• WAKO WAPI WASHITAKI WAKO ?

    Yohana 8:3-11
    Mafarisayo walimpeleka mwanamke waliye mfumania kwa Yesu ili atoe hukumu .

    *Walipo mpeleka si kwa sababu ya kuwa mwanamke amekosea peke yake walitaka kumjaribu Yesu kupitia yule mwanamke .*

    Lakini wao ambacho hawakujua ni kuwa Yesu yeye ndo anaye tazama mioyo kabla hawajafika.

    *Ukisoma torati ya Musa unaweza dhani walikuwa wameenda kwa nia njema lkn kumbe lengo ni kumtega.*

    *Na kwa sababu walienda kwa mtego Yesu naye akawapa jibu la mtego vile vile kuwa yeyote asiye na dhambi na awe wa kwanza kumpiga huyu mtu.*
    Yohana 8:7
    [7]Nao walipozidi kumhoji, alijiinua, akawaambia, Yeye asiye na dhambi miongoni mwenu na awe wa kwanza wa kumtupia jiwe.

    Yes kabla ujamshitaki mwingine lazima ujiangalie vipi kuhusu wewe hawa walikuwa washitaki wazuri lakini kumbe bado na wao ni wadhinifu tu.

    *Jiulize wewe ambaye unajiona malaika vipi wewe una dhambi yeyote kweli ni kweli umevuka zinaa lakini mbona wivu na husda bado unao*

    Baada ya hapo Yesu anampa njia impasayo *wokovu Nenda zako usitende dhambi tena*

    Kumbe njia nzuri si kumuhukumu mtu kwa kumpiga mawe badala yake mpe njia ya kushinda hiyo zinaa.

    Sababu ya kusema wengine kumeharibu mwili w Kristo hasa watu wanao jifanya wana kirohost wakati ni mafarisayo.

    Ukimkuta ndugu yako anadumbukia shimoni msaidie atoke si kwenda kumtangaza na kumbe huyo mtu kaokoka wiki moja mfuate mtie moyo na mpe njia uliyo tumia kushinda dhambi nayeye ajifunze na hapo ndipo tutita Upendo wa kristo.

    *Siyo unapeleka kwa mchungaji arafu nyuma ya pazia unamtega mchungaji akiamua kumfukuza upate la kumsema akimuonya upate la kumsema.*

    *Dada angu usikubali maneno ya watu na mashitaka ya watu yakukosanishe Mungu ni ukianguka mrudie Bwana ambaye atasimama na wewe na kukusamehe na kukupa onyo ,*

    Walokole wengi tumepoteza radha ya wokovu kwa majungu na kujihesabia sana haki kumbe ni sadukayo na farisayo.

    Kukulia machinjioni haimaanishi lazima ujue kuchinjz nyama kumbe hata wewe dada wengine unawaona wamesimama leo ni
    kwasababu waliamua kujifunza nq si kutumia uzoefu..

    Naweza kwambia kuwa Yesu anakuja ni muhimu kutengeneza.

    Ahsante.naitwa Sylvester Mwakabende wa BUILD NEW EDEN

    #RESTORE MEN POSITION
    WAKO WAPI WASHITAKI WAKO ? Yohana 8:3-11 Mafarisayo walimpeleka mwanamke waliye mfumania kwa Yesu ili atoe hukumu . *Walipo mpeleka si kwa sababu ya kuwa mwanamke amekosea peke yake walitaka kumjaribu Yesu kupitia yule mwanamke .* Lakini wao ambacho hawakujua ni kuwa Yesu yeye ndo anaye tazama mioyo kabla hawajafika. *Ukisoma torati ya Musa unaweza dhani walikuwa wameenda kwa nia njema lkn kumbe lengo ni kumtega.* *Na kwa sababu walienda kwa mtego Yesu naye akawapa jibu la mtego vile vile kuwa yeyote asiye na dhambi na awe wa kwanza kumpiga huyu mtu.* Yohana 8:7 [7]Nao walipozidi kumhoji, alijiinua, akawaambia, Yeye asiye na dhambi miongoni mwenu na awe wa kwanza wa kumtupia jiwe. Yes kabla ujamshitaki mwingine lazima ujiangalie vipi kuhusu wewe hawa walikuwa washitaki wazuri lakini kumbe bado na wao ni wadhinifu tu. *Jiulize wewe ambaye unajiona malaika vipi wewe una dhambi yeyote kweli ni kweli umevuka zinaa lakini mbona wivu na husda bado unao* Baada ya hapo Yesu anampa njia impasayo *wokovu Nenda zako usitende dhambi tena* Kumbe njia nzuri si kumuhukumu mtu kwa kumpiga mawe badala yake mpe njia ya kushinda hiyo zinaa. Sababu ya kusema wengine kumeharibu mwili w Kristo hasa watu wanao jifanya wana kirohost wakati ni mafarisayo. Ukimkuta ndugu yako anadumbukia shimoni msaidie atoke si kwenda kumtangaza na kumbe huyo mtu kaokoka wiki moja mfuate mtie moyo na mpe njia uliyo tumia kushinda dhambi nayeye ajifunze na hapo ndipo tutita Upendo wa kristo. *Siyo unapeleka kwa mchungaji arafu nyuma ya pazia unamtega mchungaji akiamua kumfukuza upate la kumsema akimuonya upate la kumsema.* *Dada angu usikubali maneno ya watu na mashitaka ya watu yakukosanishe Mungu ni ukianguka mrudie Bwana ambaye atasimama na wewe na kukusamehe na kukupa onyo ,* Walokole wengi tumepoteza radha ya wokovu kwa majungu na kujihesabia sana haki kumbe ni sadukayo na farisayo. Kukulia machinjioni haimaanishi lazima ujue kuchinjz nyama kumbe hata wewe dada wengine unawaona wamesimama leo ni kwasababu waliamua kujifunza nq si kutumia uzoefu.. Naweza kwambia kuwa Yesu anakuja ni muhimu kutengeneza. Ahsante.naitwa Sylvester Mwakabende wa BUILD NEW EDEN #RESTORE MEN POSITION
    0 Comments ·0 Shares ·15 Views
  • Kutoka Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo , Mke wa Rais wa zamani wa Nchi hiyo Joseph Kabila Kabange, Olive Lembe Kabila, ametangaza kwamba Wanajeshi wa DR Congo waliopelekwa kwenye Shamba la Ng'ombe la Joseph Kabila lililopo Mkoani Haut-Katanga, waliiba, kuchinja na kula Ng'ombe wao waliowakuta katika Shamba hilo.

    Olive Lembe amesema hayo kwamba Wanajeshi hao walikuwa kwenye Shamba la Kundelungu lililoko katika Mkoa wa Haut-Katanga na kwamba hawakuwa na ruhusa ya kuingia kwenye mali ya familia yao. Mbali na kuchukua kompyuta na simu za mkononi za Wafanyakazi wa shamba hilo, Mwanamama huyo alieleza pia kuwa Wanajeshi hao walikuwa wakichinja Ng'ombe wao kwa ajili ya kula kwa sababu hawakuwa na chakula walichobeba.

    "Wanajeshi hawa walikuwa wakiiba kompyuta na simu za Wafanyakazi wa shamba. Walikuja bila chakula, sasa walichinja Ng'ombe wetu ili kula." alisema Lembe.

    Ikumbukwe kwamba Serikali ya DR Congo ilitangaza kuchukua mali zote za Kabila (kustaafisha) baada ya ziara yake ya tarehe 18 Aprili katika Jiji la Goma linalodhibitiwa na Muungano wa AFC/M23. Serikali ilikuwa ilituma Wanajeshi wa upelelezi kwenye mali zake, ikiwemo Nyumba yake iliyo katika eneo la Limete Mjini Kinshasa, wakisema walikuwa wakitafuta vifaa vya kijeshi ambavyo vinaweza kuwa vimefichwa.

    Lembe anasema kuwa Serikali ya DR Congo inaendelea kufanya mateso kwa familia yao, na kudai kwamba ina mpango wa kuwaangamiza.

    Kutoka Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo 🇨🇩, Mke wa Rais wa zamani wa Nchi hiyo Joseph Kabila Kabange, Olive Lembe Kabila, ametangaza kwamba Wanajeshi wa DR Congo waliopelekwa kwenye Shamba la Ng'ombe la Joseph Kabila lililopo Mkoani Haut-Katanga, waliiba, kuchinja na kula Ng'ombe wao waliowakuta katika Shamba hilo. Olive Lembe amesema hayo kwamba Wanajeshi hao walikuwa kwenye Shamba la Kundelungu lililoko katika Mkoa wa Haut-Katanga na kwamba hawakuwa na ruhusa ya kuingia kwenye mali ya familia yao. Mbali na kuchukua kompyuta na simu za mkononi za Wafanyakazi wa shamba hilo, Mwanamama huyo alieleza pia kuwa Wanajeshi hao walikuwa wakichinja Ng'ombe wao kwa ajili ya kula kwa sababu hawakuwa na chakula walichobeba. "Wanajeshi hawa walikuwa wakiiba kompyuta na simu za Wafanyakazi wa shamba. Walikuja bila chakula, sasa walichinja Ng'ombe wetu ili kula." alisema Lembe. Ikumbukwe kwamba Serikali ya DR Congo ilitangaza kuchukua mali zote za Kabila (kustaafisha) baada ya ziara yake ya tarehe 18 Aprili katika Jiji la Goma linalodhibitiwa na Muungano wa AFC/M23. Serikali ilikuwa ilituma Wanajeshi wa upelelezi kwenye mali zake, ikiwemo Nyumba yake iliyo katika eneo la Limete Mjini Kinshasa, wakisema walikuwa wakitafuta vifaa vya kijeshi ambavyo vinaweza kuwa vimefichwa. Lembe anasema kuwa Serikali ya DR Congo inaendelea kufanya mateso kwa familia yao, na kudai kwamba ina mpango wa kuwaangamiza.
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·22 Views
  • Privaldinho akijibu hoja pichani.

    "Biashara ya usemaji sio kama biashara ya matikitiki.

    Media ni kiungo muhimu sana kinachounganisha Idara ya Masoko na wanachama na mashibiki
    Idara ya Masoko na Wadau
    Idara ya masoko na jamii

    Usemaji ni zaidi ya tambo za mitandaoni mnazoona.

    Tumefanya activations nyingi sana ambazo msimamizi mkuu ni Ally Kamwe akishirikiana na @i_sammjr

    Ally Kamwe alianzisha match day treatment and agenda, Mfano Aziz Ki Day. Baadae wadau wakaweka fedha kwenye mechi za Bacca Day, Muda Day, Max Day na Pacome Day tulipaka bleech

    Tulipata wadau kama vile, ZIC, ZIPA PZB na CRDB. CRDB walisupport safari yetu ya kwenda Afrika Kusini Twenzetu kwa madiba ambapo Ally Kamwe aliongoza kampeni hiyo kupitia Azam TV.

    Ally Kamwe akaanzisha kampeni ya kupeleka mashabiki Rwanda na DR Congo ambazo zote ni ilikuwa media agenda, na klabu ilikusanya zaidi ya 100m.

    Tulipata dili za Visit Zanzibar ni moja ya dili kubwa sana ambapo klabu imeingiza zaidi ya milion 500. Dili hili limekuja kutokana na hamasa kubwa ya media ambayo imeongozwa na Ally Kamwe

    Supu Day ilidhaminiwa na Sportpesa na GSM klabu iliingiza zaidi ya milion 30. Kitabu, Documentary kote huku tumeingiza mamilion ya fedha.

    Tulikuwa na Public viewing hapa Jangwan tukiwa na GSM, Haier ambapo klabu iliingiza fedha kupitia hilo na yote hayo ilikuwa media agenda.

    Ukiachana na Hamasa ya media, kupitia idara ya media fedha nyingi zimeingia moja kwa moja chini ya usimamizi wa Msemaji wetu.

    Yanga SC inaingiza mamilion ya fedha kila mwezi kupitia Yanga APP ambapo hivi karibu tumekusanya zaidi ya milion 300 kupitia APP

    Yanga ndio klabu namba moja kwa views zaidi kupitia ukurasa wa Youtube barani AFRIKA ikiwa na views 221m. Huku YouTube kila mwezi Yanga inaingiza mamilion ya fedha.

    Media ya Yanga ndio imepush agenda kubwa ya usajili wa wanachama kwa klabu ambapo kwa mwaka tumekuwa na wastani Tsh 1 bilion kwenye zoezi ya usajili.

    Unaposema wasemaji unapaswa kumuondoa Ally Kamwe kwanza kisha ujadili hao wanaobakia.

    Hamasa ni hela. Tunaongelea Hamasa sio comedy. Kazi kubwa ambayo ameifanya Ally Kamwe imeiingizia Yanga mabilion ya hela. Tumeondoka kwenye Hamasa zaidi Makelele tukafanya biashara" - Privaldinho, Mkuu wa kitengo cha maudhui wa klabu ya Yanga SC.

    Privaldinho akijibu hoja pichani. "Biashara ya usemaji sio kama biashara ya matikitiki. Media ni kiungo muhimu sana kinachounganisha Idara ya Masoko na wanachama na mashibiki Idara ya Masoko na Wadau Idara ya masoko na jamii Usemaji ni zaidi ya tambo za mitandaoni mnazoona. Tumefanya activations nyingi sana ambazo msimamizi mkuu ni Ally Kamwe akishirikiana na @i_sammjr Ally Kamwe alianzisha match day treatment and agenda, Mfano Aziz Ki Day. Baadae wadau wakaweka fedha kwenye mechi za Bacca Day, Muda Day, Max Day na Pacome Day tulipaka bleech Tulipata wadau kama vile, ZIC, ZIPA PZB na CRDB. CRDB walisupport safari yetu ya kwenda Afrika Kusini Twenzetu kwa madiba ambapo Ally Kamwe aliongoza kampeni hiyo kupitia Azam TV. Ally Kamwe akaanzisha kampeni ya kupeleka mashabiki Rwanda na DR Congo ambazo zote ni ilikuwa media agenda, na klabu ilikusanya zaidi ya 100m. Tulipata dili za Visit Zanzibar ni moja ya dili kubwa sana ambapo klabu imeingiza zaidi ya milion 500. Dili hili limekuja kutokana na hamasa kubwa ya media ambayo imeongozwa na Ally Kamwe Supu Day ilidhaminiwa na Sportpesa na GSM klabu iliingiza zaidi ya milion 30. Kitabu, Documentary kote huku tumeingiza mamilion ya fedha. Tulikuwa na Public viewing hapa Jangwan tukiwa na GSM, Haier ambapo klabu iliingiza fedha kupitia hilo na yote hayo ilikuwa media agenda. Ukiachana na Hamasa ya media, kupitia idara ya media fedha nyingi zimeingia moja kwa moja chini ya usimamizi wa Msemaji wetu. Yanga SC inaingiza mamilion ya fedha kila mwezi kupitia Yanga APP ambapo hivi karibu tumekusanya zaidi ya milion 300 kupitia APP Yanga ndio klabu namba moja kwa views zaidi kupitia ukurasa wa Youtube barani AFRIKA ikiwa na views 221m. Huku YouTube kila mwezi Yanga inaingiza mamilion ya fedha. Media ya Yanga ndio imepush agenda kubwa ya usajili wa wanachama kwa klabu ambapo kwa mwaka tumekuwa na wastani Tsh 1 bilion kwenye zoezi ya usajili. Unaposema wasemaji unapaswa kumuondoa Ally Kamwe kwanza kisha ujadili hao wanaobakia. Hamasa ni hela. Tunaongelea Hamasa sio comedy. Kazi kubwa ambayo ameifanya Ally Kamwe imeiingizia Yanga mabilion ya hela. Tumeondoka kwenye Hamasa zaidi Makelele tukafanya biashara" - Privaldinho, Mkuu wa kitengo cha maudhui wa klabu ya Yanga SC.
    Love
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·25 Views
  • Habari ya usiku ndugu zangu ni siku ya nne leo japo kwa kuchelewe tunaendelea na mwendelezo wa fasiri za ndoto kiblia .

    *Ungana nami Sylvester Mwakabende kwa ufafanuzi zaidi kadiri roho wa Bwana Atakavyo niongoza*

    *Je umewai kuota unafukuzwa na mbwa ? nini maana yake*? .


    Zaburi 22:16
    *[16]Kwa maana mbwa wamenizunguka Kusanyiko la waovu wamenisonga;
    Wamenizua mikono na miguu*
    For dogs have compassed me: the assembly of the wicked have inclosed me: they pierced my hands and my feet.

    1.Kufuatiliwa na roho chafu kama zinaa na uasherati

    Mithali26:11 SUV

    *Kama vile mbwa arudiavyo matapiko yake; Kadhalika mpumbavu afanya upumbavu tena.*

    Kutoka 22:31 BHN
    *Nyinyi mtakuwa watu waliowekwa wakfu kwangu. Kwa hiyo hamtakula nyama ya mnyama aliyeuawa na mnyama wa porini. Nyama hiyo mtawatupia mbwa.*

    Chochote kile kilicho kichafu upaswi kukila .

    Torati 23:18 BHN
    *Usilete ujira wa kahaba, wala mshahara wa mbwa, katika nyumba ya BWANA, Mungu wako, kwa ajili ya nadhiri yoyote; kwani haya ni machukizo kwa BWANA, Mungu wako, yote mawili.*
    2wafalme 9;10

    Zaburi 22;20 BHN
    *Iokoe nafsi yangu mbali na upanga, yaokoe maisha yangu makuchani mwa mbwa hao!*

    *Mbwa ana nguvu maana yake mbwa anawakilisha roho chafu za zinaa, uasherati na machafu yote ya shetani .*
    .
    2.kuiacha njia ya bwana kama kuhani.

    Isaya 56:11 BHN
    *Hao ni kama mbwa wenye uchu sana, wala hawawezi kamwe kutoshelezwa. Wachungaji hao hawana akili yoyote; kila mmoja hutafuta faida yake mwenyewe.*

    Naombaje ?NAMNA YA KUOMBA

    1.Toba ya kweli kwa sababu ya kufungua mlango .

    2.kuhalibu kila njia ya uovu inayo kufuatilia

    3.Muone kuhani kwa ajiri ya ukombozi .

    4.kataa kabisa roho za uharibifu kwa kusimamisha madhabau ya Mungu kwa sadaka.

    Zingatia :Ndoto ni mlango Mungu anao utumia kupitisha ujumbe wake na shetani naye anatumia hivyo hivyo jifunze kuomba uongozi wa roho mtakatifu katika fasiri sahiii japo zingine uja kwa uchovu na shughuli nyingi.

    Ok naitwa Sylvester Mwakabende wa (Build new eden)
    Unaweza share somo hili kwa rafiki wengine.
    Simu no :0622625340
    Habari ya usiku ndugu zangu ni siku ya nne leo japo kwa kuchelewe tunaendelea na mwendelezo wa fasiri za ndoto kiblia . *Ungana nami Sylvester Mwakabende kwa ufafanuzi zaidi kadiri roho wa Bwana Atakavyo niongoza* *Je umewai kuota unafukuzwa na mbwa ? nini maana yake*? . Zaburi 22:16 *[16]Kwa maana mbwa wamenizunguka Kusanyiko la waovu wamenisonga; Wamenizua mikono na miguu* For dogs have compassed me: the assembly of the wicked have inclosed me: they pierced my hands and my feet. 1.Kufuatiliwa na roho chafu kama zinaa na uasherati Mithali26:11 SUV *Kama vile mbwa arudiavyo matapiko yake; Kadhalika mpumbavu afanya upumbavu tena.* Kutoka 22:31 BHN *Nyinyi mtakuwa watu waliowekwa wakfu kwangu. Kwa hiyo hamtakula nyama ya mnyama aliyeuawa na mnyama wa porini. Nyama hiyo mtawatupia mbwa.* Chochote kile kilicho kichafu upaswi kukila . Torati 23:18 BHN *Usilete ujira wa kahaba, wala mshahara wa mbwa, katika nyumba ya BWANA, Mungu wako, kwa ajili ya nadhiri yoyote; kwani haya ni machukizo kwa BWANA, Mungu wako, yote mawili.* 2wafalme 9;10 Zaburi 22;20 BHN *Iokoe nafsi yangu mbali na upanga, yaokoe maisha yangu makuchani mwa mbwa hao!* *Mbwa ana nguvu maana yake mbwa anawakilisha roho chafu za zinaa, uasherati na machafu yote ya shetani .* . 2.kuiacha njia ya bwana kama kuhani. Isaya 56:11 BHN *Hao ni kama mbwa wenye uchu sana, wala hawawezi kamwe kutoshelezwa. Wachungaji hao hawana akili yoyote; kila mmoja hutafuta faida yake mwenyewe.* Naombaje ?NAMNA YA KUOMBA 1.Toba ya kweli kwa sababu ya kufungua mlango . 2.kuhalibu kila njia ya uovu inayo kufuatilia 3.Muone kuhani kwa ajiri ya ukombozi . 4.kataa kabisa roho za uharibifu kwa kusimamisha madhabau ya Mungu kwa sadaka. Zingatia :Ndoto ni mlango Mungu anao utumia kupitisha ujumbe wake na shetani naye anatumia hivyo hivyo jifunze kuomba uongozi wa roho mtakatifu katika fasiri sahiii japo zingine uja kwa uchovu na shughuli nyingi. Ok naitwa Sylvester Mwakabende wa (Build new eden) Unaweza share somo hili kwa rafiki wengine. Simu no :0622625340
    Love
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·41 Views
  • NUKUU YA FALSAFA YA USTOA

    "Si aishiye kwa muda mrefu , aliye ishi miaka mingi , bali aliye yaishi maisha kwa busara " Seneca

    Kuna umuhimu sana katika ubora wa maisha tunayo ishi kuliko urefu wake, si katika sifa za kuwapo kwa miaka mingi lakini katika sifa za kuonesha kuwa uliishi kwa maana

    Kihitaji kila wakati kuwa na maisha marefu bila undani ni upotezi wa hitaji hilo, ndiyo maana si kila Mzee ameyaelewa maisha na si kila aliye ishi kwa muda mrefu basi ni hakika ameyaelewa maisha, wengine huishi kama wazimu hata sehemu ya maisha yao hawachukui nafasi ya ukuu wao

    Lazima unapo amka ufahamu thamani ya siku yako , kujua hivyo ni kuelewa sababu ya uwepo wako ulimwenguni. Ishi kwa kusudi, kutafakari na kutenda. Jipe sanaa ya kujitazama upya ili uishi .

    Je ukiambiwa leo ni siku yako ya mwisho utajivunia leo?Kwa kuishi maisha huyafanya kuwa marefu licha ya kutokuwa hakika , kwasababu tunahitajika kukumbatia wakati ulio tupa thamani , kuishi katika wakati wa sasa kunamaanisha kuwa huru katika kutumiza kusudi
    NUKUU YA FALSAFA YA USTOA "Si aishiye kwa muda mrefu , aliye ishi miaka mingi , bali aliye yaishi maisha kwa busara " Seneca Kuna umuhimu sana katika ubora wa maisha tunayo ishi kuliko urefu wake, si katika sifa za kuwapo kwa miaka mingi lakini katika sifa za kuonesha kuwa uliishi kwa maana Kihitaji kila wakati kuwa na maisha marefu bila undani ni upotezi wa hitaji hilo, ndiyo maana si kila Mzee ameyaelewa maisha na si kila aliye ishi kwa muda mrefu basi ni hakika ameyaelewa maisha, wengine huishi kama wazimu hata sehemu ya maisha yao hawachukui nafasi ya ukuu wao Lazima unapo amka ufahamu thamani ya siku yako , kujua hivyo ni kuelewa sababu ya uwepo wako ulimwenguni. Ishi kwa kusudi, kutafakari na kutenda. Jipe sanaa ya kujitazama upya ili uishi . Je ukiambiwa leo ni siku yako ya mwisho utajivunia leo?Kwa kuishi maisha huyafanya kuwa marefu licha ya kutokuwa hakika , kwasababu tunahitajika kukumbatia wakati ulio tupa thamani , kuishi katika wakati wa sasa kunamaanisha kuwa huru katika kutumiza kusudi
    0 Comments ·0 Shares ·61 Views
  • Tulishapoteza kila kitu kwenye harakati za Kukusanya Vyote.
    Tulishapoteza kila kitu kwenye harakati za Kukusanya Vyote.
    Like
    Yay
    3
    · 0 Comments ·0 Shares ·37 Views
  • .KIDNEY CARE
    DAWA YA FIGO
    Dawa hii ni unga na imeandaliwa maalum kwa kutibu maradhi yafuatayo.
    1.Huboresha figo katika kufanya kazi.
    2.Huondosha vijiwe katika figo
    3.Huondosha matatizo ya mkojo.
    4.Kuvimba kwa miguu,maumivu na uchovu wa mwili
    5.Husaidia kuboresha kazi ya ubongo.
    6.Huboresha mfumo wa chakula na kinga ya mwili.
    ✦Hakika Mungu ni mponyaji na atakusaidia.
    MATUMIZI.
    Mkubwa:Tumia kijiko 1 cha chakula katika maji moto,maziwa au uji.
    Mtoto:Atumie kijiko 1 cha chai katika mchanganyiko huo.

    KIDNEY CARE
    Herbal Powder
    Powder medicine and has been specially prepared to treat the following diseases.
    1.Improves kidney function.
    2.Removes kidney stones
    3.Eliminates urinary problems.
    4.Swelling of the feet, pain and fatigue
    5.Helps improve brain function.
    6.Improves the digestion system and body immunity.
    ✦Surely God is a healer and will help you.
    USAGE.
    Adult: Use 1X2 tablespoon in hot water, milk or porridge.
    Child: Use 1x2 teaspoon in the mixture.
    ✦𝐝𝐚𝐰𝐚 𝐦𝐩𝐲𝐚 𝐡𝐢𝐢 𝐧𝐚 𝐢𝐥𝐢𝐲𝐨 𝐛𝐨𝐫𝐚 𝐤𝐰𝐚 𝐮𝐰𝐞𝐳𝐨 𝐰𝐚 𝐌𝐮𝐧𝐠𝐮
    .KIDNEY CARE DAWA YA FIGO Dawa hii ni unga na imeandaliwa maalum kwa kutibu maradhi yafuatayo. 1.Huboresha figo katika kufanya kazi. 2.Huondosha vijiwe katika figo 3.Huondosha matatizo ya mkojo. 4.Kuvimba kwa miguu,maumivu na uchovu wa mwili 5.Husaidia kuboresha kazi ya ubongo. 6.Huboresha mfumo wa chakula na kinga ya mwili. ✦Hakika Mungu ni mponyaji na atakusaidia. MATUMIZI. Mkubwa:Tumia kijiko 1 cha chakula katika maji moto,maziwa au uji. Mtoto:Atumie kijiko 1 cha chai katika mchanganyiko huo. KIDNEY CARE Herbal Powder Powder medicine and has been specially prepared to treat the following diseases. 1.Improves kidney function. 2.Removes kidney stones 3.Eliminates urinary problems. 4.Swelling of the feet, pain and fatigue 5.Helps improve brain function. 6.Improves the digestion system and body immunity. ✦Surely God is a healer and will help you. USAGE. Adult: Use 1X2 tablespoon in hot water, milk or porridge. Child: Use 1x2 teaspoon in the mixture. ✦𝐝𝐚𝐰𝐚 𝐦𝐩𝐲𝐚 𝐡𝐢𝐢 𝐧𝐚 𝐢𝐥𝐢𝐲𝐨 𝐛𝐨𝐫𝐚 𝐤𝐰𝐚 𝐮𝐰𝐞𝐳𝐨 𝐰𝐚 𝐌𝐮𝐧𝐠𝐮🙏
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·129 Views
  • Wamarekani watatu waliokuwa wamehukumiwa adhabu ya kifo kwa kushiriki katika jaribio la mapinduzi dhidi ya Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo , sasa wamekabidhiwa kwa mamlaka za Marekani na kurejea Nchini kwao ili kutumikia adhabu yao maisha Jela baada ya kupata msamaha wa Rais kufuatia mazungumzo kati ya Serekali ya DR Congo na Marekani.

    Msemaji wa Rais wa DRC,Tina Salama, amethibitisha kuwa Raia hao waliondoka Kinshasa siku ya Jana Jumanne majira ya asubuhi, kufuatia jitihada za kidiplomasia zilizoongozwa na Ubalozi wa Marekani Nchini humo. Hatua hiyo imekuja siku chache tu baada ya adhabu zao za kifo kubadilishwa na kuwa kifungo cha maisha jela.

    Miongoni mwa waliorejeshwa ni Marcel Malanga, kijana mwenye umri wa miaka 21, ambaye ni Mtoto wa marehemu Christian Malanga ambaye ni Kiongozi wa upinzani aliyepanga jaribio la mapinduzi dhidi ya Serikali ya Rais Félix Tshisekedi mwaka jana. Hata hivyo, jaribio hilo lilishindikana, na Christian Malanga aliuawa wakati wa makabiliano na Maafisa wa usalama. Kwa mujibu wa taarifa, Marcel alidai kuwa alishinikizwa na Baba yake kushiriki katika tukio hilo, akieleza kuwa hakufanya hivyo kwa hiari yake.

    Kurejeshwa kwa Raia hao kumetokea wakati ambapo Serikali ya DR Congo inashughulikia makubaliano ya ushirikiano wa kimataifa kuhusu madini na msaada wa kijeshi na Marekani, lengo likiwa ni kuimarisha usalama hususan katika maeneo ya mashariki ya nchi ambayo yamekuwa yakikumbwa na machafuko ya mara kwa mara.

    Wamarekani watatu waliokuwa wamehukumiwa adhabu ya kifo kwa kushiriki katika jaribio la mapinduzi dhidi ya Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo 🇨🇩, sasa wamekabidhiwa kwa mamlaka za Marekani 🇺🇸 na kurejea Nchini kwao ili kutumikia adhabu yao maisha Jela baada ya kupata msamaha wa Rais kufuatia mazungumzo kati ya Serekali ya DR Congo na Marekani. Msemaji wa Rais wa DRC,Tina Salama, amethibitisha kuwa Raia hao waliondoka Kinshasa siku ya Jana Jumanne majira ya asubuhi, kufuatia jitihada za kidiplomasia zilizoongozwa na Ubalozi wa Marekani Nchini humo. Hatua hiyo imekuja siku chache tu baada ya adhabu zao za kifo kubadilishwa na kuwa kifungo cha maisha jela. Miongoni mwa waliorejeshwa ni Marcel Malanga, kijana mwenye umri wa miaka 21, ambaye ni Mtoto wa marehemu Christian Malanga ambaye ni Kiongozi wa upinzani aliyepanga jaribio la mapinduzi dhidi ya Serikali ya Rais Félix Tshisekedi mwaka jana. Hata hivyo, jaribio hilo lilishindikana, na Christian Malanga aliuawa wakati wa makabiliano na Maafisa wa usalama. Kwa mujibu wa taarifa, Marcel alidai kuwa alishinikizwa na Baba yake kushiriki katika tukio hilo, akieleza kuwa hakufanya hivyo kwa hiari yake. Kurejeshwa kwa Raia hao kumetokea wakati ambapo Serikali ya DR Congo inashughulikia makubaliano ya ushirikiano wa kimataifa kuhusu madini na msaada wa kijeshi na Marekani, lengo likiwa ni kuimarisha usalama hususan katika maeneo ya mashariki ya nchi ambayo yamekuwa yakikumbwa na machafuko ya mara kwa mara.
    Like
    2
    · 0 Comments ·0 Shares ·475 Views
  • Mwanaume huyo pichani, anaitwa Ho Van Lang na picha hizo zilipigwa mara baada ya kugunduliwa mwaka 2013, akiwa ameishi katika msitu wa mbali Nchini Vietnam kwa miaka 41 pamoja na Baba yake, Ho Van Thanh. Walikimbia kijiji chao mwaka 1972 kufuatia mashambulizi ya mabomu ya Marekani wakati wa Vita ya Vietnam ambayo yaliwaua baadhi ya Wanafamilia wao.

    Kwa kuogopa usalama wao, Baba na Mwana walitoweka msituni katika mkoa wa Quang Ngai na wakabaki bila mawasiliano na Jamii kwa miongo kadhaa. Lang, ambaye alikuwa Mtoto mchanga walipotoweka, alitumia maisha yake yote akiwa katika hali ya kutengwa, bila kufahamu chochote kuhusu Dunia ya kisasa.

    Hakuwa na dhana ya Jamii, teknolojia, wala hata uwepo wa Wanawake, jambo alilolielewa tu baada ya kurejeshwa kwenye Jamii. Hadithi yake inaonyesha kwa kina uimara wa Mwanadamu na athari za kutengwa kwa muda mrefu katika maendeleo ya mtu binafsi na mtazamo wake wa Dunia.

    Mwanaume huyo pichani, anaitwa Ho Van Lang na picha hizo zilipigwa mara baada ya kugunduliwa mwaka 2013, akiwa ameishi katika msitu wa mbali Nchini Vietnam 🇻🇳 kwa miaka 41 pamoja na Baba yake, Ho Van Thanh. Walikimbia kijiji chao mwaka 1972 kufuatia mashambulizi ya mabomu ya Marekani 🇺🇸 wakati wa Vita ya Vietnam ambayo yaliwaua baadhi ya Wanafamilia wao. Kwa kuogopa usalama wao, Baba na Mwana walitoweka msituni katika mkoa wa Quang Ngai na wakabaki bila mawasiliano na Jamii kwa miongo kadhaa. Lang, ambaye alikuwa Mtoto mchanga walipotoweka, alitumia maisha yake yote akiwa katika hali ya kutengwa, bila kufahamu chochote kuhusu Dunia ya kisasa. Hakuwa na dhana ya Jamii, teknolojia, wala hata uwepo wa Wanawake, jambo alilolielewa tu baada ya kurejeshwa kwenye Jamii. Hadithi yake inaonyesha kwa kina uimara wa Mwanadamu na athari za kutengwa kwa muda mrefu katika maendeleo ya mtu binafsi na mtazamo wake wa Dunia.
    Like
    Haha
    2
    · 0 Comments ·0 Shares ·549 Views
  • Yanga walianza mchezo vizuri sana kwa kufanya kila kitu kwa usahihi pale wanapokuwa na mpira na wasipokuwa na mpira . Kivipi ?

    1: Wakati wanaanza build up wanakuwa na muundo mzuri wa 2-3-4-1 unawapa walinzi wao machaguo ya kupasia mipira (Job na Bakari wanakuwa nyuma then FBs wanakuwa mstari moja na Aucho , hapo Yanga wanapata msingi sahihi ya kufika kwenye eneo la mwisho kwa kupitia katikati na pembeni ya uwanja , rahisi kuishinda pressing ya Coastal ambayo hawakuwa na idadi nzuri ya wachezaji wakati wanaweka presha .

    2: Kwasababu Coastal Union hawakuweka presha vizuri kwenye mpira na positioning ya wachezaji wa Yanga ilikuwa nzuri , hapo ikawa rahisi kwa Yanga kufika eneo la mwisho baada ya hapo ni Yanga kuwa wafanisi mbele ya goli (unatumiaje nafasi kuimaliza game) .

    Maxi na Pacome waliuliza maswali magumu kwa walinzi wa Coastal walibadilishana nafasi kutokana na wapi mpira ulipo , nafasi zilikuwepo hasa kwenye zile “Half Spaces” na ndio maana pamoja na Coastal kuzuia wakiwa chini mda mwingi lakini Yanga waliwafungua kirahisi kwasababu wachezaji wao walikuwa mara nyingi wanachelewa kufika kwenye eneo la tukio .

    Nafikiri Coastal walijua kabisa hawawezi kupishana na Yanga kutokana na ubora wa mpinzani wake , wakaamua kuchagua vita yao ya kuzuia wakiwa chini na kuweka mtego wa kushambulia kwa kushtukiza . Lakini kuna nyakati wakivuka kwenye mstari wa kati wanachotegemea ni ubora wa mchezaji mmoja mmoja kufanya jambo kubwa .

    NOTE :

    1: Golikipa wa Coastal “FALESI” kafanya saves nyingi nzuri (kupunguza idadi ya magoli)

    2: Maxi na Pacome wamecheza game nzuri sana (Rotation ya nafasi , positioning zao zilikuwa sahihi )

    3: Lawi kacheza vizuri sana kwenye kiungo nimependa Energy ya Maabad

    4: Pacome goli la 8 kwenye NBCPL ( anakupa magoli na kufanya vitu vingine vitokee uwanjani kwa dribbling na Positioning yake )

    FT: Yanga 1-0 Coastal Union .
    (Kelvin Rabson).

    Yanga walianza mchezo vizuri sana kwa kufanya kila kitu kwa usahihi pale wanapokuwa na mpira na wasipokuwa na mpira . Kivipi ? 1: Wakati wanaanza build up wanakuwa na muundo mzuri wa 2-3-4-1 unawapa walinzi wao machaguo ya kupasia mipira (Job na Bakari wanakuwa nyuma then FBs wanakuwa mstari moja na Aucho , hapo Yanga wanapata msingi sahihi ya kufika kwenye eneo la mwisho kwa kupitia katikati na pembeni ya uwanja , rahisi kuishinda pressing ya Coastal ambayo hawakuwa na idadi nzuri ya wachezaji wakati wanaweka presha . 2: Kwasababu Coastal Union hawakuweka presha vizuri kwenye mpira na positioning ya wachezaji wa Yanga ilikuwa nzuri , hapo ikawa rahisi kwa Yanga kufika eneo la mwisho baada ya hapo ni Yanga kuwa wafanisi mbele ya goli (unatumiaje nafasi kuimaliza game) . ✍️ Maxi na Pacome waliuliza maswali magumu kwa walinzi wa Coastal walibadilishana nafasi kutokana na wapi mpira ulipo , nafasi zilikuwepo hasa kwenye zile “Half Spaces” na ndio maana pamoja na Coastal kuzuia wakiwa chini mda mwingi lakini Yanga waliwafungua kirahisi kwasababu wachezaji wao walikuwa mara nyingi wanachelewa kufika kwenye eneo la tukio . ✍️ Nafikiri Coastal walijua kabisa hawawezi kupishana na Yanga kutokana na ubora wa mpinzani wake , wakaamua kuchagua vita yao ya kuzuia wakiwa chini na kuweka mtego wa kushambulia kwa kushtukiza . Lakini kuna nyakati wakivuka kwenye mstari wa kati wanachotegemea ni ubora wa mchezaji mmoja mmoja kufanya jambo kubwa . NOTE : 1: Golikipa wa Coastal “FALESI” kafanya saves nyingi nzuri (kupunguza idadi ya magoli) 2: Maxi na Pacome wamecheza game nzuri sana (Rotation ya nafasi , positioning zao zilikuwa sahihi 🔥) 3: Lawi kacheza vizuri sana kwenye kiungo 👏 nimependa Energy ya Maabad ✅ 4: Pacome goli la 8 kwenye NBCPL ( anakupa magoli na kufanya vitu vingine vitokee uwanjani kwa dribbling na Positioning yake ) FT: Yanga 1-0 Coastal Union . (Kelvin Rabson).
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·548 Views
  • "Nafahamu wote kwa pamoja tuna hamu ya kupata matokeo katika mechi hii lakini matokeo haya kuyapata kwa kushinda na kufuzu. Sisi tumeweka mazingira mazuri ambayo yataiwezesha timu yetu kufuzu.”

    “Nipo hapa kuwataka Watanzania kujitokeza kwa wingi Uwanja wa Mkapa alkini ningependa kutoa taarifa muhimu kwamba tunaendelea kushirikiana na serikali kuimarisha usalama wa siku hiyo. Tunawataka wapenzi wetu kuhakikisha kwamba wanazingatia mazingatio yote ambayo yatawekwa ya usalama. Hatutaruhusu mtu yeyote ambaye sio Mwanasimba kutuharibia shughuli yetu.”

    “Katika mchezo uliopita walisema maneno mengi kwamba kuna wazee wafupi, mbuzi lakini tuwatumie ujumbe kwamba kama mechi aikuhusu wabaki nyumbani na sisi tumejiandaa kuthibiti hilo kama klabu.”- Zubeda Sakuru, CEO wa klabu ya Simba SC.

    "Nafahamu wote kwa pamoja tuna hamu ya kupata matokeo katika mechi hii lakini matokeo haya kuyapata kwa kushinda na kufuzu. Sisi tumeweka mazingira mazuri ambayo yataiwezesha timu yetu kufuzu.” “Nipo hapa kuwataka Watanzania kujitokeza kwa wingi Uwanja wa Mkapa alkini ningependa kutoa taarifa muhimu kwamba tunaendelea kushirikiana na serikali kuimarisha usalama wa siku hiyo. Tunawataka wapenzi wetu kuhakikisha kwamba wanazingatia mazingatio yote ambayo yatawekwa ya usalama. Hatutaruhusu mtu yeyote ambaye sio Mwanasimba kutuharibia shughuli yetu.” “Katika mchezo uliopita walisema maneno mengi kwamba kuna wazee wafupi, mbuzi lakini tuwatumie ujumbe kwamba kama mechi aikuhusu wabaki nyumbani na sisi tumejiandaa kuthibiti hilo kama klabu.”- Zubeda Sakuru, CEO wa klabu ya Simba SC.
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·562 Views
  • Nchi ya Marekani imeunda sera mpya inayozuia Wafanyakazi wa Serikali, Wanafamilia, na Wakandarasi walio na vibali vya usalama kujihusisha na uhusiano wa kimapenzi au kingono na Raia wa China . Hii ni kwa mujibu wa Shirika la Habari la Associated Press.

    Sera hiyo imewekwa na aliyekuwa Balozi wa Marekani, Nicholas Burns mnamo Januari, ikiwa ni uondoaji mkubwa kutoka kwa miongo ya awali, ambayo ilizuia uhusiano na Raia wa China wanaofanya kazi katika majukumu maalum, kama vile Walinzi wa ubalozi. Inaripotiwa kuwa uamuzi huo umechukuliwa kutokana na hofu kwamba Mawakala wa China wanaweza kuchukua taarifa za siri za Serikali ya Marekani na kuziwasilisha kwa Serikali ya China.

    Sera hiyo inatumika kwa Wafanyakazi wa Marekani walioko China Bara, ikiwa ni pamoja na ubalozi wa Beijing na balozi ndogo huko Guangzhou, Shanghai, Shenyang na Wuhan, pamoja na ubalozi mdogo wa Marekani huko Hong Kong. Pia haitumiki kwa Wafanyakazi wa Marekani walioko nje ya China ambao wana uhusiano uliokuwepo hapo awali na Raia wa China ingawa wanaweza kutuma maombi ya misamaha, lakini wakikataliwa, lazima wasitishe uhusiano huo au waache nafasi zao.

    Ikiwa sera hiyo itakiukwa, Wafanyakazi wanaohusika wataamriwa kuondoka China mara moja. Hata hivyo, Sera hiyo inaashiria mabadiliko makubwa katika mtazamo wa Serikali ya Marekani kuhusu usalama Nchini China, ikionyesha mvutano unaoongezeka kati ya Washington na Beijing kuhusu biashara, teknolojia na ushindani wa kijiografia na kisiasa.

    Kwaupande wa Wizara ya mambo ya nje ya China imekataa kutoa maoni yake kuhusu sera hiyo, ikisema kwamba "ni sahihi zaidi kuuliza Marekani kuhusu swali hilo." imekadiriwa ikisema Wizara hiyo ya China.

    Nchi ya Marekani 🇺🇸 imeunda sera mpya inayozuia Wafanyakazi wa Serikali, Wanafamilia, na Wakandarasi walio na vibali vya usalama kujihusisha na uhusiano wa kimapenzi au kingono na Raia wa China 🇨🇳. Hii ni kwa mujibu wa Shirika la Habari la Associated Press. Sera hiyo imewekwa na aliyekuwa Balozi wa Marekani, Nicholas Burns mnamo Januari, ikiwa ni uondoaji mkubwa kutoka kwa miongo ya awali, ambayo ilizuia uhusiano na Raia wa China wanaofanya kazi katika majukumu maalum, kama vile Walinzi wa ubalozi. Inaripotiwa kuwa uamuzi huo umechukuliwa kutokana na hofu kwamba Mawakala wa China wanaweza kuchukua taarifa za siri za Serikali ya Marekani na kuziwasilisha kwa Serikali ya China. Sera hiyo inatumika kwa Wafanyakazi wa Marekani walioko China Bara, ikiwa ni pamoja na ubalozi wa Beijing na balozi ndogo huko Guangzhou, Shanghai, Shenyang na Wuhan, pamoja na ubalozi mdogo wa Marekani huko Hong Kong. Pia haitumiki kwa Wafanyakazi wa Marekani walioko nje ya China ambao wana uhusiano uliokuwepo hapo awali na Raia wa China ingawa wanaweza kutuma maombi ya misamaha, lakini wakikataliwa, lazima wasitishe uhusiano huo au waache nafasi zao. Ikiwa sera hiyo itakiukwa, Wafanyakazi wanaohusika wataamriwa kuondoka China mara moja. Hata hivyo, Sera hiyo inaashiria mabadiliko makubwa katika mtazamo wa Serikali ya Marekani kuhusu usalama Nchini China, ikionyesha mvutano unaoongezeka kati ya Washington na Beijing kuhusu biashara, teknolojia na ushindani wa kijiografia na kisiasa. Kwaupande wa Wizara ya mambo ya nje ya China imekataa kutoa maoni yake kuhusu sera hiyo, ikisema kwamba "ni sahihi zaidi kuuliza Marekani kuhusu swali hilo." imekadiriwa ikisema Wizara hiyo ya China.
    0 Comments ·0 Shares ·624 Views
  • Panya wa kutoka Nchini Tanzania mwenye jina la Ronin ambaye ni maalum kwa kunusa, amefanikiwa kunusa mabomu 109 yaliyotegwa ardhini Nchini Cambodia na kuvunja Rekodi ya Dunia ya Guinness kwa mabomu mengi ya ardhini yaliyogunduliwa na Panya Duniani.

    Panya huyo mwenye umri wa miaka mitano (5) amepata vipande 15 vya ziada vya silaha ambazo hazijalipuka tangu kutumwa Nchini Cambodia na Shirila la APOPO, linalofundisha Panya na Mbwa kugundua mabomu ya ardhini na kifua kikuu.

    Ronin alivunja rekodi ya hapo awali, ya Magawa, ambaye aligundua mabomu 71 ya ardhini na vipande vya silaha ambazo hazijalipuka 38 wakati wa kazi yake ya miaka mitano, na alikufa baada ya kustaafu Januari 2022.

    Panya wa kutoka Nchini Tanzania 🇹🇿 mwenye jina la Ronin ambaye ni maalum kwa kunusa, amefanikiwa kunusa mabomu 109 yaliyotegwa ardhini Nchini Cambodia 🇰🇭 na kuvunja Rekodi ya Dunia ya Guinness kwa mabomu mengi ya ardhini yaliyogunduliwa na Panya Duniani. Panya huyo mwenye umri wa miaka mitano (5) amepata vipande 15 vya ziada vya silaha ambazo hazijalipuka tangu kutumwa Nchini Cambodia na Shirila la APOPO, linalofundisha Panya na Mbwa kugundua mabomu ya ardhini na kifua kikuu. Ronin alivunja rekodi ya hapo awali, ya Magawa, ambaye aligundua mabomu 71 ya ardhini na vipande vya silaha ambazo hazijalipuka 38 wakati wa kazi yake ya miaka mitano, na alikufa baada ya kustaafu Januari 2022.
    0 Comments ·0 Shares ·438 Views
  • Muigizaji maarufu na Mkongwe Duniani, Jean-Claude Van Damme anakabiliwa na mashtaka ya kujibu baada ya kudaiwa kufanya ngono na Wanawake waliotekwa nyara Nchini Romania .

    Kwa mujibu wa CNN, Idara ya Romania ya Uchunguzi wa Uhalifu wa kupangwa na Ugaidi (DIICOT) imewasilisha malalamiko ya jinai dhidi ya Van Damme, ikidai alifanya ngono kwa kujua na Wanawake kadhaa waliokuwa wakitumiwa katika biashara haramu ya ngono.

    Kulingana na ripoti hiyo, Mwigizaji huyo Raia wa Ubelgiji anadaiwa kukutana na Watu kadhaa ambao pia wanachunguzwa kwa uhalifu wa usafirishaji wa Binadamu, ambao walimpa fursa ya kufanya ngono na Wanamitindo watano (5) wa Kiromania kama zawadi.

    Tukio hilo linaripotiwa kutokea Cannes Nchini Ufaransa hivyo, Serikali ya hiyo inapaswa kuidhinisha mashitaka hayo ya jinai lakini haikuwekwa wazi ni lini tukio hilo lilitokea hapo Ufaransa.

    Muigizaji maarufu na Mkongwe Duniani, Jean-Claude Van Damme anakabiliwa na mashtaka ya kujibu baada ya kudaiwa kufanya ngono na Wanawake waliotekwa nyara Nchini Romania 🇷🇴. Kwa mujibu wa CNN, Idara ya Romania ya Uchunguzi wa Uhalifu wa kupangwa na Ugaidi (DIICOT) imewasilisha malalamiko ya jinai dhidi ya Van Damme, ikidai alifanya ngono kwa kujua na Wanawake kadhaa waliokuwa wakitumiwa katika biashara haramu ya ngono. Kulingana na ripoti hiyo, Mwigizaji huyo Raia wa Ubelgiji 🇧🇪 anadaiwa kukutana na Watu kadhaa ambao pia wanachunguzwa kwa uhalifu wa usafirishaji wa Binadamu, ambao walimpa fursa ya kufanya ngono na Wanamitindo watano (5) wa Kiromania kama zawadi. Tukio hilo linaripotiwa kutokea Cannes Nchini Ufaransa 🇫🇷 hivyo, Serikali ya hiyo inapaswa kuidhinisha mashitaka hayo ya jinai lakini haikuwekwa wazi ni lini tukio hilo lilitokea hapo Ufaransa.
    Like
    Love
    2
    · 0 Comments ·0 Shares ·414 Views
  • Uongozi wa Ligi Kuu ya mpira wa miguu Nchini Marekani , Major League Soccer (MLS), umempiga marufuku Mlinzi binafsi (Bodyguard) wa Lionel Messi, Yassine Cheuko, kuwa kando na kuingia katikati ya Uwanja wakati wa mechi za Inter Miami kwa lengo lake la kumlinda Mwajiri wake Messi.

    Ikumbukwe kwamba Yassine Cheuko, ni Mwanajeshi wa zamani wa kikosi maalumu cha operesheni za kijeshi cha Jeshi la Majini la Marekani (U.S. Navy) kinachobobea katika vita visivyo vya kawaida, kupambana na ugaidi, mashambulizi ya moja kwa moja, na upelelezi wa kijeshi. Tangu Yessine Cheuko aanze kufanya kazi na Messi amejizolea umaarufu mkubwa Duniani kwani ameonekana mara nyingi akiwadhibiti Wavamizi mbalimbali ambao wengi lengo lao huwa sio baya, zaidi wanataka kupiga picha na Messi.

    Tayari uongozi wa Ligi hiyo umemzuia kuingia Uwanjani, sasa ataruhusiwa tu kuwa kwenye Vyumba vya kubadilishia nguo na maeneo ya Waandishi wa habari siku za mechi. Uamuzi huu ni sehemu ya mpango wa (MLS) wa kuchukua mamlaka kamili ya usalama wa mechi.

    Baada ya katazo, Yassine Cheuko ameonyesha kutoridhishwa na hatua hiyo, akisema kuwa Wavamizi wa Uwanja ni tatizo kubwa zaidi Nchini Marekani kuliko Ulaya. Kwa mujibu wake, katika miaka saba aliyofanya kazi Ulaya, kulikuwa na matukio sita pekee ya uvamizi Uwanjani, ilhali katika miezi 20 Nchini Marekani, tayari yameshuhudiwa matukio 16.

    Mlinzi huyo ameendelea kusema kuwa Uongozi wa Ligi Kuu ya Marekani haukutakiwa kumzuia kufanye kazi yake bali walitakiwa kumpa ushirikiano ili kazi hiyo waifanye kwa pamoja kwa sababu eti kipindi yupo barani Ulaya, alipata ushirikiano wa kutosha kutoka kwenye Uongozi na alifanya kazi yake kwa uhuru. Pamoja na kuzuiliwa kuingia Uwanjani au kukaa kando ya Uwanja, Cheuko amesema kuwa ataendelea kufanya kazi yake kama kawaida bila kuvunja sheria au utaratibu uliopo kwenye mchezo wa mpira wa miguu.

    Uongozi wa Ligi Kuu ya mpira wa miguu Nchini Marekani 🇺🇸, Major League Soccer (MLS), umempiga marufuku Mlinzi binafsi (Bodyguard) wa Lionel Messi, Yassine Cheuko, kuwa kando na kuingia katikati ya Uwanja wakati wa mechi za Inter Miami kwa lengo lake la kumlinda Mwajiri wake Messi. Ikumbukwe kwamba Yassine Cheuko, ni Mwanajeshi wa zamani wa kikosi maalumu cha operesheni za kijeshi cha Jeshi la Majini la Marekani (U.S. Navy) kinachobobea katika vita visivyo vya kawaida, kupambana na ugaidi, mashambulizi ya moja kwa moja, na upelelezi wa kijeshi. Tangu Yessine Cheuko aanze kufanya kazi na Messi amejizolea umaarufu mkubwa Duniani kwani ameonekana mara nyingi akiwadhibiti Wavamizi mbalimbali ambao wengi lengo lao huwa sio baya, zaidi wanataka kupiga picha na Messi. Tayari uongozi wa Ligi hiyo umemzuia kuingia Uwanjani, sasa ataruhusiwa tu kuwa kwenye Vyumba vya kubadilishia nguo na maeneo ya Waandishi wa habari siku za mechi. Uamuzi huu ni sehemu ya mpango wa (MLS) wa kuchukua mamlaka kamili ya usalama wa mechi. Baada ya katazo, Yassine Cheuko ameonyesha kutoridhishwa na hatua hiyo, akisema kuwa Wavamizi wa Uwanja ni tatizo kubwa zaidi Nchini Marekani kuliko Ulaya. Kwa mujibu wake, katika miaka saba aliyofanya kazi Ulaya, kulikuwa na matukio sita pekee ya uvamizi Uwanjani, ilhali katika miezi 20 Nchini Marekani, tayari yameshuhudiwa matukio 16. Mlinzi huyo ameendelea kusema kuwa Uongozi wa Ligi Kuu ya Marekani haukutakiwa kumzuia kufanye kazi yake bali walitakiwa kumpa ushirikiano ili kazi hiyo waifanye kwa pamoja kwa sababu eti kipindi yupo barani Ulaya, alipata ushirikiano wa kutosha kutoka kwenye Uongozi na alifanya kazi yake kwa uhuru. Pamoja na kuzuiliwa kuingia Uwanjani au kukaa kando ya Uwanja, Cheuko amesema kuwa ataendelea kufanya kazi yake kama kawaida bila kuvunja sheria au utaratibu uliopo kwenye mchezo wa mpira wa miguu.
    0 Comments ·0 Shares ·634 Views
  • Aliyetiwa hatiani kuwa Mhalifu wa kivita na Mahakama ya kimataifa ya (ICC) kwa makosa mbalimbali, Thomas Lubanga, ametangaza kuunda kundi jipya la Waasi lenye lengo la kuiangusha Serikali ya Jimbo la Ituri, lililopo Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo .

    Nchi ya DR Congo imekuwa ikikabiliwa na tishio la kiusalama katika Mikoa ya mashariki ambapo makundi ya Waasi ikiwemo Muungano wa Waasi wa AFC/M23 unaoshikilia Miji ya Goma, Bukavu, Nyabibwe na Walikale.

    Hata hivyo, uamuzi wa Thomas Lubanga ambaye ni Mzaliwa wa Mkoa wa Ituri Nchini DR Congo na anayeishi Nchini Uganda , kutangaza kuanzisha Kundi lake la Waasi alilolipa jina Convention for the Popular Revolution (CPR) ambalo litaongeza hofu ya machafuko Nchini humo wakati huu ambao Serikali ya Rais Felix Tshisekedi inatafuta maridhiano na M23 kwa njia ya mazungumzo.

    Shirika la Habari la Reuters, limeripoti leo Jumanne Aprili Mosi, 2025, kuwa Lubanga ambaye ni Mzaliwa wa Ituri, alihukumiwa na Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) mwaka 2012 kwa makosa ya kuwasajili Watoto kama Askari na akapewa kifungo cha miaka 14 Gerezani, baadaye aliachiliwa mwaka 2020 na Rais wa DR Congo, Felix Tshisekedi kisha akamteua kuwa sehemu ya kikosi kazi cha kuleta amani Jimboni Ituri.

    Hata hivyo, mwaka 2022 alitekwa nyara kwa miezi miwili na kundi la Waasi, tukio analodai kupangwa na Serikali ya DR Congo kwa lengo kumpoteza ila kwa sasa anaishi Nchini Uganda.

    Aliyetiwa hatiani kuwa Mhalifu wa kivita na Mahakama ya kimataifa ya (ICC) kwa makosa mbalimbali, Thomas Lubanga, ametangaza kuunda kundi jipya la Waasi lenye lengo la kuiangusha Serikali ya Jimbo la Ituri, lililopo Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo 🇨🇩. Nchi ya DR Congo imekuwa ikikabiliwa na tishio la kiusalama katika Mikoa ya mashariki ambapo makundi ya Waasi ikiwemo Muungano wa Waasi wa AFC/M23 unaoshikilia Miji ya Goma, Bukavu, Nyabibwe na Walikale. Hata hivyo, uamuzi wa Thomas Lubanga ambaye ni Mzaliwa wa Mkoa wa Ituri Nchini DR Congo na anayeishi Nchini Uganda 🇺🇬, kutangaza kuanzisha Kundi lake la Waasi alilolipa jina Convention for the Popular Revolution (CPR) ambalo litaongeza hofu ya machafuko Nchini humo wakati huu ambao Serikali ya Rais Felix Tshisekedi inatafuta maridhiano na M23 kwa njia ya mazungumzo. Shirika la Habari la Reuters, limeripoti leo Jumanne Aprili Mosi, 2025, kuwa Lubanga ambaye ni Mzaliwa wa Ituri, alihukumiwa na Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) mwaka 2012 kwa makosa ya kuwasajili Watoto kama Askari na akapewa kifungo cha miaka 14 Gerezani, baadaye aliachiliwa mwaka 2020 na Rais wa DR Congo, Felix Tshisekedi kisha akamteua kuwa sehemu ya kikosi kazi cha kuleta amani Jimboni Ituri. Hata hivyo, mwaka 2022 alitekwa nyara kwa miezi miwili na kundi la Waasi, tukio analodai kupangwa na Serikali ya DR Congo kwa lengo kumpoteza ila kwa sasa anaishi Nchini Uganda.
    0 Comments ·0 Shares ·683 Views
  • Najua umesalitiwa na wale uliowaamini, umeachwa ulipohitaji kupendwa, na umedhihakiwa wakati ulichotaka ni kuungwa mkono. Najua umechoka. Najua umepigana vita hakuna mtu aliyeona, kulia kimya, na kuvumilia maumivu ambayo maneno hayawezi kuelezea.

    Maisha hayajakuwa sawa kwako. Milango imegongwa usoni mwako. Umewatazama wengine wakiinuka huku wewe ukiwa umekwama katika sehemu moja. Umeomba, kutumaini, na kungoja, lakini hakuna kinachoonekana kubadilika. Inaumiza. Ni chungu. Inachosha.

    Lakini nisikilizeni, na nisikilize kwa makini: USIKATE TAMAA.

    Kila mtu mkubwa unayekuvutia leo alikuwa hapo ulipo sasa. Walihisi kile unachohisi. Walihangaika, walilia, na walitilia shaka wenyewe. Lakini hawakuacha. Hawakuruhusu maumivu yao yawafafanue. Waliendelea kusonga mbele, hata pale nguvu zao zilipopungua. Na ndio maana leo, ulimwengu unawaadhimisha.

    Lazima uelewe ukweli huu: Kadiri hatima yako inavyokuwa kubwa, ndivyo vita yako inavyokuwa kubwa. KILA KIWANGO KIPYA UNACHOFIKIA, KUNA SHETANI MPYA ANAKUSUBIRI. Ulipokuwa maskini, hakuna aliyekuonea wivu. Lakini unapoanza kufanya maendeleo, ghafla, watu wanaanza kukuchukia. Ulipokuwa huna kazi, hakuna aliyezungumza juu yako. Lakini mara tu unapopata kazi nzuri, wanaanza kueneza uvumi. Ulipokuwa ukihangaika, hakuna aliyejali. Lakini wakati unapoanza kufanikiwa, maadui huonekana kutoka popote.

    Ibilisi hapigani na watu ambao hawaendi popote. Sababu ya wewe kukabiliwa na vita vingi ni kwa sababu hatima yako ni kubwa; sababu ya maisha kukujaribu sana ni kwa sababu kesho yako ni kubwa. Huna mateso kwa sababu wewe ni dhaifu. Unateseka kwa sababu wewe ni IMARA, na maisha yanajua kwamba mara tu unapopitia, hautazuilika.

    Kwa hivyo, usikatishwe tamaa na vita unavyokabili sasa. Wao ni ishara kwamba unasonga mbele. Usiruhusu maumivu yakufanye uchungu. Usiruhusu tamaa kuua ndoto zako. Endelea kupigana. Endelea kusukuma. Endelea kuamini. Wakati wako utafika.

    Kuna toleo lako katika siku zijazo ambalo lina nguvu zaidi, busara, na mafanikio zaidi kuliko wewe sasa. Toleo hilo lako linasubiri. Lakini ili kuwa mtu huyo, lazima upitie moto huu. Sio rahisi, lakini nakuahidi, itafaa.

    Lia ikiwa ni lazima, lakini baada ya kulia, futa machozi yako na uendelee kusonga. Lalamika ikibidi, lakini baada ya kulalamika, simama na upigane tena. Jisikie dhaifu ikiwa ni lazima, lakini usiache kujaribu.

    Wakati wako unakuja. Ufanisi wako umekaribia. Maumivu hayatadumu milele. Siku moja, utaangalia nyuma na kugundua kuwa kila kitu ulichopitia kilikufanya kuwa mtu mwenye nguvu, aliyefanikiwa ambaye unakusudiwa kuwa.

    Kwa hivyo, endelea kusonga mbele. Ushindi wako uko njiani.

    Quadic Bangura
    Najua umesalitiwa na wale uliowaamini, umeachwa ulipohitaji kupendwa, na umedhihakiwa wakati ulichotaka ni kuungwa mkono. Najua umechoka. Najua umepigana vita hakuna mtu aliyeona, kulia kimya, na kuvumilia maumivu ambayo maneno hayawezi kuelezea. Maisha hayajakuwa sawa kwako. Milango imegongwa usoni mwako. Umewatazama wengine wakiinuka huku wewe ukiwa umekwama katika sehemu moja. Umeomba, kutumaini, na kungoja, lakini hakuna kinachoonekana kubadilika. Inaumiza. Ni chungu. Inachosha. Lakini nisikilizeni, na nisikilize kwa makini: USIKATE TAMAA. Kila mtu mkubwa unayekuvutia leo alikuwa hapo ulipo sasa. Walihisi kile unachohisi. Walihangaika, walilia, na walitilia shaka wenyewe. Lakini hawakuacha. Hawakuruhusu maumivu yao yawafafanue. Waliendelea kusonga mbele, hata pale nguvu zao zilipopungua. Na ndio maana leo, ulimwengu unawaadhimisha. Lazima uelewe ukweli huu: Kadiri hatima yako inavyokuwa kubwa, ndivyo vita yako inavyokuwa kubwa. KILA KIWANGO KIPYA UNACHOFIKIA, KUNA SHETANI MPYA ANAKUSUBIRI. Ulipokuwa maskini, hakuna aliyekuonea wivu. Lakini unapoanza kufanya maendeleo, ghafla, watu wanaanza kukuchukia. Ulipokuwa huna kazi, hakuna aliyezungumza juu yako. Lakini mara tu unapopata kazi nzuri, wanaanza kueneza uvumi. Ulipokuwa ukihangaika, hakuna aliyejali. Lakini wakati unapoanza kufanikiwa, maadui huonekana kutoka popote. Ibilisi hapigani na watu ambao hawaendi popote. Sababu ya wewe kukabiliwa na vita vingi ni kwa sababu hatima yako ni kubwa; sababu ya maisha kukujaribu sana ni kwa sababu kesho yako ni kubwa. Huna mateso kwa sababu wewe ni dhaifu. Unateseka kwa sababu wewe ni IMARA, na maisha yanajua kwamba mara tu unapopitia, hautazuilika. Kwa hivyo, usikatishwe tamaa na vita unavyokabili sasa. Wao ni ishara kwamba unasonga mbele. Usiruhusu maumivu yakufanye uchungu. Usiruhusu tamaa kuua ndoto zako. Endelea kupigana. Endelea kusukuma. Endelea kuamini. Wakati wako utafika. Kuna toleo lako katika siku zijazo ambalo lina nguvu zaidi, busara, na mafanikio zaidi kuliko wewe sasa. Toleo hilo lako linasubiri. Lakini ili kuwa mtu huyo, lazima upitie moto huu. Sio rahisi, lakini nakuahidi, itafaa. Lia ikiwa ni lazima, lakini baada ya kulia, futa machozi yako na uendelee kusonga. Lalamika ikibidi, lakini baada ya kulalamika, simama na upigane tena. Jisikie dhaifu ikiwa ni lazima, lakini usiache kujaribu. Wakati wako unakuja. Ufanisi wako umekaribia. Maumivu hayatadumu milele. Siku moja, utaangalia nyuma na kugundua kuwa kila kitu ulichopitia kilikufanya kuwa mtu mwenye nguvu, aliyefanikiwa ambaye unakusudiwa kuwa. Kwa hivyo, endelea kusonga mbele. Ushindi wako uko njiani. Quadic Bangura
    Love
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·743 Views
  • JE, UNAMLETEA UHAI MPENZI WAKO, AU UNALETA KISU?

    Upendo unakusudiwa kujenga, sio kuvunja. Uhusiano unakusudiwa kuwa patakatifu, sio kichinjio. Nafsi mbili zinapokutana, zinapaswa kuleta uhai kwa kila mmoja, sio majeraha, sio makovu, sio huzuni. Hata hivyo, ukweli wa kusikitisha ni kwamba watu wengi huingia kwenye mahusiano wakitarajia kupendwa lakini hupokea maumivu. Wanatazamia furaha lakini wanakutana na taabu. Badala ya mwenzi anayeleta uzima, wanajikuta wanaishi na mtu ambaye ana kisu, akipunguza ujasiri wao, amani na heshima. Kwa hiyo, unaleta uhai kwa mpenzi wako, au unaleta kisu? Upendo unakusudiwa kumpa uhai yule unayedai kumpenda. Katika Mwanzo Mungu alimpulizia Adamu pumzi ya uhai, naye akawa nafsi hai. Kwa njia hiyo hiyo, uhusiano unapaswa kupumua maisha ndani ya mtu, sio kukimbia maisha kutoka kwao. Unapomhimiza mwenzako kufuata ndoto zake, unaleta uzima. Unapozungumza maneno ya fadhili, heshima, na uthibitisho, unaleta uzima. Unapovumilia mapungufu yao na kutembea nao katika mapambano yao, unaleta uhai. Wakati uwepo wako ni chanzo cha amani na si chanzo cha msongo wa mawazo, unaleta uhai. Upendo haupaswi kamwe kuhisi kama kutembea kwenye uwanja wa vita, ambapo kila neno, kila kitendo na kila siku huhisi kama kupigania kuishi. Mpenzi wako hapaswi kujisikia salama nje kuliko ndani ya uhusiano. Ikiwa unampenda mtu, anapaswa kustawi chini ya upendo wako, sio kukauka.

    Kisu sio lazima kiwe cha mwili kila wakati. Vidonda vingine huenda zaidi kuliko mwili; wanachoma roho. Baadhi yetu, badala ya kuleta uhai, kuleta kisu. Tunaleta kisu cha maneno makali, kukata ndani ya kujithamini kwa mpenzi wetu. Tunaleta kisu cha kulinganisha, na kuwafanya wahisi kama hawatoshi vya kutosha. Tunakuja na kisu cha kupuuza, na njaa ya upendo na tahadhari wanayotamani. Kwa namna fulani, pia kuja na kisu cha usaliti, ambapo uaminifu wetu ni kwa maneno tu lakini si kwa vitendo. Watu wengine wanakufa kihisia na kiroho kwa sababu ya mtu wanayempenda. Furaha yao inafifia taratibu. Kujiamini kwao kunatoweka. Kicheko chao hakitoki tena moyoni. Kwa nini? Kwa sababu aliyekusudiwa kuwalisha sasa ndiye anayewaangamiza. Je, wewe ni mtoaji wa uzima au mleta maumivu? Je, watu hupata amani mbele yako au wasiwasi wako? Je, unainua au kubomoa? Ikiwa mtu unayempenda anafurahi zaidi wakati haupo kuliko wakati haupo, ni ishara kwamba unaweza kuwa unaleta kisu, sio maisha. Upendo unapaswa kuwa kama bustani ambayo watu wawili hukua pamoja. Lakini upendo unawezaje kukua ikiwa mwenzi mmoja anamwaga maji wakati mwingine anamwaga sumu? Ikiwa mmoja anapanda mbegu wakati mwingine anang'oa? Chagua kusema maneno ya uhai badala ya maneno yanayoua kujiamini. Chagua kukumbatia dosari badala ya kuzitumia kama silaha. Chagua kuunga mkono ndoto badala ya kuzikejeli. Chagua kuwa mahali salama, sio eneo la vita.

    Upendo unapaswa kuwa zawadi, sio mzigo. Baraka, si laana. Nguvu ya uponyaji, sio chanzo cha majeraha. Je, katika maisha ya mwenzako wewe ni mganga au mharibifu? Unaleta uhai au kisu?

    Credit
    Albert Nwosu
    JE, UNAMLETEA UHAI MPENZI WAKO, AU UNALETA KISU? Upendo unakusudiwa kujenga, sio kuvunja. Uhusiano unakusudiwa kuwa patakatifu, sio kichinjio. Nafsi mbili zinapokutana, zinapaswa kuleta uhai kwa kila mmoja, sio majeraha, sio makovu, sio huzuni. Hata hivyo, ukweli wa kusikitisha ni kwamba watu wengi huingia kwenye mahusiano wakitarajia kupendwa lakini hupokea maumivu. Wanatazamia furaha lakini wanakutana na taabu. Badala ya mwenzi anayeleta uzima, wanajikuta wanaishi na mtu ambaye ana kisu, akipunguza ujasiri wao, amani na heshima. Kwa hiyo, unaleta uhai kwa mpenzi wako, au unaleta kisu? Upendo unakusudiwa kumpa uhai yule unayedai kumpenda. Katika Mwanzo Mungu alimpulizia Adamu pumzi ya uhai, naye akawa nafsi hai. Kwa njia hiyo hiyo, uhusiano unapaswa kupumua maisha ndani ya mtu, sio kukimbia maisha kutoka kwao. Unapomhimiza mwenzako kufuata ndoto zake, unaleta uzima. Unapozungumza maneno ya fadhili, heshima, na uthibitisho, unaleta uzima. Unapovumilia mapungufu yao na kutembea nao katika mapambano yao, unaleta uhai. Wakati uwepo wako ni chanzo cha amani na si chanzo cha msongo wa mawazo, unaleta uhai. Upendo haupaswi kamwe kuhisi kama kutembea kwenye uwanja wa vita, ambapo kila neno, kila kitendo na kila siku huhisi kama kupigania kuishi. Mpenzi wako hapaswi kujisikia salama nje kuliko ndani ya uhusiano. Ikiwa unampenda mtu, anapaswa kustawi chini ya upendo wako, sio kukauka. Kisu sio lazima kiwe cha mwili kila wakati. Vidonda vingine huenda zaidi kuliko mwili; wanachoma roho. Baadhi yetu, badala ya kuleta uhai, kuleta kisu. Tunaleta kisu cha maneno makali, kukata ndani ya kujithamini kwa mpenzi wetu. Tunaleta kisu cha kulinganisha, na kuwafanya wahisi kama hawatoshi vya kutosha. Tunakuja na kisu cha kupuuza, na njaa ya upendo na tahadhari wanayotamani. Kwa namna fulani, pia kuja na kisu cha usaliti, ambapo uaminifu wetu ni kwa maneno tu lakini si kwa vitendo. Watu wengine wanakufa kihisia na kiroho kwa sababu ya mtu wanayempenda. Furaha yao inafifia taratibu. Kujiamini kwao kunatoweka. Kicheko chao hakitoki tena moyoni. Kwa nini? Kwa sababu aliyekusudiwa kuwalisha sasa ndiye anayewaangamiza. Je, wewe ni mtoaji wa uzima au mleta maumivu? Je, watu hupata amani mbele yako au wasiwasi wako? Je, unainua au kubomoa? Ikiwa mtu unayempenda anafurahi zaidi wakati haupo kuliko wakati haupo, ni ishara kwamba unaweza kuwa unaleta kisu, sio maisha. Upendo unapaswa kuwa kama bustani ambayo watu wawili hukua pamoja. Lakini upendo unawezaje kukua ikiwa mwenzi mmoja anamwaga maji wakati mwingine anamwaga sumu? Ikiwa mmoja anapanda mbegu wakati mwingine anang'oa? Chagua kusema maneno ya uhai badala ya maneno yanayoua kujiamini. Chagua kukumbatia dosari badala ya kuzitumia kama silaha. Chagua kuunga mkono ndoto badala ya kuzikejeli. Chagua kuwa mahali salama, sio eneo la vita. Upendo unapaswa kuwa zawadi, sio mzigo. Baraka, si laana. Nguvu ya uponyaji, sio chanzo cha majeraha. Je, katika maisha ya mwenzako wewe ni mganga au mharibifu? Unaleta uhai au kisu? Credit Albert Nwosu
    Love
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·701 Views
  • PICHA YA SIMBA HUYU NI FUNZO MAISHANI:
    ------------------------------------------------------

    Hivi ndivyo mfalme wa pori anavyoonekana akiwa kwenye siku za mwisho za maisha yake. Jinsi alivyokonda, kujua idadi ya mbavu zake hata huitaji msaada wa calculator.

    Hii picha ilipigwa na "Larry Pannell."

    Alifanikiwa kupata picha ya Simba aliyekuwa kwenye hitimisho la kuvuta pumzi za mwisho. Katika huu ulimwengu wenye mafungamano na dhambi.

    "Larry Pannell" anasema:

    Nilimkuta huyu simba amelala kwenye majani. Akiwa amechoka, miguu ikionekana kumnyima ushirikiano wa kutembea.

    Sikuwa na lakufanya zaidi ya kusimama mita kadhaa. Macho yakifanya ushuhuda wa kutazama, "King of savannah" akipoteza uhai chini ya kivuli cha mti.

    Nikiwa nimesimama kimya. Nilishusha chini camera yangu. Tulitazamana na simba, tukafumba macho yetu pamoja.

    Jinsi mfalme wa nyika alivyokuwa akihangaika kuhema. Pumzi zilionekana kuwa bidhaa hadimu kwenye duka la mapafu yake.

    Kifua chake kilikuwa kikipanda na kushuka. Ishara ya kuonyesha anavuta pumzi za mwisho, kabla ya kukipa ruhusa kifo kiondoke na roho yake.

    Ghafla eneo alilolala Simba ukazaliwa ukimya. Mfalme wa pori akawa haemi wala kutikisika. Mauti ikawa imehitimisha simulizi ya ubabe wake mbugani.

    Hakika maisha ya binadamu na wanyama ni simulizi fupi sana."

    Haijalishi una nguvu kiasi gani. Kuna nyakati zitafika nguvu zitafanya mgomo wa kuishi mwilini mwako. Zitaupisha udhaifu uchukue nafasi ya kukutawala. Udhaifu nao ukikutawala, utayaita maradhi. Bila hiyari utajikuta umekigeuza kitanda kuwa rafiki."

    Kuna shule ya bure hapa: Nguvu tulizonazo ni kitu cha kupita. Hata uzuri umpao kiburi mwanamke una ukomo. Licha ya kujidanganya kwa make up na wanja. Lakini hawezi kuzuia muanguko wa mashavu, uzee unapoanza kumuondoa kwenye kundi la warembo.

    "Chini ya jua kila kitu kina mwanzo na mwisho."

    Hivyo katika maisha tusisahau kuvipa kipaumbele vitu hivi. Utu, wema, ukarimu, heshima, na unyenyekevu.

    Tusaidie wenye maradhi, tuwajali wasiojiweza, na viongozi tusitumie madaraka vibaya.

    Tutende mema tukiamini. Kuna siku pumzi zitamaliza mkataba wa kuishi ndani ya matundu ya pua zetu. Baada ya hapo sisi wote tutalala mauti."

    Imeandikwa na Green Osward
    PICHA YA SIMBA HUYU NI FUNZO MAISHANI: ------------------------------------------------------ Hivi ndivyo mfalme wa pori anavyoonekana akiwa kwenye siku za mwisho za maisha yake. Jinsi alivyokonda, kujua idadi ya mbavu zake hata huitaji msaada wa calculator. Hii picha ilipigwa na "Larry Pannell." Alifanikiwa kupata picha ya Simba aliyekuwa kwenye hitimisho la kuvuta pumzi za mwisho. Katika huu ulimwengu wenye mafungamano na dhambi. "Larry Pannell" anasema: Nilimkuta huyu simba amelala kwenye majani. Akiwa amechoka, miguu ikionekana kumnyima ushirikiano wa kutembea. Sikuwa na lakufanya zaidi ya kusimama mita kadhaa. Macho yakifanya ushuhuda wa kutazama, "King of savannah" akipoteza uhai chini ya kivuli cha mti. Nikiwa nimesimama kimya. Nilishusha chini camera yangu. Tulitazamana na simba, tukafumba macho yetu pamoja. Jinsi mfalme wa nyika alivyokuwa akihangaika kuhema. Pumzi zilionekana kuwa bidhaa hadimu kwenye duka la mapafu yake. Kifua chake kilikuwa kikipanda na kushuka. Ishara ya kuonyesha anavuta pumzi za mwisho, kabla ya kukipa ruhusa kifo kiondoke na roho yake. Ghafla eneo alilolala Simba ukazaliwa ukimya. Mfalme wa pori akawa haemi wala kutikisika. Mauti ikawa imehitimisha simulizi ya ubabe wake mbugani. Hakika maisha ya binadamu na wanyama ni simulizi fupi sana." Haijalishi una nguvu kiasi gani. Kuna nyakati zitafika nguvu zitafanya mgomo wa kuishi mwilini mwako. Zitaupisha udhaifu uchukue nafasi ya kukutawala. Udhaifu nao ukikutawala, utayaita maradhi. Bila hiyari utajikuta umekigeuza kitanda kuwa rafiki." Kuna shule ya bure hapa: Nguvu tulizonazo ni kitu cha kupita. Hata uzuri umpao kiburi mwanamke una ukomo. Licha ya kujidanganya kwa make up na wanja. Lakini hawezi kuzuia muanguko wa mashavu, uzee unapoanza kumuondoa kwenye kundi la warembo. "Chini ya jua kila kitu kina mwanzo na mwisho." Hivyo katika maisha tusisahau kuvipa kipaumbele vitu hivi. Utu, wema, ukarimu, heshima, na unyenyekevu. Tusaidie wenye maradhi, tuwajali wasiojiweza, na viongozi tusitumie madaraka vibaya. Tutende mema tukiamini. Kuna siku pumzi zitamaliza mkataba wa kuishi ndani ya matundu ya pua zetu. Baada ya hapo sisi wote tutalala mauti." Imeandikwa na Green Osward
    Love
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·903 Views
  • Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limekutana kujadili hali ya usalama na kibinadamu Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo huku hali ikizidi kuzorota. Mwakilishi Maalum wa Umoja huo (UN) Nchini DR Congo, Bintou Keita, amesema Waasi wa kundi la M23 wanaodaiwa kuungwa mkono na Nchi ya Rwanda sasa wanadhibiti maeneo makubwa ya Mikoa ya Kivu Kaskazini na Kivu Kusini na kutishia kupanua mashambulizi yao hadi Mkoani Tshopo na Maniema.

    "Hivi karibuni M23 imesimika utawala wake kwa kuteua gavana, makamu gavana na meya huko Bukavu, Kivu Kusini," amesema Keita.

    Ameeleza kuwa mgogoro huo unahusiana na unyonyaji wa madini mashariki mwa DR Congo na kuzua wasiwasi wa kikanda. Pia amegusia hali mbaya ya kibinadamu, akisema kumekuwa na ongezeko la ukiukwaji wa haki za binadamu, ikiwa ni pamoja na mauaji, utekaji nyara na ajira ya kulazimishwa kwa Vijana, wakiwemo Watoto.

    Licha ya makubaliano ya hivi karibuni kati ya Marais wa Rwanda na DR Congo Nchini Qatar , amani bado haijapatikana. Keita ametoa wito wa kuteuliwa kwa mpatanishi wa Umoja wa Afrika ili kuongoza juhudi za kusitisha mapigano.

    Balozi wa DR Congo katika Baraza la Umoja wa kimataifa (UN), Zénon Mukongo Ngay, ameishutumu Rwanda kwa kutotekeleza usitishaji mapigano, huku Waziri wa mambo ya nje wa Rwanda, Olivier Nduhungirehe, akisema Nchi yake itaendelea kuchukua "hatua za ulinzi" mpaka kuwe na mfumo wa kudumu wa usalama.

    Wakati huo huo, imeripotiwa kuwa DR Congo inakabiliwa na janga kubwa zaidi la njaa kuwahi kutokea, ambapo Watu zaidi ya milioni 27.7 wanakabiliwa na uhaba wa chakula kutokana na vita na ukosefu wa utulivu mashariki mwa Nchi hiyo.

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limekutana kujadili hali ya usalama na kibinadamu Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo 🇨🇩 huku hali ikizidi kuzorota. Mwakilishi Maalum wa Umoja huo (UN) Nchini DR Congo, Bintou Keita, amesema Waasi wa kundi la M23 wanaodaiwa kuungwa mkono na Nchi ya Rwanda 🇷🇼 sasa wanadhibiti maeneo makubwa ya Mikoa ya Kivu Kaskazini na Kivu Kusini na kutishia kupanua mashambulizi yao hadi Mkoani Tshopo na Maniema. "Hivi karibuni M23 imesimika utawala wake kwa kuteua gavana, makamu gavana na meya huko Bukavu, Kivu Kusini," amesema Keita. Ameeleza kuwa mgogoro huo unahusiana na unyonyaji wa madini mashariki mwa DR Congo na kuzua wasiwasi wa kikanda. Pia amegusia hali mbaya ya kibinadamu, akisema kumekuwa na ongezeko la ukiukwaji wa haki za binadamu, ikiwa ni pamoja na mauaji, utekaji nyara na ajira ya kulazimishwa kwa Vijana, wakiwemo Watoto. Licha ya makubaliano ya hivi karibuni kati ya Marais wa Rwanda na DR Congo Nchini Qatar 🇶🇦, amani bado haijapatikana. Keita ametoa wito wa kuteuliwa kwa mpatanishi wa Umoja wa Afrika ili kuongoza juhudi za kusitisha mapigano. Balozi wa DR Congo katika Baraza la Umoja wa kimataifa (UN), Zénon Mukongo Ngay, ameishutumu Rwanda kwa kutotekeleza usitishaji mapigano, huku Waziri wa mambo ya nje wa Rwanda, Olivier Nduhungirehe, akisema Nchi yake itaendelea kuchukua "hatua za ulinzi" mpaka kuwe na mfumo wa kudumu wa usalama. Wakati huo huo, imeripotiwa kuwa DR Congo inakabiliwa na janga kubwa zaidi la njaa kuwahi kutokea, ambapo Watu zaidi ya milioni 27.7 wanakabiliwa na uhaba wa chakula kutokana na vita na ukosefu wa utulivu mashariki mwa Nchi hiyo.
    0 Comments ·0 Shares ·595 Views
More Results