa wa kawaida...mwajiriwa wa kawaida yuko radhi afanye chochote kile ilimradi mwisho wa mwezi alipwe mshahara..sawa na sisi: hufanya lolote lile ilimradi tupate sex. Ndio, hata kuwadanganyeni kuwa tutawaoa, hata kuonekana kwa wazazi wenu as long as you guarantee us a sex...sasa imagine unaolewa na mwanaume wa hivyo, unafikiri atakua mume bora? Unafikiri atakupa furaha? Au unafikiri atabadilika? Hilo sahau..unaloliona ndilo utakalolipata. My sister, unatakiwa ujue thamani yako. Hata siku moja usijaribu kujishushia heshima na thamani yako ili tu umkamate mwanaume. Mwanaume ambae hawezi kukuheshimu na kuku-treat vizuri hakustahili hata kidogo. Ni bora uwe single, ukijigeuza huku na huku kitandani pekeyako kuhangaika na network ya Tigo kuliko kugeuzwa geuzwa kitandani na mwanaume ambae hastahili kupewa hiyo asali. Kamwe usiuze utu wako kwa minajili kwamba na wewe ujiite "am in a relationship"... hapana dada yangu hayo sio mahusiano, hizo ni personal benefits na tena anafaidi kweli, maana kila anapokuhitaji anakupata na unampa tu, anakuchafua na baada ya hapo maumivu tu kwa upande wako ukitarajia atabadilika na kuja kukuoa. My sister, hold yourself in so high esteem kiasi ya kwamba hata ukipita katikati ya kundi la wanaume, hakuna hata mmoja atainua kidole chake na kusema kwamba "nimeshakula ile mambo". Jiheshimu na heshimu hisia na mwili wako, hilo tunda anastahili mume wako tu, litunze ili usije ukampa likiwa limeliwa vya kutosha na limechacha...It's starts with you, if you don't know your value, you will be as common as a coin... Know your value and never be demeaned by anyone. Najua wanaume hawataipenda hii, ila muda mwingine lazima tuwaelimishe hawa dada zetu, ndio walezi wa kizazi kijacho. #KnowYourValueAndAct #MarriageUnderGodFoundation #MarriageIsBeautifu
    0 Commenti ·0 condivisioni ·1K Views
  • .Young Africans SC kwa kushirikiana na @gsmfoundationtz tumechangia TZS Millioni 50 kwenye harambee maalum iliyoendeshwa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete - JKCI kwa dhumuni la kusaidia matibabu ya watoto 1500 wanaotibiwa kwenye taasisi hiyo.

    Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete - JKCI imetoa tuzo ya heshima kwa kutambua mchango wetu wa uhamasishaji na uchangiaji fedha wa kusaidia matibabu ya watoto wanaotibiwa katika taasisi hiyo na imekabidhiwa na Rais Mstaafu wa awamu ya nne, Mhe. Dkt. Jakaya Kikwete na kupokelewa na Mkurugenzi wa Idara ya Masoko na Wanachama Young Africans SC, Ibrahim Samwel jana kwenye chakula cha jioni maalum cha kuchangisha fedha kusaidia watoto wenye magonjwa ya moyo.

    #timuyawananchi
    #daimambelenyumamwiko
    .Young Africans SC kwa kushirikiana na @gsmfoundationtz tumechangia TZS Millioni 50 kwenye harambee maalum iliyoendeshwa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete - JKCI kwa dhumuni la kusaidia matibabu ya watoto 1500 wanaotibiwa kwenye taasisi hiyo. Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete - JKCI imetoa tuzo ya heshima kwa kutambua mchango wetu wa uhamasishaji na uchangiaji fedha wa kusaidia matibabu ya watoto wanaotibiwa katika taasisi hiyo na imekabidhiwa na Rais Mstaafu wa awamu ya nne, Mhe. Dkt. Jakaya Kikwete na kupokelewa na Mkurugenzi wa Idara ya Masoko na Wanachama Young Africans SC, Ibrahim Samwel jana kwenye chakula cha jioni maalum cha kuchangisha fedha kusaidia watoto wenye magonjwa ya moyo. #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko
    Like
    4
    · 2 Commenti ·0 condivisioni ·792 Views
  • 👊🏼 "Action is the foundational key to all success." -
    👊🏼 "Action is the foundational key to all success." -
    Like
    1
    · 0 Commenti ·0 condivisioni ·631 Views
  • 👊🏼 Many people are trying to carry it on their shoulders while making it appear effortlessly. Remember to check on your “strong” friends and to give one another grace and an open door to be vulnerable with one another.

    #mattsfoundation
    #4mattmsmf
    👊🏼 Many people are trying to carry it on their shoulders while making it appear effortlessly. Remember to check on your “strong” friends and to give one another grace and an open door to be vulnerable with one another. #mattsfoundation #4mattmsmf
    Like
    Love
    5
    · 0 Commenti ·0 condivisioni ·157 Views
  • Many people are trying to carry it on their shoulders while making it appear effortlessly. Remember to check on your “strong” friends and to give one another grace and an open door to be vulnerable with one another.

    #mattsfoundation
    #4mattmsmf
    Many people are trying to carry it on their shoulders while making it appear effortlessly. Remember to check on your “strong” friends and to give one another grace and an open door to be vulnerable with one another. #mattsfoundation #4mattmsmf
    Like
    Love
    3
    · 0 Commenti ·0 condivisioni ·155 Views
  • This one is for those of us that are struggling to put one foot in front of the other. Learn from the past and focus on now. Today is what builds the version of yourself that you’d like to become

    #mattsfoundation
    This one is for those of us that are struggling to put one foot in front of the other. Learn from the past and focus on now. Today is what builds the version of yourself that you’d like to become 🤍🙏 #mattsfoundation
    Love
    2
    · 1 Commenti ·0 condivisioni ·125 Views
  • As you evolve into a better version of yourself, don't forget to acknowledge your old version that laid foundation for this sparkling new you. Honor your journey, even the parts that embarrass you today. You were giving it your best. Take pride in the journey of your upgrade
    As you evolve into a better version of yourself, don't forget to acknowledge your old version that laid foundation for this sparkling new you. Honor your journey, even the parts that embarrass you today. You were giving it your best. Take pride in the journey of your upgrade
    Love
    2
    · 1 Commenti ·0 condivisioni ·63 Views
  • "8 Rules of Love" by Jay Shetty offers profound insights on love and relationships, drawing from ancient wisdom and modern science.

    Here are ten lessons from the book:

    1. Love Begins with Self-Love: Understanding and loving yourself is the foundation of any healthy relationship. Before you can truly love others, you must appreciate and accept your own strengths and weaknesses.

    2. Understanding Your Partner: Effective communication and empathy are crucial in understanding your partner’s needs, desires, and perspectives. Taking time to listen and genuinely comprehend their feelings fosters a deeper connection.

    3. Embrace Vulnerability: Being open and vulnerable with your partner helps build trust and intimacy. It’s important to share your fears, dreams, and insecurities to create a strong emotional bond.

    4. Practice Patience and Compassion: Relationships require patience and compassion, especially during challenging times. Understanding that both you and your partner are continuously growing and evolving is key to maintaining a loving relationship.

    5. Healthy Boundaries: Establishing and respecting boundaries is essential for a balanced relationship. Clear boundaries help both partners feel secure and respected, preventing misunderstandings and conflicts.

    6. The Power of Forgiveness: Holding onto grudges and past mistakes can hinder a relationship’s growth. Learning to forgive and move forward is crucial for long-term happiness and connection.

    7. Quality Time: Spending quality time together strengthens your bond. Whether it’s through shared activities or simple moments of togetherness, making time for each other reinforces your connection.

    8. Shared Values and Goals: Aligning on core values and future goals is vital for a harmonious relationship. Discussing and agreeing on important aspects of life, such as family, career, and personal growth, ensures you’re on the same path.

    9. Continuous Growth: Relationships thrive when both partners are committed to personal and mutual growth. Encouraging and supporting each other’s development keeps the relationship dynamic and fulfilling.

    10. Gratitude and Appreciation: Regularly expressing gratitude and appreciation for your partner strengthens your bond. Acknowledging the positive aspects of your relationship and celebrating each other’s contributions fosters a loving and supportive environment.

    These lessons from "8 Rules of Love" highlight the importance of self-awareness, communication, and mutual respect in building and maintaining healthy, loving relationships.
    "8 Rules of Love" by Jay Shetty offers profound insights on love and relationships, drawing from ancient wisdom and modern science. Here are ten lessons from the book: 1. Love Begins with Self-Love: Understanding and loving yourself is the foundation of any healthy relationship. Before you can truly love others, you must appreciate and accept your own strengths and weaknesses. 2. Understanding Your Partner: Effective communication and empathy are crucial in understanding your partner’s needs, desires, and perspectives. Taking time to listen and genuinely comprehend their feelings fosters a deeper connection. 3. Embrace Vulnerability: Being open and vulnerable with your partner helps build trust and intimacy. It’s important to share your fears, dreams, and insecurities to create a strong emotional bond. 4. Practice Patience and Compassion: Relationships require patience and compassion, especially during challenging times. Understanding that both you and your partner are continuously growing and evolving is key to maintaining a loving relationship. 5. Healthy Boundaries: Establishing and respecting boundaries is essential for a balanced relationship. Clear boundaries help both partners feel secure and respected, preventing misunderstandings and conflicts. 6. The Power of Forgiveness: Holding onto grudges and past mistakes can hinder a relationship’s growth. Learning to forgive and move forward is crucial for long-term happiness and connection. 7. Quality Time: Spending quality time together strengthens your bond. Whether it’s through shared activities or simple moments of togetherness, making time for each other reinforces your connection. 8. Shared Values and Goals: Aligning on core values and future goals is vital for a harmonious relationship. Discussing and agreeing on important aspects of life, such as family, career, and personal growth, ensures you’re on the same path. 9. Continuous Growth: Relationships thrive when both partners are committed to personal and mutual growth. Encouraging and supporting each other’s development keeps the relationship dynamic and fulfilling. 10. Gratitude and Appreciation: Regularly expressing gratitude and appreciation for your partner strengthens your bond. Acknowledging the positive aspects of your relationship and celebrating each other’s contributions fosters a loving and supportive environment. These lessons from "8 Rules of Love" highlight the importance of self-awareness, communication, and mutual respect in building and maintaining healthy, loving relationships.
    Like
    Love
    8
    · 3 Commenti ·0 condivisioni ·1K Views
  • "When Things Fall Apart" by Pema Chödrön is a profound exploration of how to find peace and wisdom in the midst of life's difficulties.

    Here are 10 key lessons from the book:

    1. Acceptance of Impermanence: Chödrön teaches that all things are impermanent and subject to change. Learning to accept this fundamental truth can help us navigate life's ups and downs with greater ease.

    2. Facing Fear and Uncertainty: Instead of avoiding or denying difficult emotions like fear and uncertainty, Chödrön encourages us to face them head-on. By embracing our discomfort, we can cultivate courage and resilience.

    3. The Path of Fearlessness: Fearlessness doesn't mean the absence of fear; rather, it's the courage to act in spite of fear. Chödrön teaches that true fearlessness comes from facing our fears with an open heart and mind.

    4. Groundlessness as a Path to Freedom: In times of crisis or upheaval, we may feel like the ground beneath us is crumbling. Chödrön suggests that embracing this groundlessness can lead to a sense of freedom and openness.

    5. Compassion for Ourselves and Others: Developing compassion for ourselves and others is essential for navigating difficult times. Chödrön teaches that self-compassion is the foundation for genuine compassion towards others.

    6. The Practice of Meditation: Meditation is a powerful tool for cultivating mindfulness and awareness. Chödrön emphasizes the importance of incorporating meditation into our daily lives as a means of finding inner peace and clarity.

    7. Letting Go of Attachments: Attachment to outcomes, people, or circumstances can lead to suffering. Chödrön teaches that true freedom comes from letting go of our attachments and embracing the present moment as it is.

    8. The Wisdom of No Escape: There is no escaping the inevitable challenges and difficulties of life. Chödrön encourages us to stop searching for an easy way out and instead embrace life's messiness with an open heart and mind.

    9. Finding Refuge in the Present Moment: The present moment is the only moment we truly have. Chödrön teaches that finding refuge in the present moment can bring us peace and clarity, even in the midst of chaos.

    10. The Path of Bodhisattva: Chödrön introduces the concept of the bodhisattva, someone who dedicates their life to alleviating the suffering of others. By walking the path of the bodhisattva, we can find meaning and purpose in our own suffering and use it as a catalyst for awakening compassion.

    These lessons from "When Things Fall Apart" offer profound insights into how to find peace, wisdom, and compassion in the midst of life's challenges.
    "When Things Fall Apart" by Pema Chödrön is a profound exploration of how to find peace and wisdom in the midst of life's difficulties. Here are 10 key lessons from the book: 1. Acceptance of Impermanence: Chödrön teaches that all things are impermanent and subject to change. Learning to accept this fundamental truth can help us navigate life's ups and downs with greater ease. 2. Facing Fear and Uncertainty: Instead of avoiding or denying difficult emotions like fear and uncertainty, Chödrön encourages us to face them head-on. By embracing our discomfort, we can cultivate courage and resilience. 3. The Path of Fearlessness: Fearlessness doesn't mean the absence of fear; rather, it's the courage to act in spite of fear. Chödrön teaches that true fearlessness comes from facing our fears with an open heart and mind. 4. Groundlessness as a Path to Freedom: In times of crisis or upheaval, we may feel like the ground beneath us is crumbling. Chödrön suggests that embracing this groundlessness can lead to a sense of freedom and openness. 5. Compassion for Ourselves and Others: Developing compassion for ourselves and others is essential for navigating difficult times. Chödrön teaches that self-compassion is the foundation for genuine compassion towards others. 6. The Practice of Meditation: Meditation is a powerful tool for cultivating mindfulness and awareness. Chödrön emphasizes the importance of incorporating meditation into our daily lives as a means of finding inner peace and clarity. 7. Letting Go of Attachments: Attachment to outcomes, people, or circumstances can lead to suffering. Chödrön teaches that true freedom comes from letting go of our attachments and embracing the present moment as it is. 8. The Wisdom of No Escape: There is no escaping the inevitable challenges and difficulties of life. Chödrön encourages us to stop searching for an easy way out and instead embrace life's messiness with an open heart and mind. 9. Finding Refuge in the Present Moment: The present moment is the only moment we truly have. Chödrön teaches that finding refuge in the present moment can bring us peace and clarity, even in the midst of chaos. 10. The Path of Bodhisattva: Chödrön introduces the concept of the bodhisattva, someone who dedicates their life to alleviating the suffering of others. By walking the path of the bodhisattva, we can find meaning and purpose in our own suffering and use it as a catalyst for awakening compassion. These lessons from "When Things Fall Apart" offer profound insights into how to find peace, wisdom, and compassion in the midst of life's challenges.
    Like
    Love
    10
    · 2 Commenti ·0 condivisioni ·1K Views