• #PART5
    Eneo la Kivu ni eneo la kimkakati sana na mabepari wote duniani wanalitolea macho kutokana na utajiri wake. Kivu ina madini ya Coltan ambayo yanatumika kutengeneza simu na laptop. 80% ya coltan yote duniani inatoka Congo (unaweza kugoogle kama huamini). Yani kwa kifupi bila Congo hakuna smartphones wala laptop duniani.

    Kivu pia kuna madini ya tin yanayotumika kutengenezea solder za kuchomelea vifaa vya kielektroniki kama radio, TV, simu, nk. Kuna madini ya Tungsten yanayotumika kutengenezea silaha. Na pia kuna Cobalt inayotumika kutengeneza betri mbalimbali zikiwemo za magari. Kama haitoshi Kivu kuna dhahabu nyingi mno. Eneo la Kivu ni eneo lenye dhahabu nyingi zaidi duniani ambayo bado haijachimbwa (The most unexplored gold site globally).

    Kagame aliona fursa. Wakati huo Rwanda ilikuwa imetoka kwenye vita na machafuko ya muda mrefu. Akataka rasilimali za jirani. Lakini atazipataje wakati yeye na Mobutu hawaelewani? Akakaamua kumuunga mkono mzee Laurent Kabila. Lakini akaweka masharti. Nikikusaidia kumng'oa Mobutu, eneo la Kivu Kusini, lenye Watutsi wengi (Banyamulenge), litajitenga na Congo na kuwa nchi inayojitegemea.

    Alishapiga hesabu za mbali za kuifanya Kivu kuwa sehemu ya Rwanda baada ya kujitenga DRC. Kabila akasema poa tu. Ashapigana miaka 30 msituni bila mafanikio? Sasa kapata "kamserereko" ka kwenda Ikulu akatae? Kagame nyuma yake walikuwepo Ufaransa na Uingereza akasema twende kwa maandishi. Mkataba ukasainiwa mji mdogo wa Lemera, Kivu Kusini. AFDL ikapewa support ya silaha na pesa, ikaamsha dude kupigana na majeshi ya serikali (FARDC).

    Wakati Mobutu anajaribu kupambana na AFDL, vikaibuka vikundi vingine vya waasi zaidi ya 40 kupigana na majeshi ya serikali. Vita ikiwa imepamba moto, Rwanda ikajitosa rasmi kupigana na serikali ya Mobutu kwa kisingizio cha kuwatafuta wanamgambo wa Intarahamwe waliokimbilia Congo. Uganda nayo ikaingiza jeshi kuwatafuta waasi wa LRA. Mobutu kaona "nini cha kufia" akadaka chopa akatokomea zake Moroco. Kesho yake tar.17 Mei 1997, Laurent Kabila akatangazwa Rais mpya wa Congo. Vita hii ikabatizwa jina vita vya kwanza vya Congo (1996-1997).
    (Malisa GJ)

    #PART5 Eneo la Kivu ni eneo la kimkakati sana na mabepari wote duniani wanalitolea macho kutokana na utajiri wake. Kivu ina madini ya Coltan ambayo yanatumika kutengeneza simu na laptop. 80% ya coltan yote duniani inatoka Congo (unaweza kugoogle kama huamini). Yani kwa kifupi bila Congo hakuna smartphones wala laptop duniani. Kivu pia kuna madini ya tin yanayotumika kutengenezea solder za kuchomelea vifaa vya kielektroniki kama radio, TV, simu, nk. Kuna madini ya Tungsten yanayotumika kutengenezea silaha. Na pia kuna Cobalt inayotumika kutengeneza betri mbalimbali zikiwemo za magari. Kama haitoshi Kivu kuna dhahabu nyingi mno. Eneo la Kivu ni eneo lenye dhahabu nyingi zaidi duniani ambayo bado haijachimbwa (The most unexplored gold site globally). Kagame aliona fursa. Wakati huo Rwanda ilikuwa imetoka kwenye vita na machafuko ya muda mrefu. Akataka rasilimali za jirani. Lakini atazipataje wakati yeye na Mobutu hawaelewani? Akakaamua kumuunga mkono mzee Laurent Kabila. Lakini akaweka masharti. Nikikusaidia kumng'oa Mobutu, eneo la Kivu Kusini, lenye Watutsi wengi (Banyamulenge), litajitenga na Congo na kuwa nchi inayojitegemea. Alishapiga hesabu za mbali za kuifanya Kivu kuwa sehemu ya Rwanda baada ya kujitenga DRC. Kabila akasema poa tu. Ashapigana miaka 30 msituni bila mafanikio? Sasa kapata "kamserereko" ka kwenda Ikulu akatae? Kagame nyuma yake walikuwepo Ufaransa na Uingereza akasema twende kwa maandishi. Mkataba ukasainiwa mji mdogo wa Lemera, Kivu Kusini. AFDL ikapewa support ya silaha na pesa, ikaamsha dude kupigana na majeshi ya serikali (FARDC). Wakati Mobutu anajaribu kupambana na AFDL, vikaibuka vikundi vingine vya waasi zaidi ya 40 kupigana na majeshi ya serikali. Vita ikiwa imepamba moto, Rwanda ikajitosa rasmi kupigana na serikali ya Mobutu kwa kisingizio cha kuwatafuta wanamgambo wa Intarahamwe waliokimbilia Congo. Uganda nayo ikaingiza jeshi kuwatafuta waasi wa LRA. Mobutu kaona "nini cha kufia" akadaka chopa akatokomea zake Moroco. Kesho yake tar.17 Mei 1997, Laurent Kabila akatangazwa Rais mpya wa Congo. Vita hii ikabatizwa jina vita vya kwanza vya Congo (1996-1997). (Malisa GJ)
    Like
    2
    · 1 Comments ·0 Shares ·602 Views
  • Baada ya kuripotiwa kuwa zaidi ya Watanzania mia tatu (300) wamerudishwa Nchini Tanzania kufuatia agizo la Rais wa Marekani , Donald Trump la kuwaondoa Watu wanaoishi Nchini Marekani kinyume cha sheria, Mange Kimambi ameibuka na kusema hayo:

    "Naomba niwaambie ndugu zangu kwa mara ya mwisho na nisione ten comments za issue hii. Ni hivi mimi sitokaa nirudishwe Tanzania… Yani hiyo kitu ifuteni kabisa. Haipoooo.

    .Huyo jamaa aliekatwa kwenye hii picha hawezi kubali nirudishwe kwa kimama hata siku moja Atapambana na serikali yake juu chini hadi waniache . Alafu hata hatohitaji kupambana maana huyo ni supporter wa Trump, kipindi cha uchaguzi kidogo tupeane talaka maana mimi Trump sijawahi kumwelewa…Huyo jamaa aliekatwa kwenye picha barua moja tu au simu moja tu wanamwachia mpare wake….. … Siwezi guswa na mtu mimi.- Mange kimambi, Mwanaharakati (Mtanzania) aishiye Nchini Marekani .

    Baada ya kuripotiwa kuwa zaidi ya Watanzania mia tatu (300) wamerudishwa Nchini Tanzania 🇹🇿 kufuatia agizo la Rais wa Marekani 🇺🇸, Donald Trump la kuwaondoa Watu wanaoishi Nchini Marekani kinyume cha sheria, Mange Kimambi ameibuka na kusema hayo: "Naomba niwaambie ndugu zangu kwa mara ya mwisho na nisione ten comments za issue hii. Ni hivi mimi sitokaa nirudishwe Tanzania… Yani hiyo kitu ifuteni kabisa. Haipoooo. .Huyo jamaa aliekatwa kwenye hii picha hawezi kubali nirudishwe kwa kimama hata siku moja 🤣🤣🤣Atapambana na serikali yake juu chini hadi waniache 🤣🤣🤣🤣🤣. Alafu hata hatohitaji kupambana maana huyo ni supporter wa Trump, kipindi cha uchaguzi kidogo tupeane talaka maana mimi Trump sijawahi kumwelewa…Huyo jamaa aliekatwa kwenye picha barua moja tu au simu moja tu wanamwachia mpare wake….. 🤣🤣🤣🤣🤣… Siwezi guswa na mtu mimi.- Mange kimambi, Mwanaharakati (Mtanzania) aishiye Nchini Marekani 🇺🇸.
    0 Comments ·0 Shares ·392 Views
  • Most DOWNLOADED premium Apps From DUDUU_MENDEZ COMMUNITY WEBSITE

    - DARK TOOLS (instagram story downloader, reels downloader,Profile downloader, Fonts generator, ai chat,Netflix, n.k)
    - CAPCUT PRO ( unlocked premium)
    - AZAM TV (free, no subscription)
    - DSTV & GO TV( no subscription)
    - NETFLIX PREM
    - PRIME BETTING (unlocked premium betting tips)
    - INSTA BOOSTER ( TOP FOLLOW likes,comments and followers)
    - ADVANCED CHATGPT (unlocked premium mode)
    - ADOBE PRO (no subscription)
    - TIKTOK BOOSTERS (likes,comments,followers)

    Website
    https://mendez-website.vercel.app/



    Thanks For Your Support

    #Duduumendez
    #Duduu_mendez
    #Duduu_mendez_backup

    > 𝐃𝐔𝐃𝐔𝐔_𝐌𝐄𝐍𝐃𝐄𝐙 V4.1
    ▶︎ ●────────── 0:41
    Most DOWNLOADED premium Apps From DUDUU_MENDEZ COMMUNITY WEBSITE - DARK TOOLS (instagram story downloader, reels downloader,Profile downloader, Fonts generator, ai chat,Netflix, n.k) - CAPCUT PRO ( unlocked premium) - AZAM TV (free, no subscription) - DSTV & GO TV( no subscription) - NETFLIX PREM - PRIME BETTING (unlocked premium betting tips) - INSTA BOOSTER ( TOP FOLLOW likes,comments and followers) - ADVANCED CHATGPT (unlocked premium mode) - ADOBE PRO (no subscription) - TIKTOK BOOSTERS (likes,comments,followers) Website https://mendez-website.vercel.app/ Thanks For Your Support #Duduumendez #Duduu_mendez #Duduu_mendez_backup > 𝐃𝐔𝐃𝐔𝐔_𝐌𝐄𝐍𝐃𝐄𝐙 V4.1 ▶︎ ●────────── 0:41
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·925 Views
  • Most DOWNLOADED premium Apps This December From DUDUU_MENDEZ COMMUNITY WEBSITE

    - DARK TOOLS (instagram story downloader, reels downloader,Profile downloader, Fonts generator, ai chat,Netflix, n.k)
    - CAPCUT PRO ( unlocked premium)
    - AZAM TV (free, no subscription)
    - DSTV & GO TV( no subscription)
    - NETFLIX PREM
    - PRIME BETTING (unlocked premium betting tips)
    - INSTA BOOSTER ( TOP FOLLOW likes,comments and followers)
    - ADVANCED CHATGPT (unlocked premium mode)
    - ADOBE PRO (no subscription)
    - TIKTOK BOOSTERS (likes,comments,followers)

    Website
    https://mendez-website.vercel.app/



    Thanks For Your Support

    #Duduumendez
    #Duduu_mendez
    #Duduu_mendez_backup

    > 𝐃𝐔𝐃𝐔𝐔_𝐌𝐄𝐍𝐃𝐄𝐙 V4.1
    ▶︎ ●────────── 0:41
    Most DOWNLOADED premium Apps This December From DUDUU_MENDEZ COMMUNITY WEBSITE - DARK TOOLS (instagram story downloader, reels downloader,Profile downloader, Fonts generator, ai chat,Netflix, n.k) - CAPCUT PRO ( unlocked premium) - AZAM TV (free, no subscription) - DSTV & GO TV( no subscription) - NETFLIX PREM - PRIME BETTING (unlocked premium betting tips) - INSTA BOOSTER ( TOP FOLLOW likes,comments and followers) - ADVANCED CHATGPT (unlocked premium mode) - ADOBE PRO (no subscription) - TIKTOK BOOSTERS (likes,comments,followers) Website https://mendez-website.vercel.app/ Thanks For Your Support #Duduumendez #Duduu_mendez #Duduu_mendez_backup > 𝐃𝐔𝐃𝐔𝐔_𝐌𝐄𝐍𝐃𝐄𝐙 V4.1 ▶︎ ●────────── 0:41
    Like
    Yay
    2
    · 0 Comments ·0 Shares ·935 Views
  • Support yenu wadau wangu wa nguvu.
    Usisahau ku subscribe na kulike. Utakuwa umetisha sana.


    https://youtube.com/@_creator821?si=ph6mhbduqp0hiMsk
    Support yenu wadau wangu wa nguvu. Usisahau ku subscribe na kulike. Utakuwa umetisha sana. https://youtube.com/@_creator821?si=ph6mhbduqp0hiMsk
    COME AND SEE
    youtube.com
    WAFANYA KAZI WA YAPI MERKEZI LOT 3 ITIGI WAGOMA WAKIDAI MALIPO YAO YA NSSF.
    Like
    2
    · 0 Comments ·0 Shares ·347 Views
  • # **Socialpop Roadmap for 2025 **** :**

    **1- SocialPop v4.0 Native Apps**

    Estimated Release Date: March 2025 (2025 Q1)

    Completed: ~%65

    **2- SocialPop Messaging Apps (Android & IOS)**

    Estimated Release Date: March 2025 (2025 Q1)

    Completed: ~%75

    **3- SocialPop Timeline Apps (Android & IOS)**

    Estimated Release Date: June 2025 (2025 Q2)

    Completed: ~%60

    **4- SocialPop AI System (v4.X+)**

    Socialpop AI could be release with v4.0 or v4.1

    All SocialPop releases and updates are totally FREE for life-time however native apps will be sold separately

    Finally we want to thank all of you for your support so far and understanding

    Socilpop Team

    Marry Christmass And Happy New year
    # **Socialpop Roadmap for 2025 **📆** :** **1- SocialPop v4.0 Native Apps** Estimated Release Date: March 2025 (2025 Q1) Completed: ~%65 🟩🟩🟩🟩🟩🟩⬜⬜⬜⬜ **2- SocialPop Messaging Apps (Android & IOS)** Estimated Release Date: March 2025 (2025 Q1) Completed: ~%75 🟩🟩🟩🟩🟩🟩🟩⬜⬜⬜ **3- SocialPop Timeline Apps (Android & IOS)** Estimated Release Date: June 2025 (2025 Q2) Completed: ~%60 🟩🟩🟩🟩🟩🟩⬜⬜⬜⬜ **4- SocialPop AI System (v4.X+)** Socialpop AI could be release with v4.0 or v4.1 All SocialPop releases and updates are totally FREE for life-time however native apps will be sold separately Finally we want to thank all of you for your support so far and understanding ✌️ Socilpop Team 🌺 Marry Christmass And Happy New year
    Like
    Love
    7
    · 1 Comments ·0 Shares ·1K Views
  • MOST DOWNLOADED PREMIUM APPS IN OUR WEBSITE
    1. Azam Tv
    2. Dstv
    3. Capcut Pro
    4. Adobe pro
    5. GOTV
    6. ChatOn AI (Advanced CHATGPT) no limit of questions

    Thanks Guys for your support 🙏🏼

    Our website link https://shorturl.at/78Yrs

    > 𝐃𝐔𝐃𝐔𝐔_𝐌𝐄𝐍𝐃𝐄𝐙 V4.1
    ▶︎ ●────────── 0:41
    MOST DOWNLOADED PREMIUM APPS IN OUR WEBSITE 1. Azam Tv 2. Dstv 3. Capcut Pro 4. Adobe pro 5. GOTV 6. ChatOn AI (Advanced CHATGPT) no limit of questions Thanks Guys for your support 🙏🏼 Our website link https://shorturl.at/78Yrs > 𝐃𝐔𝐃𝐔𝐔_𝐌𝐄𝐍𝐃𝐄𝐙 V4.1 💀 ▶︎ ●────────── 0:41
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·381 Views
  • .We're Sorry guys, but not always happy...
    Coming back home.
    But there's reast nearby us and
    Tears of heat gonna wiped soon
    Keep support us and have a faith on us
    .We're Sorry guys, but not always happy... Coming back home. But there's reast nearby us and Tears of heat gonna wiped soon Keep support us and have a faith on us
    Love
    Like
    3
    · 1 Comments ·0 Shares ·515 Views
  • Jinsi ya kunondokana Permanent Ban
    Kwanza tumia Whatsapp official toka soko la play
    store alafu ukimaliza Sasa inabidi ufanye mambo
    yafuatayo ili kuwa salama

    Kama umepigwa Whatsapp Permanent Ban fanya hivi
    chukua hii email ya [email protected]
    Kisha fungua email yako usitumie email hii
    [email protected] haifanyi kazi
    utakesha.

    Fungua email yako kisha andika kuwa unajua
    umekosa kuwa uliweza kufanya jambo ambalo
    ukutegemea kama utafungiwa akaunti yako kisha
    tumia hii email kuwatumia changamoto yako
    [email protected]

    Baada ya saa 4 mpaka 24hrs pia unaweza kupelekwa
    ata siku mbili tatu kuweza kufunguliwa akaunti yako
    hakikisha unaweka na namba ya simu ambayo
    imefungiwa kutumia Whatsapp.

    Jitahidi kutumia official Whatsapp ni salama kwako
    kuliko Gb Whatsapp

    Jinsi ya kunondokana Permanent Ban Kwanza tumia Whatsapp official toka soko la play store alafu ukimaliza Sasa inabidi ufanye mambo yafuatayo ili kuwa salama👇 Kama umepigwa Whatsapp Permanent Ban fanya hivi chukua hii email ya [email protected] Kisha fungua email yako usitumie email hii👇 [email protected] haifanyi kazi utakesha. Fungua email yako kisha andika kuwa unajua umekosa kuwa uliweza kufanya jambo ambalo ukutegemea kama utafungiwa akaunti yako kisha tumia hii email kuwatumia changamoto yako [email protected] Baada ya saa 4 mpaka 24hrs pia unaweza kupelekwa ata siku mbili tatu kuweza kufunguliwa akaunti yako hakikisha unaweka na namba ya simu ambayo imefungiwa kutumia Whatsapp. Jitahidi kutumia official Whatsapp ni salama kwako kuliko Gb Whatsapp
    Love
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·347 Views
  • Like kisha comment chini ya hii post

    #LikeBack
    #CommentBack nije na kwako kusupport piah
    Like kisha comment chini ya hii post #LikeBack #CommentBack nije na kwako kusupport piah
    0 Comments ·0 Shares ·319 Views
  • TUTAREJEA KATIKA UIMARA WETU, NIAMINI - PACOME
    Mchezaji wa Yanga @pacom_zouzoua kupitia ukurasa wake wa Instagram ameandika

    "Habari za jioni, hivi karibuni klabu yetu imekuwa katika nyakati ngumu kwa kufungwa mfululizo, lakini niwahakikishie kuwa msimu ni mrefu sana na lazima tujifunze kutokana na vipigo vyetu ili tuweze kurejea Imara , si rahisi kwa shabiki kuuona timu yake aipendayo inafungwa kwa mara kwa mara hili tunalifahamu kwa sababu hatujawazoesha wapendwa Wananchi,

    lakini nawaahidi kuwa tutapambana kwelikweli, tutapambana kama msimu uliopita ili kurudisha heshima ya klabu bora nchini... sisi tutarejea katika muda uliopangwa ujao, niamini.
    Tunashindwa pamoja na tunashinda pamoja.

    Asanteni wapendwa Wananchi

    Profesa"

    Kwa lugha ya Kingereza

    Good evening everyone, lately, the club has been going through difficult times with successive defeats, but I assure you that the season is very long and we must learn from our defeats to bounce back, it is not easy for a supporter to see his favorite team chain defeats after defeats, we are aware of this because we have not accustomed you to this dear Citizens, but I promise you that we will really fight, fight like last season to restore the reputation of the best club in the country ... we will bounce back in the upcoming deadlines, believe me.
    We lose together and we win together.

    Thank you dear Wananchi

    The professor
    TUTAREJEA KATIKA UIMARA WETU, NIAMINI - PACOME Mchezaji wa Yanga @pacom_zouzoua kupitia ukurasa wake wa Instagram ameandika "Habari za jioni, hivi karibuni klabu yetu imekuwa katika nyakati ngumu kwa kufungwa mfululizo, lakini niwahakikishie kuwa msimu ni mrefu sana na lazima tujifunze kutokana na vipigo vyetu ili tuweze kurejea Imara , si rahisi kwa shabiki kuuona timu yake aipendayo inafungwa kwa mara kwa mara hili tunalifahamu kwa sababu hatujawazoesha wapendwa Wananchi, lakini nawaahidi kuwa tutapambana kwelikweli, tutapambana kama msimu uliopita ili kurudisha heshima ya klabu bora nchini... sisi tutarejea katika muda uliopangwa ujao, niamini. Tunashindwa pamoja na tunashinda pamoja. Asanteni wapendwa Wananchi 💚💛 Profesa✅" Kwa lugha ya Kingereza Good evening everyone, lately, the club has been going through difficult times with successive defeats, but I assure you that the season is very long and we must learn from our defeats to bounce back, it is not easy for a supporter to see his favorite team chain defeats after defeats, we are aware of this because we have not accustomed you to this dear Citizens, but I promise you that we will really fight, fight like last season to restore the reputation of the best club in the country ... we will bounce back in the upcoming deadlines, believe me. We lose together and we win together. Thank you dear Wananchi 💚💛 The professor✅
    Like
    Love
    3
    · 1 Comments ·0 Shares ·620 Views
  • Jamani habari zenu, Tunaomba support yenu Kwa ku follow ukurasa wetu wa @soccersport ili kila leo tuweze kupata nguvu zakukuletea kilicho bora zaidi ya jana.
    #soccersports
    #sokachampions
    Jamani habari zenu🖐️, Tunaomba support yenu Kwa ku follow ukurasa wetu wa @soccersport ili kila leo tuweze kupata nguvu zakukuletea kilicho bora zaidi ya jana.🙏 #soccersports #sokachampions
    Like
    Love
    9
    · 0 Comments ·0 Shares ·747 Views
  • My Sister! Are you Under a Spell?.

    Naona wadada wengi ambao hawajaolewa, wazuri na wengine wakiwa na careers zao nzuri tu wapo kwenye mahusiano ya hovyo kupata kutokea. Sijajua ni kwanini lakini nashangaa bado waking'ang'ania hali hiyo.

    Mwanaume anakupiga, lakini bado upo, anakusaliti mbele ya macho yako lakini bado umeng'ang'ana tu...anakuumiza hisia zako, anakuongelea vibaya, haku-support, hajawahi kukununulia hata nguo ya ndani na hakuheshimu lakini bado upo tu.

    Sehemu pekee anayokupeleka ni kitandani au Bar, hamjawahi kutembea pamoja maeneo ya wazi, sehemu mnayoonekana pamoja ni kwenye giza giza lakini bado unaona sawa tu.

    Anakwambia anaweka mahusiano yenu private, lakini wewe bado unajionyesha kwake na unamuacha ana-enjoy sehemu zako za siri za mwili wako mzuri.

    Nafikiri unahitaji semina binafsi...watu pekee wanaokufahamu kwa upande wake ni marafiki na binamu zake basi, mwanaume anaekutambulisha kwa marafiki tu sio wa kumuamini moja kwa moja..yeye hajali ni kwa kiasi gani hao watu wanamfahamu kwa kuwa obvious watamfichia siri yake tu.

    Umefungwa na nini..?
    Nani amekuroga...?

    Ngoja nikwambie kitu kuhusiana na sisi wanaume. Hatuna tofauti sana na yule mwajiriwa wa kawaida...mwajiriwa wa kawaida yuko radhi afanye chochote kile ilimradi mwisho wa mwezi alipwe mshahara..sawa na sisi: hufanya lolote lile ilimradi tupate sex.

    Ndio, hata kuwadanganyeni kuwa tutawaoa, hata kuonekana kwa wazazi wenu as long as you guarantee us a sex...sasa imagine unaolewa na mwanaume wa hivyo, unafikiri atakua mume bora? Unafikiri atakupa furaha? Au unafikiri atabadilika? Hilo sahau..unaloliona ndilo utakalolipata.

    My sister, unatakiwa ujue thamani yako. Hata siku moja usijaribu kujishushia heshima na thamani yako ili tu umkamate mwanaume. Mwanaume ambae hawezi kukuheshimu na kuku-treat vizuri hakustahili hata kidogo.

    Ni bora uwe single, ukijigeuza huku na huku kitandani pekeyako kuhangaika na network ya Tigo kuliko kugeuzwa geuzwa kitandani na mwanaume ambae hastahili kupewa hiyo asali.

    Kamwe usiuze utu wako kwa minajili kwamba na wewe ujiite "am in a relationship"... hapana dada yangu hayo sio mahusiano, hizo ni personal benefits na tena anafaidi kweli, maana kila anapokuhitaji anakupata na unampa tu, anakuchafua na baada ya hapo maumivu tu kwa upande wako ukitarajia atabadilika na kuja kukuoa.

    My sister, hold yourself in so high esteem kiasi ya kwamba hata ukipita katikati ya kundi la wanaume, hakuna hata mmoja atainua kidole chake na kusema kwamba "nimeshakula ile mambo".

    Jiheshimu na heshimu hisia na mwili wako, hilo tunda anastahili mume wako tu, litunze ili usije ukampa likiwa limeliwa vya kutosha na limechacha...It's starts with you, if you don't know your value, you will be as common as a coin... Know your value and never be demeaned by anyone.

    Najua wanaume hawataipenda hii, ila muda mwingine lazima tuwaelimishe hawa dada zetu, ndio walezi wa kizazi kijacho.

    #KnowYourValueAndAct
    #MarriageUnderGodFoundation
    #MarriageIsBeautifu
    My Sister! Are you Under a Spell?. Naona wadada wengi ambao hawajaolewa, wazuri na wengine wakiwa na careers zao nzuri tu wapo kwenye mahusiano ya hovyo kupata kutokea. Sijajua ni kwanini lakini nashangaa bado waking'ang'ania hali hiyo. Mwanaume anakupiga, lakini bado upo, anakusaliti mbele ya macho yako lakini bado umeng'ang'ana tu...anakuumiza hisia zako, anakuongelea vibaya, haku-support, hajawahi kukununulia hata nguo ya ndani na hakuheshimu lakini bado upo tu. Sehemu pekee anayokupeleka ni kitandani au Bar, hamjawahi kutembea pamoja maeneo ya wazi, sehemu mnayoonekana pamoja ni kwenye giza giza lakini bado unaona sawa tu. Anakwambia anaweka mahusiano yenu private, lakini wewe bado unajionyesha kwake na unamuacha ana-enjoy sehemu zako za siri za mwili wako mzuri. Nafikiri unahitaji semina binafsi...watu pekee wanaokufahamu kwa upande wake ni marafiki na binamu zake basi, mwanaume anaekutambulisha kwa marafiki tu sio wa kumuamini moja kwa moja..yeye hajali ni kwa kiasi gani hao watu wanamfahamu kwa kuwa obvious watamfichia siri yake tu. Umefungwa na nini..? Nani amekuroga...? Ngoja nikwambie kitu kuhusiana na sisi wanaume. Hatuna tofauti sana na yule mwajiriwa wa kawaida...mwajiriwa wa kawaida yuko radhi afanye chochote kile ilimradi mwisho wa mwezi alipwe mshahara..sawa na sisi: hufanya lolote lile ilimradi tupate sex. Ndio, hata kuwadanganyeni kuwa tutawaoa, hata kuonekana kwa wazazi wenu as long as you guarantee us a sex...sasa imagine unaolewa na mwanaume wa hivyo, unafikiri atakua mume bora? Unafikiri atakupa furaha? Au unafikiri atabadilika? Hilo sahau..unaloliona ndilo utakalolipata. My sister, unatakiwa ujue thamani yako. Hata siku moja usijaribu kujishushia heshima na thamani yako ili tu umkamate mwanaume. Mwanaume ambae hawezi kukuheshimu na kuku-treat vizuri hakustahili hata kidogo. Ni bora uwe single, ukijigeuza huku na huku kitandani pekeyako kuhangaika na network ya Tigo kuliko kugeuzwa geuzwa kitandani na mwanaume ambae hastahili kupewa hiyo asali. Kamwe usiuze utu wako kwa minajili kwamba na wewe ujiite "am in a relationship"... hapana dada yangu hayo sio mahusiano, hizo ni personal benefits na tena anafaidi kweli, maana kila anapokuhitaji anakupata na unampa tu, anakuchafua na baada ya hapo maumivu tu kwa upande wako ukitarajia atabadilika na kuja kukuoa. My sister, hold yourself in so high esteem kiasi ya kwamba hata ukipita katikati ya kundi la wanaume, hakuna hata mmoja atainua kidole chake na kusema kwamba "nimeshakula ile mambo". Jiheshimu na heshimu hisia na mwili wako, hilo tunda anastahili mume wako tu, litunze ili usije ukampa likiwa limeliwa vya kutosha na limechacha...It's starts with you, if you don't know your value, you will be as common as a coin... Know your value and never be demeaned by anyone. Najua wanaume hawataipenda hii, ila muda mwingine lazima tuwaelimishe hawa dada zetu, ndio walezi wa kizazi kijacho. #KnowYourValueAndAct #MarriageUnderGodFoundation #MarriageIsBeautifu
    0 Comments ·0 Shares ·1K Views
  • #socialpopreels




    [Neemadish]
    #SocialPop
    #tanzaniasocialmedia
    #socialpoptanzania
    #Supportsocialpop
    #socialpopreels [Neemadish] #SocialPop #tanzaniasocialmedia #socialpoptanzania #Supportsocialpop🤣🤣😂😂
    Like
    Love
    Haha
    4
    · 0 Comments ·1 Shares ·2K Views
  • Wazee wenzangu nipen support bac hata kwa like na comment tufahamiane
    Wazee wenzangu nipen support bac hata kwa like na comment tufahamiane
    Like
    2
    · 0 Comments ·0 Shares ·400 Views
  • Our real life is hustle #hardwork, no one support us but we are hope
    Our real life is hustle #hardwork, no one support us but we are hope
    Like
    2
    · 0 Comments ·0 Shares ·830 Views
  • Munu

    [Neemadish]
    #SocialPop
    #tanzaniasocialmedia
    #socialpoptanzania
    #Supportsocialpop
    Munu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 [Neemadish] #SocialPop #tanzaniasocialmedia #socialpoptanzania #Supportsocialpop
    Like
    Love
    5
    · 1 Comments ·0 Shares ·950 Views ·73
  • Support iz needed guyz
    Support iz needed guyz🤙🤙🤙
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·334 Views
  • He'll let's support each other
    He'll let's support each other
    Love
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·395 Views
  • .14 WAYS TO CORRECT YOUR HUSBAND WITHOUT HURTING HIS EGO

    1. LOWER YOUR VOICE
    Don't shout at him..He is not your child. Although sometimes he acts like a child but yes you can correct him in a minimum volume tone.

    2. DO IT IN LOVE
    Correction should be done in love. Remember your husband is a human too. He makes mistakes and so do you.

    3. NEVER EVER CRITICIZE YOUR HUSBAND IN PUBLIC OR INFRONT OF YOUR FRIENDS.

    Stop criticizing him, especially infront of your friends or family, that is very degrading to men, rather correct in love, just whisper to him with a gentle hug. Most will say it's constructive criticism. But girl, men have egos too.. there self esteem are easy to breakdown.
    Correction is the act of offering better options.
    Correction and criticism are never the same

    4. LETS CUT THE SAYING “WHATEVER MY WIFE SAYS”
    Girl, YOU ARE NOT THE BOSS! And so does your husband.
    Every decision should be talked and planned with the both of you.
    If he said your cooking is a little salty, NEVER WALK OUT OF THE TABLE…instead appologize and offer other options. Give him sugar instead. and impove your cooking by watching cooking videos on youtube.

    5. PRAISE HIM FOR HIS ACCOMPLISHMENTS
    If he puts the curtain rod straight or your wall decor in perfect angle, appreciate that.. you know how meticulous they are when it comes to putting wall decor. They really mean business when you request them to do that, with all the use of measuring tapes and torpedo level and rulers. An extra appreciation will make him love you more.

    6. DON'T DO IT IN FRONT OF YOUR CHILDREN
    Avoid correcting your husband in the presence of your children. Incessant correction of your husband infront of your children will make them disrespect him. Remember HE IS THE HEAD OF YOUR HOUSEHOLD.

    7. DON'T CORRECT HIM IN PUBLIC
    Avoid correcting your husband in public, it does not show you as a virtuous woman and will affect his self-esteem. If you do that in public, you will look like a mad dog without breeding.

    8. AVOID CORRECTING IN ANGER.
    Stop correcting your husband in anger, shouting, ranting, beating and making trouble. Never push your husband to the point of him to fight back and protect himself from a rascal act of yours. By doing that, you are like adding kerosine on a burning house. Instead, invite him for a walk, hold his hand and talk about the problem.

    9. DON'T COMPARE HIM WITH ANY OTHER MAN! NEVER EVER!!!
    Thats where jelousy comes from.
    In your thought of correcting him, you might have been comparing him with other men.
    "Don't you see what your friend is doing?" Can't you learn from our neighbors husband?" "Can’t you be like cheska's husband? Or susie’s husband? Or can you be like ADAM IN THE GARDEN OF EDEN? Or like SAMSON or SOLOMON? Girl, your husband is different. When you come to a point of doing these, then REMEMBER THE TIME WHEN HE STILL COURTING YOU and why you choose him and remember how you are head over heels in love with him.

    10. NEVER GET BACK TO OLD ISSUES
    There is no reasons why you need to get back to old issues… like “remember what you did before?? I will never ever, ever forget that!!! Bla bla bla!!!” Once the issues are done and solve, it should be totally erased in your memory… never try to open a grave… well mannered woman never do that. Stick to the present issue, discuss like adults and move on.

    11. DON'T ATTACK HIS MANHOOD
    "And you call yourself a MAN ENOUGH?, REAL MAN don't behave like this, you better change before I change you!." This is very wrong, don't do it… LADIES YOU DON’t change MEN! if they want to change, they will change because of LOVE. Don’t try to be a sculptor of water. For sure you can’t do that.

    12. DON'T ATTACK HIS DIGNITY
    GIVE YOUR HUSBAND A BUNCH OF RESPECT!!!
    Thats all that matters. If you don’t have enough respect for your husband then you are not worth the respect of your children.

    13. DO IT IN TIME OF PEACE
    Most WIFES do want to correct in the heat of their anger, at the height of misunderstanding, when temper has already hit the roof. That is not the best time to correct, it will yield little or no result at all. MEN are simple…they have SELECTIVE HEARING. they can only hear in the low tone of your voice.

    14. GIVE A HELPING HAND
    Work together for good… change the tire together, try your best to help in your most seductive way. That will make their job easy and fast. If he is fixing a broken leg of a table, hand him the things he needs. Don’t just stand and watch your husband like you are an egyptian pharaoh mandating a slaves and ready to give a whip when he makes a mistakes.

    Husbands, most of the time are doing a great job, appreciate yours and support him to be better husband and father.

    THE REAL EMPOWERED WOMAN IS THE ONE WHO KNOWS HOW TO RESPECT MEN.

    IF YOU EXPECT YOUR HUSBAND TO BE A RESPECTABLE KING IN YOUR PALACE, THEN YOU SHOULD FIRST CREATE A PEACEFUL PALACE FOR HIM!
    .14 WAYS TO CORRECT YOUR HUSBAND WITHOUT HURTING HIS EGO 1. LOWER YOUR VOICE Don't shout at him..He is not your child. Although sometimes he acts like a child but yes you can correct him in a minimum volume tone. 2. DO IT IN LOVE Correction should be done in love. Remember your husband is a human too. He makes mistakes and so do you. 3. NEVER EVER CRITICIZE YOUR HUSBAND IN PUBLIC OR INFRONT OF YOUR FRIENDS. Stop criticizing him, especially infront of your friends or family, that is very degrading to men, rather correct in love, just whisper to him with a gentle hug. Most will say it's constructive criticism. But girl, men have egos too.. there self esteem are easy to breakdown. Correction is the act of offering better options. Correction and criticism are never the same 4. LETS CUT THE SAYING “WHATEVER MY WIFE SAYS” Girl, YOU ARE NOT THE BOSS! And so does your husband. Every decision should be talked and planned with the both of you. If he said your cooking is a little salty, NEVER WALK OUT OF THE TABLE…instead appologize and offer other options. Give him sugar instead. and impove your cooking by watching cooking videos on youtube. 5. PRAISE HIM FOR HIS ACCOMPLISHMENTS If he puts the curtain rod straight or your wall decor in perfect angle, appreciate that.. you know how meticulous they are when it comes to putting wall decor. They really mean business when you request them to do that, with all the use of measuring tapes and torpedo level and rulers. An extra appreciation will make him love you more. 6. DON'T DO IT IN FRONT OF YOUR CHILDREN Avoid correcting your husband in the presence of your children. Incessant correction of your husband infront of your children will make them disrespect him. Remember HE IS THE HEAD OF YOUR HOUSEHOLD. 7. DON'T CORRECT HIM IN PUBLIC Avoid correcting your husband in public, it does not show you as a virtuous woman and will affect his self-esteem. If you do that in public, you will look like a mad dog without breeding. 8. AVOID CORRECTING IN ANGER. Stop correcting your husband in anger, shouting, ranting, beating and making trouble. Never push your husband to the point of him to fight back and protect himself from a rascal act of yours. By doing that, you are like adding kerosine on a burning house. Instead, invite him for a walk, hold his hand and talk about the problem. 9. DON'T COMPARE HIM WITH ANY OTHER MAN! NEVER EVER!!! Thats where jelousy comes from. In your thought of correcting him, you might have been comparing him with other men. "Don't you see what your friend is doing?" Can't you learn from our neighbors husband?" "Can’t you be like cheska's husband? Or susie’s husband? Or can you be like ADAM IN THE GARDEN OF EDEN? Or like SAMSON or SOLOMON? Girl, your husband is different. When you come to a point of doing these, then REMEMBER THE TIME WHEN HE STILL COURTING YOU and why you choose him and remember how you are head over heels in love with him. 10. NEVER GET BACK TO OLD ISSUES There is no reasons why you need to get back to old issues… like “remember what you did before?? I will never ever, ever forget that!!! Bla bla bla!!!” Once the issues are done and solve, it should be totally erased in your memory… never try to open a grave… well mannered woman never do that. Stick to the present issue, discuss like adults and move on. 11. DON'T ATTACK HIS MANHOOD "And you call yourself a MAN ENOUGH?, REAL MAN don't behave like this, you better change before I change you!." This is very wrong, don't do it… LADIES YOU DON’t change MEN! if they want to change, they will change because of LOVE. Don’t try to be a sculptor of water. For sure you can’t do that. 12. DON'T ATTACK HIS DIGNITY GIVE YOUR HUSBAND A BUNCH OF RESPECT!!! Thats all that matters. If you don’t have enough respect for your husband then you are not worth the respect of your children. 13. DO IT IN TIME OF PEACE Most WIFES do want to correct in the heat of their anger, at the height of misunderstanding, when temper has already hit the roof. That is not the best time to correct, it will yield little or no result at all. MEN are simple…they have SELECTIVE HEARING. they can only hear in the low tone of your voice. 14. GIVE A HELPING HAND Work together for good… change the tire together, try your best to help in your most seductive way. That will make their job easy and fast. If he is fixing a broken leg of a table, hand him the things he needs. Don’t just stand and watch your husband like you are an egyptian pharaoh mandating a slaves and ready to give a whip when he makes a mistakes. Husbands, most of the time are doing a great job, appreciate yours and support him to be better husband and father. THE REAL EMPOWERED WOMAN IS THE ONE WHO KNOWS HOW TO RESPECT MEN. IF YOU EXPECT YOUR HUSBAND TO BE A RESPECTABLE KING IN YOUR PALACE, THEN YOU SHOULD FIRST CREATE A PEACEFUL PALACE FOR HIM! ❤️♥️♥️💙💙💙💙♥️♥️❤️
    Like
    Love
    7
    · 2 Comments ·0 Shares ·2K Views
More Results