• Homeland sofa furniture arusha

    This fund will help me in starting my own busine and use it in all business expenses.
    I deal with different furnitures making,the money will be the capital to open my own office.
    This fund will help me in starting my own busine and use it in all business expenses. I deal with different furnitures making,the money will be the capital to open my own office.
    Tsh0 Raised of Tsh4000000
    0%
    0 Comments ·0 Shares ·241 Views ·0 Donations
  • Ya Mange Kimambi kuhusu sakata la Mbosso na Zuchu kujitoa kwenye Lebo ya WCB Wasafi.

    Mnaosema Mbosso bora angebaki wasafi hivi mnawaza nini? Hivi mnadhani hawa wasanii ni wajinga wanapoamua kutoka kwa Diamond?

    Wanatoka coz wanaona hawapati matunda ya kazi zao, wanapiga kazi kubwa, wanakuwa famous nchi nzima ila hakuna pesa ya maana wanayopata, faida kubwa inaenda kwa kampuni ndo maana wanaona bora watoke wakajitafutie hata kama ni kidogo ila angalau ni chake na hatumiki tena kumtajirisha mtu.

    Nawaambia hata Zuchu leo akiachwa na Dai kesho yake asubuhi na mapema anatoka Wasafi. kinachomuweka Zuchu wasafi ni kwamba yuko obsessed na kuolewa na Diamond.

    Oh yeah, bado tukiwa kwenye hiyo topic ya king’ang’a ngoja niwaambie hivi, ni ngumu mnooo Diamond kumuacha king’ang’a, tena mnooooo. Hivi ndugu zangu mnajua maisha yalivyo magumu, mnataka Diamond amuache mwanamke anaemuingizia mabilioni ya pesa then aje kwenu vishanshuda wa mjini mnaosubiri kupewa? Itabidi akununulie gari, akupangie nyumba, akupe hela ya mawigi, akupe hela ya kulea ukoo wako, then uombe akujengee nyumba, why aingie kwenye matatizo hayo wakati Zuchu hayo mambo yote anajifanyia mwenyewe na on top of that anamwingizia pesa kwenye account? Yani aache mwanamke ambae hamcosti hata senti moja na bado anamwingizia mahela kwenye account aje kwenu omba omba na makalio yenu ya Uturuki? Itabidi Zuchu ashuke kimziki aache kumwingizia Diamond mahela ndo atapigwa chini. Yani Zuchu siku akishindwa kumwingizia Dai pesa kwenye account ndio ataachwa na sio kabla.Sasa acheni kujaji uzuri wako vs wa king’ang’a, jaji pesa utakayoweza kumwingizia Dai kwenye account Vs Zuchu anayomwingizia ndo utapata majibu. Na sasa hivi Zuchu kawaka moto Dai amuoe au anaingia mitini mnadhani Dai atachagua nini? Ampoteze top money maker wa Wasafi au aoe?Tumieni akili hapo, mnadhani atachagua nini?

    Basi kwa hii posti kama namuona Dai atavyoniletea barua ingine ya lawyer huku Marekani . Weee mi sio kina Mwijaku uliowatishia na vibarua vya lawyer siku hizi wameufyata wooote. Weeee, mimi tutagaragazana mahakamani mpaka woote tufilisike kwa kulipa malawyer . Chezea wapare tunavyopenda kesi .Yes guys, kama mnenoti siku hizi hakuna mtu bongo anadhubutu kumchamba Dai, wooote kawanyoosha kwa kuwatishia lawyer.

    Ya Mange Kimambi kuhusu sakata la Mbosso na Zuchu kujitoa kwenye Lebo ya WCB Wasafi. Mnaosema Mbosso bora angebaki wasafi hivi mnawaza nini? Hivi mnadhani hawa wasanii ni wajinga wanapoamua kutoka kwa Diamond? Wanatoka coz wanaona hawapati matunda ya kazi zao, wanapiga kazi kubwa, wanakuwa famous nchi nzima ila hakuna pesa ya maana wanayopata, faida kubwa inaenda kwa kampuni ndo maana wanaona bora watoke wakajitafutie hata kama ni kidogo ila angalau ni chake na hatumiki tena kumtajirisha mtu. Nawaambia hata Zuchu leo akiachwa na Dai kesho yake asubuhi na mapema anatoka Wasafi. kinachomuweka Zuchu wasafi ni kwamba yuko obsessed na kuolewa na Diamond. Oh yeah, bado tukiwa kwenye hiyo topic ya king’ang’a ngoja niwaambie hivi, ni ngumu mnooo Diamond kumuacha king’ang’a, tena mnooooo. Hivi ndugu zangu mnajua maisha yalivyo magumu, mnataka Diamond amuache mwanamke anaemuingizia mabilioni ya pesa then aje kwenu vishanshuda wa mjini mnaosubiri kupewa? Itabidi akununulie gari, akupangie nyumba, akupe hela ya mawigi, akupe hela ya kulea ukoo wako, then uombe akujengee nyumba, why aingie kwenye matatizo hayo wakati Zuchu hayo mambo yote anajifanyia mwenyewe na on top of that anamwingizia pesa kwenye account? Yani aache mwanamke ambae hamcosti hata senti moja na bado anamwingizia mahela kwenye account aje kwenu omba omba na makalio yenu ya Uturuki? Itabidi Zuchu ashuke kimziki aache kumwingizia Diamond mahela ndo atapigwa chini. Yani Zuchu siku akishindwa kumwingizia Dai pesa kwenye account ndio ataachwa na sio kabla.Sasa acheni kujaji uzuri wako vs wa king’ang’a, jaji pesa utakayoweza kumwingizia Dai kwenye account Vs Zuchu anayomwingizia ndo utapata majibu. Na sasa hivi Zuchu kawaka moto Dai amuoe au anaingia mitini mnadhani Dai atachagua nini? Ampoteze top money maker wa Wasafi au aoe?Tumieni akili hapo, mnadhani atachagua nini? Basi kwa hii posti kama namuona Dai atavyoniletea barua ingine ya lawyer huku Marekani 🤣. Weee mi sio kina Mwijaku uliowatishia na vibarua vya lawyer siku hizi wameufyata wooote. Weeee, mimi tutagaragazana mahakamani mpaka woote tufilisike kwa kulipa malawyer 🤣. Chezea wapare tunavyopenda kesi 🤣🤣.Yes guys, kama mnenoti siku hizi hakuna mtu bongo anadhubutu kumchamba Dai, wooote kawanyoosha kwa kuwatishia lawyer.
    0 Comments ·0 Shares ·726 Views
  • My goal is to earn money to pay off debts! I hope this site helps, I can only work online. There is no way to do that in Hungary.
    My goal is to earn money to pay off debts! I hope this site helps, I can only work online. There is no way to do that in Hungary.
    0 Comments ·0 Shares ·323 Views
  • Nai Vs Gigy Money
    Nai Vs Gigy Money
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·159 Views
  • Believe on social pop to get easy money
    Believe on social pop to get easy money
    0 Comments ·0 Shares ·270 Views
  • Similarities and different between money and education make people over world to be crazy an insane for the same time
    Similarities and different between money and education make people over world to be crazy an insane for the same time
    0 Comments ·0 Shares ·206 Views
  • Looking for money
    Looking for money
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·156 Views
  • Do not make noise make money brother
    Do not make noise make money brother
    0 Comments ·0 Shares ·158 Views
  • Make money
    Make money
    0 Comments ·0 Shares ·151 Views
  • Some people are poor by money
    But rich by heart
    Some people are poor by money But rich by heart
    Like
    1
    · 1 Comments ·0 Shares ·183 Views
  • No people like you if you have not money even me l don't like my self when they have no money
    No people like you if you have not money even me l don't like my self when they have no money
    Like
    Love
    2
    · 0 Comments ·0 Shares ·389 Views
  • Money for physicist

    This money is special for buying physics books
    This money is special for buying physics books
    Tsh0 Raised of Tsh20000
    0%
    Love
    2
    · 0 Comments ·0 Shares ·485 Views ·0 Donations
  • WOMAN FUND

    I need this money because for help other woman
    I need this money because for help other woman
    Tsh0 Raised of Tsh100000
    0%
    0 Comments ·0 Shares ·395 Views ·0 Donations
  • Make money on line if interested you may find me wtsap 0710170999
    Make money 💰 on line if interested you may find me wtsap 0710170999
    Like
    Wow
    2
    · 0 Comments ·0 Shares ·245 Views
  • Tanzania

    Send money plz+255684129601
    Send money plz🙏🙏🙏🙏+255684129601
    Tsh0 Raised of Tsh15000000
    0%
    0 Comments ·0 Shares ·390 Views ·0 Donations
  • Money for survival

    Money for social services development in Tanzania and helping diasabled people
    Money for social services development in Tanzania and helping diasabled people
    Tsh0 Raised of Tsh100000000
    0%
    1 Comments ·0 Shares ·420 Views ·0 Donations
  • Money

    Anyone who give me money i would appreciate
    Anyone who give me money i would appreciate
    Tsh0 Raised of Tsh200000
    0%
    0 Comments ·0 Shares ·466 Views ·0 Donations
  • We never get tired of making money, man
    We never get tired of making money, man😀
    0 Comments ·0 Shares ·302 Views
  • P. Diddy

    Money maker money line money for me Money one
    Money maker money line money for me Money one
    Tsh0 Raised of Tsh3000
    0%
    Love
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·398 Views ·0 Donations