• Iran yafanya mazoezi ya kijeshi katika mlango wa Hormuz, njia muhimu ya mafuta Duniani.

    Serikali ya Iran imeendesha mazoezi ya kijeshi katika eneo la kimkakati la Strait of Hormuz, mojawapo ya njia muhimu zaidi za usafirishaji wa mafuta duniani.

    Kwa mujibu wa vyombo vya habari vya ndani, mazoezi hayo yalihusisha vikosi vya majini, makombora ya masafa mbalimbali pamoja na ndege zisizo na rubani (drone). Hatua hiyo imekuja wakati kukiwa na mvutano wa kisiasa na kiusalama katika eneo la Mashariki ya Kati.

    Mlango wa Hormuz unaunganisha Ghuba ya Uajemi na Bahari ya Oman, na ni njia ambayo sehemu kubwa ya mafuta ya dunia hupita kila siku. Inakadiriwa kuwa karibu theluthi moja ya mafuta yanayosafirishwa kwa njia ya bahari hupitia katika mkondo huo mwembamba lakini wenye umuhimu mkubwa kiuchumi.

    Afisa wa kijeshi wa Iran wamesema kuwa lengo la mazoezi hayo ni “kuimarisha uwezo wa kujilinda na kulinda mipaka ya majini ya taifa.” Aidha wameongeza kuwa “usalama wa eneo hili ni jukumu la mataifa ya ukanda huu, na si mataifa ya kigeni.”

    Hatua hiyo imeibua mjadala katika jumuiya ya kimataifa, hasa kwa kuzingatia umuhimu wa njia hiyo kwa uchumi wa dunia. Wataalamu wa masuala ya nishati wanaonya kuwa mvutano wowote katika eneo hilo unaweza kusababisha kupanda kwa bei ya mafuta katika soko la kimataifa.

    Hadi sasa, hakujaripotiwa tukio lolote la moja kwa moja lililoathiri meli za kibiashara, lakini macho ya dunia yanaendelea kuelekezwa katika eneo hilo nyeti.

    Toa maoni yako
    #Habari
    #Iran #Military #Exercise #Oil #Route
    Iran yafanya mazoezi ya kijeshi katika mlango wa Hormuz, njia muhimu ya mafuta Duniani. Serikali ya Iran imeendesha mazoezi ya kijeshi katika eneo la kimkakati la Strait of Hormuz, mojawapo ya njia muhimu zaidi za usafirishaji wa mafuta duniani. Kwa mujibu wa vyombo vya habari vya ndani, mazoezi hayo yalihusisha vikosi vya majini, makombora ya masafa mbalimbali pamoja na ndege zisizo na rubani (drone). Hatua hiyo imekuja wakati kukiwa na mvutano wa kisiasa na kiusalama katika eneo la Mashariki ya Kati. Mlango wa Hormuz unaunganisha Ghuba ya Uajemi na Bahari ya Oman, na ni njia ambayo sehemu kubwa ya mafuta ya dunia hupita kila siku. Inakadiriwa kuwa karibu theluthi moja ya mafuta yanayosafirishwa kwa njia ya bahari hupitia katika mkondo huo mwembamba lakini wenye umuhimu mkubwa kiuchumi. Afisa wa kijeshi wa Iran wamesema kuwa lengo la mazoezi hayo ni “kuimarisha uwezo wa kujilinda na kulinda mipaka ya majini ya taifa.” Aidha wameongeza kuwa “usalama wa eneo hili ni jukumu la mataifa ya ukanda huu, na si mataifa ya kigeni.” Hatua hiyo imeibua mjadala katika jumuiya ya kimataifa, hasa kwa kuzingatia umuhimu wa njia hiyo kwa uchumi wa dunia. Wataalamu wa masuala ya nishati wanaonya kuwa mvutano wowote katika eneo hilo unaweza kusababisha kupanda kwa bei ya mafuta katika soko la kimataifa. Hadi sasa, hakujaripotiwa tukio lolote la moja kwa moja lililoathiri meli za kibiashara, lakini macho ya dunia yanaendelea kuelekezwa katika eneo hilo nyeti. Toa maoni yako #Habari #Iran #Military #Exercise #Oil #Route
    0 Comentários 0 Compartilhamentos 69 Visualizações
  • Umoja wa Afrika wasisitiza “Hakuna kuvumilia kabisa” dhidi ya mapinduzi na mabadiliko yasiyo ya kikatiba.

    Umoja wa Afrika (AU) umetangaza msimamo mkali dhidi ya mabadiliko ya serikali yanayokiuka katiba katika nchi wanachama, ukisisitiza sera ya “Hakuna kuvumilia kabisa” kwa vitendo vinavyovuruga utawala wa kikatiba na utulivu wa bara la Afrika.

    Kauli hiyo imekuja wakati bara la Afrika likikabiliwa na changamoto za mapinduzi ya kijeshi, migogoro ya kisiasa na kuingiliwa kwa masuala ya ndani na nguvu za kigeni. Viongozi wa AU wamesema hatua madhubuti zinahitajika ili kuhakikisha silaha zinanyamaza na misingi ya demokrasia unalindwa.

    Akizungumza kwa niaba ya Umoja huo, Mwenyekiti wa sasa wa AU na Rais wa Burundi, Évariste Ndayishimiye, alisisitiza umuhimu wa kulinda mamlaka ya nchi za Afrika dhidi ya ushawishi wa nje.

    “Hakuna nchi ya Afrika inayopaswa kutawaliwa tena kikoloni, kuvamiwa au kulazimishwa kujisalimisha kwa mamlaka yoyote ya kigeni katika karne ya 21.”

    Kauli hiyo inaonesha msimamo wa wazi wa Umoja wa Afrika kupinga aina yoyote ya kuingiliwa kwa uhuru wa nchi wanachama, iwe kwa njia ya mapinduzi ya ndani au shinikizo la kimataifa.

    Kwa mujibu wa misingi ya AU, mabadiliko yoyote ya serikali yanapaswa kufuata katiba na taratibu za kisheria zilizowekwa. Umoja huo kwa muda mrefu umekuwa ukitoa adhabu kama kusimamisha uanachama kwa nchi zinazoshuhudia mapinduzi ya kijeshi au hatua nyingine zisizo za kikatiba.

    Tamko la “Zero Tolerance” linatafsiriwa kama onyo kwa vikundi vyote vinavyotaka kutumia nguvu kuchukua madaraka, pamoja na ujumbe kwa mataifa ya nje kuheshimu mamlaka ya bara la Afrika.

    Sera hiyo pia inaunganishwa na azma ya muda mrefu ya AU ya “Kuzinyamazisha silaha barani Afrika,” kampeni inayolenga kumaliza migogoro ya kivita na kuimarisha amani na usalama.

    Wachambuzi wa masuala ya siasa wanasema msimamo huo unaashiria jitihada za kuimarisha mshikamano wa bara na kulinda misingi ya uhuru, demokrasia na utawala wa sheria.

    Kwa ujumla, kauli ya Umoja wa Afrika inatoa ujumbe mzito: Bara haliko tayari kuvumilia mapinduzi, uvamizi au aina yoyote ya utawala wa kulazimishwa katika zama za sasa.

    Toa maoni yako
    #Habari
    Umoja wa Afrika wasisitiza “Hakuna kuvumilia kabisa” dhidi ya mapinduzi na mabadiliko yasiyo ya kikatiba. Umoja wa Afrika (AU) umetangaza msimamo mkali dhidi ya mabadiliko ya serikali yanayokiuka katiba katika nchi wanachama, ukisisitiza sera ya “Hakuna kuvumilia kabisa” kwa vitendo vinavyovuruga utawala wa kikatiba na utulivu wa bara la Afrika. Kauli hiyo imekuja wakati bara la Afrika likikabiliwa na changamoto za mapinduzi ya kijeshi, migogoro ya kisiasa na kuingiliwa kwa masuala ya ndani na nguvu za kigeni. Viongozi wa AU wamesema hatua madhubuti zinahitajika ili kuhakikisha silaha zinanyamaza na misingi ya demokrasia unalindwa. Akizungumza kwa niaba ya Umoja huo, Mwenyekiti wa sasa wa AU na Rais wa Burundi, Évariste Ndayishimiye, alisisitiza umuhimu wa kulinda mamlaka ya nchi za Afrika dhidi ya ushawishi wa nje. “Hakuna nchi ya Afrika inayopaswa kutawaliwa tena kikoloni, kuvamiwa au kulazimishwa kujisalimisha kwa mamlaka yoyote ya kigeni katika karne ya 21.” Kauli hiyo inaonesha msimamo wa wazi wa Umoja wa Afrika kupinga aina yoyote ya kuingiliwa kwa uhuru wa nchi wanachama, iwe kwa njia ya mapinduzi ya ndani au shinikizo la kimataifa. Kwa mujibu wa misingi ya AU, mabadiliko yoyote ya serikali yanapaswa kufuata katiba na taratibu za kisheria zilizowekwa. Umoja huo kwa muda mrefu umekuwa ukitoa adhabu kama kusimamisha uanachama kwa nchi zinazoshuhudia mapinduzi ya kijeshi au hatua nyingine zisizo za kikatiba. Tamko la “Zero Tolerance” linatafsiriwa kama onyo kwa vikundi vyote vinavyotaka kutumia nguvu kuchukua madaraka, pamoja na ujumbe kwa mataifa ya nje kuheshimu mamlaka ya bara la Afrika. Sera hiyo pia inaunganishwa na azma ya muda mrefu ya AU ya “Kuzinyamazisha silaha barani Afrika,” kampeni inayolenga kumaliza migogoro ya kivita na kuimarisha amani na usalama. Wachambuzi wa masuala ya siasa wanasema msimamo huo unaashiria jitihada za kuimarisha mshikamano wa bara na kulinda misingi ya uhuru, demokrasia na utawala wa sheria. Kwa ujumla, kauli ya Umoja wa Afrika inatoa ujumbe mzito: Bara haliko tayari kuvumilia mapinduzi, uvamizi au aina yoyote ya utawala wa kulazimishwa katika zama za sasa. Toa maoni yako #Habari
    0 Comentários 0 Compartilhamentos 55 Visualizações
  • "Trump anatakiwa kuelewa kwamba atakapoingia vitani, tutahakikisha tunampa somo ambalo matokeo yake atakayoyapata, hatothubutu tena kujigamba wala kuyatisha mataifa mengine duniani”

    - Jenerali Abdolrahim Mousavi, Mnadhimu Mkuu wa Majeshi ya Iran.

    Toa maoni yako
    #Habari
    "Trump anatakiwa kuelewa kwamba atakapoingia vitani, tutahakikisha tunampa somo ambalo matokeo yake atakayoyapata, hatothubutu tena kujigamba wala kuyatisha mataifa mengine duniani” - Jenerali Abdolrahim Mousavi, Mnadhimu Mkuu wa Majeshi ya Iran. Toa maoni yako #Habari
    0 Comentários 0 Compartilhamentos 54 Visualizações
  • Katibu Mkuu wa UN asema Afrika lazima iwe na uwawakilishi kamili kwenye meza ya Dunia.

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, António Guterres, amesisitiza umuhimu wa bara la Afrika katika maamuzi ya kimataifa, akisisitiza kuwa bara hilo linastahili uwakilishi wa kudumu katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.

    Akihutubia kwenye Mkutano wa Umoja wa Afrika (AU) Mjini Addis Ababa, Guterres alisema: “Afrika lazima iwe mezani.”

    Kauli hiyo inatokana na hali ya dunia iliyogawanyika na migogoro mingi, ambapo Guterres alibainisha kuwa Umoja wa Afrika ni mhimili muhimu wa ushirikiano wa kimataifa. Alisisitiza kuwa ukosefu wa uwakilishi wa kudumu wa Afrika katika Baraza la Usalama hauna msingi wa haki wala mantiki: “Huu ni mwaka 2026, si 1946.”

    Aidha, Katibu Mkuu wa UN alitoa wito wa amani na utulivu katika maeneo yaliyo hatarini barani Afrika, ikiwemo Sudan na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC). Pia alisisitiza umuhimu wa mageuzi ya kifedha ya kimataifa na kuchukua hatua madhubuti za kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi, akisema: “Afrika itaendelea kuwa kipaumbele cha Umoja wa Mataifa.”

    Kauli hizi zinaonesha msukumo wa Umoja wa Mataifa kushirikisha bara la Afrika kikamilifu katika maamuzi makuu ya kimataifa, huku likipatiwa nafasi sawa na mataifa mengine katika masuala ya usalama, uchumi, na mazingira.

    Hii ni sehemu ya jitihada zinazoongeza msukumo wa mabadiliko ya kimfumo, na kutoa ishara kwamba dunia inatambua Afrika kama mchezaji muhimu wa kimataifa.

    Toa maoni yako
    #Habari
    Katibu Mkuu wa UN asema Afrika lazima iwe na uwawakilishi kamili kwenye meza ya Dunia. Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, António Guterres, amesisitiza umuhimu wa bara la Afrika katika maamuzi ya kimataifa, akisisitiza kuwa bara hilo linastahili uwakilishi wa kudumu katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa. Akihutubia kwenye Mkutano wa Umoja wa Afrika (AU) Mjini Addis Ababa, Guterres alisema: “Afrika lazima iwe mezani.” Kauli hiyo inatokana na hali ya dunia iliyogawanyika na migogoro mingi, ambapo Guterres alibainisha kuwa Umoja wa Afrika ni mhimili muhimu wa ushirikiano wa kimataifa. Alisisitiza kuwa ukosefu wa uwakilishi wa kudumu wa Afrika katika Baraza la Usalama hauna msingi wa haki wala mantiki: “Huu ni mwaka 2026, si 1946.” Aidha, Katibu Mkuu wa UN alitoa wito wa amani na utulivu katika maeneo yaliyo hatarini barani Afrika, ikiwemo Sudan na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC). Pia alisisitiza umuhimu wa mageuzi ya kifedha ya kimataifa na kuchukua hatua madhubuti za kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi, akisema: “Afrika itaendelea kuwa kipaumbele cha Umoja wa Mataifa.” Kauli hizi zinaonesha msukumo wa Umoja wa Mataifa kushirikisha bara la Afrika kikamilifu katika maamuzi makuu ya kimataifa, huku likipatiwa nafasi sawa na mataifa mengine katika masuala ya usalama, uchumi, na mazingira. Hii ni sehemu ya jitihada zinazoongeza msukumo wa mabadiliko ya kimfumo, na kutoa ishara kwamba dunia inatambua Afrika kama mchezaji muhimu wa kimataifa. Toa maoni yako #Habari
    0 Comentários 0 Compartilhamentos 25 Visualizações
  • Ayatollah Khamenei amuonya Trump: “Tunasubiri watushambulie”

    Kiongozi Mkuu wa Iran, Ali Khamenei, ametoa onyo kali kwa Rais wa Marekani, Donald Trump, akisema kuwa shambulio lolote litakalofanywa na Marekani dhidi ya Iran litakuwa na madhara makubwa kwa Washington na washirika wake.

    Akizungumza katika hotuba yake ya hivi karibuni, Ayatollah Khamenei alisisitiza kuwa Iran iko tayari kujibu hatua yoyote ya kijeshi itakayochukuliwa dhidi yake.

    “Shambulio lolote la Marekani dhidi ya Iran litakuwa funzo kwa Marekani na washirika wake.” amesema Kiongozi huyo.

    Ayatollah Khamenei aliendelea kueleza kuwa taifa lake halitaogopa vitisho vya nje, bali litasimama imara kulinda mamlaka na heshima yake katika jukwaa la kimataifa.

    “Tunataka tutoe somo kwa ulimwengu. Tunasubiri watushambulie.”

    Kauli hiyo imeongeza joto katika mvutano wa muda mrefu kati ya Tehran na Washington, hasa katika kipindi ambacho kumekuwa na sintofahamu kuhusu masuala ya usalama wa eneo la Mashariki ya Kati, programu ya nyuklia ya Iran, pamoja na ushawishi wa kijeshi wa pande zote mbili katika kanda hiyo.

    Wachambuzi wa siasa za kimataifa wanaona kauli hii kama ujumbe wa wazi wa kuonyesha msimamo mkali wa Iran dhidi ya kile kinachoonekana kuwa shinikizo la Marekani. Hata hivyo, bado haijabainika iwapo matamshi haya yatafuatiwa na hatua za moja kwa moja za kijeshi au yatabaki katika kiwango cha tahadhari za kisiasa.

    Mvutano kati ya Marekani na Iran umekuwa ukipanda na kushuka kwa miaka kadhaa, huku kila upande ukitoa matamshi makali yanayoashiria uwezekano wa mzozo mkubwa zaidi endapo diplomasia haitapewa kipaumbele.

    Toa maoni yako

    #Habari
    Ayatollah Khamenei amuonya Trump: “Tunasubiri watushambulie” Kiongozi Mkuu wa Iran, Ali Khamenei, ametoa onyo kali kwa Rais wa Marekani, Donald Trump, akisema kuwa shambulio lolote litakalofanywa na Marekani dhidi ya Iran litakuwa na madhara makubwa kwa Washington na washirika wake. Akizungumza katika hotuba yake ya hivi karibuni, Ayatollah Khamenei alisisitiza kuwa Iran iko tayari kujibu hatua yoyote ya kijeshi itakayochukuliwa dhidi yake. “Shambulio lolote la Marekani dhidi ya Iran litakuwa funzo kwa Marekani na washirika wake.” amesema Kiongozi huyo. Ayatollah Khamenei aliendelea kueleza kuwa taifa lake halitaogopa vitisho vya nje, bali litasimama imara kulinda mamlaka na heshima yake katika jukwaa la kimataifa. “Tunataka tutoe somo kwa ulimwengu. Tunasubiri watushambulie.” Kauli hiyo imeongeza joto katika mvutano wa muda mrefu kati ya Tehran na Washington, hasa katika kipindi ambacho kumekuwa na sintofahamu kuhusu masuala ya usalama wa eneo la Mashariki ya Kati, programu ya nyuklia ya Iran, pamoja na ushawishi wa kijeshi wa pande zote mbili katika kanda hiyo. Wachambuzi wa siasa za kimataifa wanaona kauli hii kama ujumbe wa wazi wa kuonyesha msimamo mkali wa Iran dhidi ya kile kinachoonekana kuwa shinikizo la Marekani. Hata hivyo, bado haijabainika iwapo matamshi haya yatafuatiwa na hatua za moja kwa moja za kijeshi au yatabaki katika kiwango cha tahadhari za kisiasa. Mvutano kati ya Marekani na Iran umekuwa ukipanda na kushuka kwa miaka kadhaa, huku kila upande ukitoa matamshi makali yanayoashiria uwezekano wa mzozo mkubwa zaidi endapo diplomasia haitapewa kipaumbele. Toa maoni yako #Habari
    0 Comentários 0 Compartilhamentos 31 Visualizações
  • Stay ahead in 2026 by choosing the best virtual Visa and Mastercard cards in India. Compare instant virtual card options built for fast online payments, secure checkouts, and subscription management. Discover which providers offer strong encryption, user-friendly apps, spending limits, and international usability for smarter, safer digital transactions.

    https://www.mymudra.com/blog/virtual-visa-mastercard-cards-india
    Stay ahead in 2026 by choosing the best virtual Visa and Mastercard cards in India. Compare instant virtual card options built for fast online payments, secure checkouts, and subscription management. Discover which providers offer strong encryption, user-friendly apps, spending limits, and international usability for smarter, safer digital transactions. https://www.mymudra.com/blog/virtual-visa-mastercard-cards-india
    WWW.MYMUDRA.COM
    Best Virtual Visa & Mastercard Cards in India (2026)
    Discover the best virtual Visa and Mastercard cards in India for 2026. Compare instant virtual cards for online payments, subscriptions, and security.
    0 Comentários 0 Compartilhamentos 42 Visualizações
  • Need Help with a UK Spouse Visa Application?

    Planning to bring your partner to the UK but confused about the visa process?
    At Asher & Tomar Solicitors, we make your UK Spouse Visa journey smooth, clear, and stress-free — from start to finish.
    Application Guidance
    Document Preparation
    Timelines & Requirements
    Appeals & Refusals Support

    Get connected to our team:
    https://asherandtomar.co.uk/uk-spouse-visa/
    ☎ 02088677737 | 07877257326 | 07404148506
    [email protected]

    #UKSpouseVisa #ImmigrationHelp #VisaSupport #UKLaw #AsherAndTomar
    ❓Need Help with a UK Spouse Visa Application? ✈️ Planning to bring your partner to the UK but confused about the visa process? At Asher & Tomar Solicitors, we make your UK Spouse Visa journey smooth, clear, and stress-free — from start to finish. 💼 Application Guidance 📄 Document Preparation 📅 Timelines & Requirements ✍️ Appeals & Refusals Support Get connected to our team: 🌐 https://asherandtomar.co.uk/uk-spouse-visa/ ☎ 02088677737 | 📱 07877257326 | 📱 07404148506 📧 [email protected] #UKSpouseVisa #ImmigrationHelp #VisaSupport #UKLaw #AsherAndTomar 💍
    0 Comentários 0 Compartilhamentos 40 Visualizações
  • Massamba Intore na Kidum watangaza mpango wa albamu ya pamoja.

    Msanii Mkongwe wa muziki wa jadi nchini Rwanda, Massamba Intore, ametangaza rasmi kuwa yuko katika maandalizi ya kutengeneza albamu ya pamoja na Msanii maarufu wa Afrika Mashariki kutoka Nchini Burundi, Kidum.

    Kwa mujibu wa maelezo yao, mpango huo hautakuwa tu mkusanyiko wa nyimbo, bali ni uthibitisho wa urafiki wao wa muda mrefu na ushirikiano wa kisanii uliokua kwa miaka kadhaa. Wawili hao wanatarajia kuunganisha uzoefu wao mkubwa katika muziki wa maonyesho ya moja kwa moja (Live), ambao umekuwa alama ya mafanikio yao jukwaani.

    Ikumbukwe kwamba Masamba na Kidum alishafanya wimbo wa pamoja uitwao "Wapi ye" zaidi ya 15 iliyopita na ulifanya vizuri kipindi hicho.

    Massamba alitoa taarifa hiyo usiku wa Ijumaa, tarehe 13 Februari 2026, alipohudhuria hafla ya uzinduzi wa albamu “Inganzo Ntahangarwa” ya Msanii Yvan Muziki.

    Akiwa jukwaani pamoja na Kidum, Massamba hakuweza kuficha hisia zake. Alisisitiza kuwa anamshukuru sana Kidum kwa mchango wake mkubwa katika safari yake ya muziki.

    Massamba alisema: “Namshukuru sana Kidum kwa mchango wake katika safari yangu ya muziki. Amenisaidia kupata ujasiri wa kupeleka kazi zangu studio na kuziwasilisha katika viwango vya kimataifa.”

    Kauli hiyo ilishangiliwa na mashabiki waliokuwa ukumbini, wakionesha matumaini makubwa juu ya albamu hiyo inayotarajiwa kuleta ladha ya kipekee kwa Wapenzi wa muziki wa zamani na wa kisasa.

    Kwa kuzingatia historia yao ndefu jukwaani, Wachambuzi wa muziki wanaamini kuwa albamu hiyo itakuwa daraja la kuunganisha mitindo tofauti ya muziki wa jadi wa Rwanda na ladha ya kimataifa inayobebwa na Kidum.

    Mpango huu unatarajiwa kuimarisha zaidi ushirikiano wa Wasanii wa kanda ya Afrika Mashariki, huku ukitoa ujumbe wa mshikamano na urafiki kupitia sanaa.

    Mashabiki sasa wanasubiri kwa hamu kutangazwa kwa tarehe rasmi ya uzinduzi wa albamu hiyo, ambayo tayari imeanza kuvutia mjadala mpana katika mitandao ya kijamii hasa Nchini Rwanda.

    Toa maoni yako
    #Habari
    Massamba Intore na Kidum watangaza mpango wa albamu ya pamoja. Msanii Mkongwe wa muziki wa jadi nchini Rwanda, Massamba Intore, ametangaza rasmi kuwa yuko katika maandalizi ya kutengeneza albamu ya pamoja na Msanii maarufu wa Afrika Mashariki kutoka Nchini Burundi, Kidum. Kwa mujibu wa maelezo yao, mpango huo hautakuwa tu mkusanyiko wa nyimbo, bali ni uthibitisho wa urafiki wao wa muda mrefu na ushirikiano wa kisanii uliokua kwa miaka kadhaa. Wawili hao wanatarajia kuunganisha uzoefu wao mkubwa katika muziki wa maonyesho ya moja kwa moja (Live), ambao umekuwa alama ya mafanikio yao jukwaani. Ikumbukwe kwamba Masamba na Kidum alishafanya wimbo wa pamoja uitwao "Wapi ye" zaidi ya 15 iliyopita na ulifanya vizuri kipindi hicho. Massamba alitoa taarifa hiyo usiku wa Ijumaa, tarehe 13 Februari 2026, alipohudhuria hafla ya uzinduzi wa albamu “Inganzo Ntahangarwa” ya Msanii Yvan Muziki. Akiwa jukwaani pamoja na Kidum, Massamba hakuweza kuficha hisia zake. Alisisitiza kuwa anamshukuru sana Kidum kwa mchango wake mkubwa katika safari yake ya muziki. Massamba alisema: “Namshukuru sana Kidum kwa mchango wake katika safari yangu ya muziki. Amenisaidia kupata ujasiri wa kupeleka kazi zangu studio na kuziwasilisha katika viwango vya kimataifa.” Kauli hiyo ilishangiliwa na mashabiki waliokuwa ukumbini, wakionesha matumaini makubwa juu ya albamu hiyo inayotarajiwa kuleta ladha ya kipekee kwa Wapenzi wa muziki wa zamani na wa kisasa. Kwa kuzingatia historia yao ndefu jukwaani, Wachambuzi wa muziki wanaamini kuwa albamu hiyo itakuwa daraja la kuunganisha mitindo tofauti ya muziki wa jadi wa Rwanda na ladha ya kimataifa inayobebwa na Kidum. Mpango huu unatarajiwa kuimarisha zaidi ushirikiano wa Wasanii wa kanda ya Afrika Mashariki, huku ukitoa ujumbe wa mshikamano na urafiki kupitia sanaa. Mashabiki sasa wanasubiri kwa hamu kutangazwa kwa tarehe rasmi ya uzinduzi wa albamu hiyo, ambayo tayari imeanza kuvutia mjadala mpana katika mitandao ya kijamii hasa Nchini Rwanda. Toa maoni yako #Habari
    0 Comentários 0 Compartilhamentos 90 Visualizações
  • MONUSCO haiwezi kulazimisha amani - Antonio Guterres aeleza msimamo.

    MONUSCO imeendelea kuwa katikati ya juhudi za kimataifa za kurejesha utulivu mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, huku hali ya usalama ikiendelea kuwa tete.

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres, amekiri wazi kuwa ujumbe huo wa kulinda amani hauna uwezo wa kulazimisha amani kwa nguvu.

    Akizungumza katika mahojiano na RFI, Guterres alisema: "MONUSCO haina uwezo wa kulazimisha amani. Haina mamlaka wala uwezo wa kufanya hivyo. Lakini tunachofanya ni kushiriki kikamilifu katika mawasiliano kati ya pande zote mbili, na pia katika mawasiliano na wapatanishi wengine, ili kujaribu kwa hatua kurejesha imani ambayo imevunjika kabisa.”

    Kauli hiyo inakuja wakati kukiwa na mjadala mpana kuhusu nafasi na ufanisi wa MONUSCO katika kukabiliana na makundi yenye silaha mashariki mwa DRC. Wakosoaji wamekuwa wakihoji kwa nini ujumbe huo haujaweza kumaliza kabisa ghasia zinazoendelea kwa miaka mingi.

    Hata hivyo, kwa mujibu wa Guterres, jukumu la MONUSCO si kuanzisha vita dhidi ya pande zinazokinzana, bali ni kusaidia mazingira ya mazungumzo, kupunguza mvutano, na kujenga tena uaminifu kati ya wahusika wa mgogoro.

    Matamshi ya Katibu Mkuu yanaashiria mkakati wa kidiplomasia unaolenga suluhisho la kisiasa badala ya kijeshi. Kurejesha imani kati ya pande husika kunatajwa kuwa hatua ya kwanza muhimu kabla ya kufikia makubaliano ya kudumu ya amani.

    Kwa sasa, MONUSCO inaendelea na mawasiliano na wadau wa ndani na wa kimataifa, huku shinikizo likiongezeka kutoka kwa baadhi ya wananchi wa DRC wanaotaka ujumbe huo uondoke haraka.

    Kauli ya Guterres inaweka wazi mipaka ya uwezo wa operesheni za kulinda amani: zinaweza kusaidia, kushauri na kupatanisha lakini si kulazimisha amani kwa nguvu.

    Toa maoni yako
    #Habari
    MONUSCO haiwezi kulazimisha amani - Antonio Guterres aeleza msimamo. MONUSCO imeendelea kuwa katikati ya juhudi za kimataifa za kurejesha utulivu mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, huku hali ya usalama ikiendelea kuwa tete. Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres, amekiri wazi kuwa ujumbe huo wa kulinda amani hauna uwezo wa kulazimisha amani kwa nguvu. Akizungumza katika mahojiano na RFI, Guterres alisema: "MONUSCO haina uwezo wa kulazimisha amani. Haina mamlaka wala uwezo wa kufanya hivyo. Lakini tunachofanya ni kushiriki kikamilifu katika mawasiliano kati ya pande zote mbili, na pia katika mawasiliano na wapatanishi wengine, ili kujaribu kwa hatua kurejesha imani ambayo imevunjika kabisa.” Kauli hiyo inakuja wakati kukiwa na mjadala mpana kuhusu nafasi na ufanisi wa MONUSCO katika kukabiliana na makundi yenye silaha mashariki mwa DRC. Wakosoaji wamekuwa wakihoji kwa nini ujumbe huo haujaweza kumaliza kabisa ghasia zinazoendelea kwa miaka mingi. Hata hivyo, kwa mujibu wa Guterres, jukumu la MONUSCO si kuanzisha vita dhidi ya pande zinazokinzana, bali ni kusaidia mazingira ya mazungumzo, kupunguza mvutano, na kujenga tena uaminifu kati ya wahusika wa mgogoro. Matamshi ya Katibu Mkuu yanaashiria mkakati wa kidiplomasia unaolenga suluhisho la kisiasa badala ya kijeshi. Kurejesha imani kati ya pande husika kunatajwa kuwa hatua ya kwanza muhimu kabla ya kufikia makubaliano ya kudumu ya amani. Kwa sasa, MONUSCO inaendelea na mawasiliano na wadau wa ndani na wa kimataifa, huku shinikizo likiongezeka kutoka kwa baadhi ya wananchi wa DRC wanaotaka ujumbe huo uondoke haraka. Kauli ya Guterres inaweka wazi mipaka ya uwezo wa operesheni za kulinda amani: zinaweza kusaidia, kushauri na kupatanisha lakini si kulazimisha amani kwa nguvu. Toa maoni yako #Habari
    0 Comentários 0 Compartilhamentos 72 Visualizações
  • Trump aonyesha utayari wa kukutana na Kiongozi wa Mapinduzi ya Iran.

    Mvutano wa kidiplomasia kati ya Marekani na Iran unaendelea kuchukua sura mpya, huku Washington ikionesha ishara za kutaka kufungua ukurasa wa mazungumzo mapya na Tehran.

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, Marco Rubio, amesema kuwa Rais wa Marekani, Donald Trump, yuko tayari kukutana na Kiongozi wa Mapinduzi ya Iran iwapo upande wa Iran utaonesha nia ya kufanya hivyo.

    Akizungumza kuhusu msimamo wa Marekani, Rubio alisema: “Trump ameonesha utayari wake kukutana na Kiongozi wa Mapinduzi ya Iran ikiwa atapenda kufanya hivyo.”

    Kauli hiyo inaonekana kufungua uwezekano wa mazungumzo ya moja kwa moja kati ya pande hizo mbili ambazo kwa muda mrefu zimekuwa katika mvutano wa kisiasa, kiusalama na kiuchumi.

    Kwa mujibu wa Rubio, Marekani inaendelea kufanya kazi kwa lengo la kufikia makubaliano mapya na Iran, hasa katika masuala yanayohusu usalama wa kikanda na mpango wa nyuklia wa Tehran.

    Rubio aliongeza kuwa: "Tunafanya kazi kufikia makubaliano na Iran, na mikutano ijayo itaonesha kama maendeleo yanaweza kupatikana.”

    Kauli hiyo inaashiria kuwa mazungumzo ya ngazi za juu yanatarajiwa kufanyika katika siku zijazo, huku macho ya jumuiya ya kimataifa yakielekezwa kwenye iwapo juhudi hizo zitazaa matunda au la.

    Uhusiano kati ya Washington na Tehran yamekuwa ya misukosuko kwa miaka kadhaa, hasa baada ya Marekani kujiondoa katika makubaliano ya nyuklia ya mwaka 2015 na kurejesha vikwazo vya kiuchumi dhidi ya Iran.

    Hatua yoyote ya mazungumzo ya moja kwa moja kati ya Viongozi wa juu inaweza kuwa hatua muhimu katika kupunguza mvutano uliodumu kwa muda mrefu.

    Kwa sasa, dunia inasubiri kuona iwapo utayari huo wa kukutana utageuka kuwa mkutano rasmi na kama makubaliano mapya yanaweza kufikiwa kati ya mataifa hayo mawili yenye ushawishi mkubwa katika siasa za kimataifa.

    Toa maoni yako
    #Habari
    Trump aonyesha utayari wa kukutana na Kiongozi wa Mapinduzi ya Iran. Mvutano wa kidiplomasia kati ya Marekani na Iran unaendelea kuchukua sura mpya, huku Washington ikionesha ishara za kutaka kufungua ukurasa wa mazungumzo mapya na Tehran. Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, Marco Rubio, amesema kuwa Rais wa Marekani, Donald Trump, yuko tayari kukutana na Kiongozi wa Mapinduzi ya Iran iwapo upande wa Iran utaonesha nia ya kufanya hivyo. Akizungumza kuhusu msimamo wa Marekani, Rubio alisema: “Trump ameonesha utayari wake kukutana na Kiongozi wa Mapinduzi ya Iran ikiwa atapenda kufanya hivyo.” Kauli hiyo inaonekana kufungua uwezekano wa mazungumzo ya moja kwa moja kati ya pande hizo mbili ambazo kwa muda mrefu zimekuwa katika mvutano wa kisiasa, kiusalama na kiuchumi. Kwa mujibu wa Rubio, Marekani inaendelea kufanya kazi kwa lengo la kufikia makubaliano mapya na Iran, hasa katika masuala yanayohusu usalama wa kikanda na mpango wa nyuklia wa Tehran. Rubio aliongeza kuwa: "Tunafanya kazi kufikia makubaliano na Iran, na mikutano ijayo itaonesha kama maendeleo yanaweza kupatikana.” Kauli hiyo inaashiria kuwa mazungumzo ya ngazi za juu yanatarajiwa kufanyika katika siku zijazo, huku macho ya jumuiya ya kimataifa yakielekezwa kwenye iwapo juhudi hizo zitazaa matunda au la. Uhusiano kati ya Washington na Tehran yamekuwa ya misukosuko kwa miaka kadhaa, hasa baada ya Marekani kujiondoa katika makubaliano ya nyuklia ya mwaka 2015 na kurejesha vikwazo vya kiuchumi dhidi ya Iran. Hatua yoyote ya mazungumzo ya moja kwa moja kati ya Viongozi wa juu inaweza kuwa hatua muhimu katika kupunguza mvutano uliodumu kwa muda mrefu. Kwa sasa, dunia inasubiri kuona iwapo utayari huo wa kukutana utageuka kuwa mkutano rasmi na kama makubaliano mapya yanaweza kufikiwa kati ya mataifa hayo mawili yenye ushawishi mkubwa katika siasa za kimataifa. Toa maoni yako #Habari
    0 Comentários 0 Compartilhamentos 91 Visualizações
  • Buy Verified Cash App Account
    Email: [email protected]
    Telegram: @smmproit
    Whatsapp:+1(812)528-8960

    In today’s digital world, cash app accounts are more than just payment tools. They are powerful systems for handling financial transactions, managing money, and running online businesses. If you are in the gaming world or working as a game host, owning a verified cash app account can change everything.

    But why are so many people searching for terms like “buy verified cash app accounts” or “buy cash app verified account”? Let’s break it down in simple words.

    Why Should You Buy Verified Cash App Accounts for Your Gaming Business?

    Running a gaming business requires fast payments, smooth transactions, and strong trust. Imagine hosting a tournament and your payments fail. That’s a nightmare, right?

    Faster Financial Transactions

    A verified account allows you to send and receive money without delays. No interruptions. No limits blocking you in the middle of a live stream or game event.

    Higher Transaction Limits

    Unverified accounts have limits. But verified cash app accounts offer higher transaction limits. That means more money flow, more players, and more growth over time.

    The Positive Side of Buy Verified Cash App Accounts

    Buying ready-made cash app accounts saves time. Instead of waiting days for approval, you get instant access.

    Instant Access and Trust

    When you buy a verified cash app account, it already has completed verification using a government-issued id and working phone number. That builds trust fast.

    Reduced Restrictions

    No more worrying about limits or account upload errors. You enjoy smoother services and fewer blocks.

    How to Unlock Cash App Borrow?

    Many users ask this question. Borrow is a feature inside Cash App that allows eligible users to borrow money.

    Step-by-Step Guide

    Use a verified cash app account.

    Keep consistent transactions.

    Maintain balance in your bank account linked to Cash App.

    Use the app regularly over time.

    The feature appears once your account meets eligibility.

    Benefits of Owning Buy Verified Cash App Accounts for Gaming Business
    Secure Payments

    Gaming businesses need secure money handling. A verified account reduces fraud risk and builds trust between you and your players.

    Multiple Profiles for Game Host

    Some gaming entrepreneurs manage multiple profiles. With proper setup, you can manage different tournaments, creators upload, tagging publish updates, and even live stream prize announcements.

    How to Buy Verified Cash App Accounts from smmproit

    Buying from “smmproit” is simple.

    Step-by-Step Buying Process

    Contact via telegram.

    Ask about available verified cash app accounts.

    Choose your account type (BTC enabled or standard).

    Complete payment.

    Receive login details with 24 hours reply contact support.

    They provide guidance for account upload, free login help, and assistance when needed.

    Why Do People Trust smmproit

    Trust is everything in online services. smmproit provides:

    Fast response

    Secure delivery

    Quality verified account

    Support after purchase

    Customers appreciate their uninterrupted services and premium services support.

    When Buy Verified Cash App Accounts?

    The best time is when:

    Your gaming income grows

    You need higher transaction limits

    You want BTC enabled features

    You want to upgrade upgrade upgrade pro

    Waiting too long may slow your business growth.

    Benefits of a Verified Cash App Account

    A verified cash app account offers:

    Higher transaction limits

    Bitcoin access

    Better security

    Smooth financial transactions

    Strong trust

    Think of it like upgrading from a bicycle to a sports car. Same road, but much faster.

    How to Buy a Verified Cash App Account

    Here’s how:

    Choose a trusted provider.

    Confirm the account includes verified identity.

    Ensure login details are safe.

    Change credentials after purchase.

    Avoid unverified accounts because they may cause problems later.

    Buy BTC Enabled Cash App Account

    Bitcoin features are powerful. A BTC enabled account allows buying, selling, and storing crypto inside Cash App.

    Is it worth it? If your gaming business accepts crypto payments, absolutely yes.

    What is the Limit of a Verified Cash App?

    A verified account has much higher limits than unverified accounts.

    Higher sending limits

    Higher receiving limits

    Access to more features

    Limits depend on account activity and verification level.

    How Does Cash App Work?

    Cash App works by linking your bank account or debit card. You send money using a phone number or $Cashtag.

    It processes transactions instantly. It’s simple, fast, and designed for everyday money management.
    Email: [email protected]
    Telegram: @smmproit
    Whatsapp:+1(812)528-8960

    Why Do You Buy Verified Cash App Accounts?

    People buy because:

    They want fast setup

    They need high limits

    They want Bitcoin enabled features

    They want uninterrupted services

    It saves time. And time is money.

    Is it Safe to Enable Bitcoin on the Cash Application?

    Yes, when done properly. Always:

    Use a secure password

    Enable two-factor authentication

    Avoid sharing login details

    Safety depends on your usage habits.

    Can I Have 2 Verified Cash App Accounts?

    Cash App allows multiple accounts under certain conditions. Each must have a separate email and phone number. Always follow platform rules to avoid issues.

    How to Verify Cash App on Android

    Steps:

    Open Cash App.

    Go to profile.

    Enter legal name.

    Provide last 4 digits of SSN (if required).

    Submit government-issued id if asked.

    Verification usually takes short time.

    How to Create a Verified Cash App Account

    You can:

    Download the app

    Register with phone number

    Link bank account

    Complete identity verification

    Or you can buy ready-made verified cash app accounts to save time.

    Where’s The Best Place To Buy A Verified Cash App Account?

    Many users search Reddit with keywords like “buy verified cash app account reddit.” But random sellers are risky.

    The best place? Trusted providers like smmproit and Reviews Fund business platforms. They offer reliable services, fast delivery, and proper account access support.

    smmproit stands out because:

    Professional handling

    Secure delivery

    Good customer trust

    Premium services support

    They help gaming creators upload smoothly, manage profile posts, and handle unlimited uploads share infinite prize updates without interruption.

    If you want reliability, smmproit is a strong option.

    Conclusion

    Buying a verified cash app account can be a smart move for gaming businesses and online entrepreneurs. It gives you higher transaction limits, Bitcoin access, faster financial transactions, and stronger trust.

    But always choose the right provider. A trusted service like smmproit can make the process smooth and secure.

    In online business, speed matters. Trust matters. And verified access matters most.

    FAQs
    1. Is buying verified cash app accounts legal?

    It depends on usage and local laws. Always ensure compliance with platform rules.

    2. What is the difference between verified and unverified accounts?

    Verified accounts have higher transaction limits and more features.

    3. Can I upgrade my unverified account instead of buying?

    Yes, by submitting required documents like government-issued id.

    4. How long does verification take?

    Usually within 24–48 hours depending on review process.

    5. Is BTC enabled account better for gaming business?

    Yes, especially if you accept crypto payments and want flexible money options.
    Email: [email protected]
    Telegram: @smmproit
    Whatsapp:+1(812)528-8960
    Buy Verified Cash App Account Email: [email protected] Telegram: @smmproit Whatsapp:+1(812)528-8960 In today’s digital world, cash app accounts are more than just payment tools. They are powerful systems for handling financial transactions, managing money, and running online businesses. If you are in the gaming world or working as a game host, owning a verified cash app account can change everything. But why are so many people searching for terms like “buy verified cash app accounts” or “buy cash app verified account”? Let’s break it down in simple words. Why Should You Buy Verified Cash App Accounts for Your Gaming Business? Running a gaming business requires fast payments, smooth transactions, and strong trust. Imagine hosting a tournament and your payments fail. That’s a nightmare, right? Faster Financial Transactions A verified account allows you to send and receive money without delays. No interruptions. No limits blocking you in the middle of a live stream or game event. Higher Transaction Limits Unverified accounts have limits. But verified cash app accounts offer higher transaction limits. That means more money flow, more players, and more growth over time. The Positive Side of Buy Verified Cash App Accounts Buying ready-made cash app accounts saves time. Instead of waiting days for approval, you get instant access. Instant Access and Trust When you buy a verified cash app account, it already has completed verification using a government-issued id and working phone number. That builds trust fast. Reduced Restrictions No more worrying about limits or account upload errors. You enjoy smoother services and fewer blocks. How to Unlock Cash App Borrow? Many users ask this question. Borrow is a feature inside Cash App that allows eligible users to borrow money. Step-by-Step Guide Use a verified cash app account. Keep consistent transactions. Maintain balance in your bank account linked to Cash App. Use the app regularly over time. The feature appears once your account meets eligibility. Benefits of Owning Buy Verified Cash App Accounts for Gaming Business Secure Payments Gaming businesses need secure money handling. A verified account reduces fraud risk and builds trust between you and your players. Multiple Profiles for Game Host Some gaming entrepreneurs manage multiple profiles. With proper setup, you can manage different tournaments, creators upload, tagging publish updates, and even live stream prize announcements. How to Buy Verified Cash App Accounts from smmproit Buying from “smmproit” is simple. Step-by-Step Buying Process Contact via telegram. Ask about available verified cash app accounts. Choose your account type (BTC enabled or standard). Complete payment. Receive login details with 24 hours reply contact support. They provide guidance for account upload, free login help, and assistance when needed. Why Do People Trust smmproit Trust is everything in online services. smmproit provides: Fast response Secure delivery Quality verified account Support after purchase Customers appreciate their uninterrupted services and premium services support. When Buy Verified Cash App Accounts? The best time is when: Your gaming income grows You need higher transaction limits You want BTC enabled features You want to upgrade upgrade upgrade pro Waiting too long may slow your business growth. Benefits of a Verified Cash App Account A verified cash app account offers: Higher transaction limits Bitcoin access Better security Smooth financial transactions Strong trust Think of it like upgrading from a bicycle to a sports car. Same road, but much faster. How to Buy a Verified Cash App Account Here’s how: Choose a trusted provider. Confirm the account includes verified identity. Ensure login details are safe. Change credentials after purchase. Avoid unverified accounts because they may cause problems later. Buy BTC Enabled Cash App Account Bitcoin features are powerful. A BTC enabled account allows buying, selling, and storing crypto inside Cash App. Is it worth it? If your gaming business accepts crypto payments, absolutely yes. What is the Limit of a Verified Cash App? A verified account has much higher limits than unverified accounts. Higher sending limits Higher receiving limits Access to more features Limits depend on account activity and verification level. How Does Cash App Work? Cash App works by linking your bank account or debit card. You send money using a phone number or $Cashtag. It processes transactions instantly. It’s simple, fast, and designed for everyday money management. Email: [email protected] Telegram: @smmproit Whatsapp:+1(812)528-8960 Why Do You Buy Verified Cash App Accounts? People buy because: They want fast setup They need high limits They want Bitcoin enabled features They want uninterrupted services It saves time. And time is money. Is it Safe to Enable Bitcoin on the Cash Application? Yes, when done properly. Always: Use a secure password Enable two-factor authentication Avoid sharing login details Safety depends on your usage habits. Can I Have 2 Verified Cash App Accounts? Cash App allows multiple accounts under certain conditions. Each must have a separate email and phone number. Always follow platform rules to avoid issues. How to Verify Cash App on Android Steps: Open Cash App. Go to profile. Enter legal name. Provide last 4 digits of SSN (if required). Submit government-issued id if asked. Verification usually takes short time. How to Create a Verified Cash App Account You can: Download the app Register with phone number Link bank account Complete identity verification Or you can buy ready-made verified cash app accounts to save time. Where’s The Best Place To Buy A Verified Cash App Account? Many users search Reddit with keywords like “buy verified cash app account reddit.” But random sellers are risky. The best place? Trusted providers like smmproit and Reviews Fund business platforms. They offer reliable services, fast delivery, and proper account access support. smmproit stands out because: Professional handling Secure delivery Good customer trust Premium services support They help gaming creators upload smoothly, manage profile posts, and handle unlimited uploads share infinite prize updates without interruption. If you want reliability, smmproit is a strong option. Conclusion Buying a verified cash app account can be a smart move for gaming businesses and online entrepreneurs. It gives you higher transaction limits, Bitcoin access, faster financial transactions, and stronger trust. But always choose the right provider. A trusted service like smmproit can make the process smooth and secure. In online business, speed matters. Trust matters. And verified access matters most. FAQs 1. Is buying verified cash app accounts legal? It depends on usage and local laws. Always ensure compliance with platform rules. 2. What is the difference between verified and unverified accounts? Verified accounts have higher transaction limits and more features. 3. Can I upgrade my unverified account instead of buying? Yes, by submitting required documents like government-issued id. 4. How long does verification take? Usually within 24–48 hours depending on review process. 5. Is BTC enabled account better for gaming business? Yes, especially if you accept crypto payments and want flexible money options. Email: [email protected] Telegram: @smmproit Whatsapp:+1(812)528-8960
    0 Comentários 0 Compartilhamentos 216 Visualizações
  • ✍🏼 Simba kuanzia dakika ya kwanza walionesha wanaitaka game wakitawala kila eneo la uwanja , wanafanya pressing vizuri , mpira unatembea kwa haraka kwenye nafasi , movements za wachezaji kwenye eneo la mbele .

    1: Wakati wanaanza build up yao wanakuwa na muundo wa 2-4 ( CBs wawili nyuma then Kibabage na Duchu wanakuwa mstari mmoja na viungo wao wawili wa kati dhumuni ni kuongeza machaguo ya pasi na kutengeneza idadi nzuri ya wachezaji kwenye phase ya pili ambayo ni kiungo ) walifanikiwa .

    2: Oura na Mpanzu wanakuwa wanashambulia nafasi baina ya FBs na CBs wa Stade ndio maana ilikuwa rahisi kwa Kante na Kagoma kuona pasi za mbele hasa kupitia kwenye kiungo .

    3: Baada ya hapo ni Simba watafunga magoli mangapi ? Kwasababu nafasi zilianza kufunguka eneo la mbele , rahisi kuifikia defense ya Malien na kuna nyakati wakifika kwenye zone 14 wanapata nafasi na machaguo mengi , nafikiri hawakuwa na ufanisi + Utulivu kwenye actions zao za mwisho .

    ✍🏼 Stade Malien licha ya kuzuia wakiwa na idadi kubwa ya wachezaji eneo la chini lakini bado Simba walikuwa wanapata nafasi nyuma ya viungo wao wa ulinzi ( rahisi mpinzani kumuadhibu ) .

    ✍🏼 Kipindi cha pili , Simba walipunguza kasi yao ya uchezaji tofauti na kipindi cha kwanza .

    1: Wapo slow kwenye maamuzi yao wakiwa na mpira .

    2: Hakuna runner eneo la mbele ( wachezaji wao wa mbele wanahitaji mpira mguuni na sio kwenye nafasi )

    3: Hakuna pasi za mbele kulazimisha kuifungua defense ya Malien .

    4: Nafikiri wanatakiwa kuboresha kwenye performance yao ya kipindi cha pili , Energy yao inashuka sana .

    NOTE :

    1: Anicet Oura anafanya kila kitu kwa usahihi ( akiwa na mpira na bila mpira )

    2: Kante ubora wake wa kupasi mpira kwa usahihi na kwenye maeneo sahihi

    3: Kassali kafanya saves nyingi nzuri za kuwafanya Simba kubaki mchezoni .

    4: Mwalimu anatakiwa kuboresha Finishing yake , kila kitu anafanya kwa usahihi .

    5: De Reuck kwenye kushinda mipambano yake 👍🏽 : Duchu , Kibabage , Chama & Kagoma

    FT : Simba Sc 1-0 Stade Malien

    - Kelvin Rabson, Mchambuzi.

    Toa maoni yako
    #Sports
    #Habari
    ✍🏼 Simba kuanzia dakika ya kwanza walionesha wanaitaka game wakitawala kila eneo la uwanja , wanafanya pressing vizuri , mpira unatembea kwa haraka kwenye nafasi , movements za wachezaji kwenye eneo la mbele . 1: Wakati wanaanza build up yao wanakuwa na muundo wa 2-4 ( CBs wawili nyuma then Kibabage na Duchu wanakuwa mstari mmoja na viungo wao wawili wa kati dhumuni ni kuongeza machaguo ya pasi na kutengeneza idadi nzuri ya wachezaji kwenye phase ya pili ambayo ni kiungo ) walifanikiwa . 2: Oura na Mpanzu wanakuwa wanashambulia nafasi baina ya FBs na CBs wa Stade ndio maana ilikuwa rahisi kwa Kante na Kagoma kuona pasi za mbele hasa kupitia kwenye kiungo . 3: Baada ya hapo ni Simba watafunga magoli mangapi ? Kwasababu nafasi zilianza kufunguka eneo la mbele , rahisi kuifikia defense ya Malien na kuna nyakati wakifika kwenye zone 14 wanapata nafasi na machaguo mengi , nafikiri hawakuwa na ufanisi + Utulivu kwenye actions zao za mwisho . ✍🏼 Stade Malien licha ya kuzuia wakiwa na idadi kubwa ya wachezaji eneo la chini lakini bado Simba walikuwa wanapata nafasi nyuma ya viungo wao wa ulinzi ( rahisi mpinzani kumuadhibu ) . ✍🏼 Kipindi cha pili , Simba walipunguza kasi yao ya uchezaji tofauti na kipindi cha kwanza . 1: Wapo slow kwenye maamuzi yao wakiwa na mpira . 2: Hakuna runner eneo la mbele ( wachezaji wao wa mbele wanahitaji mpira mguuni na sio kwenye nafasi ) 3: Hakuna pasi za mbele kulazimisha kuifungua defense ya Malien . 4: Nafikiri wanatakiwa kuboresha kwenye performance yao ya kipindi cha pili , Energy yao inashuka sana . NOTE : 1: Anicet Oura anafanya kila kitu kwa usahihi ( akiwa na mpira na bila mpira ) 2: Kante ubora wake wa kupasi mpira kwa usahihi na kwenye maeneo sahihi 🔥 3: Kassali kafanya saves nyingi nzuri za kuwafanya Simba kubaki mchezoni . 4: Mwalimu anatakiwa kuboresha Finishing yake , kila kitu anafanya kwa usahihi . 5: De Reuck kwenye kushinda mipambano yake 👍🏽 : Duchu , Kibabage , Chama & Kagoma ✅ FT : Simba Sc 1-0 Stade Malien - Kelvin Rabson, Mchambuzi. Toa maoni yako #Sports #Habari
    0 Comentários 0 Compartilhamentos 145 Visualizações
  • Mwigizaji wa Nollywood Maurice Sam, mtandaoni yachafukwa baada ya shambulio la risasi.

    Mwigizaji wa filamu za Nollywood, Nigeria, Maurice Sam, amesambaa kwenye vichwa vya habari mtandaoni baada ya taarifa zinazodai kuwa alishambuliwa kwa risasi jana Februari 13, 2026 akiwa kwenye seti ya filamu yake mpya. Tukio hili lilianza kuchipuka mtandaoni baada ya Mwanaharakati maarufu wa mitandao, Very Dark Man, kuposti picha na madai ya kwamba Mwigizaji huyo alikuwa amejeruhiwa vibaya na alikuwa akifikiria kuondoka Nigeria ili kulinda usalama wake.

    Ripoti kutoka tovuti ya Latest Nigerian News inaeleza kuwa baadhi ya picha zilizosambazwa mtandaoni zinaonyesha Gari lililoharibiwa na alama za risasi, jambo lililoashiria hatari kubwa aliyokabiliana nayo Mwigizaji huyo. Mada hii iliibua mjadala mkali miongoni mwa mashabiki, wadau wa filamu, na Watumiaji wa mitandao ya kijamii, huku wengi wakihoji ni nini hasa kilichosababisha tukio hili na kuzingatia juhudi za Maurice Sam kujijenga kibiashara na kupata nafasi kubwa ndani ya tasnia ya Nollywood.

    Mchambuzi mmoja wa tasnia ya filamu alisema: “Ni jambo linalotia wasiwasi kuona msanii chipukizi akikabiliwa na tukio la aina hii. Inaleta mjadala juu ya usalama wa wasanii na hali ya kazi kwenye tasnia ya filamu nchini Nigeria.”

    Hata hivyo, ripoti hizo pia zinaonyesha wazi kuwa hakuna uthibitisho rasmi kutoka kwa Mwigizaji, Polisi, au vyombo vya habari vikuu. Taarifa hizi zinazozagaa zinatokana zaidi na mitandao ya kijamii, na bado hazina uthibitisho wa moja kwa moja wa jeraha lolote lililopatikana.

    Kwa sasa, Maurice Sam yupo salama, ingawa duru zinaeleza kuwa tukio hili limemuathiri kisaikolojia kiasi cha kuanza kufikiria kuachana na uigizaji na kuwekeza katika shughuli nyingine za kibiashara. Tukio hili limeibua mjadala wa kimataifa kuhusu hatari zinazoweza kutokea kwa Wasanii chipukizi, huku wadau wa tasnia wakihimiza tahadhari na uangalizi zaidi kwenye seti za filamu.

    Toa maoni yako
    #Filamu
    #Habari
    Mwigizaji wa Nollywood Maurice Sam, mtandaoni yachafukwa baada ya shambulio la risasi. Mwigizaji wa filamu za Nollywood, Nigeria, Maurice Sam, amesambaa kwenye vichwa vya habari mtandaoni baada ya taarifa zinazodai kuwa alishambuliwa kwa risasi jana Februari 13, 2026 akiwa kwenye seti ya filamu yake mpya. Tukio hili lilianza kuchipuka mtandaoni baada ya Mwanaharakati maarufu wa mitandao, Very Dark Man, kuposti picha na madai ya kwamba Mwigizaji huyo alikuwa amejeruhiwa vibaya na alikuwa akifikiria kuondoka Nigeria ili kulinda usalama wake. Ripoti kutoka tovuti ya Latest Nigerian News inaeleza kuwa baadhi ya picha zilizosambazwa mtandaoni zinaonyesha Gari lililoharibiwa na alama za risasi, jambo lililoashiria hatari kubwa aliyokabiliana nayo Mwigizaji huyo. Mada hii iliibua mjadala mkali miongoni mwa mashabiki, wadau wa filamu, na Watumiaji wa mitandao ya kijamii, huku wengi wakihoji ni nini hasa kilichosababisha tukio hili na kuzingatia juhudi za Maurice Sam kujijenga kibiashara na kupata nafasi kubwa ndani ya tasnia ya Nollywood. Mchambuzi mmoja wa tasnia ya filamu alisema: “Ni jambo linalotia wasiwasi kuona msanii chipukizi akikabiliwa na tukio la aina hii. Inaleta mjadala juu ya usalama wa wasanii na hali ya kazi kwenye tasnia ya filamu nchini Nigeria.” Hata hivyo, ripoti hizo pia zinaonyesha wazi kuwa hakuna uthibitisho rasmi kutoka kwa Mwigizaji, Polisi, au vyombo vya habari vikuu. Taarifa hizi zinazozagaa zinatokana zaidi na mitandao ya kijamii, na bado hazina uthibitisho wa moja kwa moja wa jeraha lolote lililopatikana. Kwa sasa, Maurice Sam yupo salama, ingawa duru zinaeleza kuwa tukio hili limemuathiri kisaikolojia kiasi cha kuanza kufikiria kuachana na uigizaji na kuwekeza katika shughuli nyingine za kibiashara. Tukio hili limeibua mjadala wa kimataifa kuhusu hatari zinazoweza kutokea kwa Wasanii chipukizi, huku wadau wa tasnia wakihimiza tahadhari na uangalizi zaidi kwenye seti za filamu. Toa maoni yako #Filamu #Habari
    0 Comentários 0 Compartilhamentos 147 Visualizações
  • Trump: “Mabadiliko ya utawala Iran yangekuwa jambo bora zaidi”.

    Donald Trump, Rais wa Marekani, amesema kuwa mabadiliko ya utawala nchini Iran yanaweza kuwa suluhisho bora kufuatia kile alichokitaja kuwa ni miongo kadhaa ya mazungumzo yasiyozaa matunda kati ya pande hizo mbili.

    Kauli hiyo inakuja wakati mvutano wa kidiplomasia kati ya Marekani na Iran ukiendelea kuongezeka, hasa kuhusu suala la makubaliano ya nyuklia na usalama wa kikanda.

    Akizungumza na Waandishi wa habari, Trump alisema: “Mabadiliko ya utawala nchini Iran yangekuwa jambo bora zaidi ambalo lingeweza kutokea. Kwa miaka 47, wamekuwa wakizungumza na kuzungumza. Wakati huo huo, tumepoteza maisha mengi huku wakizungumza. Miguu imepasuka, mikono imepasuka, nyuso zimepasuka. Tumekuwa tukiendelea kwa muda mrefu kwa hivyo hebu tuone kitakachotokea.”

    Kauli hiyo inaashiria msimamo mkali wa Washington kuhusu mwenendo wa mazungumzo na Tehran, huku Trump akionyesha kutoridhishwa na kile alichokiita historia ya ahadi zisizotekelezwa.

    Aliendelea kusisitiza kuwa Marekani iko tayari kwa suluhisho la kidiplomasia, lakini kwa masharti maalum: “Kama wakitupa makubaliano sahihi, hatutafanya hivyo lakini, unajua, kihistoria, hawajafanya hivyo. Nitasema wanataka kuzungumza lakini hadi sasa, wanazungumza sana na hakuna hatua.”

    Trump aliongeza kuwa suluhu ya kudumu ingekuwa mafanikio makubwa kwa pande zote: “Kama tungeweza kusuluhisha mambo mara moja na kwa wote, hilo lingekuwa jambo zuri.”

    Alipoulizwa ni nani angependa aongoze Iran iwapo mabadiliko ya utawala yangetokea, Trump alijibu kwa tahadhari: “Sitaki kuzungumzia hilo, kuna watu.”

    Kauli hizi zimezua mjadala mpana kimataifa, huku Wachambuzi wakitathmini iwapo msimamo huo utaongeza shinikizo la kisiasa dhidi ya Iran au kufungua mlango mpya wa mazungumzo ya moja kwa moja.

    Kwa sasa, macho ya dunia yanaelekezwa katika hatua zitakazochukuliwa na pande zote mbili, huku mustakabali wa uhusiano wa Marekani na Iran ukiwa katika mizani nyeti ya kidiplomasia.

    Toa maoni yako
    #Habari
    Trump: “Mabadiliko ya utawala Iran yangekuwa jambo bora zaidi”. Donald Trump, Rais wa Marekani, amesema kuwa mabadiliko ya utawala nchini Iran yanaweza kuwa suluhisho bora kufuatia kile alichokitaja kuwa ni miongo kadhaa ya mazungumzo yasiyozaa matunda kati ya pande hizo mbili. Kauli hiyo inakuja wakati mvutano wa kidiplomasia kati ya Marekani na Iran ukiendelea kuongezeka, hasa kuhusu suala la makubaliano ya nyuklia na usalama wa kikanda. Akizungumza na Waandishi wa habari, Trump alisema: “Mabadiliko ya utawala nchini Iran yangekuwa jambo bora zaidi ambalo lingeweza kutokea. Kwa miaka 47, wamekuwa wakizungumza na kuzungumza. Wakati huo huo, tumepoteza maisha mengi huku wakizungumza. Miguu imepasuka, mikono imepasuka, nyuso zimepasuka. Tumekuwa tukiendelea kwa muda mrefu kwa hivyo hebu tuone kitakachotokea.” Kauli hiyo inaashiria msimamo mkali wa Washington kuhusu mwenendo wa mazungumzo na Tehran, huku Trump akionyesha kutoridhishwa na kile alichokiita historia ya ahadi zisizotekelezwa. Aliendelea kusisitiza kuwa Marekani iko tayari kwa suluhisho la kidiplomasia, lakini kwa masharti maalum: “Kama wakitupa makubaliano sahihi, hatutafanya hivyo lakini, unajua, kihistoria, hawajafanya hivyo. Nitasema wanataka kuzungumza lakini hadi sasa, wanazungumza sana na hakuna hatua.” Trump aliongeza kuwa suluhu ya kudumu ingekuwa mafanikio makubwa kwa pande zote: “Kama tungeweza kusuluhisha mambo mara moja na kwa wote, hilo lingekuwa jambo zuri.” Alipoulizwa ni nani angependa aongoze Iran iwapo mabadiliko ya utawala yangetokea, Trump alijibu kwa tahadhari: “Sitaki kuzungumzia hilo, kuna watu.” Kauli hizi zimezua mjadala mpana kimataifa, huku Wachambuzi wakitathmini iwapo msimamo huo utaongeza shinikizo la kisiasa dhidi ya Iran au kufungua mlango mpya wa mazungumzo ya moja kwa moja. Kwa sasa, macho ya dunia yanaelekezwa katika hatua zitakazochukuliwa na pande zote mbili, huku mustakabali wa uhusiano wa Marekani na Iran ukiwa katika mizani nyeti ya kidiplomasia. Toa maoni yako #Habari
    0 Comentários 0 Compartilhamentos 74 Visualizações
  • AFC/M23 yasisitiza utekelezaji wa makubaliano ya Doha, yaituhumu Kinshasa kwa “Mbinu za mawasiliano”.

    Muungano wa Waasi wa AFC/M23 nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) umetangaza upya msimamo wake kuhusu wito wa kusitisha mapigano, ukisema uko tayari kutekeleza makubaliano yaliyofikiwa kupitia mchakato wa Doha, huku ukitupia lawama Serikali ya Kinshasa kwa kile ilichokiita “mbinu za mawasiliano” zenye lengo la kupotosha (kutangaza uongo) umma.

    Kupitia taarifa iliyotolewa na Kiongozi wa AFC/M23, Corneille Naanga, Muungano huo ulieleza kuwa uko tayari kuchukua hatua mara moja katika kutekeleza utaratibu wa usitishaji mapigano uliokubaliwa.

    Naanga alisema: "Kufuatia wito unaoendelea wa kusitisha mapigano, AFC/M23 inathibitisha tena dhamira yake ya kutekeleza, bila kuchelewa na kwa nia njema, utaratibu uliokubaliwa katika mfumo wa mchakato wa Doha. Hatua hii inaendana na mantiki ya uwajibikaji wa kisiasa na nia ya dhati ya kufikia suluhu ya mazungumzo, ya kudumu na shirikishi ya mzozo huu.”

    Kauli hiyo inaashiria msimamo wa AFC/M23 wa kuonyesha utayari wa kushiriki katika juhudi za kidiplomasia zinazolenga kumaliza mzozo wa muda mrefu mashariki mwa DRC.

    Hata hivyo, Muungano huo uliikosoa vikali Serikali ya DRC yenye makao yake Kinshasa, ukidai kuwa tangazo la kukubali kusitisha mapigano si la dhati.

    Naanga aliongeza: “Kwa AFC, kile kinachodaiwa kuwa kukubali kwa Kinshasa kanuni ya kusitisha mapigano ni mbinu tu ya mawasiliano na jaribio la upotoshaji linalolenga kudanganya maoni ya kitaifa na kimataifa, kujiepusha na wajibu wake na kuficha mwendelezo wa mkakati wa kijeshi usiobadilika.”

    Kauli hiyo inaibua mvutano mpya wa kisiasa wakati juhudi za kimataifa zikiongezeka kuhimiza pande husika kurejea katika meza ya mazungumzo kupitia mchakato wa Doha.

    Mzozo kati ya serikali ya DRC na AFC/M23 umeendelea kuathiri hali ya usalama na kibinadamu mashariki mwa nchi hiyo, huku jumuiya ya kimataifa ikiendelea kusisitiza umuhimu wa suluhu ya mazungumzo badala ya mapambano ya kijeshi.

    Toa maoni yako
    #Habari
    AFC/M23 yasisitiza utekelezaji wa makubaliano ya Doha, yaituhumu Kinshasa kwa “Mbinu za mawasiliano”. Muungano wa Waasi wa AFC/M23 nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) umetangaza upya msimamo wake kuhusu wito wa kusitisha mapigano, ukisema uko tayari kutekeleza makubaliano yaliyofikiwa kupitia mchakato wa Doha, huku ukitupia lawama Serikali ya Kinshasa kwa kile ilichokiita “mbinu za mawasiliano” zenye lengo la kupotosha (kutangaza uongo) umma. Kupitia taarifa iliyotolewa na Kiongozi wa AFC/M23, Corneille Naanga, Muungano huo ulieleza kuwa uko tayari kuchukua hatua mara moja katika kutekeleza utaratibu wa usitishaji mapigano uliokubaliwa. Naanga alisema: "Kufuatia wito unaoendelea wa kusitisha mapigano, AFC/M23 inathibitisha tena dhamira yake ya kutekeleza, bila kuchelewa na kwa nia njema, utaratibu uliokubaliwa katika mfumo wa mchakato wa Doha. Hatua hii inaendana na mantiki ya uwajibikaji wa kisiasa na nia ya dhati ya kufikia suluhu ya mazungumzo, ya kudumu na shirikishi ya mzozo huu.” Kauli hiyo inaashiria msimamo wa AFC/M23 wa kuonyesha utayari wa kushiriki katika juhudi za kidiplomasia zinazolenga kumaliza mzozo wa muda mrefu mashariki mwa DRC. Hata hivyo, Muungano huo uliikosoa vikali Serikali ya DRC yenye makao yake Kinshasa, ukidai kuwa tangazo la kukubali kusitisha mapigano si la dhati. Naanga aliongeza: “Kwa AFC, kile kinachodaiwa kuwa kukubali kwa Kinshasa kanuni ya kusitisha mapigano ni mbinu tu ya mawasiliano na jaribio la upotoshaji linalolenga kudanganya maoni ya kitaifa na kimataifa, kujiepusha na wajibu wake na kuficha mwendelezo wa mkakati wa kijeshi usiobadilika.” Kauli hiyo inaibua mvutano mpya wa kisiasa wakati juhudi za kimataifa zikiongezeka kuhimiza pande husika kurejea katika meza ya mazungumzo kupitia mchakato wa Doha. Mzozo kati ya serikali ya DRC na AFC/M23 umeendelea kuathiri hali ya usalama na kibinadamu mashariki mwa nchi hiyo, huku jumuiya ya kimataifa ikiendelea kusisitiza umuhimu wa suluhu ya mazungumzo badala ya mapambano ya kijeshi. Toa maoni yako #Habari
    0 Comentários 0 Compartilhamentos 71 Visualizações
  • GOMA: Corneille Nangaa akutana na Mkuu wa MONUSCO kujadili utekelezaji wa usitishaji mapigano.

    Katika hatua inayochukuliwa kama sehemu ya juhudi za kuimarisha hali ya usalama mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Mratibu wa harakati ya Waasi ya AFC/M23, Corneille Nangaa, amekutana Ijumaa hii na Kaimu Mkuu wa MONUSCO, Vivian van de Perre, Mjini Goma.

    Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa, mkutano huo ulijikita katika kujadili utaratibu wa uhakiki na ufuatiliaji wa utekelezaji wa makubaliano ya kusitisha mapigano katika eneo la mashariki mwa nchi hiyo.

    Mazungumzo hayo yalilenga hasa kuimarisha mfumo wa kuthibitisha iwapo pande husika zinazingatia masharti ya usitishaji mapigano, pamoja na kuweka mbinu madhubuti za kufuatilia utekelezaji wake kwa uwazi na uwajibikaji.

    Eneo la mashariki mwa DRC limekuwa likikabiliwa na changamoto za kiusalama kwa muda mrefu, huku makundi yenye silaha yakihusika katika mapigano yanayosababisha madhara kwa raia na kuyumbisha hali ya utulivu.

    Mkutano kati ya AFC/M23 na uongozi wa MONUSCO unaonekana kuwa sehemu ya juhudi za kidiplomasia za kupunguza mvutano na kuimarisha mchakato wa amani, hasa katika kipindi ambacho jumuiya ya kimataifa inaendelea kusisitiza umuhimu wa kuheshimu makubaliano ya kusitisha mapigano.

    Hatua zaidi zinatarajiwa kufuatia mazungumzo hayo, huku wadau wakisubiri kuona namna ambavyo utaratibu wa uhakiki na ufuatiliaji utakavyotekelezwa kwa vitendo katika maeneo yenye migogoro.

    Toa maoni yako #Habari
    GOMA: Corneille Nangaa akutana na Mkuu wa MONUSCO kujadili utekelezaji wa usitishaji mapigano. Katika hatua inayochukuliwa kama sehemu ya juhudi za kuimarisha hali ya usalama mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Mratibu wa harakati ya Waasi ya AFC/M23, Corneille Nangaa, amekutana Ijumaa hii na Kaimu Mkuu wa MONUSCO, Vivian van de Perre, Mjini Goma. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa, mkutano huo ulijikita katika kujadili utaratibu wa uhakiki na ufuatiliaji wa utekelezaji wa makubaliano ya kusitisha mapigano katika eneo la mashariki mwa nchi hiyo. Mazungumzo hayo yalilenga hasa kuimarisha mfumo wa kuthibitisha iwapo pande husika zinazingatia masharti ya usitishaji mapigano, pamoja na kuweka mbinu madhubuti za kufuatilia utekelezaji wake kwa uwazi na uwajibikaji. Eneo la mashariki mwa DRC limekuwa likikabiliwa na changamoto za kiusalama kwa muda mrefu, huku makundi yenye silaha yakihusika katika mapigano yanayosababisha madhara kwa raia na kuyumbisha hali ya utulivu. Mkutano kati ya AFC/M23 na uongozi wa MONUSCO unaonekana kuwa sehemu ya juhudi za kidiplomasia za kupunguza mvutano na kuimarisha mchakato wa amani, hasa katika kipindi ambacho jumuiya ya kimataifa inaendelea kusisitiza umuhimu wa kuheshimu makubaliano ya kusitisha mapigano. Hatua zaidi zinatarajiwa kufuatia mazungumzo hayo, huku wadau wakisubiri kuona namna ambavyo utaratibu wa uhakiki na ufuatiliaji utakavyotekelezwa kwa vitendo katika maeneo yenye migogoro. Toa maoni yako #Habari
    0 Comentários 0 Compartilhamentos 110 Visualizações
  • Macron: “Ufaransa bila Wayahudi ni kama mti usio na shina”.

    Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron amesema kuwa Ufaransa haiwezi kujitambulisha kikamilifu bila uwepo wa Wayahudi, akisisitiza mchango wao wa kihistoria, kiutamaduni na kijamii katika taifa hilo la Ulaya.

    Akizungumza katika hafla maalum ya kumbukumbu na mshikamano wa kijamii, Macron alitoa kauli iliyogusa hisia za wengi akisema: “Ufaransa bila Wayahudi ni kama mti usio na shina.”

    Kauli hiyo imefasiriwa kama ujumbe wa wazi wa kupinga chuki dhidi ya Wayahudi (antisemitism) na kuimarisha misingi ya umoja wa kitaifa katika jamii yenye tamaduni na dini tofauti.

    Kwa miaka ya hivi karibuni, Ufaransa imekumbwa na matukio kadhaa ya chuki dhidi ya Wayahudi, hali ambayo imezua wasiwasi mkubwa ndani na nje ya nchi. Serikali ya Macron imekuwa ikisisitiza mara kwa mara umuhimu wa kulinda uhuru wa kuabudu, usawa na heshima kwa makundi yote ya kidini.

    Kwa kutumia taswira ya “mti na shina,” Rais huyo alilenga kuonyesha kuwa Wayahudi ni sehemu ya mizizi ya historia ya Ufaransa, si kundi la pembeni bali ni sehemu ya msingi wa taifa hilo.

    Ufaransa ina moja ya jamii kubwa zaidi za Wayahudi barani Ulaya. Kwa karne nyingi, Wayahudi wamechangia katika sekta mbalimbali zikiwemo elimu, biashara, sayansi, sanaa na siasa. Hata hivyo, historia hiyo pia imegubikwa na vipindi vya mateso, hususan wakati wa Vita Kuu ya Pili ya Dunia.

    Kauli ya Macron inaonekana kuendeleza msimamo wa viongozi waliotangulia katika kulinda kumbukumbu za kihistoria na kuhakikisha kuwa matukio ya ubaguzi hayajirudii.

    Kwa ujumla, kauli hiyo imechukuliwa kama wito wa kuimarisha mshikamano wa kitaifa na kulinda misingi ya kidemokrasia.

    Kwa kusema kuwa “Ufaransa bila Wayahudi ni kama mti usio na shina,” Macron amesisitiza kwamba utofauti wa kidini na kitamaduni si udhaifu bali ni nguzo muhimu ya taifa la Ufaransa.

    Toa maoni yako
    #Habari
    🇫🇷 Macron: “Ufaransa bila Wayahudi ni kama mti usio na shina”. Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron amesema kuwa Ufaransa haiwezi kujitambulisha kikamilifu bila uwepo wa Wayahudi, akisisitiza mchango wao wa kihistoria, kiutamaduni na kijamii katika taifa hilo la Ulaya. Akizungumza katika hafla maalum ya kumbukumbu na mshikamano wa kijamii, Macron alitoa kauli iliyogusa hisia za wengi akisema: “Ufaransa bila Wayahudi ni kama mti usio na shina.” Kauli hiyo imefasiriwa kama ujumbe wa wazi wa kupinga chuki dhidi ya Wayahudi (antisemitism) na kuimarisha misingi ya umoja wa kitaifa katika jamii yenye tamaduni na dini tofauti. Kwa miaka ya hivi karibuni, Ufaransa imekumbwa na matukio kadhaa ya chuki dhidi ya Wayahudi, hali ambayo imezua wasiwasi mkubwa ndani na nje ya nchi. Serikali ya Macron imekuwa ikisisitiza mara kwa mara umuhimu wa kulinda uhuru wa kuabudu, usawa na heshima kwa makundi yote ya kidini. Kwa kutumia taswira ya “mti na shina,” Rais huyo alilenga kuonyesha kuwa Wayahudi ni sehemu ya mizizi ya historia ya Ufaransa, si kundi la pembeni bali ni sehemu ya msingi wa taifa hilo. Ufaransa ina moja ya jamii kubwa zaidi za Wayahudi barani Ulaya. Kwa karne nyingi, Wayahudi wamechangia katika sekta mbalimbali zikiwemo elimu, biashara, sayansi, sanaa na siasa. Hata hivyo, historia hiyo pia imegubikwa na vipindi vya mateso, hususan wakati wa Vita Kuu ya Pili ya Dunia. Kauli ya Macron inaonekana kuendeleza msimamo wa viongozi waliotangulia katika kulinda kumbukumbu za kihistoria na kuhakikisha kuwa matukio ya ubaguzi hayajirudii. Kwa ujumla, kauli hiyo imechukuliwa kama wito wa kuimarisha mshikamano wa kitaifa na kulinda misingi ya kidemokrasia. Kwa kusema kuwa “Ufaransa bila Wayahudi ni kama mti usio na shina,” Macron amesisitiza kwamba utofauti wa kidini na kitamaduni si udhaifu bali ni nguzo muhimu ya taifa la Ufaransa. Toa maoni yako #Habari
    0 Comentários 0 Compartilhamentos 153 Visualizações
  • Urusi yafunga mitandao ya kijamii kwa sababu za kijasusi.

    Serikali ya Urusi imethibitisha rasmi uamuzi wa kufunga na kuzima huduma kadhaa za mitandao ya kijamii nchini humo, ikieleza kuwa hatua hiyo imechukuliwa kwa misingi ya kiusalama na kijasusi.

    Kwa mujibu wa taarifa rasmi, majukwaa yaliyoathiriwa ni pamoja na Facebook, Instagram, X, WhatsApp na YouTube. Mitandao hiyo kwa sasa haipatikani ndani ya mipaka ya Urusi.

    Serikali imeeleza kuwa kuna wasiwasi mkubwa kuhusu usalama wa taarifa za Watumiaji wake. Inadaiwa kuwa Serikali ya Marekani, kupitia taasisi zake za kijasusi, imekuwa ikipata taarifa muhimu za Watumiaji kupitia mitandao hiyo na kuzitumia katika shughuli mbalimbali za kijasusi.

    Chanzo cha karibu na mamlaka kimenukuliwa kikisema kuwa, “Hatua hii inalenga kulinda usalama wa taifa na faragha ya Wananchi wetu dhidi ya udukuzi wa taarifa nyeti.”

    Hoja hiyo imeibua mjadala mpana kimataifa kuhusu faragha ya Watumiaji na udhibiti wa taarifa katika enzi ya kidijitali.

    Mwezi uliopita, Umoja wa Ulaya pia ulieleza wasiwasi wake kuhusu masuala yanayohusiana na ukusanyaji na matumizi ya taarifa kupitia mitandao ya kijamii. Malalamiko hayo yameongeza mvutano wa kimataifa kuhusu wajibu wa majukwaa ya kidijitali katika kulinda taarifa za Watumiaji.

    Mchambuzi mmoja wa masuala ya siasa za kimataifa amesema, “Hatua ya Urusi inaweza kuonekana kama mkakati wa kujilinda, lakini pia inaweza kuchochea mjadala mpana kuhusu uhuru wa mawasiliano na udhibiti wa serikali katika mitandao.”

    Kufungwa kwa mitandao hiyo kunaathiri mamilioni ya Watumiaji nchini Urusi, wakiwemo Wafanyabiashara, Wanahabari na vijana wanaotegemea majukwaa hayo kwa mawasiliano na shughuli za kiuchumi.

    Wachambuzi wanaona kuwa uamuzi huo unaweza kupelekea kuimarika kwa majukwaa ya ndani ya Urusi au kuongezeka kwa matumizi ya njia mbadala za mawasiliano mtandaoni.

    Hata hivyo, mjadala unaendelea kuhusu uwiano kati ya usalama wa taifa na uhuru wa kidijitali, huku macho ya dunia yakielekezwa kwa hatua zaidi zitakazochukuliwa na mataifa makubwa katika kusimamia mitandao ya kijamii.

    #Habari
    Urusi yafunga mitandao ya kijamii kwa sababu za kijasusi. Serikali ya Urusi imethibitisha rasmi uamuzi wa kufunga na kuzima huduma kadhaa za mitandao ya kijamii nchini humo, ikieleza kuwa hatua hiyo imechukuliwa kwa misingi ya kiusalama na kijasusi. Kwa mujibu wa taarifa rasmi, majukwaa yaliyoathiriwa ni pamoja na Facebook, Instagram, X, WhatsApp na YouTube. Mitandao hiyo kwa sasa haipatikani ndani ya mipaka ya Urusi. Serikali imeeleza kuwa kuna wasiwasi mkubwa kuhusu usalama wa taarifa za Watumiaji wake. Inadaiwa kuwa Serikali ya Marekani, kupitia taasisi zake za kijasusi, imekuwa ikipata taarifa muhimu za Watumiaji kupitia mitandao hiyo na kuzitumia katika shughuli mbalimbali za kijasusi. Chanzo cha karibu na mamlaka kimenukuliwa kikisema kuwa, “Hatua hii inalenga kulinda usalama wa taifa na faragha ya Wananchi wetu dhidi ya udukuzi wa taarifa nyeti.” Hoja hiyo imeibua mjadala mpana kimataifa kuhusu faragha ya Watumiaji na udhibiti wa taarifa katika enzi ya kidijitali. Mwezi uliopita, Umoja wa Ulaya pia ulieleza wasiwasi wake kuhusu masuala yanayohusiana na ukusanyaji na matumizi ya taarifa kupitia mitandao ya kijamii. Malalamiko hayo yameongeza mvutano wa kimataifa kuhusu wajibu wa majukwaa ya kidijitali katika kulinda taarifa za Watumiaji. Mchambuzi mmoja wa masuala ya siasa za kimataifa amesema, “Hatua ya Urusi inaweza kuonekana kama mkakati wa kujilinda, lakini pia inaweza kuchochea mjadala mpana kuhusu uhuru wa mawasiliano na udhibiti wa serikali katika mitandao.” Kufungwa kwa mitandao hiyo kunaathiri mamilioni ya Watumiaji nchini Urusi, wakiwemo Wafanyabiashara, Wanahabari na vijana wanaotegemea majukwaa hayo kwa mawasiliano na shughuli za kiuchumi. Wachambuzi wanaona kuwa uamuzi huo unaweza kupelekea kuimarika kwa majukwaa ya ndani ya Urusi au kuongezeka kwa matumizi ya njia mbadala za mawasiliano mtandaoni. Hata hivyo, mjadala unaendelea kuhusu uwiano kati ya usalama wa taifa na uhuru wa kidijitali, huku macho ya dunia yakielekezwa kwa hatua zaidi zitakazochukuliwa na mataifa makubwa katika kusimamia mitandao ya kijamii. #Habari
    0 Comentários 0 Compartilhamentos 172 Visualizações
  • Carpet Cleaning Services That Support Long-Term Home Value
    Introduction
    Carpeting serves quietly yet actively in a home from which value is derived in the long run. While the carpets cover large spaces and give the first impression, they absorb the daily grind stains which at some point stand to devalue a property painfully. Whenever these issues are not attended to, they escalate in prices to rectify.
    Regular professional Carpet cleaning London does not only serve the purpose of cleanliness but the general condition of the living space. Clean carpets evoke that impression of care, quality, and attention to detail that all add together to a solid value of the home.


    Carpets and Home Value
    Probably carpets are some of the first noticeable items inside the house. Stains, odors, or worn-out fibers can make even the very beautiful of houses look drab and poorly maintained. This directly impacts the perception of the property among the owners-whether they be guests, buyers, or renters.


    Preventing Permanent Damage
    Dust and sand deeply lodged in the fibers of the carpet create a stabbing action on the fabric with each step. While regular vacuuming manages to control it somewhat, it does not completely eliminate the imbedded debris. Hence, over a period, this leads to the thinning and even tearing of carpets.


    Improve Indoor Air Quality
    Carpets hold dust, pollen, pet dander, and pollutants that adversely affect indoor air quality. Poor air quality can cause possible discomfort in the house-diner, the effect very common in the houses of small children or the very allergic.Through carpet cleaning, these hidden contaminants will be eliminated; hence, the air that people breathe from day to day will be improved. An indoor environment healthier and much cozier is thus adding to the long-term livability of a home, a boon from which its overall value is derived.


    Support Structural Care
    In cases of moisture spills, leakage, or high humidity conditions, carpets and pads can develop mold within them. If untreated, moisture can cause even far more damage to sub-floors and other structures.Carpet cleaning Lambourn services detect moisture issues early. Mold-related property losses can cause serious material damage that can seriously devalue property and almost always involve very expensive repairs.


    Enhancements Over Time
    Carpets fade and lose texture slowly even without the presence of visible stains accrued through wear and tear from foot traffic. Usually, the soiling effects from foot traffic are observable on areas that are most used and remain as such against a contrasting backdrop of other lesser-used portions of the house.


    Buyer Confidence Boosting
    From the moment a buyer walks into a house, the first thing he notices is surface-cleaned carpets. This shows that the owner has kept the house through regular maintenance and not just surface cleaning.Thus, carpet cleaning services help a lot in deodorizing and cleaning surfaces to keep anything to be red-flagged during a showing. Hence a fresh clean smell will add confidence for more bucks in an offer from a buyer.


    Cost-Effective Maintenance
    Do not forget, carpets are expensive and cumbersome to replace. A professional service for keeping carpets clean can help to delay replacement for many homeowners.The best carpet cleaning program would amount to the best cost-efficient means put forth that would prolong flooring life for the greatest number of years through its use. An economical approach to maintaining general quality and resale attractiveness through this would be all the while not hitting a dent on a budget.


    Renting Value Support
    There is heavy usage in rental carpets; otherwise, rentals would be changed frequently. Dirty and poorly maintained carpets equal low rental income and high vacancies.Professional carpet cleaning in between tenants gives good maintenance standards, thus pleasing the property for serious applicants. Good-conditioned carpets guarantee steady rental value and cost at more extended intervals during the lease period.


    Conclusion
    Home value rests on ongoing maintenance, not on sporadic renovations. Though carpets may not seem a very paramount investment, their effect on comfort, looks, and health cannot be pushed aside. Regular maintenance ensures that carpets Winnersh stay useful and attractive, substantially contributing to maintaining property value that would attract buyers for years to come.
    Carpet Cleaning Services That Support Long-Term Home Value Introduction Carpeting serves quietly yet actively in a home from which value is derived in the long run. While the carpets cover large spaces and give the first impression, they absorb the daily grind stains which at some point stand to devalue a property painfully. Whenever these issues are not attended to, they escalate in prices to rectify. Regular professional Carpet cleaning London does not only serve the purpose of cleanliness but the general condition of the living space. Clean carpets evoke that impression of care, quality, and attention to detail that all add together to a solid value of the home. Carpets and Home Value Probably carpets are some of the first noticeable items inside the house. Stains, odors, or worn-out fibers can make even the very beautiful of houses look drab and poorly maintained. This directly impacts the perception of the property among the owners-whether they be guests, buyers, or renters. Preventing Permanent Damage Dust and sand deeply lodged in the fibers of the carpet create a stabbing action on the fabric with each step. While regular vacuuming manages to control it somewhat, it does not completely eliminate the imbedded debris. Hence, over a period, this leads to the thinning and even tearing of carpets. Improve Indoor Air Quality Carpets hold dust, pollen, pet dander, and pollutants that adversely affect indoor air quality. Poor air quality can cause possible discomfort in the house-diner, the effect very common in the houses of small children or the very allergic.Through carpet cleaning, these hidden contaminants will be eliminated; hence, the air that people breathe from day to day will be improved. An indoor environment healthier and much cozier is thus adding to the long-term livability of a home, a boon from which its overall value is derived. Support Structural Care In cases of moisture spills, leakage, or high humidity conditions, carpets and pads can develop mold within them. If untreated, moisture can cause even far more damage to sub-floors and other structures.Carpet cleaning Lambourn services detect moisture issues early. Mold-related property losses can cause serious material damage that can seriously devalue property and almost always involve very expensive repairs. Enhancements Over Time Carpets fade and lose texture slowly even without the presence of visible stains accrued through wear and tear from foot traffic. Usually, the soiling effects from foot traffic are observable on areas that are most used and remain as such against a contrasting backdrop of other lesser-used portions of the house. Buyer Confidence Boosting From the moment a buyer walks into a house, the first thing he notices is surface-cleaned carpets. This shows that the owner has kept the house through regular maintenance and not just surface cleaning.Thus, carpet cleaning services help a lot in deodorizing and cleaning surfaces to keep anything to be red-flagged during a showing. Hence a fresh clean smell will add confidence for more bucks in an offer from a buyer. Cost-Effective Maintenance Do not forget, carpets are expensive and cumbersome to replace. A professional service for keeping carpets clean can help to delay replacement for many homeowners.The best carpet cleaning program would amount to the best cost-efficient means put forth that would prolong flooring life for the greatest number of years through its use. An economical approach to maintaining general quality and resale attractiveness through this would be all the while not hitting a dent on a budget. Renting Value Support There is heavy usage in rental carpets; otherwise, rentals would be changed frequently. Dirty and poorly maintained carpets equal low rental income and high vacancies.Professional carpet cleaning in between tenants gives good maintenance standards, thus pleasing the property for serious applicants. Good-conditioned carpets guarantee steady rental value and cost at more extended intervals during the lease period. Conclusion Home value rests on ongoing maintenance, not on sporadic renovations. Though carpets may not seem a very paramount investment, their effect on comfort, looks, and health cannot be pushed aside. Regular maintenance ensures that carpets Winnersh stay useful and attractive, substantially contributing to maintaining property value that would attract buyers for years to come.
    0 Comentários 0 Compartilhamentos 251 Visualizações
  • Uwanja wa Ndege wa kimataifa wa Goma wafunguliwa upya baada ya kufungwa kwa mwaka mzima.

    Goma, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Goma umefunguliwa rasmi leo Alhamisi, baada ya kufungwa kwa karibu mwaka mzima kufuatia kukamatwa kwa Mji na Waasi wa AFC/M23.

    Ndege ya kwanza kuwasili katika Uwanja huo ilikuwa Helikopta ya MONUSCO, iliyomleta Kiongozi wa muda wa ujumbe wa Umoja wa Mataifa, Vivian van de Perre. Ziara yake inalenga kuthibitisha msaada wa Umoja wa Mataifa katika mchakato wa amani unaoendelea kati ya serikali ya Congo na Waasi.

    Akiwa na Waandishi wa habari, van de Perre alisema: "Tumekuja hapa kuthibitisha dhamira ya MONUSCO katika kuunga mkono mchakato wa amani unaoendelea kati ya serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo na kundi la AFC/M23."

    Aliongeza kuwa: "Nina mpango wa kukutana na pande zote husika ili kuendeleza mfumo wa ufuatiliaji na ukaguzi wa mapatano ya kusitisha mapigano."

    Ziara hii inatekelezwa chini ya azimio la 2808 la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, linalowekwa ili MONUSCO isaidie utekelezaji wa mapatano ya amani na kuhakikisha usalama wa Raia.

    Ufunguaji upya wa Uwanja huu ni ishara ya matumaini kwa Wakazi wa Nord-Kivu, na ni hatua muhimu katika juhudi za kimataifa za kurejesha utulivu na usalama katika eneo lililoathiriwa na mizozo ya kivita.

    Toa maoni yako
    #Habari
    Uwanja wa Ndege wa kimataifa wa Goma wafunguliwa upya baada ya kufungwa kwa mwaka mzima. Goma, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Goma umefunguliwa rasmi leo Alhamisi, baada ya kufungwa kwa karibu mwaka mzima kufuatia kukamatwa kwa Mji na Waasi wa AFC/M23. Ndege ya kwanza kuwasili katika Uwanja huo ilikuwa Helikopta ya MONUSCO, iliyomleta Kiongozi wa muda wa ujumbe wa Umoja wa Mataifa, Vivian van de Perre. Ziara yake inalenga kuthibitisha msaada wa Umoja wa Mataifa katika mchakato wa amani unaoendelea kati ya serikali ya Congo na Waasi. Akiwa na Waandishi wa habari, van de Perre alisema: "Tumekuja hapa kuthibitisha dhamira ya MONUSCO katika kuunga mkono mchakato wa amani unaoendelea kati ya serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo na kundi la AFC/M23." Aliongeza kuwa: "Nina mpango wa kukutana na pande zote husika ili kuendeleza mfumo wa ufuatiliaji na ukaguzi wa mapatano ya kusitisha mapigano." Ziara hii inatekelezwa chini ya azimio la 2808 la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, linalowekwa ili MONUSCO isaidie utekelezaji wa mapatano ya amani na kuhakikisha usalama wa Raia. Ufunguaji upya wa Uwanja huu ni ishara ya matumaini kwa Wakazi wa Nord-Kivu, na ni hatua muhimu katika juhudi za kimataifa za kurejesha utulivu na usalama katika eneo lililoathiriwa na mizozo ya kivita. Toa maoni yako #Habari
    0 Comentários 0 Compartilhamentos 101 Visualizações
Páginas impulsionada