• Read more
    Kuna siku nilisikia wapangaji wenzagu wananiteta kwamba ninafanya kazi gani. Maana nipo tu wao wanaamka asubuhi purukushani za kwenda kazini na kurudi jioni. Mimi niko ndani. Nikitoka naenda gym, Kariakoo one time, au sokoni. Assumptions zilikuwa nyingi ikiwemo kuhisiwa naiba au shoga kwasababu ninajenga six pack na kutanua kifua tu. Guys, sisi ni pioneers. Wazee hawatuelewi. Wengi wa rika letu waliokuwa serious sana shule nao hawatuelewi pia. Sema I have a feelings fainali uzeeni we will have the last laugh. #NaongeaNaWewe
    0 Commentarios ·0 Acciones ·934 Views
  • Read more
    Kila siku unaenda kazini saa 12 asubuhi Kwa miezi 7, muda mwingine unafanya kazi mpaka usiku, Alafu Leo tarehe ya mshahara bosi anakuambia "Tungoje kama mwezi unaokuja utapata mshahara" Ndugu Mtanzania, jifunze side Hussles Anza ujasiriamali Take responsibility #NaongeaNawewe
    1 Commentarios ·0 Acciones ·786 Views