• Mbappé kuukosa mchezo dhidi ya Alihilal kutokana na kupatwa homa

    #sportselite
    Mbappé kuukosa mchezo dhidi ya Alihilal kutokana na kupatwa homa #sportselite
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·10 Views
  • 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Bernardo Silva ndie nahodha mpya(CAPTAIN) Manchester City

    #sportselite
    🚨 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Bernardo Silva ndie nahodha mpya(CAPTAIN) Manchester City 💙©️ #sportselite
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·25 Views
  • BREAKING

    Napoli waanza harakati za kumsajili Jadon Sancho! ⚪️

    Kwa mujibu wa Sky Italia, Napoli wanamwona winga wa Manchester United kama usajili muhimu kwa mipango yao ya msimu ujao.
    Mazungumzo yanatarajiwa kusonga mbele katika siku chache zijazo

    #sportselite
    🚨 BREAKING Napoli waanza harakati za kumsajili Jadon Sancho! 🟦⚪️ Kwa mujibu wa Sky Italia, Napoli wanamwona winga wa Manchester United kama usajili muhimu kwa mipango yao ya msimu ujao. Mazungumzo yanatarajiwa kusonga mbele katika siku chache zijazo #sportselite
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·26 Views
  • 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Fenerbahçe imeanza harakati ya kuinasa saini ya Lucas Vazquez kama mchezaji huru mwezi ujao (July)...

    #sportselite
    🚨🚨 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Fenerbahçe imeanza harakati ya kuinasa saini ya Lucas Vazquez kama mchezaji huru mwezi ujao (July)... #sportselite
    Like
    Wow
    2
    · 0 Comments ·0 Shares ·11 Views
  • Nico Williams atapokea kiasi cha €12M kwa msimu mzima ndani ya Barcelona....

    #sportselite
    🚨💙❤️ Nico Williams atapokea kiasi cha €12M kwa msimu mzima ndani ya Barcelona.... #sportselite
    Like
    2
    · 0 Comments ·0 Shares ·9 Views
  • OFFICIAL

    Laliga wamethibitisha kuwa FC Barcelona wamekamilisha vibali vyote vya Golikipa wao mpya Joan Garcia na ataruhusiwa kuitumikia klabu hiyo msimu ujao 2025/26 bila ya kikwazo chochote.

    #sportselite
    OFFICIAL 🔴 Laliga wamethibitisha kuwa FC Barcelona wamekamilisha vibali vyote vya Golikipa wao mpya Joan Garcia na ataruhusiwa kuitumikia klabu hiyo msimu ujao 2025/26 bila ya kikwazo chochote. #sportselite
    Like
    Love
    2
    · 0 Comments ·0 Shares ·40 Views
  • OFFICIAL

    Uongozi wa klabu ya Manchester City umepunguza kwa asilimia 43% gharama za tiketi na punguzo Hilo litaanza kufanya kazi kuanzia michezo ya msimu ujao 2025/26.

    Hatua hii imekuja baada ya migomo kutoka kwa mashabiki wa klabu hiyo,wakidai Bei za tiketi zipunguzwe zilikuwa juu sana hasa kwa wale wanaonunua tiketi za msimu mzima.

    Tiketi zote zimepunguzwa Bei kuanzia za mechi Kwa mechi mpaka za msimu mzima...

    #sportselite
    OFFICIAL 🔵 Uongozi wa klabu ya Manchester City umepunguza kwa asilimia 43% gharama za tiketi na punguzo Hilo litaanza kufanya kazi kuanzia michezo ya msimu ujao 2025/26. Hatua hii imekuja baada ya migomo kutoka kwa mashabiki wa klabu hiyo,wakidai Bei za tiketi zipunguzwe zilikuwa juu sana hasa kwa wale wanaonunua tiketi za msimu mzima. Tiketi zote zimepunguzwa Bei kuanzia za mechi Kwa mechi mpaka za msimu mzima... #sportselite
    Like
    Love
    2
    · 0 Comments ·0 Shares ·77 Views
  • BREAKING

    Bayern Munich Wako mbioni kuinasa Saini ya Nyota wa Crystal Palace Eberechi Eze

    Fahamu Eberechi Eze anakifungu cha kuuzwa cha £68m.

    #sportselite
    🚨 BREAKING Bayern Munich Wako mbioni kuinasa Saini ya Nyota wa Crystal Palace Eberechi Eze 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 Fahamu Eberechi Eze anakifungu cha kuuzwa cha £68m.💰 #sportselite
    Like
    Angry
    2
    · 0 Comments ·0 Shares ·52 Views
  • Katika mchezo wa Chelsea dhidi ya Los Angeles, kipindi cha pili cha mchezo kilicheleweshwa kwa dakika chache kwani Olivier Giroud hakuwa na jezi ya kuvaa

    Mshambuliaji wa Kifaransa alikuwa ameiacha jezi yake kwenye chumba cha kubadilishia nguo golikipa David Ochoa akaenda kuichukua

    #sportselite
    Katika mchezo wa Chelsea dhidi ya Los Angeles, kipindi cha pili cha mchezo kilicheleweshwa kwa dakika chache kwani Olivier Giroud hakuwa na jezi ya kuvaa 😅👕 Mshambuliaji wa Kifaransa alikuwa ameiacha jezi yake kwenye chumba cha kubadilishia nguo golikipa David Ochoa akaenda kuichukua 😅 #sportselite
    Like
    Wow
    2
    · 0 Comments ·0 Shares ·49 Views
  • 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Huwenda mchezaji Kylian Mbappé asicheze kwenye mechi ya kesho kutokana na kupatwa na homa hata ivo mchezaji hakufanya mazoezi na timu...

    #sportselite
    🚨 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Huwenda mchezaji Kylian Mbappé asicheze kwenye mechi ya kesho kutokana na kupatwa na homa hata ivo mchezaji hakufanya mazoezi na timu... #sportselite
    Like
    Love
    2
    · 0 Comments ·0 Shares ·32 Views
  • 𝐇𝐄𝐑𝐄 𝐖𝐄 𝐆𝐎! Brahim Diaz, atasaini mkataba wa mda mrefu ndani ya Real Madrid kama ilivyo pangwa na makubaliano ya pande zote umefikiwa

    #sportselite
    🚨🚨 𝐇𝐄𝐑𝐄 𝐖𝐄 𝐆𝐎! Brahim Diaz, atasaini mkataba wa mda mrefu ndani ya Real Madrid kama ilivyo pangwa na makubaliano ya pande zote umefikiwa 🤍🇲🇦 #sportselite
    Yay
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·39 Views
  • BREAKING NEWS…..!!!!!

    FIFA itafanya uchunguzi wa mpira wa Tanzania katika Kipindi cha miezi miwili nyuma hadi sasa kutokana na Migogoro ya kimaamuzi iliyotokea.

    Lakini pia imeiomba TFF kutoa ushirikiano katika masuala yote ili kuweza kupata uhalisia wa mambo yote yaliyotokea....

    #sportselite
    🚨BREAKING NEWS…..!!!!! FIFA itafanya uchunguzi wa mpira wa Tanzania katika Kipindi cha miezi miwili nyuma hadi sasa kutokana na Migogoro ya kimaamuzi iliyotokea. Lakini pia imeiomba TFF kutoa ushirikiano katika masuala yote ili kuweza kupata uhalisia wa mambo yote yaliyotokea.... #sportselite
    Wow
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·87 Views
  • BREAKING

    Klabu ya FC Barcelona ipo katika hatua za mwisho kukamilisha usajili wa Nico William Jr kutokea klabu ya Athletic Club Bilbao.

    #sportselite
    BREAKING 🔴 Klabu ya FC Barcelona ipo katika hatua za mwisho kukamilisha usajili wa Nico William Jr kutokea klabu ya Athletic Club Bilbao. #sportselite
    Wow
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·47 Views
  • Galatasaray imetuma ofa kwa Inter Milan ikimuhitaji Hakan Calhanoglu katika dirisha kubwa la usajiri....

    #sportselite
    🚨💣💣 Galatasaray imetuma ofa kwa Inter Milan ikimuhitaji Hakan Calhanoglu katika dirisha kubwa la usajiri🤯.... #sportselite
    Love
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·72 Views
  • 𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: Franco Mastantuono amejiunga na Real Madrid akitokea klabu ya River Plate, deal limekamilika kwa mkataba wa miaka 6

    #sportselite
    🚨 𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: Franco Mastantuono amejiunga na Real Madrid akitokea klabu ya River Plate, deal limekamilika kwa mkataba wa miaka 6 🤍🇦🇷 #sportselite
    Love
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·132 Views
  • 𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: Thomas Frank ametia saini kama kocha mpya Tottenham kwa mkataba hadi June 2028 huku akichukua mikoba Postecoglou

    #sportselite
    🚨 𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: Thomas Frank ametia saini kama kocha mpya Tottenham kwa mkataba hadi June 2028 huku akichukua mikoba Postecoglou #sportselite
    Love
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·162 Views
  • Transfer Updates

    AS Monaco wamekubaliana na Barcelona kumsajili Ansu Fati mwenye miaka 22.

    Mhispania huyo atajiunga na Monaco kwa mkopo hadi mwisho wa msimu, kisha Monaco watakuwa na chaguo la kumnunua kwa €14M au kumrudisha.

    Ansu anafuraha kwamba Barcelona wamejumuisha kipengele cha kurudisha ikiwa Monaco watamudu, kwani ndoto yake ni kurudi Barcelona. Sasa atasafiri kwa uchunguzi wa kimatibabu⚡️



    #sportselite
    🔥🔥Transfer Updates AS Monaco wamekubaliana na Barcelona kumsajili Ansu Fati mwenye miaka 22. Mhispania huyo atajiunga na Monaco kwa mkopo hadi mwisho wa msimu, kisha Monaco watakuwa na chaguo la kumnunua kwa €14M au kumrudisha. Ansu anafuraha kwamba Barcelona wamejumuisha kipengele cha kurudisha ikiwa Monaco watamudu, kwani ndoto yake ni kurudi Barcelona. Sasa atasafiri kwa uchunguzi wa kimatibabu⚡️📝 #sportselite
    Wow
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·211 Views
  • Huwenda hamisho la De Bruyne kwenda Napoli lipo mbioni kukamilika⭐️

    #sportselite
    Huwenda hamisho la De Bruyne kwenda Napoli lipo mbioni kukamilika⭐️👀 #sportselite
    Wow
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·126 Views
  • Get Cricket Game ID with India's Trusted Online Sports ID Provider

    https://theglobalnewz.com/get-cricket-game-id-with-indias-trusted-online-sports-id-provider/
    Get Cricket Game ID with India's Trusted Online Sports ID Provider https://theglobalnewz.com/get-cricket-game-id-with-indias-trusted-online-sports-id-provider/
    0 Comments ·0 Shares ·106 Views
  • Takwimu za Lamine Yamal vs Ousmane Dembele – kweny mashindano yote (2024/25)

    #SportsElite
    📊 Takwimu za Lamine Yamal vs Ousmane Dembele – kweny mashindano yote (2024/25) #SportsElite
    Yay
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·175 Views
More Results