Papillon Tz
46 people like this
885 Posts
904 Photos
12 Videos
0 Reviews
Recent Updates
  • Rais Donald Trump wa Marekani amemuandikia barua ya mwaliko kwenye Ikulu ya Marekani White House Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu akimuomba aende wiki ijayo wakajadili hali ya Mashariki ya Kati na maslahi yao ya pamoja katika ukanda huo (mgogoro wa Palestina na Israel).

    Kwa mwaliko huo, Benjamin Netanyahu atakuwa kiongozi Mkuu wa kwanza wa nje kufanya ziara rasmi Marekani baada ya Trump kushinda tena Urais wa Taifa hilo. Ikumbukwe maandalizi ya mkutano wa Trump na Putin pia yanaendelea ili kumaliza vita vya Ukraine.

    Rais Donald Trump wa Marekani amemuandikia barua ya mwaliko kwenye Ikulu ya Marekani White House Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu akimuomba aende wiki ijayo wakajadili hali ya Mashariki ya Kati na maslahi yao ya pamoja katika ukanda huo (mgogoro wa Palestina na Israel). Kwa mwaliko huo, Benjamin Netanyahu atakuwa kiongozi Mkuu wa kwanza wa nje kufanya ziara rasmi Marekani baada ya Trump kushinda tena Urais wa Taifa hilo. Ikumbukwe maandalizi ya mkutano wa Trump na Putin pia yanaendelea ili kumaliza vita vya Ukraine.
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·276 Views
  • Baada ya Rais wa Marekani , Donald Trump kusaini amri ya Marekani kujitoa Shirika la afya Duniani (WHO) sanjari na kusitisha ufadhili wa kifedha kwa Mashirika yote ya kiafya Duniani kote ikiwemo yale ya kupambana na ukimwi kwa siku 90.

    Rais huyo amesema katika kipindi hicho cha mpito serikali yake itafanya tathimini ya kuona ushiriki wake na ufadhili kama unaenda sahihi na mataifa mengine au Marekani imesusiwa mzigo mkubwa peke yake wa kuhudumia Dunia. Marekani ndio mchangiaji mkubwa zaidi kwenye Mashirika hayo ya afya ikiwemo (WHO), ambapo Marekani inachangia takribani dola bilioni moja (1) huku Nchi ya China ikichangia dola milioni (86) pekee kitu ambacho Donald Trump amesema sio sahihi.

    Tayari Mashirika yanayofadhiliwa na Marekani likiwemo la USAID yamepokea waraka wa agizo la Donald Trump na kuagizwa kuanza utekelezaji Duniani kote.

    Baada ya Rais wa Marekani 🇺🇸, Donald Trump kusaini amri ya Marekani kujitoa Shirika la afya Duniani (WHO) sanjari na kusitisha ufadhili wa kifedha kwa Mashirika yote ya kiafya Duniani kote ikiwemo yale ya kupambana na ukimwi kwa siku 90. Rais huyo amesema katika kipindi hicho cha mpito serikali yake itafanya tathimini ya kuona ushiriki wake na ufadhili kama unaenda sahihi na mataifa mengine au Marekani imesusiwa mzigo mkubwa peke yake wa kuhudumia Dunia. Marekani ndio mchangiaji mkubwa zaidi kwenye Mashirika hayo ya afya ikiwemo (WHO), ambapo Marekani inachangia takribani dola bilioni moja (1) huku Nchi ya China ikichangia dola milioni (86) pekee kitu ambacho Donald Trump amesema sio sahihi. Tayari Mashirika yanayofadhiliwa na Marekani likiwemo la USAID yamepokea waraka wa agizo la Donald Trump na kuagizwa kuanza utekelezaji Duniani kote.
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·292 Views
  • Namba kwenye mtandao wa YouTube anadai kuingiza Dola milioni moja kwa siku, baadaye Tajiri namba moja Duniani kamjibu kuwa yeye anaingiza Dola milioni moja kwa dakika moja.

    Namba kwenye mtandao wa YouTube anadai kuingiza Dola milioni moja kwa siku, baadaye Tajiri namba moja Duniani kamjibu kuwa yeye anaingiza Dola milioni moja kwa dakika moja.
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·211 Views
  • Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·69 Views
  • Mwaka 2019, Nchini Japan waliweza kupitisha utafiti kwa kuweza kuwaruhusu Wanasayansi kuweza kutengeneza (kuunda) Wanadamu. Mfumo huo ambao unakusanya viungo vya Wanyama na Binadamu ili kuweza kukuza viungo vya Binadamu ndani ya Mnyama kwa njia ya kupandikiza. Watafiti hao wakiongozwa na Mwanasayansi mmoja aitwaye Hiromitsu Nakauchi.

    Utafiti huo unaruhusisha kuingiza "seli" za Binadamu kwenye "viinitete" vya Wanyama (animal embroys) kwa Nguruwe na Panya, ili kuweza kukuza vya Binadamu. Bado kuna wasiwasi wa kimaadili unaweza kujitokeza kuhusu kuchanganya "seli" za kibinadamu na Wanyama haswa kwenye ukuaji wa ubongo.

    Sheria mpya imeruhusu utafiti huo kukuza hadi kuwa Mnyama Binadamu kamili, hivyo kuzua mijadiliano mikali kati ya Sayansi ya matibabu na uumbaji wa Mwenyezi Mungu.

    Mwaka 2019, Nchini Japan 🇯🇵 waliweza kupitisha utafiti kwa kuweza kuwaruhusu Wanasayansi kuweza kutengeneza (kuunda) Wanadamu. Mfumo huo ambao unakusanya viungo vya Wanyama na Binadamu ili kuweza kukuza viungo vya Binadamu ndani ya Mnyama kwa njia ya kupandikiza. Watafiti hao wakiongozwa na Mwanasayansi mmoja aitwaye Hiromitsu Nakauchi. Utafiti huo unaruhusisha kuingiza "seli" za Binadamu kwenye "viinitete" vya Wanyama (animal embroys) kwa Nguruwe na Panya, ili kuweza kukuza vya Binadamu. Bado kuna wasiwasi wa kimaadili unaweza kujitokeza kuhusu kuchanganya "seli" za kibinadamu na Wanyama haswa kwenye ukuaji wa ubongo. Sheria mpya imeruhusu utafiti huo kukuza hadi kuwa Mnyama Binadamu kamili, hivyo kuzua mijadiliano mikali kati ya Sayansi ya matibabu na uumbaji wa Mwenyezi Mungu.
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·277 Views
  • Like
    Haha
    2
    · 0 Comments ·0 Shares ·89 Views
  • Udaku umetazamwa (view) na Watu zaidi laki nne (4) ila wimbo mpya Watazamaji (views) ni zaidi ya elfu (59) pekee... Yaani hawa ndio Ndugu wa Watazamaji .

    Ni umbea au udaku kwanza, mengine baadaye

    Udaku umetazamwa (view) na Watu zaidi laki nne (4) ila wimbo mpya Watazamaji (views) ni zaidi ya elfu (59) pekee... Yaani hawa ndio Ndugu wa Watazamaji 😂. Ni umbea au udaku kwanza, mengine baadaye 😂
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·188 Views
  • Kuna baadhi ya Watu kwenye "comenti" (baadhi lakini) huwa sipendi kuwajibu kwa sababu ya elimu yao. Ukiandika vibaya (matusi, dhihaka, kejeli au kunishambulia) kwa habari yoyote ile "ninayoiposti" au kama "nime-comenti" sehemu kisha ukaja kujibu. Kwanza ninaangalia "profile" yako ili nijue wewe ni Mtu wa aina gani na nikiona upo upo tu basi sijibu. Lakini nikiona kama umejitoa ufahamu (ujuaji au kudandia gari kwa mbele) basi nakujibu.

    Nimesema hayo kwa sababu gani, kuna baadhi ya Watu hapa mitandao hawajui tena hawajui kama hawajui, wapo Watu ambao ni Wajinga (sio tusi hii, tafuta kamusi ikusaidie) na hata uwaeleweshe vipi, vichwa vyao ni maji au sifuri.

    Mama Samia alikuwa anasherekea siku yake ya mfanano wa kuzaliwa yaani Birthday kwa kiingereza, basi mimi "nili-coment" sehemu fulani "Happy birthday to They". Baada ya muda mfupi nikaona Mtu anakejeli, nikamuacha, baadaye nikaona Watu wengine wanazidi kuongezeka, nikasema "Daaah Dunia haijaelimika kwa kweli".

    Sasa ipo hivi

    Kutumia "They" kumheshimu Mtu, hasa kama unataka kuepuka kuonyesha jinsia ya Mtu au unapoheshimu mamlaka yao kama vile Rais au Mfalme, ni sahihi na inaeleweka. Katika tamaduni nyingi, matumizi ya "they" kama pronomi ya jinsia isiyojulikana au isiyobainika, ni njia ya heshima na inatumika pia kama njia ya kuonyesha heshima kwa Mtu aliye katika nafasi kubwa kama Rais au Mfalme.

    Hii ni tofauti na matumizi ya "he" au "she," ambayo yanaweza kuhusisha jinsia maalum. "They" inaweza kutumika pia kwa kumheshimu Mtu bila kujali jinsia au kama njia ya kujiepusha na maelezo ya kijinsia.

    Kuna mifano ambapo Viongozi wakubwa hutumika "they" kama njia ya kumheshimu na kuonyesha hofu au hadhi ya nafasi yao.

    Hiyo tafsiri nyepesi kabisa kutoka kwa Wajuzi wa lugha ya Kiingereza.

    Kuna baadhi ya Watu kwenye "comenti" (baadhi lakini) huwa sipendi kuwajibu kwa sababu ya elimu yao. Ukiandika vibaya (matusi, dhihaka, kejeli au kunishambulia) kwa habari yoyote ile "ninayoiposti" au kama "nime-comenti" sehemu kisha ukaja kujibu. Kwanza ninaangalia "profile" yako ili nijue wewe ni Mtu wa aina gani na nikiona upo upo tu basi sijibu. Lakini nikiona kama umejitoa ufahamu (ujuaji au kudandia gari kwa mbele) basi nakujibu. Nimesema hayo kwa sababu gani, kuna baadhi ya Watu hapa mitandao hawajui tena hawajui kama hawajui, wapo Watu ambao ni Wajinga (sio tusi hii, tafuta kamusi ikusaidie) na hata uwaeleweshe vipi, vichwa vyao ni maji au sifuri. Mama Samia alikuwa anasherekea siku yake ya mfanano wa kuzaliwa yaani Birthday kwa kiingereza, basi mimi "nili-coment" sehemu fulani "Happy birthday to They". Baada ya muda mfupi nikaona Mtu anakejeli, nikamuacha, baadaye nikaona Watu wengine wanazidi kuongezeka, nikasema "Daaah Dunia haijaelimika kwa kweli". Sasa ipo hivi 👇 Kutumia "They" kumheshimu Mtu, hasa kama unataka kuepuka kuonyesha jinsia ya Mtu au unapoheshimu mamlaka yao kama vile Rais au Mfalme, ni sahihi na inaeleweka. Katika tamaduni nyingi, matumizi ya "they" kama pronomi ya jinsia isiyojulikana au isiyobainika, ni njia ya heshima na inatumika pia kama njia ya kuonyesha heshima kwa Mtu aliye katika nafasi kubwa kama Rais au Mfalme. Hii ni tofauti na matumizi ya "he" au "she," ambayo yanaweza kuhusisha jinsia maalum. "They" inaweza kutumika pia kwa kumheshimu Mtu bila kujali jinsia au kama njia ya kujiepusha na maelezo ya kijinsia. Kuna mifano ambapo Viongozi wakubwa hutumika "they" kama njia ya kumheshimu na kuonyesha hofu au hadhi ya nafasi yao. Hiyo tafsiri nyepesi kabisa kutoka kwa Wajuzi wa lugha ya Kiingereza.
    Like
    2
    · 0 Comments ·0 Shares ·526 Views
  • "Faida ya kwanza ya Eng. Hersi na ACA ni kuwa sauti ya VILABU kwenye Mkutano wa Kamati Tendaji ya CAF

    Na moja ya Kilio kikubwa cha VILABU hapa Afrika ni kukosa Hela ya maandalizi kushiriki LIGI YA MABINGWA na KOMBE LA SHIRIKISHO

    Unapambana kupata nafasi kwenye Ligi, kisha upambane wapi utapata Hela ili ukashiriki HATUA 2 ZA AWALI ili baadae ukapate hela ya CAF kuanzia Hatua ya Makundi

    Timu nyingi ndogo Tanzania zilipata Tabu ya kushiriki michuano hii, Mfano wa wazi BIASHARA UNITED Kutoka Mara

    ENG Hersi amefika na kuhakikisha Timu zote za Hatua ya awali zinapata Fedha.

    Msimu huu ZAIDI YA BILIONI 13 kutoka CAF zimetoka kwa VILABU vilivyoshiriki Hatua ya awali.

    Makofi Mengi kwa Eng. Hersi Said" - Ally Kamwe, Msemaji wa klabu ya Yanga SC.

    "Faida ya kwanza ya Eng. Hersi na ACA ni kuwa sauti ya VILABU kwenye Mkutano wa Kamati Tendaji ya CAF Na moja ya Kilio kikubwa cha VILABU hapa Afrika ni kukosa Hela ya maandalizi kushiriki LIGI YA MABINGWA na KOMBE LA SHIRIKISHO Unapambana kupata nafasi kwenye Ligi, kisha upambane wapi utapata Hela ili ukashiriki HATUA 2 ZA AWALI ili baadae ukapate hela ya CAF kuanzia Hatua ya Makundi Timu nyingi ndogo Tanzania zilipata Tabu ya kushiriki michuano hii, Mfano wa wazi BIASHARA UNITED Kutoka Mara ENG Hersi amefika na kuhakikisha Timu zote za Hatua ya awali zinapata Fedha. Msimu huu ZAIDI YA BILIONI 13 kutoka CAF zimetoka kwa VILABU vilivyoshiriki Hatua ya awali. Makofi Mengi kwa Eng. Hersi Said👏👏" - Ally Kamwe, Msemaji wa klabu ya Yanga SC.
    Like
    Love
    2
    · 0 Comments ·0 Shares ·258 Views
  • Like
    2
    · 0 Comments ·0 Shares ·80 Views
  • Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·91 Views
  • "Mimi CAF hawawezi kunifuata kwa sababu nina ratiba ya kuandaa timu kuelekea Robo Fainali, kwahiyo CAF wanaangalia nani hana kazi, ndiyo maana wanamualika yaani Jobless" - Ahmed Ally, Msemaji wa klabu ya Simba SC akijibu swali kuhusu kutokualikwa kwenye droo ya CAF Morocco baada ya Msemaji mwenzie wa klabu ya Yanga SC Ally Kamwe kualikwa.

    "Mimi CAF hawawezi kunifuata kwa sababu nina ratiba ya kuandaa timu kuelekea Robo Fainali, kwahiyo CAF wanaangalia nani hana kazi, ndiyo maana wanamualika yaani Jobless" - Ahmed Ally, Msemaji wa klabu ya Simba SC akijibu swali kuhusu kutokualikwa kwenye droo ya CAF Morocco baada ya Msemaji mwenzie wa klabu ya Yanga SC Ally Kamwe kualikwa.
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·284 Views
  • Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·73 Views
  • Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·73 Views
  • Klabu ya Singida Black Stars imetoa Wachezaji wake (16) kwa mkopo kwenda kwenye klabu zingine kulinda vipaji vyao.

    Ni klabu tano (5) pekee ambazo hazijapata Mchezaji kutoka katika klabu ya Singida Black Stars, klabu zilizobakia zote zimewahi kupokea mchezaji wa Singida kwa mkopo ikiwemo klabu za Simba SC, Azam FC, KMC,...

    Klabu ya Singida Black Stars imetoa Wachezaji wake (16) kwa mkopo kwenda kwenye klabu zingine kulinda vipaji vyao. Ni klabu tano (5) pekee ambazo hazijapata Mchezaji kutoka katika klabu ya Singida Black Stars, klabu zilizobakia zote zimewahi kupokea mchezaji wa Singida kwa mkopo ikiwemo klabu za Simba SC, Azam FC, KMC,...
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·211 Views
  • Like
    Haha
    2
    · 0 Comments ·0 Shares ·91 Views
  • "Watoto wakike leo naongea nanyie, naomba mnisikilize kwa makini tena nisikilizeni vizuri kabisa, mueshimieni Wazazi wenu na kuwasikiliza, Mzazi akikuambia usifanye acha mara moja maana Mzazi akiondoka hakuna mwingine atakae kuelekeza, leo hii mimi nimeamua kumpa Wwanangu Wema Sepetu kanga kama zawadi ya siku ya kuzaliwa kwake, yote ni kwasababu amejisahau, nilienda kwake nikamuomba anipe kanga akanipa mtandio, hii inaonesha ni kiasi gani hajitambui, heshima ya Mwanamke ni kanga sio hayo mavazi yenu" - Mama Mzazi w Sepetu.

    "Watoto wakike leo naongea nanyie, naomba mnisikilize kwa makini tena nisikilizeni vizuri kabisa, mueshimieni Wazazi wenu na kuwasikiliza, Mzazi akikuambia usifanye acha mara moja maana Mzazi akiondoka hakuna mwingine atakae kuelekeza, leo hii mimi nimeamua kumpa Wwanangu Wema Sepetu kanga kama zawadi ya siku ya kuzaliwa kwake, yote ni kwasababu amejisahau, nilienda kwake nikamuomba anipe kanga akanipa mtandio, hii inaonesha ni kiasi gani hajitambui, heshima ya Mwanamke ni kanga sio hayo mavazi yenu" - Mama Mzazi w Sepetu.
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·159 Views
  • Rais wa Marekani , Donald Trump alienda kwenye Kanisa moja Anglican Nchini humo linalofahamika kama Episcopal Church, alienda kwa dhumuni la Ibada ya kushukuru ila alipofika Askofu wa Kanisa hilo Bi Marrian Edgar Budde kwenye hotuba yake akasema manano yafuatayo:

    “Rais Trump tunakuomba kwa jina la Mungu uwe na huruma kwa Watu wa Mapenzi ya Jinsia moja na Wahamiaju haramu, wanaogopa sana” akamaliza Askofu huyo.

    Rais Trump hakuridhishwa na hotuba hiyo na wakati anaondoka akasema maneno yafuatayo:

    “Haikuwa hotuba nzuri, haivutii, inachafua taswira ya Kanisa lake au ninyi Waandishi mnaona inavutia, binafsi sikuipenda, haivutii na ni kweli haivutii haina maana” - Donald Trump, Rais wa Marekani .

    Msimamo wa Trump dhidi ya Mapenzi ya Jinsia moja ni mkali saaana.

    Rais wa Marekani 🇺🇸, Donald Trump alienda kwenye Kanisa moja Anglican Nchini humo linalofahamika kama Episcopal Church, alienda kwa dhumuni la Ibada ya kushukuru ila alipofika Askofu wa Kanisa hilo Bi Marrian Edgar Budde kwenye hotuba yake akasema manano yafuatayo: “Rais Trump tunakuomba kwa jina la Mungu uwe na huruma kwa Watu wa Mapenzi ya Jinsia moja na Wahamiaju haramu, wanaogopa sana” akamaliza Askofu huyo. Rais Trump hakuridhishwa na hotuba hiyo na wakati anaondoka akasema maneno yafuatayo: “Haikuwa hotuba nzuri, haivutii, inachafua taswira ya Kanisa lake au ninyi Waandishi mnaona inavutia, binafsi sikuipenda, haivutii na ni kweli haivutii haina maana” - Donald Trump, Rais wa Marekani 🇺🇸. Msimamo wa Trump dhidi ya Mapenzi ya Jinsia moja ni mkali saaana.
    0 Comments ·0 Shares ·358 Views
  • Moto mwingine mkubwa umezuka hapo jana na kuteketeza eneo lenya ukubwa wa takribani ekari 9400 katika eneo la Castaic, Kaskazini mwa Mji wa Los Angeles, California Nchini Marekani .

    Moto huo uliopewa jina la The Hughes Fire, unatajwa kuwa mkubwa kwa theluthi mbili ukilinganishwa na Moto wa Eaton ulioiteketeza vibaya Los Angeles. Zaidi ya watu 31,000 wametakiwa kuyahama makazi yao haraka iwezekanavyo wakati vikosi vya askari wa zimamoto na uokoaji zaidi ya 4000 wakiendelea kupambana na moto huo unaowaka umbali wa takribani kilometa 80, Kaskazini mwa Los Angeles.

    Tangu kuzuka kwa jangala moto Mjini Los Angeles, vikosi vya zimamoto vimefanikiwa kuidhibiti mioto miwili tu huku juhudi zikiendelea usiku na mchana.

    Moto mwingine mkubwa umezuka hapo jana na kuteketeza eneo lenya ukubwa wa takribani ekari 9400 katika eneo la Castaic, Kaskazini mwa Mji wa Los Angeles, California Nchini Marekani 🇺🇸. Moto huo uliopewa jina la The Hughes Fire, unatajwa kuwa mkubwa kwa theluthi mbili ukilinganishwa na Moto wa Eaton ulioiteketeza vibaya Los Angeles. Zaidi ya watu 31,000 wametakiwa kuyahama makazi yao haraka iwezekanavyo wakati vikosi vya askari wa zimamoto na uokoaji zaidi ya 4000 wakiendelea kupambana na moto huo unaowaka umbali wa takribani kilometa 80, Kaskazini mwa Los Angeles. Tangu kuzuka kwa jangala moto Mjini Los Angeles, vikosi vya zimamoto vimefanikiwa kuidhibiti mioto miwili tu huku juhudi zikiendelea usiku na mchana.
    0 Comments ·0 Shares ·211 Views
  • 0 Comments ·0 Shares ·91 Views
  • Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·90 Views
  • 0 Comments ·0 Shares ·74 Views
  • 0 Comments ·0 Shares ·78 Views
  • 0 Comments ·0 Shares ·74 Views
  • 0 Comments ·0 Shares ·91 Views
More Stories