

-
KUNA MTU UMU AMEFANIKIWA KUTOA ELA
MANA AYA MANAMBA DUHKUNA MTU UMU AMEFANIKIWA KUTOA ELA MANA AYA MANAMBA DUH -
TUAMBIENI BASI TUFIKISHE WAPI TUNA POST ADI UNAKATA TAMAA TOENI KIWANGO KAMA TWEETER AU IG WATU WENU TUELEKITU KIMOJA SAW TUNA MABLUE TICK LAKIN ATUPATI FAIDA BADO
AYA MAMILION TUNAYAONA TU KAMA PICHA
EBU FANYENI JAMBO Social PopTUAMBIENI BASI TUFIKISHE WAPI TUNA POST ADI UNAKATA TAMAA TOENI KIWANGO KAMA TWEETER AU IG WATU WENU TUELEKITU KIMOJA SAW TUNA MABLUE TICK LAKIN ATUPATI FAIDA BADO AYA MAMILION TUNAYAONA TU KAMA PICHA EBU FANYENI JAMBO [Socialpop1] -
KWANI UMU KULIPWA MPAKA TUFIKISHE NGAPI MANA POINT NYINGI AD NATAMANI NITEKWEKWANI UMU KULIPWA MPAKA TUFIKISHE NGAPI MANA POINT NYINGI AD NATAMANI NITEKWE
-
-
-
Kutoka Nchini Qatar , Pande mbali hasimu katika mzozo wa Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo na waasi wa AFC/M23 wanaotuhumiwa kuungwa mkono na Nchi ya Rwanda wamekubaliana kusitisha mapigano mara moja, baada ya mazungumzo ya wiki moja yaliyoandaliwa Nchini Qatar. Makubaliano hayo, yaliyoelezwa kuwa ni hatua ya matumaini, yalitangazwa kupitia taarifa rasmi zilizotolewa na kila upande baada ya Wajumbe kurejea kutoka Qatar mapema wiki hii.
“Pande zote zimethibitisha dhamira yao ya kusitisha uhasama, kupinga matamshi ya chuki na vitisho, na kuhimiza jamii kutekeleza ahadi hizi,” ilisomeka sehemu ya taarifa. Hata hivyo, tarehe ya duru inayofuata ya mazungumzo haikutajwa.
Kundi la M23 ambalo limekuwa likijipatia nguvu upya tangu mwaka jana, limeshambulia na kuteka Miji kadhaa Mashariki mwa DR Congo, hali iliyosababisha vifo vya maelfu na kuwafanya mamilioni kuwa Wakimbizi. Hofu ya vita vikubwa vya kikanda imetanda, hasa kutokana na mvutano kati ya DR Congo na Nchi ya Rwanda. Rwanda imeendelea kukanusha kuhusika moja kwa moja na kundi la M23, ikisema Wanajeshi wake wapo kulinda mipaka dhidi ya mashambulizi ya Wanamgambo wa Kihutu waliokimbilia DR Congo baada ya mauaji ya kimbari ya 1994.
Juhudi hizi za upatanishi zinafuatia mkutano wa mwezi uliopita ulioandaliwa pia na Qatar, uliowakutanisha Rais wa DR Congo, Félix Tshisekedi na Rais wa Rwanda, Paul Kagame. Wito wa pamoja wa kusitisha mapigano ulitolewa, na sasa mazungumzo kati ya Serikali ya DR Congo na Kundi la M23 yanaonekana kuanza kupewa nafasi, licha ya DR Congo kulitambua Kundi hilo kama la kigaidi hapo awali.
Kutoka Nchini Qatar 馃嚩馃嚘, Pande mbali hasimu katika mzozo wa Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo 馃嚚馃嚛 na waasi wa AFC/M23 wanaotuhumiwa kuungwa mkono na Nchi ya Rwanda 馃嚪馃嚰 wamekubaliana kusitisha mapigano mara moja, baada ya mazungumzo ya wiki moja yaliyoandaliwa Nchini Qatar. Makubaliano hayo, yaliyoelezwa kuwa ni hatua ya matumaini, yalitangazwa kupitia taarifa rasmi zilizotolewa na kila upande baada ya Wajumbe kurejea kutoka Qatar mapema wiki hii. “Pande zote zimethibitisha dhamira yao ya kusitisha uhasama, kupinga matamshi ya chuki na vitisho, na kuhimiza jamii kutekeleza ahadi hizi,” ilisomeka sehemu ya taarifa. Hata hivyo, tarehe ya duru inayofuata ya mazungumzo haikutajwa. Kundi la M23 ambalo limekuwa likijipatia nguvu upya tangu mwaka jana, limeshambulia na kuteka Miji kadhaa Mashariki mwa DR Congo, hali iliyosababisha vifo vya maelfu na kuwafanya mamilioni kuwa Wakimbizi. Hofu ya vita vikubwa vya kikanda imetanda, hasa kutokana na mvutano kati ya DR Congo na Nchi ya Rwanda. Rwanda imeendelea kukanusha kuhusika moja kwa moja na kundi la M23, ikisema Wanajeshi wake wapo kulinda mipaka dhidi ya mashambulizi ya Wanamgambo wa Kihutu waliokimbilia DR Congo baada ya mauaji ya kimbari ya 1994. Juhudi hizi za upatanishi zinafuatia mkutano wa mwezi uliopita ulioandaliwa pia na Qatar, uliowakutanisha Rais wa DR Congo, Félix Tshisekedi na Rais wa Rwanda, Paul Kagame. Wito wa pamoja wa kusitisha mapigano ulitolewa, na sasa mazungumzo kati ya Serikali ya DR Congo na Kundi la M23 yanaonekana kuanza kupewa nafasi, licha ya DR Congo kulitambua Kundi hilo kama la kigaidi hapo awali. -
-
Kutoka Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo , Mke wa Rais wa zamani wa Nchi hiyo Joseph Kabila Kabange, Olive Lembe Kabila, ametangaza kwamba Wanajeshi wa DR Congo waliopelekwa kwenye Shamba la Ng'ombe la Joseph Kabila lililopo Mkoani Haut-Katanga, waliiba, kuchinja na kula Ng'ombe wao waliowakuta katika Shamba hilo.
Olive Lembe amesema hayo kwamba Wanajeshi hao walikuwa kwenye Shamba la Kundelungu lililoko katika Mkoa wa Haut-Katanga na kwamba hawakuwa na ruhusa ya kuingia kwenye mali ya familia yao. Mbali na kuchukua kompyuta na simu za mkononi za Wafanyakazi wa shamba hilo, Mwanamama huyo alieleza pia kuwa Wanajeshi hao walikuwa wakichinja Ng'ombe wao kwa ajili ya kula kwa sababu hawakuwa na chakula walichobeba.
"Wanajeshi hawa walikuwa wakiiba kompyuta na simu za Wafanyakazi wa shamba. Walikuja bila chakula, sasa walichinja Ng'ombe wetu ili kula." alisema Lembe.
Ikumbukwe kwamba Serikali ya DR Congo ilitangaza kuchukua mali zote za Kabila (kustaafisha) baada ya ziara yake ya tarehe 18 Aprili katika Jiji la Goma linalodhibitiwa na Muungano wa AFC/M23. Serikali ilikuwa ilituma Wanajeshi wa upelelezi kwenye mali zake, ikiwemo Nyumba yake iliyo katika eneo la Limete Mjini Kinshasa, wakisema walikuwa wakitafuta vifaa vya kijeshi ambavyo vinaweza kuwa vimefichwa.
Lembe anasema kuwa Serikali ya DR Congo inaendelea kufanya mateso kwa familia yao, na kudai kwamba ina mpango wa kuwaangamiza.
Kutoka Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo 馃嚚馃嚛, Mke wa Rais wa zamani wa Nchi hiyo Joseph Kabila Kabange, Olive Lembe Kabila, ametangaza kwamba Wanajeshi wa DR Congo waliopelekwa kwenye Shamba la Ng'ombe la Joseph Kabila lililopo Mkoani Haut-Katanga, waliiba, kuchinja na kula Ng'ombe wao waliowakuta katika Shamba hilo. Olive Lembe amesema hayo kwamba Wanajeshi hao walikuwa kwenye Shamba la Kundelungu lililoko katika Mkoa wa Haut-Katanga na kwamba hawakuwa na ruhusa ya kuingia kwenye mali ya familia yao. Mbali na kuchukua kompyuta na simu za mkononi za Wafanyakazi wa shamba hilo, Mwanamama huyo alieleza pia kuwa Wanajeshi hao walikuwa wakichinja Ng'ombe wao kwa ajili ya kula kwa sababu hawakuwa na chakula walichobeba. "Wanajeshi hawa walikuwa wakiiba kompyuta na simu za Wafanyakazi wa shamba. Walikuja bila chakula, sasa walichinja Ng'ombe wetu ili kula." alisema Lembe. Ikumbukwe kwamba Serikali ya DR Congo ilitangaza kuchukua mali zote za Kabila (kustaafisha) baada ya ziara yake ya tarehe 18 Aprili katika Jiji la Goma linalodhibitiwa na Muungano wa AFC/M23. Serikali ilikuwa ilituma Wanajeshi wa upelelezi kwenye mali zake, ikiwemo Nyumba yake iliyo katika eneo la Limete Mjini Kinshasa, wakisema walikuwa wakitafuta vifaa vya kijeshi ambavyo vinaweza kuwa vimefichwa. Lembe anasema kuwa Serikali ya DR Congo inaendelea kufanya mateso kwa familia yao, na kudai kwamba ina mpango wa kuwaangamiza. -
Privaldinho akijibu hoja pichani.
"Biashara ya usemaji sio kama biashara ya matikitiki.
Media ni kiungo muhimu sana kinachounganisha Idara ya Masoko na wanachama na mashibiki
Idara ya Masoko na Wadau
Idara ya masoko na jamii
Usemaji ni zaidi ya tambo za mitandaoni mnazoona.
Tumefanya activations nyingi sana ambazo msimamizi mkuu ni Ally Kamwe akishirikiana na @i_sammjr
Ally Kamwe alianzisha match day treatment and agenda, Mfano Aziz Ki Day. Baadae wadau wakaweka fedha kwenye mechi za Bacca Day, Muda Day, Max Day na Pacome Day tulipaka bleech
Tulipata wadau kama vile, ZIC, ZIPA PZB na CRDB. CRDB walisupport safari yetu ya kwenda Afrika Kusini Twenzetu kwa madiba ambapo Ally Kamwe aliongoza kampeni hiyo kupitia Azam TV.
Ally Kamwe akaanzisha kampeni ya kupeleka mashabiki Rwanda na DR Congo ambazo zote ni ilikuwa media agenda, na klabu ilikusanya zaidi ya 100m.
Tulipata dili za Visit Zanzibar ni moja ya dili kubwa sana ambapo klabu imeingiza zaidi ya milion 500. Dili hili limekuja kutokana na hamasa kubwa ya media ambayo imeongozwa na Ally Kamwe
Supu Day ilidhaminiwa na Sportpesa na GSM klabu iliingiza zaidi ya milion 30. Kitabu, Documentary kote huku tumeingiza mamilion ya fedha.
Tulikuwa na Public viewing hapa Jangwan tukiwa na GSM, Haier ambapo klabu iliingiza fedha kupitia hilo na yote hayo ilikuwa media agenda.
Ukiachana na Hamasa ya media, kupitia idara ya media fedha nyingi zimeingia moja kwa moja chini ya usimamizi wa Msemaji wetu.
Yanga SC inaingiza mamilion ya fedha kila mwezi kupitia Yanga APP ambapo hivi karibu tumekusanya zaidi ya milion 300 kupitia APP
Yanga ndio klabu namba moja kwa views zaidi kupitia ukurasa wa Youtube barani AFRIKA ikiwa na views 221m. Huku YouTube kila mwezi Yanga inaingiza mamilion ya fedha.
Media ya Yanga ndio imepush agenda kubwa ya usajili wa wanachama kwa klabu ambapo kwa mwaka tumekuwa na wastani Tsh 1 bilion kwenye zoezi ya usajili.
Unaposema wasemaji unapaswa kumuondoa Ally Kamwe kwanza kisha ujadili hao wanaobakia.
Hamasa ni hela. Tunaongelea Hamasa sio comedy. Kazi kubwa ambayo ameifanya Ally Kamwe imeiingizia Yanga mabilion ya hela. Tumeondoka kwenye Hamasa zaidi Makelele tukafanya biashara" - Privaldinho, Mkuu wa kitengo cha maudhui wa klabu ya Yanga SC.
Privaldinho akijibu hoja pichani. "Biashara ya usemaji sio kama biashara ya matikitiki. Media ni kiungo muhimu sana kinachounganisha Idara ya Masoko na wanachama na mashibiki Idara ya Masoko na Wadau Idara ya masoko na jamii Usemaji ni zaidi ya tambo za mitandaoni mnazoona. Tumefanya activations nyingi sana ambazo msimamizi mkuu ni Ally Kamwe akishirikiana na @i_sammjr Ally Kamwe alianzisha match day treatment and agenda, Mfano Aziz Ki Day. Baadae wadau wakaweka fedha kwenye mechi za Bacca Day, Muda Day, Max Day na Pacome Day tulipaka bleech Tulipata wadau kama vile, ZIC, ZIPA PZB na CRDB. CRDB walisupport safari yetu ya kwenda Afrika Kusini Twenzetu kwa madiba ambapo Ally Kamwe aliongoza kampeni hiyo kupitia Azam TV. Ally Kamwe akaanzisha kampeni ya kupeleka mashabiki Rwanda na DR Congo ambazo zote ni ilikuwa media agenda, na klabu ilikusanya zaidi ya 100m. Tulipata dili za Visit Zanzibar ni moja ya dili kubwa sana ambapo klabu imeingiza zaidi ya milion 500. Dili hili limekuja kutokana na hamasa kubwa ya media ambayo imeongozwa na Ally Kamwe Supu Day ilidhaminiwa na Sportpesa na GSM klabu iliingiza zaidi ya milion 30. Kitabu, Documentary kote huku tumeingiza mamilion ya fedha. Tulikuwa na Public viewing hapa Jangwan tukiwa na GSM, Haier ambapo klabu iliingiza fedha kupitia hilo na yote hayo ilikuwa media agenda. Ukiachana na Hamasa ya media, kupitia idara ya media fedha nyingi zimeingia moja kwa moja chini ya usimamizi wa Msemaji wetu. Yanga SC inaingiza mamilion ya fedha kila mwezi kupitia Yanga APP ambapo hivi karibu tumekusanya zaidi ya milion 300 kupitia APP Yanga ndio klabu namba moja kwa views zaidi kupitia ukurasa wa Youtube barani AFRIKA ikiwa na views 221m. Huku YouTube kila mwezi Yanga inaingiza mamilion ya fedha. Media ya Yanga ndio imepush agenda kubwa ya usajili wa wanachama kwa klabu ambapo kwa mwaka tumekuwa na wastani Tsh 1 bilion kwenye zoezi ya usajili. Unaposema wasemaji unapaswa kumuondoa Ally Kamwe kwanza kisha ujadili hao wanaobakia. Hamasa ni hela. Tunaongelea Hamasa sio comedy. Kazi kubwa ambayo ameifanya Ally Kamwe imeiingizia Yanga mabilion ya hela. Tumeondoka kwenye Hamasa zaidi Makelele tukafanya biashara" - Privaldinho, Mkuu wa kitengo cha maudhui wa klabu ya Yanga SC. -
Kutoka Nchini China , Kuanzia Septemba 1, 2025, Nchi hiyo itaanzisha rasmi elimu ya lazima ya kujifunza matumizi ya Akili Bandia “Artificial intelligence" (Al) kwa wanafunzi wote katika Shule za msingi na sekondari, kuanzia Wanafunzi wakiwa na umri wa miaka sita (6). Wanafunzi watapokea angalau saa nane (8) za maelekezo ya (Al) kila mwaka, na maudhui yatapangwa kulingana na makundi ya umri kutoka shule za msingi hadi Sekondari ikihusisha kujifunza kwa "mashine" na roboti.
Mkakati huu lengo ni kuwafahamisha Wanafunzi kuhusu dhana za (Al) mapema na kuwajengea ujuzi wa kiufundi hatua kwa hatua wanapoendelea kifikra kupitia mfumo wa elimu. Sera hii ni sehemu ya mpango mpana wa China wa kukuza ujuzi wa kidijitali na kupata Wataalamu wa muda mrefu katika Teknolojia zinazoibuka.
Kwa kupachika elimu ya Al katika mtaala wake wa kitaifa, Nchi ya China inatarajia kuendeleza kizazi cha Teknolojia iliyo na vifaa vya kuongoza katika uchumi wa kimataifa unaokua kwa kasi. Hatua hii inatarajiwa kuleta mageuzi makubwa ya elimu kufikia mwaka 2035.
Kutoka Nchini China 馃嚚馃嚦, Kuanzia Septemba 1, 2025, Nchi hiyo itaanzisha rasmi elimu ya lazima ya kujifunza matumizi ya Akili Bandia “Artificial intelligence" (Al) kwa wanafunzi wote katika Shule za msingi na sekondari, kuanzia Wanafunzi wakiwa na umri wa miaka sita (6). Wanafunzi watapokea angalau saa nane (8) za maelekezo ya (Al) kila mwaka, na maudhui yatapangwa kulingana na makundi ya umri kutoka shule za msingi hadi Sekondari ikihusisha kujifunza kwa "mashine" na roboti. Mkakati huu lengo ni kuwafahamisha Wanafunzi kuhusu dhana za (Al) mapema na kuwajengea ujuzi wa kiufundi hatua kwa hatua wanapoendelea kifikra kupitia mfumo wa elimu. Sera hii ni sehemu ya mpango mpana wa China wa kukuza ujuzi wa kidijitali na kupata Wataalamu wa muda mrefu katika Teknolojia zinazoibuka. Kwa kupachika elimu ya Al katika mtaala wake wa kitaifa, Nchi ya China inatarajia kuendeleza kizazi cha Teknolojia iliyo na vifaa vya kuongoza katika uchumi wa kimataifa unaokua kwa kasi. Hatua hii inatarajiwa kuleta mageuzi makubwa ya elimu kufikia mwaka 2035. -
Ugomvi umeisha na Feisal Salum anakaribia kurudi kwenye klabu yake ya zamani ya Yanga SC ambapo tunaelezwa kila kitu kinakaribia kukamilika kwa pande zote mbili kwa Mchezaji mwenyewe na klabu ya Azam FC.
Mwanzoni, klabu ya Simba SC ilikuwa imeingiza mguu lakini klabu ya Yanga SC iliongeza dau hadi kufikia takribani Shilingi milioni 800 na kuahidi kumjengea Nyumba licha ya Mama yake Feisal Salum kuonyesha kuwa hapendi Mwanae arudi Yanga SC kutokana na kile kilichotokea siku za nyuma.
MB: Ni tetesi.
Toa maoni yako
Ugomvi umeisha na Feisal Salum anakaribia kurudi kwenye klabu yake ya zamani ya Yanga SC ambapo tunaelezwa kila kitu kinakaribia kukamilika kwa pande zote mbili kwa Mchezaji mwenyewe na klabu ya Azam FC. Mwanzoni, klabu ya Simba SC ilikuwa imeingiza mguu lakini klabu ya Yanga SC iliongeza dau hadi kufikia takribani Shilingi milioni 800 na kuahidi kumjengea Nyumba licha ya Mama yake Feisal Salum kuonyesha kuwa hapendi Mwanae arudi Yanga SC kutokana na kile kilichotokea siku za nyuma. MB: Ni tetesi. Toa maoni yako -
Mkulima mmoja mwenye umri wa miaka 55 kutoka Mkoa wa Shandong Nchini China , ambaye ana ulemavu wa akili, alitumia miaka kadhaa kujenga Nyumba ya Ghorofa saba (7) kwa mkono. Alijenga Jengo hilo akiwa na matumaini kwamba Ndugu zake wawili (2) wangekuja na kuishi naye, licha ya kuambiwa mara nyingi na Wanakijiji kuwa kaka zake hao walikuwa wamefariki Dunia muda mrefu uliopita.
Aidha, Jengo hilo lililojengwa kwa mawe, mbao, na udongo, linasimama kama ishara yenye nguvu ya kujitolea na upendo wake kwa familia yake. Hata hivyo, Serikali ya eneo hilo iliingilia kati kwa kumsaidia kumjengea Nyumbani nyingine ambayo ilijengwa na kijiji hicho kwa ajili ya ustawi wake kisha kumhamisha katika Nyumba hiyo mpya.
Toa maoni yako
Mkulima mmoja mwenye umri wa miaka 55 kutoka Mkoa wa Shandong Nchini China 馃嚚馃嚦, ambaye ana ulemavu wa akili, alitumia miaka kadhaa kujenga Nyumba ya Ghorofa saba (7) kwa mkono. Alijenga Jengo hilo akiwa na matumaini kwamba Ndugu zake wawili (2) wangekuja na kuishi naye, licha ya kuambiwa mara nyingi na Wanakijiji kuwa kaka zake hao walikuwa wamefariki Dunia muda mrefu uliopita. Aidha, Jengo hilo lililojengwa kwa mawe, mbao, na udongo, linasimama kama ishara yenye nguvu ya kujitolea na upendo wake kwa familia yake. Hata hivyo, Serikali ya eneo hilo iliingilia kati kwa kumsaidia kumjengea Nyumbani nyingine ambayo ilijengwa na kijiji hicho kwa ajili ya ustawi wake kisha kumhamisha katika Nyumba hiyo mpya. Toa maoni yako -
-
-
-
-
-
Muigizaji wa filamu kutoka Nchini Korea Kusini , O Yeong Su, ambaye alitamba kwenye Tamthilia ya "Spuid Game" katika uigizaji wake kama "Player namba 001", amehukumiwa kifungo cha mwaka mmoja Jela kwa kosa la unyanyasaji wa kingono katika tukio analilolifanya mwaka 2017.
Muigizaji huyo mwenye umri wa miaka 80 kwa sasa, alipatikana na hatia ya kumnyanyasa kingono Mwanamke mdogo wa kikundi chake cha maigizo kwa kumlazimisha kwa nguvu kufanya nae mapenzi huku akimbusu bila ridhaa yake karibu na Nyumba yake.
Hata hivyo, O Yeong Su amekanusha mashtaka hayo na kusema kuwa hana hatia. Amehukumiwa kifungo cha mwaka mmoja jela baada ya waendesha mashtaka Tawi la Seongnam la Mahakama ya Wilaya ya Suwon kudai kwamba alitumia vibaya mamlaka yake kama Mwigizaji Mkuu anayeheshimika dhidi ya Mwenzake.
Mwigizaji huyo bado ameendelea kukanusha mashtaka hayo na amekata rufaa tena huku rufani yake ikitarajiwa kusikilizwa kwa mara ya mwisho Juni 3, 2025.
Toa maoni yako
Muigizaji wa filamu kutoka Nchini Korea Kusini 馃嚢馃嚪, O Yeong Su, ambaye alitamba kwenye Tamthilia ya "Spuid Game" katika uigizaji wake kama "Player namba 001", amehukumiwa kifungo cha mwaka mmoja Jela kwa kosa la unyanyasaji wa kingono katika tukio analilolifanya mwaka 2017. Muigizaji huyo mwenye umri wa miaka 80 kwa sasa, alipatikana na hatia ya kumnyanyasa kingono Mwanamke mdogo wa kikundi chake cha maigizo kwa kumlazimisha kwa nguvu kufanya nae mapenzi huku akimbusu bila ridhaa yake karibu na Nyumba yake. Hata hivyo, O Yeong Su amekanusha mashtaka hayo na kusema kuwa hana hatia. Amehukumiwa kifungo cha mwaka mmoja jela baada ya waendesha mashtaka Tawi la Seongnam la Mahakama ya Wilaya ya Suwon kudai kwamba alitumia vibaya mamlaka yake kama Mwigizaji Mkuu anayeheshimika dhidi ya Mwenzake. Mwigizaji huyo bado ameendelea kukanusha mashtaka hayo na amekata rufaa tena huku rufani yake ikitarajiwa kusikilizwa kwa mara ya mwisho Juni 3, 2025. Toa maoni yako -
-
-
Wamarekani watatu waliokuwa wamehukumiwa adhabu ya kifo kwa kushiriki katika jaribio la mapinduzi dhidi ya Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo , sasa wamekabidhiwa kwa mamlaka za Marekani na kurejea Nchini kwao ili kutumikia adhabu yao maisha Jela baada ya kupata msamaha wa Rais kufuatia mazungumzo kati ya Serekali ya DR Congo na Marekani.
Msemaji wa Rais wa DRC,Tina Salama, amethibitisha kuwa Raia hao waliondoka Kinshasa siku ya Jana Jumanne majira ya asubuhi, kufuatia jitihada za kidiplomasia zilizoongozwa na Ubalozi wa Marekani Nchini humo. Hatua hiyo imekuja siku chache tu baada ya adhabu zao za kifo kubadilishwa na kuwa kifungo cha maisha jela.
Miongoni mwa waliorejeshwa ni Marcel Malanga, kijana mwenye umri wa miaka 21, ambaye ni Mtoto wa marehemu Christian Malanga ambaye ni Kiongozi wa upinzani aliyepanga jaribio la mapinduzi dhidi ya Serikali ya Rais Félix Tshisekedi mwaka jana. Hata hivyo, jaribio hilo lilishindikana, na Christian Malanga aliuawa wakati wa makabiliano na Maafisa wa usalama. Kwa mujibu wa taarifa, Marcel alidai kuwa alishinikizwa na Baba yake kushiriki katika tukio hilo, akieleza kuwa hakufanya hivyo kwa hiari yake.
Kurejeshwa kwa Raia hao kumetokea wakati ambapo Serikali ya DR Congo inashughulikia makubaliano ya ushirikiano wa kimataifa kuhusu madini na msaada wa kijeshi na Marekani, lengo likiwa ni kuimarisha usalama hususan katika maeneo ya mashariki ya nchi ambayo yamekuwa yakikumbwa na machafuko ya mara kwa mara.
Wamarekani watatu waliokuwa wamehukumiwa adhabu ya kifo kwa kushiriki katika jaribio la mapinduzi dhidi ya Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo 馃嚚馃嚛, sasa wamekabidhiwa kwa mamlaka za Marekani 馃嚭馃嚫 na kurejea Nchini kwao ili kutumikia adhabu yao maisha Jela baada ya kupata msamaha wa Rais kufuatia mazungumzo kati ya Serekali ya DR Congo na Marekani. Msemaji wa Rais wa DRC,Tina Salama, amethibitisha kuwa Raia hao waliondoka Kinshasa siku ya Jana Jumanne majira ya asubuhi, kufuatia jitihada za kidiplomasia zilizoongozwa na Ubalozi wa Marekani Nchini humo. Hatua hiyo imekuja siku chache tu baada ya adhabu zao za kifo kubadilishwa na kuwa kifungo cha maisha jela. Miongoni mwa waliorejeshwa ni Marcel Malanga, kijana mwenye umri wa miaka 21, ambaye ni Mtoto wa marehemu Christian Malanga ambaye ni Kiongozi wa upinzani aliyepanga jaribio la mapinduzi dhidi ya Serikali ya Rais Félix Tshisekedi mwaka jana. Hata hivyo, jaribio hilo lilishindikana, na Christian Malanga aliuawa wakati wa makabiliano na Maafisa wa usalama. Kwa mujibu wa taarifa, Marcel alidai kuwa alishinikizwa na Baba yake kushiriki katika tukio hilo, akieleza kuwa hakufanya hivyo kwa hiari yake. Kurejeshwa kwa Raia hao kumetokea wakati ambapo Serikali ya DR Congo inashughulikia makubaliano ya ushirikiano wa kimataifa kuhusu madini na msaada wa kijeshi na Marekani, lengo likiwa ni kuimarisha usalama hususan katika maeneo ya mashariki ya nchi ambayo yamekuwa yakikumbwa na machafuko ya mara kwa mara. -
Tunaambiwa Uwanja wa klabu ya Real Madrid (饾棪饾棶饾椈饾榿饾椂饾棶饾棿饾椉 饾棔饾棽饾椏饾椈饾棶饾棷饾棽虂饾槀) unaandaliwa vyema kwa ajili ya mchezo wa marudiano dhidi ya klabu ya Arsenal FC ambao iliitwanga Real Madrid mabao matatu kwa sifuri (0-3).
Klabu ya Real Madrid inatakiwa kufunga angalau mabao matatu ili kufufua matumaini ya kufuzu hatua ya nusu fainali ya klabu bingwa barani Ulaya (UEFA Champions League) ilihali klabu ya Arsenal FC ina rekodi ya kutokufungwa mabao matatu katika mchezo mmoja tangu Desemba 2023 yaani mechi 83 zimepita kwa klabu ya Arsenal FC bila kuruhusu mabao matatu.
Tunaambiwa Uwanja wa klabu ya Real Madrid (饾棪饾棶饾椈饾榿饾椂饾棶饾棿饾椉 饾棔饾棽饾椏饾椈饾棶饾棷饾棽虂饾槀) unaandaliwa vyema kwa ajili ya mchezo wa marudiano dhidi ya klabu ya Arsenal FC ambao iliitwanga Real Madrid mabao matatu kwa sifuri (0-3). Klabu ya Real Madrid inatakiwa kufunga angalau mabao matatu ili kufufua matumaini ya kufuzu hatua ya nusu fainali ya klabu bingwa barani Ulaya (UEFA Champions League) ilihali klabu ya Arsenal FC ina rekodi ya kutokufungwa mabao matatu katika mchezo mmoja tangu Desemba 2023 yaani mechi 83 zimepita kwa klabu ya Arsenal FC bila kuruhusu mabao matatu. -
-
-
More Stories